Hawajui mpira....mpira wamejifunzia dstv na mitandao...miaka huyo Edo anaibuka mtandao tegemewa wa kujifunzia mpira ni soccernet na ESPN. Wakisoma mule wakija wakaongea kwa TV wanaonekana wataalamu ilhali ni janja janja tu! At least wangekuwa wamecheza mpira top level au hata kufanya basic coaching courses wangetambua quality ya Yanga.
Parade ya msim huu itaanzia nyumbani kwa Ahmed Ally
Hawa hawa ndio walisema yanga wanaiyona ya 3 msimu huu hohohoho shida wanachambua kwa mtazamo na sio uhalisia
Oscar Oscar ndio aliyesema sio wote...na just was a joke
Oscar Oscar ndo alisema hayoooo 😂😂😂
Wameshushuka wanaona aibu sana
Jaman tuwazoee t hawa wachambuzi wetu wa mchongo wamekuwa km kimbunga cha hidaya maji kujaa majikupwa leo wanaongea utashi wso so tuwazoee t jaman
Pole wachambuzi hii ndo Yanga
Wanaumia sana hawa wachambuzi wa mchongi
Povu linawatoka wamongoli sasa 🎉🎉🎉
Ha haaaaaaaaaaaaaaa, Yanga bingwaaaa
Kumbukeni uliwabeza yanga
Uyo oska aliosemaaa kuwa yanga itamaliza nafasi ya. Tatu bado wanasema oska aibu
kwa namna yanga ilivyokua msimu huu ukifunguka lazima ufungwe tu hamna timu yenye quality ya yanga kwenye lig
Matako yenu tu machawa wa utopolo
Hawa hawa ndio walisema yanga wanaiyona ya 3 msimu huu hohohoho shida wanachambua kwa mtazamo na sio uhalisia
Baba levo ndio alipatia 😅😅
Hawajui mpira....mpira wamejifunzia dstv na mitandao...miaka huyo Edo anaibuka mtandao tegemewa wa kujifunzia mpira ni soccernet na ESPN. Wakisoma mule wakija wakaongea kwa TV wanaonekana wataalamu ilhali ni janja janja tu!
At least wangekuwa wamecheza mpira top level au hata kufanya basic coaching courses wangetambua quality ya Yanga.