Pemba ndio ngome kuu ya siasa za tanzanian tangu hapo enzi,ila bila ya mamlaka kamili hututokubali kamwe kwa utawala huu wa mauwaji na mabavu ya ccm n,goooo
Watanzania wengi wanafahamu kuwa wapemba ndiwo watu waliokoma kisiasa sio wajinga watu wameenda shule long time na ndiyo watu walioeneza siasa tanzania mzima
Tunamuomba Allah atusaidie atuletee haki zetu za wazanzibar ili tuwe na mamlaka kamili.. aamiin yaa Rabb Al a'alamiin
Safi sana wazee wetu ujumbe tumeupata
Pemba ndio ngome kuu ya siasa za tanzanian tangu hapo enzi,ila bila ya mamlaka kamili hututokubali kamwe kwa utawala huu wa mauwaji na mabavu ya ccm n,goooo
ngangar ngari pale pale
Allahumma Aamiin
Mashallwah. Mamaangu. Bigp. Sna
ohh..my sweet home..O ALLAH forgive me and my sweet home
Musikate tamaa mama zetu,cc tupo ngangari tunapambana
Munauwa tu hamubakishi hata mdudumuko ngan gaari sana mpaka mubaki pekeenu wababe waduniya
Watanzania wengi wanafahamu kuwa wapemba ndiwo watu waliokoma kisiasa sio wajinga watu wameenda shule long time na ndiyo watu walioeneza siasa tanzania mzima
Tunawatakia kila la kheir waasisi wa upinzani katika kisiwa Cha Pemba, hongera ACT, Taifa la wote MASLAHI YA WOTE,MAMLAKA KAMILI
ua-cam.com/video/mZx6b65szD8/v-deo.htmlsi=_ApbJ5PiMGEfExP4