Hizo pesa kama mungezichanga halafu mukazipeleka hospital kuwasaidia watoto vyakula ingekua jambo la kheri mbele ya Allah lkn leo ni msiba mzito Allah atustiri na atusameh makosa yetu awasameh na wazazi wetu waliokwisha tangulia mbele yakki na waislamu wote kwa ujumla dunia nzima amiiiin yaarabbal aalamiyn
Allah atunusuru na zama hizi za mwisho. Leo tuna furaha pamoja lkn pia tukumbuke kuna cku 2talia na hakuna wa kutunusuru. Kwanza binaadam yafaa tuyakumbuke mauti na tulichokiandaa mbele ya Allah. Tukumbuke pia ktk maziko mangapi ya wenzetu tushahudhuria, na sisi tumo njiani.
Kwa hakika mali na watoto ni mtihani leo hii wake zetu wapo mbele kutunza hela kwa mambo ya duniya ilhali ni pumbazo tu ,yaani mtu huyo huyo ukimuomba 1000 upate chakula anakwambia hana, duh dunia tumeikumbatia sanaa wkt akhera ndio makaazi ya kudumu tumuombe mola mwisho mwema
Subhana Allah wote hao ni waislam subhana Allah uma wa kipenzi cha uma mohamed leo umekua mbele kwa machafu onyo basi musisahau akhera kwa upepo wa duniya
Allah awanusuru mamazetu na dada zetu stara hamna wengine bibi za watu hapo waume tuko wapi wamruhusu vip mkeo kufika sehem izi akiwa hali hii Allah tunusuru mitihani hii
Tupo 2019 bado ujinga na upumbavu Zanzibar unakuwa kwa kasi ya ajabu. Mungu akuhidini. Nilikuwa najivunia kuwa Mzanzibari lakini wajinga na wapumbavu wa aina hii ndio wananifanya niskie aibu. Mtastaarabika lini lakini? 😭😭😭
Nurse for life Wacha Unafiki huo Nchi gani Ambayo haina Maovu Saudia Juzi kumefunguliwa Bar haimaanishi co mji mzuri kemea Baya unaloliona Usihusishe nchi ikiwa ni kijana wa nchi nyengine sema tu
@@jumafaki1697 Saudia unajua wewe tu kuwa hakuna uovu but me naijua kuwa kumejaa maovu. But Zanzibar ninayoijua mimi kila siku inazidi maovu na ndio maana daima tutaendelea kuwa chini ya madhalim. Hata ukichukia ukweli ndio huo. Allah anasema "Umedhihiri ufisadi katika bahari na nchi kavu, kutokana na yale yaliyochumwa na mikono ya watu". Huu uovu kama huu ndio sababu ya kudidimia Zanzibar na kuendelea kufanywa koloni. Kama unadhani inakuuma peke yako Zanzibar, basi kwa taarifa tu mimi ni mpemba fyoko mpaka babu yangu wa 10😀😀😀
Mimi si mzanzibar Wala mpemba Mimi ni Mmambasa lakini nikukaa tukiombeana mngu atuepushe na maovu na mabaya mengineo .huu siwakati. Wakulaumiana ni kuomba rabbi salama nduguzangu 🙏🇰🇪kutoka 001county mambasa
Ilishatabiriwa sisi yetu nikuona na kushuhudia alafu wana sema ushoga uishe wakati wanawake ndio huwaficha na kuwapa wajiamini hawa makafiri imeandikwa watajaa kama utitiri
Ukisoma koment nying kila mtu humu inaonekana hapend furaha ya mwenzake.....achen kama mtu anatenda dhambi atajibu mwenyew na we utajbu zako mwenyewe.....ucjfanye kumjua mungu kama unampikia chai....tulza mdomo .....ww unaeshnda unaswali wenda ndo unamaovu kibao ila wengne wamesitirika acheni kuwahukumu watu ...waja hamna jema...mtu avae uchi mtaongea ajistiri napomtaongea lipi jema????😏😏😏😏😏😏chefuuuuuu
Hizo pesa kama mungezichanga halafu mukazipeleka hospital kuwasaidia watoto vyakula ingekua jambo la kheri mbele ya Allah lkn leo ni msiba mzito Allah atustiri na atusameh makosa yetu awasameh na wazazi wetu waliokwisha tangulia mbele yakki na waislamu wote kwa ujumla dunia nzima amiiiin yaarabbal aalamiyn
Aamiin
Amiin yaa rabb 🤲
Nyenye wanawake baazi yenu munapenda kuwapa sapota waseke basi tafuteni majibu mazuri sikuyasiku
subhanallah..ndio tukaambiwa wanawake motoni mutakuwa wengi..kuleni raha ya dunia..mwisho mutarudi kwa aliewaumba...hamuna haya kabisa..
Allah atunusuru na zama hizi za mwisho. Leo tuna furaha pamoja lkn pia tukumbuke kuna cku 2talia na hakuna wa kutunusuru. Kwanza binaadam yafaa tuyakumbuke mauti na tulichokiandaa mbele ya Allah. Tukumbuke pia ktk maziko mangapi ya wenzetu tushahudhuria, na sisi tumo njiani.
Wajina.message from USA. Mungu.atusai.die
@@khamisjuma4691 amin
@@khamisjuma6175 tuko.viwaja.tunatafuta.maisha. my.brother
@@khamisjuma4691 Allah akufanyieni wepesi mupate kufanikiwa. Cc bado tupo huku.
Ameen thuma Ameen
Dunia imeisha yarabi tusamehe madhambi yetu
Kwa hakika mali na watoto ni mtihani leo hii wake zetu wapo mbele kutunza hela kwa mambo ya duniya ilhali ni pumbazo tu ,yaani mtu huyo huyo ukimuomba 1000 upate chakula anakwambia hana, duh dunia tumeikumbatia sanaa wkt akhera ndio makaazi ya kudumu tumuombe mola mwisho mwema
Subhanalha. Mungu atujaalie mwisho mwema ila mtihani. Bilisi kisawamwagia kojo lake hawajitambuwi
Subhana Allah wote hao ni waislam subhana Allah uma wa kipenzi cha uma mohamed leo umekua mbele kwa machafu onyo basi musisahau akhera kwa upepo wa duniya
Allah awanusuru mamazetu na dada zetu stara hamna wengine bibi za watu hapo waume tuko wapi wamruhusu vip mkeo kufika sehem izi akiwa hali hii Allah tunusuru mitihani hii
Ameen thuma Ameen
Na mtazamaji pia
@@sabrinasayd7947 watazamaji twawaombea dua hawa wabadilike kwa maana mungu alisema yeye habadilishi mtu mpka mwenyewe ubadilike
Angekuepo kipenzi chetu leo hii angekufa kwa kilio
Ishini mutakavyoishi lakini mujue kuna kufa na safari ya huko inataka zawadi ivo basi tumuogopeni Allah
turudini kwa allah subhana wataala kwani haki imeenea kila mahali
AHSANTE SANA SHETANI KWELI MOTO UMEPATA KUNI. HAKIKA KWA MUNGU KUNA HESABABU!! WAISLAAM HII HATARI.
Ushasema kweli Hahhahhhahha
Mambo Moto mmetisha wazanzibar
*Hata hawaogopi jee itokee mtetemeko wa ardhi hapo walipo? Mungu atuongoze!* 😦
Mungu tunusuru na vizazi vyetu hali inatisha
Amiin
Mnaokometi mnalaani nanyinyi niwanafiki kwanini mnaangalia haifai kuangalia pia fyuuuuuuuu
Swadaqta waaambie wanafiki
Wapuuzi tu
Waambie wackie
Zote laaaaan hiz looooooh subbhanaallah
Kwa kweli, harusi zote za waislamu no hiwo,kama ya wale sio waislamu. Hakuna baraka.
Kumbe ndani holi kuna kua ivi mke wangu bas ruhusa za holi nimezifuta .....
Ufirauni M mungu atulindie vizazi vyetu
ummati wa Muhhamadi
saw
dahhhh n mtihan sana
sasa hawa wanatofautiana nn na manaswara!
Duh adi wazanzibar wamepotea ivi kha subhana llah jaman
nyimbo hii ya nikumbusha zuhura swalehe Mombasa Marshall
Ndo mmiliki halali wa nyimbo hiyo. Hatimiliki "hakuwapo" wakati ameimba nyimbo zake.
Halohalohalohalooooooo😂😂😂😂 kungoa jino s dawa ya pengo
kama munapenda makhaniis na kuwaunga mkono bac pendeni na waume zenu na watoto wenu wawe makhaniis
Allaahu akbar yaarabiy tuongowe wajawako
Waoo mambo ya Zanzibar hayooo nimemiss sana jaman
Naona mijuso tu. Kila unaemuangalia juso limemshushupaa. Hv wanawake wanakua lini? Mana wanayoyafanya hapo ni tofauti na umr wao🤔
Huyo muimbaji mwenyewe kama mwanamke wapo wakina amigo wanaimba lkn wana sauti za kiume
Mungu akuhidini wazanzibari
Toba toba. Toba ombeni tiba mama zangu ndugu zangu
Haaaa huu uchafuu ety tena wanafurahii jamaniii tunapoteaaaaaaaaaa
ALLAH atunusuru maana ni musiba huu.
Inna lilah waina ilayh rajiun
Allah anasema na mnacheka wala hamlii
Hii ilifaa hairecord studio.noma sana
Allah atustiri na vizazi vijjavo,na awaongoze walo potea
Innalilah wa lnnalilah yarabi tupe mwisho mwema
Mjitahidi kutunza elfu 5 n 10 wangazija wangu sio bukubuku
Me sina mingi ya kusema kila alowepo apo mtu mzm na akili zake.. Je vipi awo watoto
Mashangingi yamekamilika ni shida
Wow! Umetishaaaaaa
Zuhura Swaleh kazaliwa Pumwani....Jino la Pembe
Leteni Leten rahaaaaaaaa
Wewe upo sawa
Mmmmmmh yarabi Allah atunusuru
Noma sana🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Over 30yrs song. It reminds me home...Zanzibar!
Tenaaaa jino la pembe sii dawa ya pengo lakoo hilooo
Ulanisi na udayuthi eti hawa ni wake za watu mbele ya mwanamume asokuwa maharimu yao,ndio maana harusi zao zikawa hazidumu,ukorofi mtupu
Tukumbukeni kwamba mauti yapo tena yapo tusijisahau jamani asilimia kubwa ya waliokuwepo hapa wote ni waislamu ummati Muhammad
*Wanawake na wanaume wa motoni hao ndio ibada yao hio*
Tupo 2019 bado ujinga na upumbavu Zanzibar unakuwa kwa kasi ya ajabu. Mungu akuhidini. Nilikuwa najivunia kuwa Mzanzibari lakini wajinga na wapumbavu wa aina hii ndio wananifanya niskie aibu. Mtastaarabika lini lakini? 😭😭😭
Nurse for life Wacha Unafiki huo Nchi gani Ambayo haina Maovu Saudia Juzi kumefunguliwa Bar haimaanishi co mji mzuri kemea Baya unaloliona Usihusishe nchi ikiwa ni kijana wa nchi nyengine sema tu
@@jumafaki1697 Saudia unajua wewe tu kuwa hakuna uovu but me naijua kuwa kumejaa maovu. But Zanzibar ninayoijua mimi kila siku inazidi maovu na ndio maana daima tutaendelea kuwa chini ya madhalim. Hata ukichukia ukweli ndio huo. Allah anasema "Umedhihiri ufisadi katika bahari na nchi kavu, kutokana na yale yaliyochumwa na mikono ya watu". Huu uovu kama huu ndio sababu ya kudidimia Zanzibar na kuendelea kufanywa koloni. Kama unadhani inakuuma peke yako Zanzibar, basi kwa taarifa tu mimi ni mpemba fyoko mpaka babu yangu wa 10😀😀😀
Mimi si mzanzibar Wala mpemba Mimi ni Mmambasa lakini nikukaa tukiombeana mngu atuepushe na maovu na mabaya mengineo .huu siwakati. Wakulaumiana ni kuomba rabbi salama nduguzangu 🙏🇰🇪kutoka 001county mambasa
Najiuliza tu.katika hao wanofurahia mmoja wao akiwa na mtoto au ndugu mwenye mtihani kama huu atamsapoti pia? Nimo katika kujifunza
Ilishatabiriwa sisi yetu nikuona na kushuhudia alafu wana sema ushoga uishe wakati wanawake ndio huwaficha na kuwapa wajiamini hawa makafiri imeandikwa watajaa kama utitiri
Mungu.awaongoze
Ali kaka kama unazo nyimbo za sadiq taarab weka please
Watoto wa kingazija hao . Ukhanith na usagaji na umalaya.wanaiharibu Zanzibar
Ya allah tuhurumie sote ummat Muhammad
Hawao watoto mnafundisha nini hapo mambo yenu msiweke watoto
Wanawaka hao... Wote ni wahuni
Ali Samaki tuwekee shangingi katimuliwa rmx ya jaffar kaimba znz one
Kumbe mekap ni dili sana Zanzibar nafungua duka sasa
🤣🤣🇰🇪001county mambasa
hapo sio tanga raha kweli
Zanzibar hapo
Zanzibar mojaa hhh pambe
beautiful song and dance
Washamba mijuso mikubwa kama wamziriwa hata kukatika hawajui
Unaona choyo tu wanajuwa
Choyo icho
Hhh hukatiki nyimbo hizi ndo asili yake
Furaha yao nihio waznz taarabu
apo ni udi tu sio jasho la sigara😍😍
Jino la Pembe si dawa ya Pengo.
😂😂😂😂😂Mthn huu
Home sweet home!
Wasagaj mnae shoga yenu
Jaffar kumbe ni hanithi
Visiwani mnatuangusha nyonga hakuna misuli imekaza kama nini bwana 🙄🙄
Taarabu za pwani hazina haja kiuno,hizo ni za kwenu sijui roshan roho
Hatari na nusu
Wapi nduruuu za Jino la pembeee, Zilipendwa.
Duh apo sasa palikua peupeeeeeee
Ndio maana siku hizi wanaume wanaambiwa wasiwepo ili uhuni wao waufiche
Namtafuta Mau zindi
Je yuumo ?
😆😅
tenaàaaaaaaaa
Haikua bamba itakua kuti.
Subhannallah
KUFIKA HUFIKI UNGAKWENDA MBIO.
0
Subhanallah inamaana hii ni Pemba
❤❤❤❤
Jamaniii kuna watu humu full mawaidha kwani inakuaje kuingia wakachoose wakaangalia akaa punguzeni mashke
Sante
♥️
Kina nani hao🤣🤣
Kito Mussa na genge lake hahaha
الله يهديكن
آمين
صحيح الله يهدي أمة مسلمين
Na iyo plz nitumie
Astaghfir LLAH.
How you can astaghfiru-Allah and at the same time you watching 😡
Poa
Ukisoma koment nying kila mtu humu inaonekana hapend furaha ya mwenzake.....achen kama mtu anatenda dhambi atajibu mwenyew na we utajbu zako mwenyewe.....ucjfanye kumjua mungu kama unampikia chai....tulza mdomo .....ww unaeshnda unaswali wenda ndo unamaovu kibao ila wengne wamesitirika acheni kuwahukumu watu ...waja hamna jema...mtu avae uchi mtaongea ajistiri napomtaongea lipi jema????😏😏😏😏😏😏chefuuuuuu
Sorry toba toba
Msichanganyike basi
Hatari na nusu