HATA UKIRINGA WEWE NI WA KAWAIDA SANA TUSITISHANE KWASABABU YA NJIA ZETU ZILIZOTOFAUTI "PASTOR MGOGO
Вставка
- Опубліковано 14 січ 2022
- Kuendelea kupata mafundisho yangu mazuri yanayohusu mahusiano yako na Mungu,Utakatifu,Uchumi na Biashara kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: Daniel Mgogo / revdanielmgogo
Instagram: Pastor Daniel Mgogo / pastordanie. .
UA-cam : Pastor Daniel Mgogo ua-cam.com/channels/eNr.html...
#PastorDanielMgogo#ImaniYaKweli#InjiliYaKristo
🤣🤣🤣Hallelujah 🙌🙌Amen Amen 🙏🙏barikiwa sana pastor, mumgu azidi kukufunulia zaidi,.
Amen
Mungu Mwenyezi Akubariki Sana
Amen 🙏 Amen 🙏 🙌 👏 jirani yangu unanitishia nini kwani unanilisha jameni jameni
Jamani Jamani ubarikiwe sana mtumishi Mungu akuzidishie
Apo tuu mchungaji nakupenda sana MUNGU akupe maisha marefu na akupe nafunuo zaidi ibada hii nimefurahi saaana.
Amina Amina na tena unatujenga kimwiri na roho ubarikiwe
Tibu myoyo #Paster_Mgogo tunakuskia
Aminaa aminaa barikiwaa Sana Baba mchungaji
Amina
Amen 🙏🏽
Kweli kabisa mtumishi wa mungu
Ongeza volume pastor😀😀
Hapo unafeli sna mzee wangu
Kwa hiyo unataka awaambie watu wenye unafuu wa maisha wawadharau wasionacho? Tena wengine wanadharau wengine hawana hata kitu ekisa anafahamiana na fulani au jirani wa fulani,acha mtumishi wa Mungu aendelee kutuponya mioyo yetu
Mungu akutie nguvu utumike zaidi
Unafanya vizuri. Binafsi nakukubali mno hasa kabisa yaaani!!!!!!
Nakuelewa baba nondo😂😂😂sisi ni wa kawaida sanaaa💃🏽💃🏽🥰
Amen barikiwa nakupenda
nakukubali sana pasita
Aise me imenigusa sana ubalikiwe mchungaji
✌🏾
𝑨𝒎𝒆𝒏🤣🤣🤣🤣🤣 𝒎𝒄𝒉𝒖𝒏𝒈𝒂𝒋𝒊
🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🇫🇮🇫🇮🇫🇮
😂😂🤣🤣🤣 mchungaji wew nihatari unajua point ya maisha ongela sana
mungu akubaliki
Asante mtumishi nimefarijika kwa neno lako naomba utuwekee namba yako hpo ili mwenye sadaka yake akutumie kiukweli nimefarijika
Amen 🙏 haha
🤣🤣🤣🤣🤣🙏🙏🙏🙏🙏💯
V to
Hahahaha amen 🤣🤣
Hahaha😆😆😆😆😆
Haka kajamaa kanakula watoto wakali wakali aisee
Kawaida 😂🤣🤣
Umaskini ndo unakufanya useme hivi ,,hii ni kwa sababu binadamu hapendi kuona mwingine amemzidi ,,hahahhaa mungu ni fundi bwana alie barikiwa kabarikiwa tu hata utumie maneno ya kujifariji hutapata nafac ya kua alipo,,hivy ni vyema ukaomba neema kuliko kuponda mtu haisaidii kitu,,,hii amani ya moyo jamani itawamalizaaa watu
Hahahaha hapo sijakuelewa baba angu,,hizo itikadi hazipo tena hasa kwenye karne hii,, hapo ww mwenyew ukiwa na hela ndo unapata amani,,bac ungekosa alafu tuone ujasiri wa kuongea hivy unautoa wap,,wewe
Amina
Amen
Amen
Amen