KAGAME HII NDIYO SILAHA ANAYOTAMBA NAYO/RAMAPHOSA NA TSHISEKEDI HAWANA UJANJA HAPA/IJUE SIRI YAKE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 лют 2025
  • Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
    We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
    #entertainment #news #music #funny

КОМЕНТАРІ • 18

  • @JacobernestMlula
    @JacobernestMlula 5 днів тому

    Kumbuka idd amini alifundishwa na msuguli lakini msuguli alimchapa

  • @malembobulongo3856
    @malembobulongo3856 6 днів тому

    Huyu jamaa kwanini asipigwe

  • @CloudMashaka-r7j
    @CloudMashaka-r7j 6 днів тому

    Endela kumjaza maji atamwagika bwaaaaa

  • @KisagasiLuyangi
    @KisagasiLuyangi 6 днів тому

    Ndio maana kikwete alishindwa kumvumilia huyu, ni jeuli sana,

  • @JumabJumamkuula
    @JumabJumamkuula 6 днів тому

    Rwanda hana silaha kuisha soudh afca uongo broo

  • @MatendoByamungu
    @MatendoByamungu 6 днів тому

    Acha kuyasumbuwa masikio ya watu bro

  • @nunumrisho6548
    @nunumrisho6548 7 днів тому

    Farao alipo takiwa kuangalia alijitia ujariri wa kufuata MUSSA kuvuka baharinkwa Rehma za Mungu hatimae alazama na laana zake na watu wake .SasaKagame amejichanganya pa pabaya.

  • @JumabJumamkuula
    @JumabJumamkuula 6 днів тому

    Hana lolote huyu kagame wenu

  • @MulandaKasongo
    @MulandaKasongo 6 днів тому

    Musa Alipofika mbele ya Faraho na ujumbe wa kumwambia Aruhusu watoto wa Israeli hapo Misri alionesha kiburi sana ,mwisho wa siku alijikuta Watoto wa Israeli wameondoka, aliwafuhata Nyumba Lakini kilocho Mpata Ni wanajeshi wake wote wa kufa kwa maji wakicheka na wengine kujutia kwenda. Ndivyo itakavyo kuwa Kwa wahasi na wavamizi wa congo. siku ipo.

  • @ALUNASYStephen
    @ALUNASYStephen 7 днів тому

    Hamna kitu hapo,hicho kibri chake anaweza kucheza na South Africa ata tz awezi cheza nao yeye mwenyewe anajifariji.hao frdc walivyogusa gisenyi kapanic

  • @JimmyLokoka-kx5lf
    @JimmyLokoka-kx5lf 7 днів тому

    Hivi kwel kuna silaha ipo Rwanda ... south Africa hakuna..?kwakwel Bongo 5 acheni hivo bana

  • @MohamadHamza-hb2qv
    @MohamadHamza-hb2qv 7 днів тому

    Kama unasema amepikwa mondori na morogoro vp hao waliompika aweze kuwazidi,basi cc ni zaidi yake

  • @brythonmbinga8495
    @brythonmbinga8495 6 днів тому

    Usimpambe

  • @KamiliKapeta-yr3uc
    @KamiliKapeta-yr3uc 7 днів тому

    Jamani amnambabe ipossiku

  • @PrinceKamateKatembo
    @PrinceKamateKatembo 7 днів тому

    kifo iko namtafuta

  • @JumabJumamkuula
    @JumabJumamkuula 6 днів тому

    Acha uwongo wewe hujuwi history kkkkkk ona unavojichanganya kwahiyo tz ndio wamemuandaa na yeye awe juu yao mpiuzi mkubwa wewe

    • @AlphonceTPeter
      @AlphonceTPeter 6 днів тому

      Ata profesa anaandaliwa na mwalimu wa shule ya msingi,pika kagame intelligence amemalizia America siyo tanzania

  • @JumabJumamkuula
    @JumabJumamkuula 6 днів тому

    Hana lolote huyu kagame wenu