Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Dada Flora Mungu akubariki sana Kwa kazi ya mikono yako na kuitetea jamii🙏
Allha akubaliki sana dadaang nakupenda sana kwa kazi yako nzuri
Asante Mungu mama Gress anaendelea vizuri mwisho atapona kabisa , hongera my dada kwa kazi ngum unayo fanya ❤❤❤
Da flora Hongera kwa kazi njema uliyoitiwa na Bwana Mungu" ninakupenda sana Mungu azidi kukutunza na kukubariki😙😚
Flora nakupenda sn unafanya kazi ngumu sn mungu akubariki
Kwanza kabisa mungu akuepushe nakila mabaya wanayokukusudia binadamu pia Mungu akuongezee kila ulipopunguza Ameen
Dada frola inabidi ujifunze kisukuma wewe sana Mungu Akubariki pia vipi Neema anaendeleaje amesha jifungua
Dada Mungu akubariki
Ubarikiwe Da Flora kwa moyo huo wa upendo ulionao,hao wamama wamependeza mno.
Wau hongera sana Dada Flora, may God bless you
Flora ubarikiwe sana kazi yako ni njema
Mungu amfungue ufahamu katika jina la Yesu
Masha Allah ubarikiwe flora
ubarikiwe Dada angu frora sana kwa musaada wako
Anaetafsiri nampenda 🥰Ila anatupiga mbo mengine maana naskia kisukuma 😅😅 Mungu awajalie jamani wapone haraka 🥰🥰🙏
Mwenyezi mungu ni mwema kwakweli ❤️👏
Flora dear nimekumiss lakini busy umenifanya nisione vipindi vyako!!!💖💖💖 Lakini nakupenda naninaimani kua nikikuona nitapona
Flora 🙌🙌🙌
Mungu akubariki dada yangu kwa kazi yako 🙏
Mwenyezi mungu akubaliki Dada flora kazi unayo fanya ni kubwa Sana
God bless you sister Flora
God bless you flora
Dada Flora Mungu Azidi Kukujalia Upendo Uliyo Nao Kwa watu jamani 🙏🙏🙏
Mungu akujalie umri mrefu Dada ili uendelee kuwahudumia watu wenye uhitaji.
Ant frola hongera sana m/mungu atakulipa na akuongezee maisha marefu na uendeelee kuwa namoyo wa huruma
Mashallah yarabi azidi kukuongoza dada flora kwaulivyo jitolea
Nakuombea mama ubarikiwe sana mng akupe maisha marefu
Dada flora mungu akupe moyo huo huo walah natamani uje uku kenya uje utusaidie 🙏
Dada Flora nakupenda Kwa ajili ya ALLAH
Hongera Sanaa frola🔥🔥🔥☺️🙏 ndio maana nakupenda
MUNGU AKUZIDISHIE SANAA DADA
Asee pole na huduma tulikumiss da frola Allah aendelee kukubark 🙏🙏
Mungu akulipe dada
Mungu akubariki
Wooow we dada Mungu akuweke sanaa unasaidia mnoo
Pole sana da flora kwa kuumwa na kuuguza
Dada flola unacheza unawachangamsha Mungu akupe maisha marefu mpenzi nakupenda kwa jina la yesu
Mungu akubariki Amen 🙏.
Allah awasaidie
Mashaallah
Mungu Akulipe Dada Flora
Ubalikiwe Sanaa Da frola Kw😘😘
Hongera sn da flora mungu azidi kukupa maisha malefu da f nakupenda sn my
Mungu akutangulie flora wangu
Ongera Sana nakupenda Dada frola napia nakufatilia sana
joy ubarikiwe dad angu nakupenda natamani siku nikuone jamani sina uwezo tuu
Umependeza flora duuu
Mwenyezi mungu atakulipa wemawsko wema hauozi flora hangera sana
Wote hawa ni wko!Flora Mungu akubariki million times😘
Du wewe dada frora mungu akubariki
Uwiiii siamini jmn kweli mungu tupo na anaishi,mungu akuweke frola
We mtafathil nimuongo, mengine unaongezea tofauti na anavyojibu yye.
Mungu azidi kukuweka dada flora nakupenda bure kwani unaupendo sana sana
Da flora Mungu akubariki sana
Mage pole kipenzi changu Mungu atakusaidia na utapona vizuli
Mungu akubariki dada
Aamiin wajina🙏🙏🙏
Mungu akubariki dada Flora kwa kazi zuri nakupenda sana
Dada flora Mungu akuzidishie miaka mini na awajalie watu kuwa na moyo wa utoaji..
Je dada bidhaa zako huku Kilimanjaro zinapatikana wapi?
@@happylelo9565 Amiin🤗🤗🤗😥😥😥
we dada Mungu akupe moyo huouo
Hodari sana Mage Allah Akuondoshee Maradhi
flora..MUNGU AKUBARIKI
Da flora sa kama ana tatizo la akil ukimchanganya na wengine c anaweza kuwa dhuru hao
Naona kitu kikubwa kwako da flora one day Yes
Hy
Da flora jambo kwenu wote ni napenda kuwasaidia kidogo, nimeguswa na kazi unayo ifanya
Mashallah
MashaAllah daa flora
Flora utaishi mpaka dunia ishangae in ze name of Jesus🙏
Maashaallaah
Tunakupenda sana mamiifora
Nunua nyumba badala ya kupanda
Flora where can I get this miracle uji in Kenya?
dada flora huwa natamani nije nikusadie kaz zahapo
Hongera sana dada Mungu akupe maisha marefu unagusa maisha ya watu bila kujali unajitoa kwa moyo ubarikiwe mnooo
Mungu awafanyie wepesi
Dada Kuna watt wanateseka huu kwetu utalia
Nduhu natamanile.
Mkalimani kuna menginne sio sawa
Dada we missed u alot
Dada flora huku dar es salaam yupo mbagala
Nimemwelewa mtafisri hahaaaaa
Nmpenda sn daa flora kwa mavazi yke anayo vyaa
Matatizo tu yanayotukabili mpaka Hali inakuwa hivyo.
ILA FLORA NAKUITA TENA FLORA SIJUI NIKUFANANISHE NA NANI KWENYE HUU ULIMWENGU
Mung akubrki
Mwenyezi Mungu aendelee kukupa nguvu ya kuendelea kuangalia watu wenye matatizo mbalimbaliMungu alibariki sana katika kazi yako.
Yupo pia mbagala
Kwani SI alikuwa na mtoto au nimemfananisha na yule alienyanganywa mtoto??
Dah juma Kani apo pembeni ubarikiwe
Jamani da flora nakupenda sana nanapenda hiyo kazi yako ila.ninaroho.nyepesi.sana.mm .nikiwa.naona mgonjwa ntakua.nalia tu lakini wedada yangu da?mungu akutie nguvu.naakupe.wepesi.sana.tunakupenda sana sana kwakazi yako
😍😍😍😍😍
Mimi Watanga nawapata je nahitaji bidhaa zenu
Dada yangu kuwa namoyo uwouwo
Kapendez.jaman.mungu tu.amsaidiye
Hizo.kofia jamani😆😀😄😉😉😉
🤣🤣🤣🤣
Hahahaaa
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Dada Flora Mungu akubariki sana Kwa kazi ya mikono yako na kuitetea jamii🙏
Allha akubaliki sana dadaang nakupenda sana kwa kazi yako nzuri
Asante Mungu mama Gress anaendelea vizuri mwisho atapona kabisa , hongera my dada kwa kazi ngum unayo fanya ❤❤❤
Da flora Hongera kwa kazi njema uliyoitiwa na Bwana Mungu" ninakupenda sana Mungu azidi kukutunza na kukubariki😙😚
Flora nakupenda sn unafanya kazi ngumu sn mungu akubariki
Kwanza kabisa mungu akuepushe nakila mabaya wanayokukusudia binadamu pia Mungu akuongezee kila ulipopunguza Ameen
Dada frola inabidi ujifunze kisukuma wewe sana Mungu Akubariki pia vipi Neema anaendeleaje amesha jifungua
Dada Mungu akubariki
Ubarikiwe Da Flora kwa moyo huo wa upendo ulionao,hao wamama wamependeza mno.
Wau hongera sana Dada Flora, may God bless you
Flora ubarikiwe sana kazi yako ni njema
Mungu amfungue ufahamu katika jina la Yesu
Masha Allah ubarikiwe flora
ubarikiwe Dada angu frora sana kwa musaada wako
Anaetafsiri nampenda 🥰Ila anatupiga mbo mengine maana naskia kisukuma 😅😅 Mungu awajalie jamani wapone haraka 🥰🥰🙏
Mwenyezi mungu ni mwema kwakweli ❤️👏
Flora dear nimekumiss lakini busy umenifanya nisione vipindi vyako!!!💖💖💖 Lakini nakupenda naninaimani kua nikikuona nitapona
Flora 🙌🙌🙌
Mungu akubariki dada yangu kwa kazi yako 🙏
Mwenyezi mungu akubaliki Dada flora kazi unayo fanya ni kubwa Sana
God bless you sister Flora
God bless you flora
Dada Flora Mungu Azidi Kukujalia Upendo Uliyo Nao Kwa watu jamani 🙏🙏🙏
Mungu akujalie umri mrefu Dada ili uendelee kuwahudumia watu wenye uhitaji.
Ant frola hongera sana m/mungu atakulipa na akuongezee maisha marefu na uendeelee kuwa namoyo wa huruma
Mashallah yarabi azidi kukuongoza dada flora kwaulivyo jitolea
Nakuombea mama ubarikiwe sana mng akupe maisha marefu
Dada flora mungu akupe moyo huo huo walah natamani uje uku kenya uje utusaidie 🙏
Dada Flora nakupenda Kwa ajili ya ALLAH
Hongera Sanaa frola🔥🔥🔥☺️🙏 ndio maana nakupenda
MUNGU AKUZIDISHIE SANAA DADA
Asee pole na huduma tulikumiss da frola
Allah aendelee kukubark 🙏🙏
Mungu akulipe dada
Mungu akubariki
Wooow we dada Mungu akuweke sanaa unasaidia mnoo
Pole sana da flora kwa kuumwa na kuuguza
Dada flola unacheza unawachangamsha Mungu akupe maisha marefu mpenzi nakupenda kwa jina la yesu
Mungu akubariki Amen 🙏.
Allah awasaidie
Mashaallah
Mungu Akulipe Dada Flora
Ubalikiwe Sanaa Da frola Kw😘😘
Hongera sn da flora mungu azidi kukupa maisha malefu da f nakupenda sn my
Mungu akutangulie flora wangu
Ongera Sana nakupenda Dada frola napia nakufatilia sana
joy ubarikiwe dad angu nakupenda natamani siku nikuone jamani sina uwezo tuu
Umependeza flora duuu
Mwenyezi mungu atakulipa wemawsko wema hauozi flora hangera sana
Wote hawa ni wko!Flora Mungu akubariki million times😘
Du wewe dada frora mungu akubariki
Uwiiii siamini jmn kweli mungu tupo na anaishi,mungu akuweke frola
We mtafathil nimuongo, mengine unaongezea tofauti na anavyojibu yye.
Mungu azidi kukuweka dada flora nakupenda bure kwani unaupendo sana sana
Da flora Mungu akubariki sana
Mage pole kipenzi changu Mungu atakusaidia na utapona vizuli
Mungu akubariki dada
Aamiin wajina🙏🙏🙏
Mungu akubariki dada Flora kwa kazi zuri nakupenda sana
Dada flora Mungu akuzidishie miaka mini na awajalie watu kuwa na moyo wa utoaji..
Je dada bidhaa zako huku Kilimanjaro zinapatikana wapi?
@@happylelo9565 Amiin🤗🤗🤗😥😥😥
we dada Mungu akupe moyo huouo
Hodari sana Mage Allah Akuondoshee Maradhi
flora..MUNGU AKUBARIKI
Da flora sa kama ana tatizo la akil ukimchanganya na wengine c anaweza kuwa dhuru hao
Naona kitu kikubwa kwako da flora one day Yes
Hy
Da flora jambo kwenu wote ni napenda kuwasaidia kidogo, nimeguswa na kazi unayo ifanya
Mashallah
MashaAllah daa flora
Flora utaishi mpaka dunia ishangae in ze name of Jesus🙏
Maashaallaah
Tunakupenda sana mamiifora
Nunua nyumba badala ya kupanda
Flora where can I get this miracle uji in Kenya?
dada flora huwa natamani nije nikusadie kaz zahapo
Hongera sana dada Mungu akupe maisha marefu unagusa maisha ya watu bila kujali unajitoa kwa moyo ubarikiwe mnooo
Mungu awafanyie wepesi
Dada Kuna watt wanateseka huu kwetu utalia
Nduhu natamanile.
Mkalimani kuna menginne sio sawa
Dada we missed u alot
Dada flora huku dar es salaam yupo mbagala
Nimemwelewa mtafisri hahaaaaa
Nmpenda sn daa flora kwa mavazi yke anayo vyaa
Matatizo tu yanayotukabili mpaka Hali inakuwa hivyo.
ILA FLORA NAKUITA TENA FLORA SIJUI NIKUFANANISHE NA NANI KWENYE HUU ULIMWENGU
Mung akubrki
Mwenyezi Mungu aendelee kukupa nguvu ya kuendelea kuangalia watu wenye matatizo mbalimbali
Mungu alibariki sana katika kazi yako.
Yupo pia mbagala
Kwani SI alikuwa na mtoto au nimemfananisha na yule alienyanganywa mtoto??
Dah juma Kani apo pembeni ubarikiwe
Jamani da flora nakupenda sana nanapenda hiyo kazi yako ila.ninaroho.nyepesi.sana.mm .nikiwa.naona mgonjwa ntakua.nalia tu lakini wedada yangu da?mungu akutie nguvu.naakupe.wepesi.sana.tunakupenda sana sana kwakazi yako
😍😍😍😍😍
Mimi Watanga nawapata je nahitaji bidhaa zenu
Dada yangu kuwa namoyo uwouwo
Kapendez.jaman.mungu tu.amsaidiye
Hizo.kofia jamani😆😀😄😉😉😉
🤣🤣🤣🤣
Hahahaaa
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂