Ni ujumbe mzuri sana mashallah ndugu mtunzi umetufikia maut nikitu cha kufikiria sana mana uja wakati usio ujua kikubwa nikufanya ibada🙏🏻🙏🏻mola atupe mwisho mwema amin
Tatizo langu nihili kuna mdogo wangu haoni lkn hii kasida yako anaipenda mashallah ata aende sehemu yeyote ile bas anataka kuekewa hii kasida na sana anataman kumuona juma faq na wew anataman sana sana
Ujumbe ni mzuri sana na umeshiba mawaidha, tatizo njia iliotumika kuufikisha ndio ina mushkeli. Vinanda na ngoma na mziki si katika njia sahihi za kufikisha ujumbe. Rasuul hakuwahi kuitumia njia hiyo. Nawaomba mutafute njia sahihi ambazo Rasuul alitumia. Wallahi ujumbe mzito
Asalam alaykum warahmatu lwah wabarakatuh ebwana hii qaswida nemeikubal hadi nikiiskiliza nalia ebwana uzito wa umauti aujuaye maiti na alwah alwah awalipe wote walofanikisha shairi hili
Hatr sana hiyo makamu rast ya viwango 👏🏻👏🏻ukichanganya na ujumbe mzito wa umaut.hakika mmeitendea haki na nimerudia kusikiliza zaid na zaid mwishowe ni kulia tu.😭😭😭yaarabi tupe khusn ll khatima.
Mashaallah kasida nzuri mungu atupe mwisho mwema
Allah atupe mwisho mwema inshaallah
Naipenda sana hii haishi hamu nikiisikia hii kaswida
Hakika namkumbuka mama yangu sana. Tulimkuta ameshalala. Allah amrehemu
Tupoe na msiba ndugu yangu ndio safar yetu sote
Mashaallah juma fak mungu akudumishe
Ivi nyie mnaakili mtu anaimba nyimbo et Masha Allah allah awaongoze n awo wasanii wenu
❤❤❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 amazing 😍 kwaswida
Kweli mauti yanauma sana tuzinduken waislaam kufanya ibaadat nakutenda yaliyo mema yatakayo tunufaisha kesho akhera inshallah ياالله بها ياالله بها ياالله بها ياالله بحسن الخاتمة عندالموت
Hakka kiongz yatupasa tukae chini na tufikirie hilo jambo la mautii
Mashaallah allah atupe mwisho mwema
Hashir na juma mko juu sana kwenye hiii kaswida
Masha Allah bila ya unafki hii hii kaswida nzur mno yaan ina ladha haswa
Mashallh kk kwakweli akiliyako imefikiria neno zitosanaa subuhana
Nam mautii ni yakufikiria kila dakika
shukurani kaka kwa ujumbe uu unao wafungua maskio waisilama masha Allah Allah akujalie kila la kheri insha allah 😭😭😭😭😭
Asante nashkr pia kwako mungu atujalie mwsho mwmaa amn amn amin.
Kazi Mzuri Sana.. from Toronto Canada..ujembe mzuri
Maashaallah yaani maalim Juma kumbe unaweza eti kusoma qaswidah za samai, kiukweli kazi nzuri sana al-habib
Huyu Juma njia zote anapita
@@muryd6999 yeah nikweli kijana yupo sawa maashaallah
Hizi ndio Qaswida mashallah sio kila siku za ukungwi na kusutana tu
Hakka
Ni ujumbe mzuri sana mashallah ndugu mtunzi umetufikia maut nikitu cha kufikiria sana mana uja wakati usio ujua kikubwa nikufanya ibada🙏🏻🙏🏻mola atupe mwisho mwema amin
Asante kiongz wangu
@@hashirmohdy8980 upo ndugu na maongezi na wew
@@wafashkimnana9167 Sw amna ttzo mmi nipo nam
Tatizo langu nihili kuna mdogo wangu haoni lkn hii kasida yako anaipenda mashallah ata aende sehemu yeyote ile bas anataka kuekewa hii kasida na sana anataman kumuona juma faq na wew anataman sana sana
Ata ukimtuma hawez kuenda kama hujamuekea hii kasda ya mauti
Nyengine aliesoma juma faq swala
Ahsante kwa ukumbusho akhy
Mashaallah ujumbe mzuri sana Allah atupe mwisho mwemaa
Amin amin
Inasisimua inahuzunisha ❤❤
Hainishi hamu kuisikiliza 🎉 ❤
oooh shukrn
Ujumbe ni mzuri sana na umeshiba mawaidha, tatizo njia iliotumika kuufikisha ndio ina mushkeli. Vinanda na ngoma na mziki si katika njia sahihi za kufikisha ujumbe. Rasuul hakuwahi kuitumia njia hiyo. Nawaomba mutafute njia sahihi ambazo Rasuul alitumia. Wallahi ujumbe mzito
Ww sasa hivi ujumbe unaoufikisha kwa huyo muimba kaswida Mtume Muhammad saww aliitumia... nakusudia simu na UA-cam...?
Tunawapata vizuri mko vizuri aisee ujumbe safi🇹🇷🇹🇷🇹🇷
Ishaallh kiongz asante sn
Mashaallah kiongozi kazi mzr na ina ujumbe wenye kusisimua nafsi hongera sana kiongozi Mungu akuzidishie kipaji zaid ili uendelee kutukumbusha
Amn
Mashallah 😍 allah atupe mwisho mwemaaa ameeen allahumma ameen yaraabb
Amn
Mashallah kasida ❤❤
😭😭😭Masha Allah kaka zangu shukran pia kwa ujumbe mzuri kabisa Allah atujalie mwisho mwema kwa sote 🤲Ameen yaa Rabbi nikiwa Bahrain 🇧🇭nawapata vzr San
Asante kwa kuwa pamoja nasi pia nasisi tupo pamoja nawewe kwa kila hal tunakpnda
Aisee
Tupo wote huku🇧🇭 InshaAllah Allah Atupe khusnul khatima🤲🥺🥺
Amiin
Mashaalah Mashaalah. M mngu awajaalie umri mrefu wadogo zangu. From 🇰🇪
Amn amn
Miamba imekutana, kazi imepata watu Ahsanteni
Dooh naww asante kiongz wangu
Ile qaswida ya yatima mbona haipo you tube iliyoimbwa na juma faki pamoja na faki mbarouk
masha Allah yarab Allah tujalie mwisho mwema yarab 🙏
Amn amn amn
Ameen Yaaa_Rabbih
Laa ilaaha illa llahu muhammadan rasuulu llahi, mauti hayana mkubwa wala mdogo mauti hayana maskini wala tajiri, laailaaha illa llahu muhammadan rasuulu llahi
Dooh
Mashallah kazi Mkubwa sana na inaishii miaka yote yan
Nam hkka
Asalam alaykum warahmatu lwah wabarakatuh ebwana hii qaswida nemeikubal hadi nikiiskiliza nalia ebwana uzito wa umauti aujuaye maiti na alwah alwah awalipe wote walofanikisha shairi hili
Nam hakka sisi sote ni maitii kwaio tunatakiwa tuwe tunakumbushana kila mda asante nashkr naww kwa kuipokea na kuipenda mungu atakulipa amn amn amn.
Nashkuru
Ila nisalimie kaka faki and juma
ujumbe mzur mashallah
Ujumbe umeshiba kazi ni kwetu
doooooh mauti kazi kubwa sanaaa
Asante kiongz wangu
Sauti nzurii ❤❤
ya Allah tujalie mwisho mwema 😭😭😭
Amin amin ishaallah
Iiih nimeshindwa kujizuwya kk yangu machoz yannitoka kiukwl
Pole sn akhy
Nawapenda sana
Honger kijn 👏👏🔥🔥
Ishaallah
Kazi nzur yenye ujumbe ndani yake
Asante sn nashkr
Kak nakupendaaaa San Kaz nzru San unatukumbush Mashaaaaalh alha akufnyie weps kwa kaz zko
Asante nkpnda pia ishaallh
Mungu akujarie sana hashir
Kazi mzuri kaka mashallah sauti mzuri Allah awalipe khery
Ishaallh asante sn
Mashallah Message Sent!
Asante zanzbar qaswda nashkr sn
Ujumbe mzito jamn huo
Kazi kubwa sana iih mashaallah
Sante nashkr kka
Umauti Unatisha. ILLAH KARIM Atupe Mwisho Mwema.
Amin
Mashallah aswidah matata sana mpka nimetokwa na machozi wallah dah allah atupe khatma njema ... yani hashir kma nakuona kijasho kinakutoka ...TUSIJISAHAU JMN
Nam hakka MAUTII yapo na yatatufika bila ya mashaka tujiandae na safari tusiojuwa lin au wakat gani itakuja
Mashaallaa kz inatya huzunii
Rast matataa na ujumbe ndio umemaliza
Mashaallah ujumbe mzito
Asante bro
Mashaa Allah kz nzury Allah atujaaliye sote waislam hatima njema
Ishaallah amn amn amn.
@@hashirmohdy8980 amina yaa rabbi
@@hashirmohdy8980 nirushiye Qaswida bc kk yangu ktk imani whatsApp
😢 Yaraby tujaalie mwisho mwema
Innali llah qaswida inanikumbusha mbali Sana sbhana llah
Tumuombe mungu ili tuwe na mwsho mwema ishaallah
Dooh ujumbe mzito na watu wanatutoka tu hakka haya mawaidha tosha
Nam
Yaarabi tujalie husunul hatima
Nmeipenda sana
mashaAllah maqaam rast imetulia sana
Naam hkka kiongz
Kasuda ndjema halissi ❤
Beaucoup d'émotions dans le rythme.
Tsi abonné hasibabu de kasuda yinou.
Mashallah
Mashaallah
Ta voix est douce. Ton binôme assure avec une voix aiguë ❤❤❤
Mungu atupe mwisho mwema
Amin
Naipataje hii kasida jamani naitaka please....mashalwah
Asante
0779173756 utaipta nichk tu
Mashaallah big up Sanaa 😭😭😭😭😭tunajisahau San waislam
Na ndio tukamua kukumbushaa juh ya ili jambo la mauti
Masha allah kazi kubw sana hiii 😭😭😭
Oooh asante sn
الله أكبر تبارك الرٌحمان ☝️😔🥺😭🤔
Ya Allah tujaalie mwisho mwema na makaazi mema ya kesho akhera ya Rabb.
Amn amn
Dooh mackn😭😭😭😭
Mashaallah ujumbe umefika
Kilicho bax ni kufnywa kaz tu
Subha Allah jaman mauti hongeren miamba hatari kazi mzuri
Dooh asante kiongz wetu tunashkr sn
Mashaallah hakika ukumbusho utawafaa wenye kuamin
Naam
Dooh maut tujiandae
Hatr sana hiyo makamu rast ya viwango 👏🏻👏🏻ukichanganya na ujumbe mzito wa umaut.hakika mmeitendea haki na nimerudia kusikiliza zaid na zaid mwishowe ni kulia tu.😭😭😭yaarabi tupe khusn ll khatima.
M mngu atupe mwisho mwema 🙏😭😭
Amni
maashallah haadhaa hakkun wallaah
Dah umeitokeya
Hakka kiongz wangu
Mashallah kazi safi kabisa
Ishaallh
Yarab tujaalie mwisho mwema😭
Amn
Mashallah Uyakumbuke Mauti
Nam hakka manno yako
MashaAllah MashaAllah MashaAllah 🙏😓 😭😭😭
Hakikaa mauti ni ukumbu
Naaaam
Mashaallah Allah akuhifadhi na afya tele
Amn amn amn kwa sote
Ujumbe mzur
Nice kka
Masha ALLAH.
Ni kasida iliyosomwa kwa utulivu yenye mawaidha makubwa.
Nam hkka kk
Well done kaka
Asante mwamba
😭😭😭 ujumbe mzito
Dooh hakka manno yako tufanyie kaz tu
Maneno yameniishia....
Maashallah kaz kubwa sn
Asante sn nashkr sn
Hujmbo
Nina shda na we naomba nkupe number zangu unichek whatsap 0628336007
Fanya ivo usidharau nitafute
Hashri au mimi
Nyote mumeitendea hakii iih kasida yani ujumbe umefka mdgo wangu
Asante kk
Dooh Allah vittaahh
Tukae tukijua kua maut n lazm mungu atupe safar y gheir n salam
Naam kabisa tujiandae na safari hii isokua na viza wala pasport
Hashir hiii Kaz safiiiii sana
Dooh nashkr mwamba
dooh asante mwm
Masha Allah Mwalim Wangu
Shaqqi
Duh hatari san 😭😭
😭😭😭
Kaz mzuri mwalimu juma ahsanten
Naww asante sn
Mashaallah ujumbe mzito sn kk yangu
Nam hkka
Dooh mackn mdogo wngu
Khtr kubwa sn
Mauti mauti mauti ya Raaaaaaby husni lihaatima😭😭😭😭😭
Amin
Mashallah mungu awabariki
Amn amn kwasote
Hii qasda haina mpinzan kwa pande zote
Allahu akbaru Allahu akbaru Allaaahu akbaru😭😭😭😭😭😭
😥😥😥khatr sn
balaaaah