Nakuelewa makabila 🔥 🔥 🔥, ila hii umefeli mana unachelewa kutoa video tatizo lako, Ngoma ilishakiki kitambo ila sasa ni used iyo, Mana Ruge washamzika kitambo
Ivi munaifanyia mchezo kabisa mungu anaombwa hivo mungu ukimuomba unatakiwa uwepo sirias Tena uwombe kwa kunyenyekea,leo unaomba na mziki kha!!!! Cjawahi ona wallah
Kwa kawaida singel ni ngoma ilio changamka.sio ngoma za huzun.huu wimbo umeunyima mzik,tena mziki wake umetengenezwa kwa kiwango cha chin sana.ckiliza mzki kama wa kwenye wimbo wa miss buza, kabila lake,au hatuwez kwenda na ww hujaulamba.
Utofauti wa dullah makabila na waimba singeli wengine ni dullah m'bunifu sana unakitu utafika mbaliiii🤔
Kama unatazama hii singeli mwaka huu 2024
Gonga like hapa👎🏽✍🏽
Aliye rudia zaidi ya Mara tano hii ngoma gonga like hapo♥️♥️dullah
Kama unakubali Dula makabila ndo fundi wa singeli gonga= =like hapa
makabila umenikoshaaaaaaa😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
nimefurahi sana kuona video hii.ya rabi takabal dua, ilinifurahisha sana kusikia hiyo sentensi maarufu wewe umeitumia kwenye nyimbo
Daaaaah...jamani mkali ata ntaanza kufuatilia singeli naona kwa wall ya lava lava nkaguatilia...kumbe nzito...lots of love team🇰🇪🇰🇪🇰🇪+254
Kang'ethe G 😂😂😂 ua-cam.com/video/lNEpj55x2o8/v-deo.html
Kama umesikia dua kuhusu yamoto irundi jamani munipe like
Ni leo najua kuhusu singeli. Gives an African feeling of music. Kazi safi, Watching from +254 🇰🇪
Diamond amtibie ruge waishi kama zamni
Uyu jamaaa anagusa mahali nzuri nzuri Sana aky point taken
Makabila iwe fundi
Nakupa cheo rasmi we ndio mfalme Wa singeli huna mpinzani
Mmmmh hii kalii nilikua sipendi singili ila kwa hi nyimbo kuanzia leo napenda singeri nzuri sana.team dulla makabila tupooooooo
Mie sio shabiko wa singeli ila bro nimekuelewa kichizi this my favourite song ya singeli much love from Dubai
Hata Mimi huwa siamin kwenye singel lkn hii ya Dua iko powa
@@samanyaswai6272 sana walai
Dulla
Yani hunishind mm
Bro uko vizuri
Nakukubali makabila na mm dua yangu kwako ufike kimtaifa zaid🤲🏾🤲🏾🤲🏾🤲🏾🤲🏾
Ngoma imetoka siku ya kuzaliwa mie ko lazima niipendeeee #Dua niishi miaka mingiii
Wow wow muziki mtamuuu ❤️❤️❤️💕💜❤️👍🏿👋🏾👏🏾the area should be mombasa majengo greetings frm Switzerland 🇨🇭 nanime subscribed 💜
Like king'orani ..msa
For de first time naanza kuelewa singeli kupitia hii hit song I salute you dullah
All the way from 🇰🇪🇰🇪 napenda vitu natural tamu kama hizi
Mimi pika Stephen toka Kenya, namkubali kaka
nikajua nimekuwa wakwaza maana sijalala kumsikiliza mnyaaa safi sana king wa singeliiii
alie furahia hii ngoma jua tuko pmj
👍👍
@@dullahcharles3814 [ uu
@@wizzymartial3478 ..
SL_ezzN...
aiiih as a kenyan this gene of music naikubali sana..... dulamakabila yo great
NAIC makabilla Kenya nakuelewa
Kama unamkubar dula makabila gonga like apa
harima
Yuko Good
martial media gd
Uko vzr dula
Mashairi yenye funzo, hongera Dula Makabila
Kama umemuona Mack zube kamaindi mshikaji wake dulla makabila kupondwa gonga like twende sawa
@@farajijuma9204 alie mpigia simu makabila kua hatoi ngoma
Bonge la Dua ila Apo kwa Mondi na Ruge too late so emotional 😭😭😭😭😭
Hii nyimbo ya kitambo before
@@Cyper255 Audio ilikua ya kitambo ila video ni new
Nakuelewa makabila 🔥 🔥 🔥, ila hii umefeli mana unachelewa kutoa video tatizo lako, Ngoma ilishakiki kitambo ila sasa ni used iyo, Mana Ruge washamzika kitambo
makabila mwamba nimekubali hii kazi balaaaaaaaaaa salute kwako DUA ISHAPKELEWA MWAMBA kimbizaaaaaaaaaaaa
Much love for you makabila love from America ❤️❤️🌹
Noma sana hii dua
ila diamond akuwai kumsamehe ruge
Dahh kumbe singeli high quality. Pure entertainment. This music ni icon ya tz.
Astaghifillulah mtoto wa kislam Allah atuongoze
Ngoma nliielewa since day one, ww nd king wa singeli na sio yule mtt wa nje ya ndoa, yule hamuwezi ata S.kide..
Nan mtt wa nje ya ndoa huyoo
Kumbe waimba singeli wanakuaga na akili nzuri muda mwngne
Yuko vizur
🤣🤣🤣🤣
😂😂😂
😁😁
😳
Huu ndo mziki wako mshkaji unaujua sana bwege wew
Saf
#makabila
kinanda kimekaaaaaaa🔊🔉🎸🎺🎼🎶🎹🎻🎧🎤🎵🎵🎵
Good singeli dulla makabilla👏 🇹🇿
dua song kali sana aseee bless you broo
NAKUELEWA SANAAA DULLAH
Dull mie
Napenda uhu wimbo
😇😊all your songs are fire 😇😇i love it
Nimeikubali hii ngoma ni 🔥🔥🔥🔥🔥
Hatariiiii faya hapo nishapiga henken zangu miuno tuuu yauzaziii
One love from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Toka 254 apa dulla mwanangu nakukubalii👊👊
Bonge la singel wapi like za watu wa uswahilini
Ivi munaifanyia mchezo kabisa mungu anaombwa hivo mungu ukimuomba unatakiwa uwepo sirias Tena uwombe kwa kunyenyekea,leo unaomba na mziki kha!!!! Cjawahi ona wallah
mwanale leo ndio tayari umeshaona sasa
Inawezekana umezoea kuishi kwa mazoea
singel siipendagi ila jamaa na wimbo huu umenishangaza kwel unafanya music watu tumeanza kuuelewa big uppp
Uko vizur nakupendaga Sana dulla unajua unachokifanya
nani kasikia kama mm 4:50 maji tunauziwa kondomu tunapewa bure😂😂😂 hizo singeri ndo tunazotaka sasa 🔥🔥
Kwa sichoki ngoma zako yaani mda wote mm na makabila😄mzee baba unatisha Sana
Km wote tumekubali hii ngoma like kwake
Kwenye level ya singel wajna dullah respect
🇲🇿🇲🇿 hii ngoma noma sana hinatanba Mozambique
Kama na ww ubekubal ngoma Kali njo
hapa I like
Mombasa Kenya huku, tunamkubali sana mwana huyu, yani yuko vizuri sana maashallah.
Wakiinama unatamani maji ya kisima, wakiinuka unatetemeka mwilimzima mabaharia oyooooo
Much love from India your amazing balaa gonga like hapa my people
Kwa kawaida singel ni ngoma ilio changamka.sio ngoma za huzun.huu wimbo umeunyima mzik,tena mziki wake umetengenezwa kwa kiwango cha chin sana.ckiliza mzki kama wa kwenye wimbo wa miss buza, kabila lake,au hatuwez kwenda na ww hujaulamba.
Ngoma kali #dullamakabila hii ngoma huwa naielewa sana kwenye singeli
Dua limfikie cteve nyerere ommy apone na atoe hit song khaaa dua lmefkaaaa kaumbuka kwel
😀😀😀dunia inamambo hta Mama mjamzito anatapika miaka 4 analia kila kitu dua amiyn
Jïtu la mtumba meno ya duka!!!!? #Boy from #Code 042**"
Mwanang ww hatareee
Ubunifu wako unazunguka kwenye maisha ya wasanii especially wcb... Huo ni upungufu
Hili lijamaa linajua sana🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Napenda sana singer mm dahaaaaa natamani niungane nanyie kwenye kucheza too
Jaman 2021 bado nipo naipenda saaana
Duh ngoma tamu Sana👏👏👏👏
nasema nan mwenye kamera anipige maphoto nan mwenye kamera achukue video...
..tetema mwili mzima
Hongera makabila nyimbo nzuri
Umeimba vizuri wimbo lakni wimbo umeharibika pale ulipo muimba Roma Atekwe Tena ungekua karibu yangu nahisi ninhekutoa shingo mbwa wewe
Ninyimbo tu broo
Dulla nmekubali mwanangu singeli wewe ndo king apa Kenya
Amina...dulla upo juu
Akinama unataka maji ya kisima akihinuka watetemeka mwili mzima
Brz nakubali ebu nawe pita huku...
Ngoma kali ila imechelewa kutoka hadi matukio mengi yaliyozungumzwa yameshapinduka,mfano ruge kutibiwa,omy kupona,mwarabu kupona etc
aiseeeeee maajabu do go uko vzr sana fanya kaz kaz
Ndio eee king of singeli
Daah dula noma dua limepenya kwa mwarabu kigoma tuko naee
Dulaa nakukubali mwanangu.
Jamaa noma,ameumiza kichwa
Nampenda uyu Dulla Makabila yangu yote♥️
love you so much dulla❤️❤️❤️❤️❤️
Bonge la nyimbo mwana yanga dulla makabila big up
Hatari sana kweri dua
Yan nimeisikia hii nyimbo jana wcb kwenye part ya ww na queen nimeitafuta leo tngu asbh ngoma kali sana hii
Mais força irmao dulla
Dulla nakukubali naninaniii moto
Dua ndiokira kitu katika safar yamwanadam
Still watching march 8,2020
Nakubal muhuni wng rabby takabali dua aamina
Hii ngoma hainichoshi kabisa iko 🔥🔥🔥
MAMA mjanzitoo anatapikaa hahaaa
Me wakwanza itikia dua...
Congratulations keep it up good job 🎉❤❤❤
Kuanzia leo nimeruhusu BANGI ivutwe hadharani
Hahahahaaa
Anasura ya mama ake ndo mana mekup imempendeza
2021 bdo tunaishi nayo
Dullah mtoto wa makabila bonge la chupa umetisha mzazi
Acha kuatajina la mungu ktk ujinga wako puuz ww
Aamina nakubali dullamakabila dua love sana kutoka254 paamoja sana
Nakubari dura uko good san
Jitu LA mtumba mbele ya duka kama umepaskia hapo niunge mkono
Nakukubali mzee baba