#EXCLUSIVE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 44

  • @zayanazayana5353
    @zayanazayana5353 2 роки тому +9

    Hapo Uislamu na wake wengi ni kuoa sio kuwa mahawara

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel 2 роки тому +4

    Wazimbabwe wanatengeneza mende kwenye Biscuit na Chocolate
    Mende husemekana huleta akili nyingi kwa mtu haswa watoto na mengineyo kama huyo Dada anavyo sema
    Nilipokwendaga Zimbabwe ndio niliipata hio tangu miaka 2sasa imepita
    Now ndio nasikia Tz nao wamegundua.

  • @RuzoOwzy
    @RuzoOwzy 2 роки тому +8

    Huyu anaongea kama kweli hivi.... Piga vibao na makofi saaaana huyu. Mende ndo nazi!!! 😲😲😲

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 2 роки тому +1

    Jamaniiiii 😭😭😭😭 nakula mie huku kuchefuana jamaniiiii 😭😭😭😭😭

  • @sallygrace1495
    @sallygrace1495 2 роки тому +1

    Depends on what environment
    the beetles are, normal the
    beetles have bacteria.🤔

  • @wakunatahafai1969
    @wakunatahafai1969 2 роки тому +1

    Through interview yako Acha tuzidi kukuombea mwanaizaya wew

  • @redmanlazarotayali3288
    @redmanlazarotayali3288 2 роки тому +1

    Sio mzimaa uyooo bhana

  • @salimliemba3458
    @salimliemba3458 2 роки тому +1

    Sema kweli ulkuwa wampa nini mpaka akasalit ndoa yake akaja kwako Sema kweli usione haya

  • @zacharyanthony6083
    @zacharyanthony6083 2 роки тому +3

    Huyo kigagula anachekaje hvyoo

  • @hassanbaoma8798
    @hassanbaoma8798 2 роки тому +4

    Daa utanifanya nile mende leo

  • @georgesikazwe5914
    @georgesikazwe5914 2 роки тому +2

    C aseme tu mende wanavirutubisho vya kuongeza nguvu za kiume aone...😂😂 wanaume wote tutamtetea dunia nzima

  • @nanaleetz
    @nanaleetz 2 роки тому +3

    Tunataka huyo mwanaume azje aprovee😂🙌🏼 maana naon sikuelew

  • @aboudiga6381
    @aboudiga6381 2 роки тому +1

    Ndio maana kila kukicha covid ina upgrade

  • @robertcosmas9233
    @robertcosmas9233 2 роки тому +3

    Hizo nguvu na ziishie hapo tuu

  • @rosetembe3785
    @rosetembe3785 2 роки тому +2

    Me cielewe Nia na madhumuni Nini?ebu tuacheni Basi pelekeni huko kwenye tamaduni zingine hacheni upumbavu bhana

  • @barakakusa7606
    @barakakusa7606 2 роки тому +1

    Kama Ndy hivyo basi Tutakula japo kimya kimya🤣😂

  • @rajabkhamis2303
    @rajabkhamis2303 2 роки тому +3

    Ss hichi kipindi kinafundisha nini

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma5209 2 роки тому +1

    Ulikuwa unastahili kichapo 😂😂😂😂😂

  • @mohamedbinfadhil1396
    @mohamedbinfadhil1396 2 роки тому

    We msichana una balaa sana

  • @marymanoni5536
    @marymanoni5536 2 роки тому +1

    Yani iki kidada hakijielewi kabisa

  • @aishaaisharagp9381
    @aishaaisharagp9381 2 роки тому

    Ukome kupika watu uchafu uchafu wako kulapekeyako nibora ungeliniambia

    • @apichitseso4481
      @apichitseso4481 2 роки тому

      😂😂😂 Hyo ndo dawa ya wanaume wa kuchepuka acha walishwe mende tu mwisho watapikiwa majongoo😅🤸‍♀️

  • @fabbieogy8070
    @fabbieogy8070 2 роки тому +4

    🤣🤣🤣 daah angekuua nyau

  • @Qeek_Smart
    @Qeek_Smart 2 роки тому

    Mxiiiiiiiiew heb kwenden huko

  • @xeavyjay
    @xeavyjay 2 роки тому

    This is disturbing bana

  • @sabahiali6021
    @sabahiali6021 2 роки тому +1

    Loh

  • @rhodabanda1421
    @rhodabanda1421 2 роки тому +1

    Mmmmmm

  • @angelageofrey9756
    @angelageofrey9756 2 роки тому +1

    Duu

  • @sintaibra355
    @sintaibra355 2 роки тому +2

    Kichefuchefu Nackia Mimi

  • @pichunakichuna2111
    @pichunakichuna2111 2 роки тому

    Muislaam gani wewe au Hawara

  • @niyonkurusalum318
    @niyonkurusalum318 2 роки тому

    Shetani uyo

  • @betaathumanathuman8331
    @betaathumanathuman8331 2 роки тому +1

    Kuma wewe mwehu

  • @stevensteven7764
    @stevensteven7764 2 роки тому +1

    😁😁😁

  • @sarahmcharo1548
    @sarahmcharo1548 2 роки тому

    mhh m jmn

  • @kivumbigutta7780
    @kivumbigutta7780 2 роки тому +1

    🙉🙉🙉🙉🙉🙉🤮🤮🤮🤮🤮

  • @trevanThis
    @trevanThis 2 роки тому

    😂😂😂😂