🔴

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025
  • Siku kadhaa baada ya kutokea kifo cha mapacha Alif Athuman Ally (Kulwa) na Khalifa Athuman Ally (Doto) kwa madai ya kunyweshwa sumu na mwanamke mmoja maeneo ya Yombo vituka wakiwa kwenye dua, Kaka wa marehemu hao Alli Athuman Dilunga amesema familia imesikitishwa na kitendo hicho huku wakivitaka vyombo vya haki kutoa adhabu kali kwa aliyehusika na tukio hilo

КОМЕНТАРІ •

  • @ashirafshemdoe2615
    @ashirafshemdoe2615 2 роки тому +11

    Respect kaka wa marehemu unajua sana kujieleza mungu awaweke mahara pema peponi marehemu🙏

  • @marrionwatima797
    @marrionwatima797 2 роки тому +4

    This can narrate a story so well, mwenyezi Mungu awape nguvu Familia nzima pole sana.

  • @ZaiKigwinya
    @ZaiKigwinya 11 місяців тому

    Mwenyez mungu pekee ndo anajua chanza Cha kifo Cha hao mapacha,mungu awape kauli njema ishallah

  • @mozasalim7954
    @mozasalim7954 2 роки тому +10

    Inna lillah waina ilayhi rajiuun. Poleni sana Allah awape nguvu . Ameen

  • @Jamalkishangu
    @Jamalkishangu 2 роки тому +12

    Mwenyezi Mungu awarehemu vijana hao inshallah.

  • @magretsamba5002
    @magretsamba5002 2 роки тому +3

    Poleni sana ndugu...Niuchungu sana kupoteza wapendwa wenu..vijana wadogo sana walikuwa na malengo Yao mazuri

  • @rehemaismail270
    @rehemaismail270 2 роки тому +9

    Inasikitisha sana 😭😭😭 watoto wa 2000 dah! Umri wangu kabisaa. Mungu awape kauli thabit

  • @fatumakassim3793
    @fatumakassim3793 2 роки тому

    Poleni Sana,,tukio Kama hili lilitutokea mwaka Jana,,,mapacha wa Kaka angu ,,tulimpoteza kulwa doto aliokolewa kwa uwezo wa mungu ,,,inauma Sana, jamani,,wapumzike kwa amani

  • @glorydaniel6549
    @glorydaniel6549 2 роки тому +10

    Imeniuma sana jamanii😭😭daaaah!!!Mungu awatie nguvu Familia😭😭😭😭😭😭

  • @emmykingobi3711
    @emmykingobi3711 2 роки тому +1

    Nina mapacha najuwa uchungu wake unaumaje sanaaa 😭😭😭😭 nimelia sanaaa Eeewe mwenyezi MUNGU wasamehe watoto wangu Firdausi iwe makazi yao wanangu mlale mahara pema peponi wapendwa ALLAH atawalipia kwa hili Amiin

  • @mwajumaabdallah281
    @mwajumaabdallah281 2 роки тому

    Duuuuuuh? Poleni sana wanafamilia mungu azilazee rohi za pacha hao mahali pema peponi amiiiina

  • @ruzatuntajadin1274
    @ruzatuntajadin1274 Рік тому

    Inna lilahi wa Inna illahi Rajiun Allah awape Jannatul Firdous inshallah poleni sana mimi naanza ona looo maskitiko naskia mam yao na nddugu baba Allah awape subra

  • @ummiissaabdulissaabdul8117
    @ummiissaabdulissaabdul8117 2 роки тому +1

    inalilah wainalilah rajiun poleni sana wazazi wenzangu kaka wa marehem na familia yote asikwambie kitu kupoteza mapacha ni msiba mkubwa uyu mama mungu ampe subra

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement2534 2 роки тому +2

    Pole sana kakapia poleni wote wafiwa subra tu kwa kipind hicho kigumu.

  • @neemambwambo2102
    @neemambwambo2102 2 роки тому +1

    NAMSHUKURU MUNGU KWA NEEMA HII YAKUMWAMINI YESU KRISTO.

  • @rosatrf6693
    @rosatrf6693 2 роки тому +2

    Inalilah wainailaihi rajiun Mungu awalaze Pema pepon inxhaallah imeniguxa xna nakufikia kutoka choz it's heart ugueni pole familia Mungu atawapa adabu wote waliowahusu vijana hao 🤲🤲🤲🤲🤲🤲😭😭😭😭😭

  • @sumayyahally866
    @sumayyahally866 2 роки тому

    Innarinllah wainairehi rajiuni wallah nimeumia sana hiki kifo wallah sina hata nguvu hapa nilipo ninavyopenda mapacha imenigusa sijui mm mzazi kaumia vipi pole mm angu yaraabi watie nguvu family hii pole brother umepigania sana wadogo zako Allah akulipe but haikua lidhiki tena pumziken kulwa and doto

  • @khadijaabdallahabdillah2800
    @khadijaabdallahabdillah2800 2 роки тому +1

    Yaarabbi wasamehe wajawako Hawa wawili wajaalie pepo ya jannatu firdaus inshaallaah poleni wana familia Allah awape subra na imani juu ya mtihani huu mkubwa😭😭😭

  • @ummiissaabdulissaabdul8117
    @ummiissaabdulissaabdul8117 2 роки тому

    uyu mama achukuliwe hatua ya hali ya juu wallah ata kunyogwa ikiwa amepoteza maisha ya hawa watoto mungu amuadhibu mana uchungu wake ausahauliki poleni sana kaka ww ni mfano bora

  • @jokhasimba586
    @jokhasimba586 2 роки тому +2

    Poleni jmani wafiwa.wote ila mungewapa maziwa hao.hyo sumu ingefanya kzi ingetoka

  • @mwanahamisishabani9541
    @mwanahamisishabani9541 2 роки тому

    Poleni sana Allah awape subra wafiwa,na Allah atamlipa kwa alichofanya

  • @amockkalinga1520
    @amockkalinga1520 2 роки тому +7

    Pole Sana kaka,pia poleni wazazi na family yote kwa ujumla💔😭

  • @naomikatharinaandrewmnkai6760
    @naomikatharinaandrewmnkai6760 2 роки тому +3

    Jamani polen Sana Ila laight Kama mngejua kwamba YESU anaweza yote hao watoto wasingekufa ! Ah it's so painful 😭😭Hiyo ni hila ya shetani

    • @mwajumaissa2358
      @mwajumaissa2358 2 роки тому

      Mmmh

    • @hauramusa7061
      @hauramusa7061 2 роки тому

      Yesu ndio nani ikiwa yeye mwenyewe amekufa yaani bado tu hujiongezi yaani huyo unaemtegemea kafa dunia imaogozwa nanani wacha uswahili tambua mungu 1 hajazaa wala hajazaliwa na akipanga lolote liwe huwa yesu yesu yesu ndio nani sasa huyo binadam kama wewe sema tu alitumwa na mungu duniani ila sio umeambiwa umuabudu

    • @zanifaidrisa4241
      @zanifaidrisa4241 2 роки тому

      Kwa hiyo wewe hutakufa?

  • @jeniphafidel7858
    @jeniphafidel7858 2 роки тому

    Poleni xn mungu ni mwema wakati wote

  • @محمدالقايد-د6ب
    @محمدالقايد-د6ب 2 роки тому

    Poleni wafiwa Mungu awatie nguvu kazi ya Mungu haina makosa tukubali

  • @mizemwamba3540
    @mizemwamba3540 2 роки тому

    Dah poleni sana ndugu zangu wafiwa Mungu amewapenda zaidi

  • @marymanyika3317
    @marymanyika3317 2 роки тому

    Hiiii story imeniuma sana mpka kulia na wauguzi wote walioowahudumia mwenyez mungu awalinde ila hawa mapacha mungu awapokee😓😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid9765 2 роки тому +8

    Jamani mbona Tanzania mauwaji mengi Allah awahifadhi wenzetu

  • @aishanamkono6362
    @aishanamkono6362 2 роки тому

    Poleni Sana mungu awatie nguvu Ila mtangazaji ujui kuhoji

  • @pumbaolanafsi3557
    @pumbaolanafsi3557 2 роки тому +3

    Allahu akbar
    إنا لله وإنا إليه راجعون اللهم اغفر لهما وارحمهما واسكنهما مكانا فى الجنة

  • @RtyRty-oq1yh
    @RtyRty-oq1yh 2 роки тому +1

    Poleni sana ndgu zetu inauma sana .

  • @zeyshingsponsor8945
    @zeyshingsponsor8945 2 роки тому

    Innalliallhi wainailayhi rajiun,mungu atawalioa inshallah na. Huyo bbi mungu atamlipa kwa alilifanya

  • @jamesjuma4779
    @jamesjuma4779 2 роки тому

    Pole rafikiyangu

  • @meshackpendo3089
    @meshackpendo3089 2 роки тому

    Pole sana ndugu na jamaa mungu awatie nguvu

  • @yusrasalum
    @yusrasalum 2 роки тому

    Mtihani sana Allah awape pepo njema amin poleni sana inaumiza mno

  • @ibrahimmagere5545
    @ibrahimmagere5545 2 роки тому +1

    Pole sana ndg inaumiza sana,

  • @rafikially8043
    @rafikially8043 2 роки тому

    Poleni kiukweli mungu akawe mfariji wenu kipind hiki kigumu

  • @reginaandrew6891
    @reginaandrew6891 2 роки тому

    Poleni sana jamani. Mungu awape uvumilivu na nguvu katika kipindi hiki kigumu

  • @pialashayo4519
    @pialashayo4519 2 роки тому +3

    Inauma sana Mungu awasimamie na kuwatia nguvu wanafamilia

  • @ashakassm8769
    @ashakassm8769 2 роки тому

    Allah ashukuriwa ampe mama na baba ujira mkubwa kwa subrayao na marehemu Allah awalipe malipo yao ya kudhulumiwa awasafishe kama walipokuja katika hii duniya wakiwa safi warudi wa kiwa safi na huyomama na huyo. Rafiki isijekuwa choyo...kimimshika ndiyo.kapanga na huyomama awadhulumu uhai wao..kwa tamaa ya kupewa chochote

  • @yasminjuma9146
    @yasminjuma9146 2 роки тому

    Poleni sana SubhanaAllah inasikitisha sana Allah awarehemu. Amin

  • @mossimakamba8095
    @mossimakamba8095 2 роки тому

    Alhamdulillah,inauma Sana, Allah awape subra wafiwa wote 🤲😭😭😭

  • @mwanaidithabiti3731
    @mwanaidithabiti3731 2 роки тому +2

    Moyo moyo wangu umeuma nimeumia sijaweza kula siku amboyo nimeona ilitukio humu mtandaoni moyo wangu umeuma sana😭😭😭😭😭hakika mungu atatenda 😭😭😭😭😭😭

  • @شريفهالصقري
    @شريفهالصقري 2 роки тому

    Tunawaombeya wazazi na ndugu zao subra inshallah wamezulumiwa lakini tusisahawu ndio walivyo andikiwa alhamdulilah mshukuru yote qadara

  • @chamritaabdul1592
    @chamritaabdul1592 2 роки тому +7

    Allah awarehemu yarby uko waliko.Awaondolee adhabu ya kabur

  • @eunicemafusa5217
    @eunicemafusa5217 2 роки тому

    Poleni Sana.... Mungu awatie nguvu

  • @agnesmbemba8073
    @agnesmbemba8073 2 роки тому

    Pole sana bro.Mungu awe faraja kwenu.

  • @lakiabalozi5633
    @lakiabalozi5633 2 роки тому

    Poleni nyoooote mlioguswa na msiba wa mapacha hao duuh inauma,,, sasa dua ilisomwaje hadi watoto wafe eeh

  • @ashuramakuka7896
    @ashuramakuka7896 2 роки тому

    Pole sana

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement2534 2 роки тому +2

    Innalillah wainna ilaih rajiun..ya ALLAH AKBAR wape jannat nagheem

  • @ninabintizion1411
    @ninabintizion1411 2 роки тому

    Mwenyezi Mungu awape nguvu na afarifji muda Huu mgumu

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement2534 2 роки тому +1

    Innalillah wainna ilaih rajiun ALLAH AKBAR awafanyie wepes wafiwa jamani inaumiza saana mwenyezimungu muumba ardhi na mbingu awaongoze. Subra

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 2 роки тому +2

    Nimempenda huyu kijana kwa ujumla hii familila iko vizur

  • @amnahskitchen317
    @amnahskitchen317 2 роки тому

    Allah awapeni subra INSHAALLAH

  • @happydoto1823
    @happydoto1823 2 роки тому

    Poleni xana familiy ya mapacha hao

  • @mwajumawadesisi2896
    @mwajumawadesisi2896 2 роки тому +1

    inauma sana ,poleni sana

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed6263 2 роки тому +6

    Ichekiwe sim ya ndugu yk
    Na meseji zote rfk alowalekeza na sim ya mama mganga

  • @luizabahati5198
    @luizabahati5198 2 роки тому +1

    Daah..inasikitisha sana
    Huyo rafiki yao nae ni wa kuisaidia upelelezi..hata kama alipigiwa simu lakini lazima tupate maelezo ya kujitosheleza kutoka kwake pia. Ukweli ujulikane na iwe funzo kwa jamii.Poleni sana wanafamilia

  • @hildadaniel4892
    @hildadaniel4892 2 роки тому

    Dah mmeondoka wote kama mlivozaliwa Mungu awapoke

  • @shi5a_
    @shi5a_ 2 роки тому

    Poleni sana wafiwa m mungu awarehem awalaze pema peponi amiin

  • @auleriahumbi3976
    @auleriahumbi3976 2 роки тому +1

    Poleni sana

  • @liliansindiyo1214
    @liliansindiyo1214 2 роки тому

    Mmmmmh!!! Jamaniiiiiiii poleni Sana wanafamilia, poleni Sana Kaka mkubwa. Mungu akutie nguvu.

  • @irenembura8045
    @irenembura8045 2 роки тому +1

    Poleni saana!!

  • @aminababu6441
    @aminababu6441 2 роки тому +2

    Mimi ni mzazi jamani mbna imenigusa na ni mmi Mkenya but Allah Kareem na Atawalipia ikiwa walidhulumiwa
    sina ziada ila nawapa pole familia iliyokumbwa na msiba
    😪😔😪😔🙏

  • @maessadakil1383
    @maessadakil1383 2 роки тому

    Daaa inauma sana mungu hawape ujasiri family iliyo filiwa 😭😭😭 Pole sana

  • @deuselizeo9694
    @deuselizeo9694 2 роки тому +1

    Poleni sana.bro

  • @fadhilisamson9380
    @fadhilisamson9380 2 роки тому

    Pole sana mama kwa mcba mungu awaweke mahalo pema peponi

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 2 роки тому +6

    Pole Sana..Ila ulishindwa kufanya Jambo na uzembe wako pengine ulisababisha hivyo vifo.
    mdogo amekupigia simu hali mbaya badala ya kusema waende hospitali unapanda daladala ..umefika unawakutabwako hoi badala ya kuwai hospitali mnasoma dua.
    Ungearakisha yasingetokea hayo. Ila kinachoonekana hao wadogo zako walikwenda kwa mganga na kupewa dawa ya kunywa kama sentensi yako ya mwisho inavyosema

    • @ledynanciajuma6390
      @ledynanciajuma6390 2 роки тому +3

      Usipende kuhukumu ndugu yang alilolipanga mungu mwanadamu hata afanyaje

    • @ayushjhay4361
      @ayushjhay4361 2 роки тому

      Mungu akipanga lake Alina makosa hos ndio NN kama mungu amekuitaji utaenda utaenda tu.ilikua sababu iyo

    • @dianacharles5105
      @dianacharles5105 2 роки тому

      Huyo mama angetaka kutoroka angetolojka mapema mno achen kulaum watu juwen Mambo ya rohon kwanza muombe mungu akupe ufaham wa kiroho aisee uta enjoy mno

    • @mbwanakiting7180
      @mbwanakiting7180 2 роки тому

      @@ledynanciajuma6390 mbona wamemkamata huyo mama so wangemuacha Kama mungu kapanga

    • @jamilakidirya5532
      @jamilakidirya5532 2 роки тому

      Kua na Iman ndugu yangu itakusaidia sana... Amin qadar za muumba wako

  • @magejuliani5293
    @magejuliani5293 2 роки тому +17

    Wapumzike kwa amani! Ila tumepata mafunzo! Watoto wadogo wasiende kwenye matibabu ya stahili hiyo bila mzazi/mlezi au mtu yoyote mkubwa kwao kufanya utafiti! Dunia imebadilika

    • @noxlosingida2369
      @noxlosingida2369 2 роки тому

      Ila hata hivyo hao sio watoto ni vijana wenye umri wa miaka 22 kuna wengine wameoa na kuolewa kwa huo umri .R I P vijana wetu

    • @birusidesmond3245
      @birusidesmond3245 2 роки тому +1

      Lipangwalo na mungu halipanguliki

  • @mariyamrashid2530
    @mariyamrashid2530 2 роки тому +3

    Uyo ni mdudu aliwakalia hilitakiwa mashee wengi awasomee lakini uyo mama alikua ana nguvu

  • @enjoomaliya1399
    @enjoomaliya1399 2 роки тому

    Poleni xn wafiwa jamaniii.

  • @hamisimajjidi5039
    @hamisimajjidi5039 2 роки тому

    Poleni sana kwa kweli inauma sana

  • @tausihamis1799
    @tausihamis1799 2 роки тому

    Subuhan llah.

  • @zwakazi6399
    @zwakazi6399 2 роки тому

    Poleni sana tena sana

  • @buru1235
    @buru1235 2 роки тому

    😭😭😭😭 poleni sana Kwa family Mungu awatia nguvu may hr rest in peace

  • @christianmwasakogo5579
    @christianmwasakogo5579 2 роки тому +4

    Vitu vya kunywa kunywa kwa madai eti dua au maombezi awamu hii vikomeshwe,unakuta mtu ananywesha watu mafuta au maji je usalama wa vitu hivyo umehakikiwa na nani? Kwani ili mtu apone ni lazima umyweshe hivyo vifaa vya kiroho? Mambo ya kusema kila mtu imani yake huku watu wakinyweshwa sumu!! Vyombo vya usalama viangalie jambo hili kwa umakini!!

  • @aderna2093
    @aderna2093 2 роки тому

    Pore.sana.mungu.awapokee.nbigun

  • @evalineamady6810
    @evalineamady6810 2 роки тому +1

    Poleni Sana jamani wanadamu sio watu

  • @rzekiomari2333
    @rzekiomari2333 2 роки тому

    Imeniuma sana poleni

  • @evamartin962
    @evamartin962 2 роки тому

    Mungu azilaze roho zao mahali pema peponi.

  • @wm9669
    @wm9669 2 роки тому +2

    Mwanamke kumsomea dua wanaume na kuwagusa sio halali
    Dua ni quran na kutumia njia ya sunnah
    Labda yule mama mganga

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr 2 роки тому

      Kwenye kutibu hakuna uharamu

    • @wm9669
      @wm9669 2 роки тому

      @@NR-ll4sr tibu pia ina sharia zake. Uislamu imekamilika. Kila kazi ina nadhamu yake.

  • @christinramanda4540
    @christinramanda4540 2 роки тому

    Pole kaka mungu awarehemu

  • @listerkasungwe2837
    @listerkasungwe2837 2 роки тому +1

    Polen xana ndugu wa malehem

  • @ninabintizion1411
    @ninabintizion1411 2 роки тому +1

    Hawa watoto kuna jambo. Nimeumia sana.

  • @jokhasimba586
    @jokhasimba586 2 роки тому +1

    Ila poleni alLaah atawafanyia wepesi awspe kauli thabit

  • @aishamatenga4877
    @aishamatenga4877 2 роки тому

    Poleni sana ndugu zangu

  • @shurlaally1686
    @shurlaally1686 2 роки тому +1

    Subbhana Allah innalillahi wainna illaihi rajiun

  • @zalhazalha3754
    @zalhazalha3754 2 роки тому +3

    Inalilah wainalilah rajuhuna

  • @aminababu6441
    @aminababu6441 2 роки тому +1

    INNAH LILLAH Wa INNA ILLAHI RAJOON Allah Kareem

  • @saadamusa8901
    @saadamusa8901 2 роки тому +1

    Pole sana kaka

  • @happyshirima9191
    @happyshirima9191 2 роки тому

    Poleee jmni daah

  • @evelynlehnard3928
    @evelynlehnard3928 2 роки тому +2

    Huyo Mama amewafanya misukule aambiwe awatoe walipo.

  • @aminasuleiman8120
    @aminasuleiman8120 2 роки тому +1

    Inaalilah wannaaa ilaiii rajiuun pole sana jamanii

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 2 роки тому +1

    POLENI SANA SANA,HAKI ZAO ZITAPATIKANA..HUYU MAMA AJIELEZE VZR,NA KUKAPIMWE HARAKA KULE WALIKOKUWA

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid9765 2 роки тому +1

    Allah awarehemu awape kauli thabit poleni sana

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 2 роки тому +2

    Mama wewe uliwapa nini jamaniii daah tumeumia nini uliwapa ,RIP wadogo zetu

  • @rabilubinza7661
    @rabilubinza7661 2 роки тому

    Ooo jamani poleni sana familia inaumiza sana

  • @ngusuhivitalis3803
    @ngusuhivitalis3803 2 роки тому +1

    Polen sana

  • @zenapetro3577
    @zenapetro3577 2 роки тому

    Poleni san

  • @mwanjaarashidi7402
    @mwanjaarashidi7402 2 роки тому

    Poleni sana familia inauma sana