USIMDHARAU USIYE MJUA!! KUTOKA MAJALALANI HADI HIVI ALIVYO SASA, INASHANGAZA!!

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 103

  • @lilianalmas5911
    @lilianalmas5911 2 роки тому +17

    Dada Flora Mungu akubariki sana Kwa kazi ya mikono yako na kuitetea jamii🙏

  • @saidchikota8087
    @saidchikota8087 2 роки тому +1

    Allha akubaliki sana dadaang nakupenda sana kwa kazi yako nzuri

  • @arnesyaurio6346
    @arnesyaurio6346 2 роки тому +7

    Asante Mungu mama Gress anaendelea vizuri mwisho atapona kabisa , hongera my dada kwa kazi ngum unayo fanya ❤❤❤

  • @edinahmaganga3528
    @edinahmaganga3528 2 роки тому +1

    Da flora Hongera kwa kazi njema uliyoitiwa na Bwana Mungu" ninakupenda sana Mungu azidi kukutunza na kukubariki😙😚

  • @graideschrispin4129
    @graideschrispin4129 2 роки тому +1

    Flora nakupenda sn unafanya kazi ngumu sn mungu akubariki

  • @asiamerey9081
    @asiamerey9081 2 роки тому +1

    Kwanza kabisa mungu akuepushe nakila mabaya wanayokukusudia binadamu pia Mungu akuongezee kila ulipopunguza Ameen

  • @المهلهلالحراصي
    @المهلهلالحراصي 2 роки тому +9

    Dada frola inabidi ujifunze kisukuma wewe sana Mungu Akubariki pia vipi Neema anaendeleaje amesha jifungua

  • @ragnariziki391
    @ragnariziki391 2 роки тому

    Dada Mungu akubariki

  • @faridaharuna2621
    @faridaharuna2621 2 роки тому +6

    Ubarikiwe Da Flora kwa moyo huo wa upendo ulionao,hao wamama wamependeza mno.

  • @odilliahfaustas2932
    @odilliahfaustas2932 2 роки тому +4

    Wau hongera sana Dada Flora, may God bless you

  • @gadielmungure9711
    @gadielmungure9711 2 роки тому

    Flora ubarikiwe sana kazi yako ni njema

  • @macklinakabyazi3036
    @macklinakabyazi3036 2 роки тому +1

    Mungu amfungue ufahamu katika jina la Yesu

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 2 роки тому

    Masha Allah ubarikiwe flora

  • @barakadeogratias1464
    @barakadeogratias1464 2 роки тому

    ubarikiwe Dada angu frora sana kwa musaada wako

  • @marrytarimo4056
    @marrytarimo4056 2 роки тому +3

    Anaetafsiri nampenda 🥰Ila anatupiga mbo mengine maana naskia kisukuma 😅😅 Mungu awajalie jamani wapone haraka 🥰🥰🙏

  • @laymashabani832
    @laymashabani832 2 роки тому +3

    Mwenyezi mungu ni mwema kwakweli ❤️👏

  • @vestinedusabe4285
    @vestinedusabe4285 2 роки тому +1

    Flora dear nimekumiss lakini busy umenifanya nisione vipindi vyako!!!💖💖💖 Lakini nakupenda naninaimani kua nikikuona nitapona

  • @jamesobedy3940
    @jamesobedy3940 2 роки тому

    Flora 🙌🙌🙌

  • @relaxmebini6712
    @relaxmebini6712 2 роки тому +2

    Mungu akubariki dada yangu kwa kazi yako 🙏

  • @sistertrashid2488
    @sistertrashid2488 2 роки тому +1

    Mwenyezi mungu akubaliki Dada flora kazi unayo fanya ni kubwa Sana

  • @memoryngambi7570
    @memoryngambi7570 2 роки тому

    God bless you sister Flora

  • @linetnandwa3641
    @linetnandwa3641 2 роки тому

    God bless you flora

  • @annaprosper2435
    @annaprosper2435 2 роки тому +1

    Dada Flora Mungu Azidi Kukujalia Upendo Uliyo Nao Kwa watu jamani 🙏🙏🙏

  • @felixmagulu6142
    @felixmagulu6142 2 роки тому

    Mungu akujalie umri mrefu Dada ili uendelee kuwahudumia watu wenye uhitaji.

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 2 роки тому

    Ant frola hongera sana m/mungu atakulipa na akuongezee maisha marefu na uendeelee kuwa namoyo wa huruma

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 2 роки тому +3

    Mashallah yarabi azidi kukuongoza dada flora kwaulivyo jitolea

  • @الحمدلله-ذ7م7د
    @الحمدلله-ذ7م7د 2 роки тому

    Nakuombea mama ubarikiwe sana mng akupe maisha marefu

  • @rahmasalim5252
    @rahmasalim5252 2 роки тому

    Dada flora mungu akupe moyo huo huo walah natamani uje uku kenya uje utusaidie 🙏

  • @salamanauthar480
    @salamanauthar480 2 роки тому +4

    Dada Flora nakupenda Kwa ajili ya ALLAH

  • @eaglecrown1101
    @eaglecrown1101 2 роки тому

    Hongera Sanaa frola🔥🔥🔥☺️🙏 ndio maana nakupenda

  • @fridamapunda5079
    @fridamapunda5079 2 роки тому +1

    MUNGU AKUZIDISHIE SANAA DADA

  • @sharifatwaha1574
    @sharifatwaha1574 2 роки тому +1

    Asee pole na huduma tulikumiss da frola
    Allah aendelee kukubark 🙏🙏

  • @eminachuma7717
    @eminachuma7717 2 роки тому

    Mungu akulipe dada

  • @msafirilugisho4536
    @msafirilugisho4536 2 роки тому +2

    Mungu akubariki

  • @zubedaselemani6220
    @zubedaselemani6220 2 роки тому +1

    Wooow we dada Mungu akuweke sanaa unasaidia mnoo

  • @jessicamwasandube944
    @jessicamwasandube944 2 роки тому +1

    Pole sana da flora kwa kuumwa na kuuguza

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 2 роки тому

    Dada flola unacheza unawachangamsha Mungu akupe maisha marefu mpenzi nakupenda kwa jina la yesu

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 2 роки тому

    Mungu akubariki Amen 🙏.

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 2 роки тому +1

    Allah awasaidie

  • @fariarizaq7528
    @fariarizaq7528 2 роки тому +3

    Mashaallah

  • @eminachuma7717
    @eminachuma7717 2 роки тому

    Mungu Akulipe Dada Flora

  • @leonidamayala1010
    @leonidamayala1010 2 роки тому +2

    Ubalikiwe Sanaa Da frola Kw😘😘

  • @tausijumanne5058
    @tausijumanne5058 2 роки тому

    Hongera sn da flora mungu azidi kukupa maisha malefu da f nakupenda sn my

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 2 роки тому

    Mungu akutangulie flora wangu

  • @evalinasolomon780
    @evalinasolomon780 2 роки тому

    Ongera Sana nakupenda Dada frola napia nakufatilia sana

  • @nurujonas7878
    @nurujonas7878 2 роки тому

    joy ubarikiwe dad angu nakupenda natamani siku nikuone jamani sina uwezo tuu

  • @munezerojollybunyenyeri1771
    @munezerojollybunyenyeri1771 2 роки тому

    Umependeza flora duuu

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta2227 2 роки тому

    Mwenyezi mungu atakulipa wemawsko wema hauozi flora hangera sana

  • @rosemarysulle9288
    @rosemarysulle9288 2 роки тому +4

    Wote hawa ni wko!Flora Mungu akubariki million times😘

  • @mariamusalumu679
    @mariamusalumu679 2 роки тому

    Du wewe dada frora mungu akubariki

  • @matridamwalyoyo1735
    @matridamwalyoyo1735 2 роки тому

    Uwiiii siamini jmn kweli mungu tupo na anaishi,mungu akuweke frola

  • @firdausqutty2067
    @firdausqutty2067 2 роки тому +1

    We mtafathil nimuongo, mengine unaongezea tofauti na anavyojibu yye.

  • @robertmhando4378
    @robertmhando4378 2 роки тому

    Mungu azidi kukuweka dada flora nakupenda bure kwani unaupendo sana sana

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 2 роки тому +1

    Da flora Mungu akubariki sana

  • @vestinedusabe4285
    @vestinedusabe4285 2 роки тому

    Mage pole kipenzi changu Mungu atakusaidia na utapona vizuli

  • @aishayahaya5119
    @aishayahaya5119 2 роки тому

    Mungu akubariki dada

  • @lilianmoyo316
    @lilianmoyo316 2 роки тому

    Mungu akubariki dada Flora kwa kazi zuri nakupenda sana

    • @happylelo9565
      @happylelo9565 2 роки тому

      Dada flora Mungu akuzidishie miaka mini na awajalie watu kuwa na moyo wa utoaji..

    • @happylelo9565
      @happylelo9565 2 роки тому

      Je dada bidhaa zako huku Kilimanjaro zinapatikana wapi?

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 2 роки тому

      @@happylelo9565 Amiin🤗🤗🤗😥😥😥

  • @marrymahenge7286
    @marrymahenge7286 2 роки тому

    we dada Mungu akupe moyo huouo

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 2 роки тому

    Hodari sana Mage Allah Akuondoshee Maradhi

  • @songweairport7602
    @songweairport7602 2 роки тому

    flora..MUNGU AKUBARIKI

  • @emmy85sweetie99
    @emmy85sweetie99 2 роки тому +1

    Da flora sa kama ana tatizo la akil ukimchanganya na wengine c anaweza kuwa dhuru hao

  • @redemtamkemwa6067
    @redemtamkemwa6067 2 роки тому

    Naona kitu kikubwa kwako da flora one day Yes

  • @himbehimbe4266
    @himbehimbe4266 2 роки тому

    Hy

  • @terezarubeni2596
    @terezarubeni2596 2 роки тому

    Da flora jambo kwenu wote ni napenda kuwasaidia kidogo, nimeguswa na kazi unayo ifanya

  • @kadigatanzaniya4792
    @kadigatanzaniya4792 2 роки тому +1

    Mashallah

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi1097 2 роки тому

    MashaAllah daa flora

  • @edinachami4318
    @edinachami4318 2 роки тому

    Flora utaishi mpaka dunia ishangae in ze name of Jesus🙏

  • @ahmedrashed7138
    @ahmedrashed7138 2 роки тому

    Maashaallaah

  • @dachichi2876
    @dachichi2876 2 роки тому

    Tunakupenda sana mamiifora

  • @jessicaesthermakungu1693
    @jessicaesthermakungu1693 2 роки тому

    Nunua nyumba badala ya kupanda

  • @jacklinemokaya7035
    @jacklinemokaya7035 2 роки тому +1

    Flora where can I get this miracle uji in Kenya?

  • @jovithabosco33
    @jovithabosco33 Рік тому

    dada flora huwa natamani nije nikusadie kaz zahapo

  • @tedytemu9250
    @tedytemu9250 2 роки тому +1

    Hongera sana dada Mungu akupe maisha marefu unagusa maisha ya watu bila kujali unajitoa kwa moyo ubarikiwe mnooo

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 2 роки тому

    Nduhu natamanile.

  • @allan3723
    @allan3723 2 роки тому

    Mkalimani kuna menginne sio sawa

  • @afrraalramadhani8293
    @afrraalramadhani8293 2 роки тому

    Dada we missed u alot

  • @mohamedraahid1456
    @mohamedraahid1456 2 роки тому

    Dada flora huku dar es salaam yupo mbagala

  • @husnaseph9476
    @husnaseph9476 2 роки тому

    Nimemwelewa mtafisri hahaaaaa

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi1097 2 роки тому

    Nmpenda sn daa flora kwa mavazi yke anayo vyaa

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 2 роки тому

    Matatizo tu yanayotukabili mpaka Hali inakuwa hivyo.

  • @zamdakimaro8040
    @zamdakimaro8040 2 роки тому

    ILA FLORA NAKUITA TENA FLORA SIJUI NIKUFANANISHE NA NANI KWENYE HUU ULIMWENGU

  • @amandaally7385
    @amandaally7385 2 роки тому

    Mung akubrki

    • @pendomasawegroria9879
      @pendomasawegroria9879 2 роки тому

      Mwenyezi Mungu aendelee kukupa nguvu ya kuendelea kuangalia watu wenye matatizo mbalimbali
      Mungu alibariki sana katika kazi yako.

  • @mohamedraahid1456
    @mohamedraahid1456 2 роки тому

    Yupo pia mbagala

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 2 роки тому

    Kwani SI alikuwa na mtoto au nimemfananisha na yule alienyanganywa mtoto??

  • @rehemafadhili2600
    @rehemafadhili2600 2 роки тому

    Dah juma Kani apo pembeni ubarikiwe

  • @monicaalfredpetro3811
    @monicaalfredpetro3811 2 роки тому

    Jamani da flora nakupenda sana nanapenda hiyo kazi yako ila.ninaroho.nyepesi.sana.mm .nikiwa.naona mgonjwa ntakua.nalia tu lakini wedada yangu da?mungu akutie nguvu.naakupe.wepesi.sana.tunakupenda sana sana kwakazi yako

  • @زيتونتنزانيا
    @زيتونتنزانيا 2 роки тому

    Mimi Watanga nawapata je nahitaji bidhaa zenu

  • @upendomfwomi2549
    @upendomfwomi2549 2 роки тому

    Dada yangu kuwa namoyo uwouwo

  • @annastevensteven9515
    @annastevensteven9515 2 роки тому

    Kapendez.jaman.mungu tu.amsaidiye

  • @rechomethod8288
    @rechomethod8288 2 роки тому

    Hizo.kofia jamani😆😀😄😉😉😉