A-Z SAKATA LA MO DEWJI / KUWATAJA WANAOMKWAMISHA / ALIPOISHIA KUWEKEZA / MCHAKATO UNAPOBANWA
Вставка
- Опубліковано 11 лип 2023
- www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Mwachen mo asajili wachezaji wazur
Mo anaposema mazuri yanakuja anaongelea uimalishaji wa timu kimapato, usajili na uendeshaji timu haongelei mchakato wa mabadiliko. Pia namuona ni muelewa sana maana hajawahi simamisha utoaji pesa na anaendelea kuimalisha timu na simba kwa jumla kwa vyanzo vya Mapato na usimamizi wa timu.
Simba ilipo kimapato siko ilikokuwa wakati anaichukua tuwe wakweli na pia taratibu za uwekezaji hazirushu muwekezaji atoe pesa ya uwekezaji kabla ya mchakato kukamilika navyojua mini mo ametoa hiyo pesa ikawekwa kwenye fixed akaunti na kinachotumika ni ile faida inayopatikana tu si hiyo 20 B tena aliitoa kupunguza kelele jappi muda wa kutoa ulikuwa haijafika. Pesa itakuwa halali kwa Simba baada ya mchakato kuisha tuwe wa kweli na wa wazi.
Kauli ya Job ni sahihi sana ila nanyi nyie waandishi inabidi mfanye uchunguzi wenu binafsi mjue tatizo ni nini na liko kwa nani.
Boss anataka kususa
Watu wanamtkana Moo ila waweke kwenye viatu vya Moo uone kama hawandamn kulaumu klabu inawafilisi