Hongera sana, ndio mtu wa pili kwenye simulizi za maisha, ambaye hajawa mchoyo wa taarifa, na ndio maana anafanikiwa, wa pili ni yule wa Manyara mwenye kiwanda cha vinywaji vikali, nimefurahia sana interview hii
Huyu tajiri sura yake si ngeni kwangu nimemuona akiwa chini kweli mungu akiamua kumpaisha mtu anaweza kama itapendeza njoo upande wa migodi huku north mara kuna frusa za uchimbaji
Yan ni hivii ukiwa sio Malaya unafanikiwa basii wnye uwezo waache kuekeza kwnye ngono waekeze kwnye Mambo muhm la sivyokila siku utaona wabaya watu Amin kwamba
He jamani kuna wengine wanaishi mbinguni au duniani.sasa mbn bado kijana sana afu unazungumzia zamani zamani.jamani kuna wwngine duniani kwel wameishi hata wakipita historia inasoma eee hadi rahaaaaa
Hongera sana, ndio mtu wa pili kwenye simulizi za maisha, ambaye hajawa mchoyo wa taarifa, na ndio maana anafanikiwa, wa pili ni yule wa Manyara mwenye kiwanda cha vinywaji vikali, nimefurahia sana interview hii
Mashaallah Allah akibariki zaidi na zaidi
One of a my favourite interested interview. More Blessing Upon You.
Mashaallah azidi kukuinua hamna kisichowezekana na mimi nitapambana nshaallah
Kenya tuko ndani ya nyumba. Hongera Hamidu kwa kazi nzuri. Nafurahi tu jinsi Zama anavyochukua notes.
Namsubir Bakharesa 🙏🙏🙏 Mpare damu umepambana vyakutosha hongera sana
True, motivative, inspiring story♥️♥️
MashaAllah Mungu ambakir zaidi kwa juhudi zake he's the best 👌
Very inspired kaka, may ALLAH bless u
Very Inspiring... May ALLAH continue to Bless You Bro.. Asante Zamaradi...
Interviewer pia uko vyema sana unajua unachohoji ili kinatusaidia sana
Mashaallah Tabaraka Rahman, kweli hakuna linaloshindika!
Mashallah
Yesu wangu akutunze
Huyu tajiri sura yake si ngeni kwangu nimemuona akiwa chini kweli mungu akiamua kumpaisha mtu anaweza kama itapendeza njoo upande wa migodi huku north mara kuna frusa za uchimbaji
Mashaallah amepambana vyakutosha
Hongera sana kwa kufanya mambo makubwa
Mtu wa dini na roho safi what a good stories and inspired .
Brooo. uko vzr sanaaa
Hongera sana baba
Napenda historia ya maisha yako kwa kua nami nimehangaika sana
Masha Allah
Yan ni hivii ukiwa sio Malaya unafanikiwa basii wnye uwezo waache kuekeza kwnye ngono waekeze kwnye Mambo muhm la sivyokila siku utaona wabaya watu Amin kwamba
Very inspiring
Nimejifunza kitu kikubwa sana kuwa kila kitu ni vyema kukifanya kwa siri
👏👏👏
Dada zamaradi naomba msaada uniconnect Na huyu brother nimtengenezee app nina idea nzuri . Mwambie Mimi ni mdogo Wake kutoka kilomeni
Bora mtafute mwenyewe uliza kwa watu na Google na mungu atakusaidia
Mm naangaika pa kulala wengine wana nyumba zote izo ila mungu ampe ekima ya kutumia izo mali izur
Ameen
@@khadijahali4837 Amiin Ila usikate tamaa Allah anawapenda wasiokata tamaa na kuwa na matumaini kuwa Kuna siku atawapatia
Samahani hii ya jonas
@@hadijamandanje6189 😊😊
@@hadijamandanje6189 amin
Hongera sana
ila kusema kweli zamaradi wewe mzuri sana
Aisee mungu. Akisema yes hakuna wakusema no naukimya unamaana
Tusikate tamaa lkn ni ngumu jmn
namimi munguu anisaidiee tuuu
Uyu jamaa mwamba sn aise🙌
He jamani kuna wengine wanaishi mbinguni au duniani.sasa mbn bado kijana sana afu unazungumzia zamani zamani.jamani kuna wwngine duniani kwel wameishi hata wakipita historia inasoma eee hadi rahaaaaa
HUYU MPARE ANAYO AKILI SIO HABA..AFU ANA USIRI ,UKIWA MSIRI RAHA SANAA
Naitaji namba jaman
Inahamasisha kuendelea kumsikiliza
Hongera
😋💯🤔
Hamidu amefanana na MUZAMMIRU YASIN kiungo wa simba
daaa!!!. aka kadada ni kazr
Da Zamaradi nambie kipenzi, Hamidu kasema mifuko ya sim sikuelewa mifukk ya sim ndionini?
Labda utakuwa haujaikuta. Simu za zamani zilikuwa na mifuko yake ya kuwekea. Ingia Google utaiona.
Siku hizi kuna makava. Ila zamani tulikuwa tunaita mifuko. Ilikuwa mininge ukivalisha simu unachomeka kwenye mkanda kiunoni.
🎉
Mimi nilitumia sm zake nyingi zilikuwa fake.
Tukusaidiaje sasa?
Mashallah,, Ila tusaidie izo bei z nymba weeh
Hamidu nikopeshe nymba ntalipa kila mwezi
Hauna say jealous Kuma we leave my family alone
Hongera