KIJANA MZALENDO AIGEUKIA TLS "MSIFANYE MAKOSA KUMUACHA MWABUKUSI/HAKIMU WA KESI YAKE AKUMBATIWE"
Вставка
- Опубліковано 20 жов 2024
- KIJANA MZALENDO AIGEUKIA TLS "MSIFANYE MAKOSA KUMUACHA MWABUKUSI/HAKIMU WA KESI YAKE AKUMBATIWE"
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 692 318213)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...
❤❤❤❤❤mwabukusi jembe watakimbia sasa.mwamba ndani ya nyumba alipo kuwa nnje ya ulingo walitetemeka Sasa mbio zinafuata
Mwabukusi on fire 🔥forever.
Polepole kitaeleweka,damu iliyomwagwa ya wazalendo wetu na wengine kufukuzwa kwenye nyadhifa zao mungu ataonyesha njia yakupita sisi wanyonge
Mwabukusi Mungu awe na ww mpaka kesho tunakutegemea sana
Hatuna Rais tanzania 🇹🇿
Mwambukusi Anafaa sana,Anajierewa,Anasubutu yuko tiyari kufia watanzania
Mwabukusi anafaa sana hiyo nafasi hakuna mwingine hapo
MWABUKUSI NI MZALENDO NO. ONE,(1)ACHAGULIWE MPENDA HAKI ANAFAA KUWA RAIS WA TLS.
Kajunjumile mwambukusi oyeeeeeeeee🤛🏽🤛🏽
Tumeanza kujiandaa kwenda Dodoma ukuja na ushindi wa mwabukusi
Safi sana sanaaa mzalendoo
Misukuma inajielewa saaana
Boniface na amini ww utalisaidia taifa kupata sura furani
Na ikibidi kiongozi alie chaguliwa na wananchi ashitakiwe kwa kiapo Cha katiba ya Chama chake na Irani ya Chama anapokiuka.
Safi sana kwa content hii nimeipenda
Mwabukusi anafaa kuwa Rais❤
Huu ndyo uzalendo sasa. Kijana yupo smart with evidence. Yupo objective. Unatakiwa sasa uwe kwenye siasa kaka. Nenda chadema
Wajina
Magufuri hakushindwa .bali arisaritiwa na watu wasio wazarendo tu.ila angekuwa hai angeweza sana tu.
TLS msifanye kosa miaka 3 mkiwa na Rais mbovu mtachoka sana.
Hv kumbe urais wa t l s ni miaka 3 nilifikiri ni mwaka 1safi 3inatosha sana kwa Kajunjumele
@@isaackchambo2642 ndio mwaka huu kumefanyika mabadiliko ya kwanza kwaio rais wa TLS atakaywchguliwa ndiye atakuwa wa kwanza kutumikia miaka 3
Umesema ukweli hayo ndio mambo tuyota ifanyanyike kwa Sasa nchi hii ilichezewa PA kutosha na serikali.
Serikali na rais watu kama hawa wenye akili mingi ni mali yako achan na mabung'azi kuyajaza maofisini huyu jama atakusaidia
Mwabukusi atasaidia kuleta utawara wa sheria
Boniface anyisile kajunjumele mewabukusi anastaili kuongoza.
ASANTE SANA KIJANA MZALENDO UMEONGEA UKWELI
Mwambukusi jembe letu wanasheria msituangushe
Haki na utawala wa sheria ndiyo utavusha Tanzania
Duh! Huu mradi wa liganga na mchuchuma yaani nahisi kulengwa na machozi nikisikia unavyouongelea. Hivi kweli ipo siku moja ambapo huu mradi huu utatekelezwa kwa maslahi mapana ya taifa hili?
Ukishakuwa na nchi yenye viongozi madalali ni shida kubwa wao wanatafuta ten percents ndio wanachoangalia wananchi sisi ni wajinga mnooo nchi za wenzetu hakuna huo upuuzi
Do
Bila Katiba mpya hakuna dira maana kila kiongozi anaeingia anakuja mambo yake Mara kil
Upo sahh sana
Maswala ya repeat again😅😅
Marakilimo Mara viwanda je hapo Kuna dira?Katiba kwaza
mwambulukuzi watanzania ushindi
Kwenye huokataba ukweri mwanashelia mkuu wa serikari ashitakiwe mahakamani na afungwe kwa kuriingiza taifa hasara.kwa maana yy ndiye mwanashelia mkuu wa serikari yetu.
Mwakumbusi anatoshaa
MUHESHIMIWA. RAIS MAMA YETU UNALETEWA. WATU MAMA KIMBIA NAO TUTAKUWA NAWE MAMA TUNAKUPENDE
Ww ndyo chizi
Duu atari sana
Mwabukusi alindwe,tulijifunza kwa tukio la tundu lisu.
mwabukusi bukua
IHADHARINI NA WALE ANAFIKI AMBAO NI NDUMILA KUWILI WEPESI WAKUNUNULIWA NA MAADUI WA WAKITAIFA
Mwambukus oyeee
Mtu 1 ana 327 bilioni😂😂😂😂😂😂
Wakimwondoa taifa litapata pigo
Sio lais kupewa maana msema ukweli sio chaguo lao
Hicho kitabu ndiyo wanamtumia kufanya ushetani wao hao ccmu
TLS mjafanye uchaguzi huru na wa haki ili muwe mfano mwema kwa chaguzi nchi hii.
Mwabukusi ndiyo jibu sahihi wengine ni pandikizi ndiyo maana walimfanyia figisu wachumia tumbo kumuondoa katika kugombea.
Niupigaji tu
Mungu atakupa tu bon
Mhuni tu hanasifa anajifanya mwaharakati
kagombee Basi weye mpumbavu uanyejua Kula kushiba na kwenda chooni hauelewi chochote pumbavu kabisa nyie ndiyo mnatufanya Tanzania tuwe na maisha duni
Na wewe unajifanya nani? Chunga maneno yako
@@victoriabernard5287 ungejua weye mwenyewe ungechunga kauli zako za kuita viongozi wahuni MB zako zisikutie kiwewe ongea kwa hoja acha ujinga
ovyo
Tulia shoga wewe au tako linakuwasha mbwa wewe
Mwabukusi anajidanganya hawezi kuwa rais wa TLS ajiandae kwenda mahakamani kumuachia mwabukusi awe rais wa TLS ni kosa kubwa kwanza yule ni chizi.. Serikali hakikisheni huyu chizi achukui hiki kiti... Povu ruksa kwa mijitu ya chadema na ngedere wengine
Serikali ni nani kwenye uchaguzi huu? Ninyi ndio mnaotuharibia Taifa letu. Acha mambo Yako bana
Mwabukusi anagombea Kuna kushiñdwa au kushinda anachotaka uchaguzi uwe huru acha ushabiki wako wa kijinga
Kafilwe na mabasha yako huko lumumba
@@emmapaul1766Kaka matusi yanini tena
Labda wewe ndio chizi hujielewi.subili sasa ubaki na haya zako.chizi wewe.unamwitaje mtu chizi kasoma kukuzidi.
Mwabukusi ndio rais hakuna mwingine Apewe apige kazi
Hafai kabisa TLS itakuwa imefanya kosa kubwa sana ķama watamçĥa gua Mwambukusi
We sema nani anafaa, isizwe unaleta uchazwa tu.
Rudini kwenu zanzibar mbwa nyie mamamae mutakunya mavi Mwabukusi akiwa rais wa TLS wasenge wa kizanzibar
Vita ya kiuchumi ni ngumu kashindwa MAGUFULI ataweza nani?
Utaweza wewe
Kwani Magufuli alikuwa Mungu? Alikuwa mwanadamu na ana sifa ya mapungufu kama wengine msimpe sifa za ujinga
Kwani Magufuli alikuwa bwanaako
Mwalimu wako alipata shidaa san 😂