BARNABA AMJIBU MAMA MKWE/NAOA MKE WA PILI/RAYA AMEONDOKA AMENIBLOCK /KUPIGA PICHA NA YAMMY/SITAACHA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025
  • BARNABA AMJIBU MAMA MKWE/NAOA MKE WA PILI/RAYA AMEONDOKA AMENIBLOCK /KUPIGA PICHA NA YEMMY/SITAACHABARNABA AMJIBU MAMA MKWE/NAOA MKE WA PILI/RAYA AMEONDOKA AMENIBLOCK KILA SEHEMU/SITAACHA SANAA YANGUMAMA KIMBO AMPA ONYO BARNABA/AFUTE PICHA ZOTE ALIZOPIGA NA YEMMY ALIVOVAA UTUPU #MAMAKIMBO #BARNABA #yemmi #gigymoney #BARNABA #YAMMY

КОМЕНТАРІ • 263

  • @Zazafilms-257
    @Zazafilms-257 9 місяців тому +24

    Navyo mpendaga Barnab jmn❤❤🎉🎉 nakutakiy maisha marefuu🎉🎉🎉❤❤❤

  • @ZainabuJuma-qj5cj
    @ZainabuJuma-qj5cj 9 місяців тому +21

    Barnaba ana busara sana MUNGU AKULINDE

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 9 місяців тому +39

    Baranba nampendaga Toka nijui nyimbo zke.Anasauti nzuri anajua kuimba nyimbo zke Kiukweli hziboi

    • @emmanuelpaul5704
      @emmanuelpaul5704 9 місяців тому

      Ni kweli ila dem wake akimsikikiza atapotea kwenye muziki huyu

  • @stellahmsigwa6493
    @stellahmsigwa6493 9 місяців тому +13

    Barnaba mimi kama shabiki yako hujakosea popote iyo ni kazi na kazi iendelee❤❤❤

  • @hawababy120
    @hawababy120 9 місяців тому +15

    Barnaba wakuache bhana hio nikazi yako chapa kazi 👌👌🔥

  • @zuleikhaahmed7220
    @zuleikhaahmed7220 9 місяців тому +7

    The song is beautiful well keep it up!!💯💯💯👍

  • @LoyceLoyceMwainyekule
    @LoyceLoyceMwainyekule 9 місяців тому +4

    Umeonngea vizuri omba msamaha tu, picha sio nzuri.

  • @emmanueltongora4697
    @emmanueltongora4697 9 місяців тому +19

    Umeongea vizuri sana, nazani mwenye kuelewa atakuelewa

    • @EmileLugendo
      @EmileLugendo 9 місяців тому

      Anajielewa huyu kaka

    • @EmileLugendo
      @EmileLugendo 9 місяців тому +1

      Ss huyo dada aliolewa alijua anaolewa na mfanyabiashara au na msanii, vitu vngn lawama na kumuandama tyu mtt wa watu......km anajielewa ataacha kusikiliza maneno ya watu sababu mume wake ni msanii tn anamiaka mingi mnoo

  • @marryeliasmarryelias9289
    @marryeliasmarryelias9289 9 місяців тому +3

    Picha Kali sana kaka fanya kazi na nyimbo Iko Bomba sana👍

  • @liljammacha7806
    @liljammacha7806 9 місяців тому +31

    Hongera sana muziki ndio maisha yako huyo asiyekutakia mema achana nayee

  • @HusnaSalum-p1q
    @HusnaSalum-p1q 9 місяців тому +10

    Uko vizuri Sana kwa majibu yako 🎉🎉🎉

  • @israeluronu9958
    @israeluronu9958 9 місяців тому +40

    Inawezekana Barnaba alikua kazinituu!! Ila kulingana na mke anavyomhukumu ikampelekea kufanya Kweli!! Kwauelewa wangu mdogo mume anaeza kufanya kosa kubwa na ukakaanae chini ukaongea nae kwa hekima yakaishia nyumbani. Kwa mtu anayetaka kujenga nyumba yake lazima busara ikuongoze!!! Ndoa ni nzito ndoa ni ngumu ndoa ni mzigo!! Sasa ww shetani anakujaribu kidogotu ivyo unataka talaka, ukiamua kuwa mke kuwa mke kweli usiyumbishwe na mitandao, mke ni mama, mke ni mlinzi wa familia yake, mke nimwalimu wa familia yake. Ugomvi wa mapenzi humalizwa kwa mapenzi sio chuki utampoteza mumeo bure.

    • @nakshinaksh3373
      @nakshinaksh3373 9 місяців тому +6

      Maneno ya busara kabisa Mungu akuongoze inshallah

    • @fatihiyadossa375
      @fatihiyadossa375 9 місяців тому +1

      Nimejifunza ktu kikubwa sana kupitia kwako israeluronu ubarikiwe

    • @israeluronu9958
      @israeluronu9958 9 місяців тому +1

      @@fatihiyadossa375 Amina tubarikiwe sote

    • @NancyHabib-xo8kc
      @NancyHabib-xo8kc 9 місяців тому +1

      Dah ubarikiw san uko nabusar san kiukweli nimejifunza kitu

    • @lembrissailepu7909
      @lembrissailepu7909 8 місяців тому

  • @niwaelally1579
    @niwaelally1579 9 місяців тому +2

    Safi sana barnaba usikubali kutawaliwa music ndio maisha yako akubaliane ba hilo

  • @mariumbonifasi7281
    @mariumbonifasi7281 9 місяців тому +6

    Umejib vizuri

  • @joycelucas5011
    @joycelucas5011 8 місяців тому

    Nimepnda majibu yako ya busara Mungu akulinde Kka , kaombe msamaha mkeo arudi muendelee na maisha.

    • @mwanashaali1109
      @mwanashaali1109 7 місяців тому

      Aombwe msamaha wa Nini,kwani kabla aolewe hakujua mumewe ni msanii,na Tenaa kumbe walimsilimisha,angeolewa na muislam ambae sio mwana mziki,wakatulia

  • @MsNajma-e6e
    @MsNajma-e6e 9 місяців тому +3

    Wevu mwingine wakijinga tu kwan hawajui kam msani banarba na anakuwa kimziki my brother pole sana

  • @Vestina-q5r
    @Vestina-q5r 9 місяців тому +3

    Kweli alikuwa kazini wamuache Barnaba wetu na katika maisha yake ya mziki cjawahi kuckia, wala kuona story mbaya kwenye Sanaa yake!! Piga kazi❤❤❤

  • @صالحالصوافي-غ5و
    @صالحالصوافي-غ5و 9 місяців тому +3

    Baranaba anajua mpaka anajua tena ngoma🔥🔥☑️✅

  • @neylalyimo2457
    @neylalyimo2457 9 місяців тому +24

    Yani barnaba hta ukimuangalia ni kajanja kama sungura, 😂😂

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 9 місяців тому

    Burnaba ana busara sana Mungu akulinde broo

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 9 місяців тому +3

    Hapo Umejibu Kihume Kbs Lazm Mweny Akili Ahelew

  • @faithwemamusic5266
    @faithwemamusic5266 9 місяців тому +10

    Kiukweli mziki wa bongo hiyo ndo staili yake ya kuimba, mama mkwe awe pia na heshima sio kurupukwa tu, kwani raya akimpenda barnaba hakujua ni star

  • @ibrahimdotto5234
    @ibrahimdotto5234 9 місяців тому +6

    Fresh dogo ,komaaa hii ni kazi yako ,mueleweshe mamsaap na mama mkwe watakuelewa,waelewe duniani Kote ndyo kazi ya Sanaa ilivyo

  • @nadalaboubacar2356
    @nadalaboubacar2356 9 місяців тому +2

    Jamaa ana bahati mbaya sana na mahusiano yake kaoge Baharini bro

  • @BakariKibauri-qh7gf
    @BakariKibauri-qh7gf 9 місяців тому +4

    Barnaba ana hekima sana sjui ingekuwa mm huyo mama mkwe angeenda kusimulia😂😂

  • @BrunoNamanga
    @BrunoNamanga 9 місяців тому +4

    Barnaba Mama Mkwe kalipuka inabidi uende na fire mbili kuzima moto

  • @AminaKarenga
    @AminaKarenga 9 місяців тому +2

    Kwa kweli wewe nimwanaume kabisa Allah akupe umuri ba
    Rnaba

  • @monalisaally4387
    @monalisaally4387 9 місяців тому +3

    Mama kimbo jifunze kukaa kimya maan sio kila vita upambane

  • @FerdinandNdayizeye-l9m
    @FerdinandNdayizeye-l9m 9 місяців тому

    Barna hongera sana mcheshi saaananipo Burundi🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇧🇮🇧🇮🇧🇮🥰

  • @Tinnhaharuna
    @Tinnhaharuna 9 місяців тому +1

    Tunaona umerogwa sio bule mama kimbo kafanya kazi pole kaka yangu😢😢😢😢

  • @bavonichristopha1693
    @bavonichristopha1693 9 місяців тому +1

    Sema ngoma ni kali sana

  • @BrittamyKhiwhil
    @BrittamyKhiwhil 9 місяців тому +21

    Wewe fanya kazi bro achana na mama kimbo

    • @AsdDsa-fi5qk
      @AsdDsa-fi5qk 9 місяців тому

      😂😂😂😂😂

    • @ZenaMsumagilo
      @ZenaMsumagilo 9 місяців тому +4

      Achana na hiyo familia mama mtoto wote vizibo tu

    • @mariajackson5960
      @mariajackson5960 9 місяців тому

      😅😅😅😅

    • @Sarah-tq2vc
      @Sarah-tq2vc 9 місяців тому

      😂😂😂😂😂😂​@@ZenaMsumagilo

    • @doreenmsafari2945
      @doreenmsafari2945 9 місяців тому +1

      ​@@ZenaMsumagilonimecheka kidwanzi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌

  • @ZakiaAlRamadani
    @ZakiaAlRamadani 9 місяців тому +6

    Ila Barnaba dah anacheka tu😂😂😂

    • @joycemaige6838
      @joycemaige6838 8 місяців тому

      😅😅😅Kasema kiuno na mabusu yamemponza

  • @SafiyaJ-yw2vt
    @SafiyaJ-yw2vt 9 місяців тому +2

    Waandishi nao ni wachonganisho😅😅😅

  • @NajmaMaawiya
    @NajmaMaawiya 9 місяців тому +1

    Nikijaja hichi katoto❤❤❤

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija 9 місяців тому +2

    Heshima. Ni ki2 bora cjapenda kiukweli kuna kufa

  • @sophsoph4740
    @sophsoph4740 9 місяців тому +2

    Ila hapana hataka sanaaa mume wa mtu pich zile si nzuri kabs

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 9 місяців тому +1

      Mume WA mtu na KAZI na maadili inahusu nini? Si mchague wanaume wenye kazi za kistaarabu wawaowe?

  • @sailathsaidi
    @sailathsaidi 9 місяців тому +2

    unakandamizia kam umetumwa zingatia hil😂😂😂

  • @JemimaMdota
    @JemimaMdota 9 місяців тому +2

    Mama kimbooooooo ,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ,,,,, banaba khaaaaaaaa kulikua kuna aja yakupiga picha mmeshikana bila 😊😊😊😊😊

  • @MfiriFulgensi
    @MfiriFulgensi 9 місяців тому +1

    Umekufuru sana kaka ,ushakuwa kafiri unawaza hela tu hata kwakukufuru

  • @antarsangali4456
    @antarsangali4456 9 місяців тому

    very wise boy Barnabas Classic

  • @esterkessy3348
    @esterkessy3348 9 місяців тому

    Kaka ucogope huyo mpare asikuzingue🖐️🖐️ 😁😁😁😁

  • @magdalenachuwa2884
    @magdalenachuwa2884 9 місяців тому

    Jamani ukikubali kuolewa na msanii kubali yoooteee khaaa sanaa ndivyoilivyooooo eeboooo

  • @beatricebenard1405
    @beatricebenard1405 9 місяців тому

    Imekaa poa una hekima sana bro

  • @judyngowi391
    @judyngowi391 9 місяців тому +3

    Kumbe Barnaba ndiye mume wa taifa kwa sasa

  • @onesmongulo3770
    @onesmongulo3770 9 місяців тому

    Barnaba akiri zako wewe😂😂😂❤❤❤

  • @aishahussein9348
    @aishahussein9348 9 місяців тому +1

    Uyu mama amemkosea sana mkwewe,yale malalamiko alalamike mkewe sio yeye mama

  • @shamlimah5682
    @shamlimah5682 8 місяців тому +1

    Love this guy his just smiling 😂😂😂 got new touch yammi 🔥🔥

  • @CcC-lf7on
    @CcC-lf7on 9 місяців тому

    Baranaba Namukubali sana❤❤

  • @ztonvay1049
    @ztonvay1049 9 місяців тому +5

    Kuna Ile nyimbo ya nikilia nabembelezwa ❤

  • @RestitutaNjau-k8x
    @RestitutaNjau-k8x 9 місяців тому +1

    Du,ulibadili dini ili uoe usiku na mchana,pole yako

  • @happynkya9770
    @happynkya9770 9 місяців тому +7

    wivu mwingene ungese tu kwan hakujua kama upo kazin

  • @mariamhamis4323
    @mariamhamis4323 9 місяців тому +4

    Bigup bro it's all about job 😅

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 9 місяців тому +1

    Umemkwamza Rayya😂😂😂😂

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 9 місяців тому +3

    Jmniiiiiiiii ukikubali kuolewa na msanii vumilia maana asilimia kubwa ya wasanii changamoto ni hio kutokana na kaz yao

  • @myTanzanianplate
    @myTanzanianplate 9 місяців тому +1

    Umenichekesha barnaba😂😂😂😂

  • @godlema6104
    @godlema6104 9 місяців тому +2

    Nimeamini uhuu sio mwili wa barnaba sema anapitia tu changamoto kumbe ni mnene

  • @DJQueenBeeOG
    @DJQueenBeeOG 9 місяців тому +1

    Maadiri yapi mnaonsemea yy ndo wa kwanza 😂😂😂😂

  • @aminamgalla
    @aminamgalla 8 місяців тому

    Kijana huyu ni mstaarabu saana. Mama kimbo tulia, utaliaaa siku moja. Hayaa

  • @gracemwailima1780
    @gracemwailima1780 9 місяців тому +1

    Hahahhaha mshenzi wewe eti ni yamiii tena kwa msisitizo ahsantee barnaba

  • @OmanOman-t5p
    @OmanOman-t5p 9 місяців тому +1

    Nakushauri ukaombe msamaha kakayangu wewe nimsanii mkubwa natunakupenda sana

  • @DM.2200
    @DM.2200 9 місяців тому +2

    Uyo alikua anatafta umkosee aondoke mwache aende kwani alikua hajui upo kazin mambo mengine kujitakia tu😢

  • @mtimti3912
    @mtimti3912 9 місяців тому +6

    Ukiwa msanii unataka kufurahisha mshabiki ni bora usiowe au kuolewa kuliko kumuumiza mwanandoa mwenzako bure.Maana haiwezekani ukaitumikia ndoa na washabiki wako kwa wakati mmoja ni lazima mmoja utamchukiza.

    • @yusternyirenda7231
      @yusternyirenda7231 9 місяців тому +3

      Kwa hiyo muolewaji hakujua kazi ya mwanamuziki ndio hiyo kushika shika wanawake 😂😂😂

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 9 місяців тому +1

      Na wewe unayekubali kuolewa na mwanamziki ambaye unajua fika kazi yake ni ya hovyo! Ukitaka kuolewa na mtu WA maadili si utafute mfanyakazi ofisini au non celebrities.

    • @desolz3809
      @desolz3809 9 місяців тому +2

      Kama umempenda mwanaume akiwa mzibua vyoo na ndiyo kazi pekee inayomuweka mjini kwahyo akikuoa aache au cyo?😂😂😂😂 kipele kweli ww

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 9 місяців тому +2

      Angetafuta officer wa TRA amuoe

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 9 місяців тому

      @@judyngowi391 naye mtihani akiwa na pesa nyingi za mishe mishe haonekani nyumbani, nyumba ndogo kibao 😂😂😂

  • @FreshJuiceFoodSimpleCook
    @FreshJuiceFoodSimpleCook 9 місяців тому +1

    😂😂😂😂 Game ya bongo inavituko kweli

  • @DJQueenBeeOG
    @DJQueenBeeOG 9 місяців тому +1

    Mama mkwe jau anaongea sana😂😂

  • @HalimaNdete
    @HalimaNdete 9 місяців тому

    Unajibu vzr xana

  • @DFire-ii8nb
    @DFire-ii8nb 9 місяців тому +1

    Inaitwaaa heshimaa kazi ya mtu to yatosha bro pga kazi

  • @ShemsaKiobya
    @ShemsaKiobya 9 місяців тому +1

    Bari unamchokoza mama kimbo?

  • @kelvinchediel517
    @kelvinchediel517 9 місяців тому +2

    ikitokea ugomvi na mwanamke wako akaenda kwao hahahah😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @winygidarossa9472
    @winygidarossa9472 9 місяців тому +1

    Wasimchoshe barnaba hiyo ni kazi na itambulike hivo

  • @ggfwtgg1652
    @ggfwtgg1652 9 місяців тому +1

    Majibu yako mazuri barnaba chapa kazi bwana achana nao 😅😅😅😅

  • @Veronica-xe3ss
    @Veronica-xe3ss 9 місяців тому +1

    Wapi mama kimbooooooo

  • @MaNick-h8s
    @MaNick-h8s 9 місяців тому +1

    Safi sanaaaa

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 9 місяців тому +1

    Piga kazi mwanamke bila pesa ni miyeyusho.

  • @celinapeter9474
    @celinapeter9474 9 місяців тому +8

    Nacheka kama mazuri😂😂😂😂blablablaaa bora barnaba wasikutawale

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 9 місяців тому +1

      Subiri wakamroge tena 😂😂😂

  • @Lulucut
    @Lulucut 9 місяців тому +1

    Waongo kiki nyimbo iendee

  • @anastaziaMzigo
    @anastaziaMzigo 9 місяців тому +1

    Anakupenda atarud

  • @jamilahjamilah4157
    @jamilahjamilah4157 9 місяців тому +3

    Mwanangu barnaba kwali ni biyashara lakini yule dada kakaa uchi sana hata watoto wetu mnawafuza nn

    • @meryamabdullah2081
      @meryamabdullah2081 9 місяців тому +2

      Hiv hao mashangazi wakaa uchi hamuwaoni mmemkalia kooni mtoto wa mwenzenu wangapi wanapost wamevaa chupi hko mtandaoni why Yammi

    • @janetdundul3858
      @janetdundul3858 9 місяців тому +1

      Yes wapo watu wengi tuu lakini awasemi 😂😂😂

    • @svt3
      @svt3 9 місяців тому

      @jamilajamilah4157: wewe fundisha mtoto wako sio wasanii ndio uta tumainia wakufundishie watoto

  • @omaribalozi5055
    @omaribalozi5055 9 місяців тому

    Relationship is relationship siyo mama mkwe anataka atrend mtaoni kisa mtoto wake iyo ni kazi

  • @EvonaMartine
    @EvonaMartine 9 місяців тому

    Piga kazi achana na mama kimbo

  • @ramadhanikuchuna5410
    @ramadhanikuchuna5410 9 місяців тому

    Barnaba umeongea vzr, hii ni kazi yako, km kuna watu wanahisi vby basi wakusamehe

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab 9 місяців тому +2

    Watu Wanasema Eti Wanaalibu Mila Lakini Watu Hao Hao Kila Muda Wako Kwenye Simu Kucheki Matako Nyeti Za Wengine Mtandaoni Lakini Wanajifanya Midomo Juu Kama Mkia Wa Ngili

  • @Steward-HO
    @Steward-HO 9 місяців тому +1

    Uyo Raya mwambieni akaolewe na diamond alafu aone

  • @ChristinaWilliam-nn2nc
    @ChristinaWilliam-nn2nc 9 місяців тому

    Barnaba mm kama shabiki yako mama mkwe anakuendesha cha maana ongeza mke wa pili

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 9 місяців тому +1

    Barnaba tupa
    kule hao waswahili, piga kazi

  • @Yness-vh4yy
    @Yness-vh4yy 9 місяців тому +1

    Barnaba bwana, eti na Diamond kayakoroga huko

  • @rukiasalum2248
    @rukiasalum2248 9 місяців тому +1

    😂😂@barnaba haki umenichekesha eti sijielewi upo singo au vipi

  • @holymakere
    @holymakere 9 місяців тому +20

    Daaaah kiukwel yulee Yule yammi amekaa uchi sana sana sanaa kazinguwa inabda waheshim ndoa zao khee😅

    • @nurafedrick378
      @nurafedrick378 9 місяців тому +5

      Wapi ulisikia ukiolewaa na mwanaziki unarahaa bs shida ndohixoo bora tuuu mtuu kuolewaa namtu wakawaidaa utaishi vixuri

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 9 місяців тому +1

      ​@@nurafedrick378kweli kabisa na sijui wanashangaa nini?

    • @mycmeranyswai7957
      @mycmeranyswai7957 9 місяців тому +3

      kwan phina hamuon msikalie koon mtoto wa watu amevaa uhuska ameimba vizur yatosha.

    • @innocensiaandrewy3154
      @innocensiaandrewy3154 9 місяців тому +1

      Ndio panampa kula afanyeje wakati huyo anaolewa aliijua vyema kazi ya mumewe kwahiyo atulie tu hakuna namna

    • @IdarousPossy
      @IdarousPossy 9 місяців тому

      We huna akili

  • @jacquelinelukumay9535
    @jacquelinelukumay9535 9 місяців тому

    Jamani hiyo kazi mama mkwe pembeni asijifanye

  • @dianamoshi167
    @dianamoshi167 9 місяців тому +1

    Huyo mama mkwe ndo anachochea moto, acha watoto wakigombana wewe kazi yako ni kusuluhisha na si kumsaidia mwanao kukasirika. Barnaba boy umeingia choo cha kike kwenda kuoa familia ya namna hiyo, mama kimbo si mama wa maadili kwa watoto

  • @Steward-HO
    @Steward-HO 9 місяців тому

    Alafu mke yupo kmya mama mkwe ndo mkali kwani kaelewa yy au mwanae

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 9 місяців тому +2

    Kwa mkwe kama huyu hakuna ndoa hapo busara zero.

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 9 місяців тому +1

    Nyimbo za injili Barnaba

  • @LeilaAbdull-jg6ho
    @LeilaAbdull-jg6ho 9 місяців тому +1

    Hamna kabisa hauendani kabisaaa nayamy

  • @nchimbuke7261
    @nchimbuke7261 9 місяців тому +1

    KAMA ULIMRUHUSU BABAMKWE AVAE HERINI UNASHANGA HAYO TU😮😮

  • @lavendaadhiambo
    @lavendaadhiambo 9 місяців тому +1

    heshima muhimu bwana

  • @EnockKayanda
    @EnockKayanda 9 місяців тому +1

    Afany na amapiano

  • @philibertphilipo9569
    @philibertphilipo9569 9 місяців тому

    We mshamba sana unatafuta kiki hivi mke wako angeshikwa hivyo na mwanaume mwingine ungejisikiaje?? Yan mkeo ange kuwa dada angu ungefia mbali

  • @RemmyTuva
    @RemmyTuva 9 місяців тому +2

    Ila Wana habari muwambea

  • @annertz9969
    @annertz9969 9 місяців тому +1

    Yammy kazoea kukaa uchi kwan barnaba ndoalimwambia avae chupi nje