BIASHARA YA KEKI NA CHANGAMOTO ZAKE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 вер 2024
  • Kwenye Hii Video Tushirikiane Kutoa Changamoto Za Biashara Ya Keki Na Kipi Kifanyike Tuweze Kujikwamua
    Dondosha Comments Za Kutosha Yaani Maoni Ili Tujue Wapi Tumesimama Tuweze Kuchukua Hatua Zingine Za MABORESHO
    Jitahidi Kupitia Comments Ili Upate Darasa Kutoka Vichwa Mbalimbali

КОМЕНТАРІ • 30

  • @nolimittvonline6822
    @nolimittvonline6822 Рік тому

    Asntee snaaa

  • @mollelamina2744
    @mollelamina2744 Рік тому +2

    Heri ya Mwaka mpya na kwako pia Mziwanda. Hakika unazidi kutusaidia sisi Wanafunzi wako🥰

  • @mbonistanley6540
    @mbonistanley6540 Рік тому

    Huleeei nimefurahi Sana kukusikia Tena tulikumiss Sana hongera kwa ubusy Asante Sana kwa madarasa

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 Рік тому

    Mashallah shukran umerundi miss you a lot welcome back

  • @olivercharles122
    @olivercharles122 Рік тому +2

    Napenda madarasa yako dada @mziwandabakery....juzi nilipika keki yangu ya Chocolate ikatoka vibaya😪😪...nikasema siachi narudi mziwanda nikaangalie tena video nipike nyingine japo nilishakula hasara😀....nikaipatia kiasi kwamba kama ungekuwa karibu ningekuletea uonje thanks so verrry for inspiration dada angu🙏🙏Allah akuzidishie....ila dada as a sometimes natoa ngumu inaniumiza mpaka nakosa raha😣😣

    • @mziwandabakers8297
      @mziwandabakers8297  Рік тому +1

      Utaweza in shaa Allah,endelea kufuatilia sheria za upishi,zingatia ukali wa moto

  • @hidayandimini9036
    @hidayandimini9036 Рік тому

    Napenda kujifunza upambaji wa keki, na pia nakushukuru kwa somo la keki, nakuombea dua uwe na wateja wengi na upate kipato zaidi.

  • @monicavarisango-rq3jh
    @monicavarisango-rq3jh Рік тому

    Mungu akubariki sana dada nimejifunza kupika keki kupitia chanel yako😘😘

  • @husnayahya3962
    @husnayahya3962 Рік тому

    Hongera sana dada ila nashida nataka kujifunza biashara ya keki nifayeje

  • @mercyambuka9214
    @mercyambuka9214 Рік тому

    Watching from Nairobi Kenya.Good job👏👏

  • @hosianalaseko5562
    @hosianalaseko5562 Рік тому

    Happy new to you too dear and thank you for sharing🥰🥰

  • @zawadimsangi5542
    @zawadimsangi5542 Рік тому

    Nakupataje dada

  • @user-pd9tv1cu8w
    @user-pd9tv1cu8w 3 місяці тому

    Sioni ceki mpya unazoweka dia sijui kwangu kunashida? my dearest

  • @naalinneno3558
    @naalinneno3558 Рік тому

    ❤️❤️❤️❤️

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Рік тому

    Asante sana

    • @mwanaomarymadenge
      @mwanaomarymadenge Рік тому

      Hujambo dada.mimi naomba namba zako za simu nijue upo wapi nataka nikufate ndugu.

  • @roz3990
    @roz3990 Рік тому

    Tulikumiss jamani, welcome back

  • @jemamdendemi9636
    @jemamdendemi9636 Рік тому

    Kweli aise, kamati wanafanya udalali mwisho unaonekana hujawatendea kile walitaka.Badiliken jaman

  • @naalinneno3558
    @naalinneno3558 Рік тому

    Ahsanteee dada ubarikiwe Sanaa nimejifunza keki kupitia madarasa yako Tu na sasa nmeanza kuuza na lkn kun vichache vinanisumbua kwenye yought kuna mda nikigandisha yanatoka yamejikata pia machungu wakti mwingine vizuri kbsa sijajua nakosea wapi dada naomba msaada wa namba yako nipate msaada plz 🙏🙏

    • @mziwandabakers8297
      @mziwandabakers8297  Рік тому +1

      Hongera na pole changamoto ni sehemu ya mafanikio, hakikisha maziwa yako yapo Katika hali nzuri tokea kukamuliwa usafi pia yasiwe na maji ,joto la maziwa kabla yakuweka Culture pia joto lakugandishia zingatia utulivu wa maziwa yakishasindikwa

  • @yahayamakame5629
    @yahayamakame5629 Рік тому

    Dada mim nataka kujifunza kupka keki

  • @Darboy_Tz
    @Darboy_Tz Рік тому

    Dada unapatikana wapi Kuna vifaa naitaji kununua?

  • @haibaathuman3668
    @haibaathuman3668 Рік тому

    Iyo mixer ni kg ngap