KIJANA MZALENDO AIGEUKIA TLS "MSIFANYE MAKOSA KUMUACHA MWABUKUSI/HAKIMU WA KESI YAKE AKUMBATIWE"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 жов 2024
  • KIJANA MZALENDO AIGEUKIA TLS "MSIFANYE MAKOSA KUMUACHA MWABUKUSI/HAKIMU WA KESI YAKE AKUMBATIWE"
    🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 692 318213)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...

КОМЕНТАРІ • 83

  • @MkudeSimba-fg1sf
    @MkudeSimba-fg1sf 2 місяці тому +5

    ❤❤❤❤❤mwabukusi jembe watakimbia sasa.mwamba ndani ya nyumba alipo kuwa nnje ya ulingo walitetemeka Sasa mbio zinafuata

  • @JoelRichard-hj3bi
    @JoelRichard-hj3bi 2 місяці тому +7

    Mwabukusi on fire 🔥forever.

  • @HarunJonass
    @HarunJonass 2 місяці тому +3

    Polepole kitaeleweka,damu iliyomwagwa ya wazalendo wetu na wengine kufukuzwa kwenye nyadhifa zao mungu ataonyesha njia yakupita sisi wanyonge

  • @JacobMavika
    @JacobMavika 2 місяці тому +4

    Mwabukusi Mungu awe na ww mpaka kesho tunakutegemea sana

  • @Ambwene
    @Ambwene 2 місяці тому +2

    Hatuna Rais tanzania 🇹🇿

  • @robisonikadogo7371
    @robisonikadogo7371 2 місяці тому +2

    Mwambukusi Anafaa sana,Anajierewa,Anasubutu yuko tiyari kufia watanzania

  • @judicateurassa7817
    @judicateurassa7817 2 місяці тому +4

    Mwabukusi anafaa sana hiyo nafasi hakuna mwingine hapo

  • @AlanMbilinyi
    @AlanMbilinyi 2 місяці тому +3

    MWABUKUSI NI MZALENDO NO. ONE,(1)ACHAGULIWE MPENDA HAKI ANAFAA KUWA RAIS WA TLS.

  • @leonardramiye8207
    @leonardramiye8207 2 місяці тому +5

    Kajunjumile mwambukusi oyeeeeeeeee🤛🏽🤛🏽

  • @bogoheidaso2628
    @bogoheidaso2628 2 місяці тому +7

    Tumeanza kujiandaa kwenda Dodoma ukuja na ushindi wa mwabukusi

  • @madoone-ug6zh
    @madoone-ug6zh 2 місяці тому +1

    Safi sana sanaaa mzalendoo

  • @haruniaisha5905
    @haruniaisha5905 2 місяці тому +10

    Misukuma inajielewa saaana

  • @ramadhanchenga4606
    @ramadhanchenga4606 2 місяці тому +5

    Boniface na amini ww utalisaidia taifa kupata sura furani

  • @AndrewShiratu
    @AndrewShiratu 2 місяці тому +3

    Na ikibidi kiongozi alie chaguliwa na wananchi ashitakiwe kwa kiapo Cha katiba ya Chama chake na Irani ya Chama anapokiuka.

  • @mwili_wa_ndoto_yangu
    @mwili_wa_ndoto_yangu 2 місяці тому

    Safi sana kwa content hii nimeipenda

  • @elvisikimaro1178
    @elvisikimaro1178 2 місяці тому

    Mwabukusi anafaa kuwa Rais❤

  • @lucashakili2719
    @lucashakili2719 2 місяці тому

    Huu ndyo uzalendo sasa. Kijana yupo smart with evidence. Yupo objective. Unatakiwa sasa uwe kwenye siasa kaka. Nenda chadema

  • @davidkawesa3594
    @davidkawesa3594 2 місяці тому +1

    Wajina

  • @AndrewShiratu
    @AndrewShiratu 2 місяці тому +2

    Magufuri hakushindwa .bali arisaritiwa na watu wasio wazarendo tu.ila angekuwa hai angeweza sana tu.

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 2 місяці тому +4

    TLS msifanye kosa miaka 3 mkiwa na Rais mbovu mtachoka sana.

    • @isaackchambo2642
      @isaackchambo2642 2 місяці тому +1

      Hv kumbe urais wa t l s ni miaka 3 nilifikiri ni mwaka 1safi 3inatosha sana kwa Kajunjumele

    • @matukimerchant5170
      @matukimerchant5170 2 місяці тому

      ​@@isaackchambo2642 ndio mwaka huu kumefanyika mabadiliko ya kwanza kwaio rais wa TLS atakaywchguliwa ndiye atakuwa wa kwanza kutumikia miaka 3

  • @JemeslaizerJemeslaizer
    @JemeslaizerJemeslaizer 2 місяці тому

    Umesema ukweli hayo ndio mambo tuyota ifanyanyike kwa Sasa nchi hii ilichezewa PA kutosha na serikali.

  • @davidkawesa3594
    @davidkawesa3594 2 місяці тому +1

    Serikali na rais watu kama hawa wenye akili mingi ni mali yako achan na mabung'azi kuyajaza maofisini huyu jama atakusaidia

  • @josephpetro2968
    @josephpetro2968 2 місяці тому +2

    Mwabukusi atasaidia kuleta utawara wa sheria

  • @YohanaRichard-e6p
    @YohanaRichard-e6p 2 місяці тому +1

    Boniface anyisile kajunjumele mewabukusi anastaili kuongoza.

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 2 місяці тому +1

    ASANTE SANA KIJANA MZALENDO UMEONGEA UKWELI

  • @johnsonsabanya5860
    @johnsonsabanya5860 2 місяці тому +4

    Mwambukusi jembe letu wanasheria msituangushe

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 2 місяці тому +1

      Haki na utawala wa sheria ndiyo utavusha Tanzania

  • @matukimerchant5170
    @matukimerchant5170 2 місяці тому

    Duh! Huu mradi wa liganga na mchuchuma yaani nahisi kulengwa na machozi nikisikia unavyouongelea. Hivi kweli ipo siku moja ambapo huu mradi huu utatekelezwa kwa maslahi mapana ya taifa hili?

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 2 місяці тому +4

    Ukishakuwa na nchi yenye viongozi madalali ni shida kubwa wao wanatafuta ten percents ndio wanachoangalia wananchi sisi ni wajinga mnooo nchi za wenzetu hakuna huo upuuzi

  • @yamesulle2057
    @yamesulle2057 2 місяці тому

    Bila Katiba mpya hakuna dira maana kila kiongozi anaeingia anakuja mambo yake Mara kil

  • @SmithJacob-f2r
    @SmithJacob-f2r 2 місяці тому

    Upo sahh sana

  • @nyamarungujr7834
    @nyamarungujr7834 2 місяці тому

    Maswala ya repeat again😅😅

  • @yamesulle2057
    @yamesulle2057 2 місяці тому

    Marakilimo Mara viwanda je hapo Kuna dira?Katiba kwaza

  • @RyobaWambura-j8b
    @RyobaWambura-j8b 2 місяці тому +2

    mwambulukuzi watanzania ushindi

  • @AndrewShiratu
    @AndrewShiratu 2 місяці тому

    Kwenye huokataba ukweri mwanashelia mkuu wa serikari ashitakiwe mahakamani na afungwe kwa kuriingiza taifa hasara.kwa maana yy ndiye mwanashelia mkuu wa serikari yetu.

  • @AllyOmarHamad
    @AllyOmarHamad 2 місяці тому

    Mwakumbusi anatoshaa

  • @MkudeSimba-fg1sf
    @MkudeSimba-fg1sf 2 місяці тому

    MUHESHIMIWA. RAIS MAMA YETU UNALETEWA. WATU MAMA KIMBIA NAO TUTAKUWA NAWE MAMA TUNAKUPENDE

  • @SaruniKutandawa
    @SaruniKutandawa 2 місяці тому +1

    Ww ndyo chizi

  • @chrispinrafael3831
    @chrispinrafael3831 2 місяці тому

    Duu atari sana

  • @estambuya3901
    @estambuya3901 2 місяці тому +5

    Mwabukusi alindwe,tulijifunza kwa tukio la tundu lisu.

  • @naqiahmad26
    @naqiahmad26 2 місяці тому

    mwabukusi bukua

  • @karimmveyange280
    @karimmveyange280 2 місяці тому

    IHADHARINI NA WALE ANAFIKI AMBAO NI NDUMILA KUWILI WEPESI WAKUNUNULIWA NA MAADUI WA WAKITAIFA

  • @WakwetuWakwet
    @WakwetuWakwet 2 місяці тому

    Mwambukus oyeee

  • @MkudeSimba-fg1sf
    @MkudeSimba-fg1sf 2 місяці тому

    Mtu 1 ana 327 bilioni😂😂😂😂😂😂

  • @judicateurassa7817
    @judicateurassa7817 2 місяці тому

    Wakimwondoa taifa litapata pigo

  • @beinafuu6219
    @beinafuu6219 2 місяці тому

    Sio lais kupewa maana msema ukweli sio chaguo lao

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk 2 місяці тому

    Hicho kitabu ndiyo wanamtumia kufanya ushetani wao hao ccmu

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 2 місяці тому

    TLS mjafanye uchaguzi huru na wa haki ili muwe mfano mwema kwa chaguzi nchi hii.

    • @josephpetro2968
      @josephpetro2968 2 місяці тому +1

      Mwabukusi ndiyo jibu sahihi wengine ni pandikizi ndiyo maana walimfanyia figisu wachumia tumbo kumuondoa katika kugombea.

  • @robisonikadogo7371
    @robisonikadogo7371 2 місяці тому

    Niupigaji tu

  • @NickyTajiri
    @NickyTajiri 2 місяці тому

    Mungu atakupa tu bon

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 2 місяці тому

    Mhuni tu hanasifa anajifanya mwaharakati

    • @JamaldaudlulyehoJamaldaudlulye
      @JamaldaudlulyehoJamaldaudlulye 2 місяці тому

      kagombee Basi weye mpumbavu uanyejua Kula kushiba na kwenda chooni hauelewi chochote pumbavu kabisa nyie ndiyo mnatufanya Tanzania tuwe na maisha duni

    • @victoriabernard5287
      @victoriabernard5287 2 місяці тому

      Na wewe unajifanya nani? Chunga maneno yako

    • @JamaldaudlulyehoJamaldaudlulye
      @JamaldaudlulyehoJamaldaudlulye 2 місяці тому

      @@victoriabernard5287 ungejua weye mwenyewe ungechunga kauli zako za kuita viongozi wahuni MB zako zisikutie kiwewe ongea kwa hoja acha ujinga

    • @RashidiDaudy-ez6zt
      @RashidiDaudy-ez6zt 2 місяці тому

      ovyo

    • @Ambwene
      @Ambwene 2 місяці тому

      Tulia shoga wewe au tako linakuwasha mbwa wewe

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 2 місяці тому

    Mwabukusi anajidanganya hawezi kuwa rais wa TLS ajiandae kwenda mahakamani kumuachia mwabukusi awe rais wa TLS ni kosa kubwa kwanza yule ni chizi.. Serikali hakikisheni huyu chizi achukui hiki kiti... Povu ruksa kwa mijitu ya chadema na ngedere wengine

    • @mwl.frankmadembo7472
      @mwl.frankmadembo7472 2 місяці тому +1

      Serikali ni nani kwenye uchaguzi huu? Ninyi ndio mnaotuharibia Taifa letu. Acha mambo Yako bana

    • @AmiriSimpungwe
      @AmiriSimpungwe 2 місяці тому

      Mwabukusi anagombea Kuna kushiñdwa au kushinda anachotaka uchaguzi uwe huru acha ushabiki wako wa kijinga

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 2 місяці тому

      Kafilwe na mabasha yako huko lumumba

    • @MkudeSimba-fg1sf
      @MkudeSimba-fg1sf 2 місяці тому

      ​@@emmapaul1766Kaka matusi yanini tena

    • @gracemwakibolwa7910
      @gracemwakibolwa7910 2 місяці тому

      Labda wewe ndio chizi hujielewi.subili sasa ubaki na haya zako.chizi wewe.unamwitaje mtu chizi kasoma kukuzidi.

  • @majaliwacosmas3322
    @majaliwacosmas3322 2 місяці тому +1

    Mwabukusi ndio rais hakuna mwingine Apewe apige kazi

  • @muharamijuma1569
    @muharamijuma1569 2 місяці тому

    Hafai kabisa TLS itakuwa imefanya kosa kubwa sana ķama watamçĥa gua Mwambukusi

    • @ErnestiSulle-w9k
      @ErnestiSulle-w9k 2 місяці тому

      We sema nani anafaa, isizwe unaleta uchazwa tu.

    • @Ambwene
      @Ambwene 2 місяці тому

      Rudini kwenu zanzibar mbwa nyie mamamae mutakunya mavi Mwabukusi akiwa rais wa TLS wasenge wa kizanzibar

  • @ahmedmakame1687
    @ahmedmakame1687 2 місяці тому

    Vita ya kiuchumi ni ngumu kashindwa MAGUFULI ataweza nani?

    • @davidkawesa3594
      @davidkawesa3594 2 місяці тому

      Utaweza wewe

    • @nasramusaro
      @nasramusaro 2 місяці тому

      Kwani Magufuli alikuwa Mungu? Alikuwa mwanadamu na ana sifa ya mapungufu kama wengine msimpe sifa za ujinga

    • @Ambwene
      @Ambwene 2 місяці тому

      Kwani Magufuli alikuwa bwanaako

    • @c.l.g.mchurch6426
      @c.l.g.mchurch6426 2 місяці тому

      Mwalimu wako alipata shidaa san 😂