JINSI YA KUTUMIA NA KUFUNGA DRIP IRRIGATION SYSTEM, UMWAGILIAJI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 20

  • @bonifacemarick5825
    @bonifacemarick5825 5 місяців тому +2

    Gharama za kuinstal heka moja ni sh ngap ?

    • @yourportal
      @yourportal  5 місяців тому

      Karibu sana Mr Boniface, Gharama itategemeana na Umbali au Mazingira ya Shamba Yalipo. Kwa mawasiliano ya uhakika na maelezo zaidi tafadhali tutafute kwa mawasiliano ya email au namba ya simu.

  • @lovenessAbdueli
    @lovenessAbdueli 2 місяці тому +2

    Nmefrai kujifunza hindi ya kuconnect mfumo wa drip irrigation

    • @yourportal
      @yourportal  2 місяці тому

      @@lovenessAbdueli Karibu sana, Tunajivunia wewe wakati wote. Usisite kushare na wale unaowajali.

  • @NANCYWARD488
    @NANCYWARD488 5 місяців тому +2

    Ekari 3 gharama zenu ni kiasi gani ?
    Vifaa nanunua mwenyewe

    • @yourportal
      @yourportal  5 місяців тому

      Karibu sana Nancy, Gharama itategemeana na Umbali au Mazingira ya Shamba Yalipo. Hata hivyo gharama zake ni affordable. Kwa mawasiliano ya uhakika na maelezo zaidi tafadhali tutafute kwa mawasiliano ya email au namba ya simu.

    • @kuntakinte7339
      @kuntakinte7339 Місяць тому

      Mbona hawatoi namba hofu hawa matapeli ni huwenda!!!

  • @kuntakinte7339
    @kuntakinte7339 Місяць тому +1

    MBONA namba zasimu hutoi aunawewe nijipu tu😆😅😁

    • @yourportal
      @yourportal  Місяць тому

      @@kuntakinte7339 Karibu sana, Unaweza kutoa hoja yako bila Lugha mbaya na tukaipokea. Asante.

  • @conradkayenze2301
    @conradkayenze2301 4 місяці тому +1

    Nikihitaji hivyo vifaa (drip pipes na connectors zake) napata wapi

    • @yourportal
      @yourportal  4 місяці тому

      Karibu sana, kwa sasa Tupo Dodoma.

  • @VictorjeremiaJeremia
    @VictorjeremiaJeremia 2 місяці тому +1

    Mimi nilipoteza izo connecter na raba za drip,,, uwezekano wa kununua zingine upo na ni wapi zinapatika

    • @yourportal
      @yourportal  2 місяці тому

      Karibu sana, ndio uwezekano wa kupata zingine upo. kwa sasa tupo Dodoma.

  • @AnthonyMarkos-uq2dp
    @AnthonyMarkos-uq2dp 4 місяці тому +1

    Abar duka la vifaa liko wapi

    • @yourportal
      @yourportal  4 місяці тому

      Karibu, Kwa Dodoma lipo 4ways.

  • @AvinAlphonce
    @AvinAlphonce 2 місяці тому

    Yap audi bei yake

    • @yourportal
      @yourportal  2 місяці тому

      @@AvinAlphonce Karibu sana, tutumie email kupitia... ibra050794@gmail.com Nasi tutakujibu haraka na kukupatia mawasiliano zaidi

  • @gigwamayara73
    @gigwamayara73 2 місяці тому

    Namba za simu sioni

    • @yourportal
      @yourportal  2 місяці тому

      @@gigwamayara73 Karibu sana, tutumie email kupitia... ibra050794@gmail.com Nasi tutakujibu haraka na kukupatia mawasiliano zaidi.