Hello guys kumekucha like zangu mniwekee na maua ya my brother weeeee mbona hamjaniita mapema jamaniiii mkoje 😊😊😊😊lakini kama ulimumis hemedy kama mimi hapa nipongeze hata like moja🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤ Nilimiss San move yako hemedy yani haaaaah Ata sijuhi niseme nini Maan am very very happy 🌹🌹
Chande ,chande chande nimekuita mara tatu aseeeh nakupenda Sana movie zako nzuri na zinafundisha ❤️❤️
Mnaomkubali Ahmed Chande Like zenu hapa🎉🎉🎉❤❤
Hemed nakubalii sana movie zako kutak 🇰🇪
Leo niko tano likes zangu basi ata kumi tuh from 🇨🇩 🇨🇩
nawa penda sana mafans wa hemed chander 😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😄
Love from kenya for real mie shabiki wako
Kazi nzuli san tunaapenda san kutoka Burundi 🇧🇮 ♥️ ❤
Wazaz wa hv hata hawafai kuigwa na jamii ,, kwnz kamdada kwenyewe hvyo ooh
Waaooh. Nice Chande nakukubali sana aseeh c unajua vile nakupenda kinoumar yah. Aaaaaaaiiiiih ❤❤❤❤❤❤❤
Chombo nimeipenda iko kwenye ubora wake
Mimi wa kwanza jameni 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 likes nazitaka
Movie nzur Cy poa chukua maua yak hemed chande 🎉🎉🎉🎉❤❤
Tunakupenda wote ❤❤❤
Daah chande mii nishabiki wako kufa na kuzikana kk❤❤
Mtu wa kuzagazaga😂😂 npewe like from Kenya 🎉
Chande unachelewa bro ila kazi nzr Mariam Niko oman team strong tujuane
Waaaaoh jmn tunaomb nyingn please❤❤❤🎉
Mashaallah movie iko sahihi wallah but part zengine waaaa yani tha n bc,haziitaji mtu mmoja jaman maupendo kibao snaa❤❤❤❤❤
Nyie jamani nampenda sana uyu kaka🎉
Wow ahsante tunashukuru congratulations we appreciate kwa kweli nimejifunza mengi❤❤❤❤
Nawakubali sana mungu awa tangulie 😂😂❤
Wapi kelele kwa hemedy chande🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤weeeeèee
Uko vizuli Sana KK hongela san.tunakupendasanda ❤❤
Nazielewaga sana hizi movie za jamaaa ❤❤
Hemedy nimekukubali sana .. movie ni Kali sana
Mwamba unajua sana kazi nzuri sana
Kazi nzuri🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nmependa hiyo my Dad
Jamaa anajuw cna hanaga kazi chafu
❤daa@aaaaaaaaah huyu mtu ga store yuko vzr sana aiseeeee shabiki wa kwanza hapa 🤷
Kazi nzur Ahmed pamoja sana 🎉🎉
Chande kwa kwelii big up sana wa kwanza from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Jamani Hemedy movie zako zoote nasipenda saana ❤Mana unatubururdisha sana
Dah ma kiss jamn had me naona wivu lakin hemedy why😂😂me nakupenda sio kukupend bure🥰
Nakubali sana kazi ze hemedi chande
Love you guys from Burundi 🇧🇮
Your movies are always the bestttttt❤️❤️
Mimi ninavyo kukubali sijuwi kama kuna mwengine I like you Hemedy chande
Hemed siku hizi hutupi vitu kila siku wakaa mpaka nakusahau 😂😂❤🎉
Asante sana kwa movie nzuli nayenye mafunzo mazuli sana ubalikiwe sana nakupenda sana l love you baby❤❤❤❤❤❤
Movie nzuri hemedy nik nyuma Yako tena napend kaz Yako unacheza vuzili nanusapoti sana mimi hapa kutoka Burundi 🌹🌹
Eeeeh hii movie imefanya nkalia aki iko part 2 ikam aki❤❤
Hemed like the way you act I'm from Europe
wimbo mukali nani kalielewa ilo gonga like kama umekasikia vizuli guys🎉🎉
Hemedy nilikuwa nimekumiss sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 pokea zawadi yako
Nakubal kaka umetisha Mungu azidi kukupa upeo mkubwa zaid na zaid,,,,aiseh utafika mbali sana kikubwa zaid endelea kutoa mafundisho haya kaka...
Unyama ni mwingi Hemedy💪
Movie nzr sanaaaah, imetulia
Kaz mzr kaka lkn baba asha hakutenda haki mana ata yy anatarajia kusameewa kwa Allah 😢😢
De swahili was so lit fire chande forever
Congratulations for you hemedy chandeee ❤❤❤❤❤ big up sanaaa
Nakupenda sana chande napenda gisi unacheza movies mtu wangu mungu akulinde
Wanaume mujifuze kupitia huu maxi mwanaume.kujiamini ❤ maxi ukitaka wapili niko hapa 😊
Unymaa sanaa❤❤, tumepata funzoo
This is so much better. More love from kenya nakubali kazi yako bro.
Always uko poaa Actor c fans tupoo
Tunazid kukuombea na Kaz zako piaa
Usijali tupo pamoja sana❤
Iyi nikali sana m paka lipenitowa chozi bro
Me nilijikuta na cheka kama kichaa nimeipend hii baraaa❤😊
Congratulations 🎉🎉🎉bro much love from 🇰🇪 ❤
Ctak kuongea k2 Zaid ya kusema hujawah kukosea kwenye mov zako❤️❤️❤️❤️❤️
Oya mwanangu hemedy umetisha kinyama nyama yani ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Anafanya vzr san hemedy mungu akupe nguvu na uendlee kufanya Kaz vzr Zaid bro
❤❤❤ww ni mwamba kwa sasa hamna anaekufikia kwenye movie au ndo umepewa mikoba ya Steven kanumba wazee tumsapotini mshikaji sabuscrab na kusheir Ili aendelee kutupa vizur zaidi
Who else here enjoying sweet movie without subscribing surely 😢
Baada ya kunitajia tu nikakimbia moja kwa moja kuiangalia namkubari sana hemedy 🥰
Upo vizuri broo Uwe natowa cinéma kwa muda maana tuna Ku miss saaaana
We love you my Bro Hemedy from Burundi 🇧🇮
Congrats kwa movie zko...keep glowing boy..
At least leo nimewahi kidogo 🎉🎉🎉
Uko vizur sana hemedy
unajuwa sana naunawatu wanaojuwa brooo tuko pa1
Pamoja sana chande kazi nzuri usichele kuleta nyingine😊❤
Kwa kweli chande movie zako MashaAllah 👌tule teeni nyingine InshaAllah
Aaaaaah mwenetu kl w noti yani kabla ata sija tizama movie lenyewe tayani nishanogea ❤daaaaah aiseeeeh kl w nomaaaaash❤❤❤❤❤❤❤❤
Hemed anatoaga hits movie znamafunzo sana aseee big up sana
Sasa inabid uwe unatoa kama episode itakuwa poa sana
Great aisee😊
Nakufata nikiwa Congo wewe ni Noma🇨🇩🇨🇩💪💪
Mashaallah hemedy FURAHA BABA❤❤❤😂
❤❤❤❤❤❤japo imenitoa machozi 🎉🎉🎉🎉🎉
Nakkubali bro chande mm ni shabiki wko kutoka kenya naangali muvie zko nikiwa gulf am team strong ❤❤❤lady z,k.
Chande unamovie nzuri mnoo ❤❤ na zinafundisha San San an
Nakukubali brother chande huna baya❤❤❤❤
This man is so talented😊😊😊😊😊😊😪😪😪😪😪😪🤯🤯🤯🤯🤯🤯🤯🤯
Hemedy nimependa sn haki ww ndio kwanaume mkamilifu❤
Oya we msenge unajuaaa🎉🎉🎉
Broʻ chande
Kweli huyo ni parfect woman maan daa🫡
ahsanteni kwa upendo mashabiki zangu ila musisahau kusabscribe ili munipe nguvu ya kuendelea kufanya zaidi😢
Tupo na wewe brother
I really love u ❤️ @Hemedychande7956
Gud san
Pamoko brother,,
Hemedi Zaman tulikua unaishi mtaa mmoja wa ndengeleko mtonganii yule kaka yako chande yuko wapii skuizi