SEHEMU YA PILI YA BILIONEA HAMIDU ANAEMILIKI NYUMBA ZAIDI YA 120 ALIYEANZA KWA KUPIKA MAANDAZI.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 58

  • @adammlonganile7921
    @adammlonganile7921 2 місяці тому +1

    Hongera sana, ndio mtu wa pili kwenye simulizi za maisha, ambaye hajawa mchoyo wa taarifa, na ndio maana anafanikiwa, wa pili ni yule wa Manyara mwenye kiwanda cha vinywaji vikali, nimefurahia sana interview hii

  • @HidayaBomani
    @HidayaBomani 7 місяців тому +1

    Mashaallah Allah akibariki zaidi na zaidi

  • @jumannekatalambula4302
    @jumannekatalambula4302 5 місяців тому

    One of a my favourite interested interview. More Blessing Upon You.

  • @shamsumikidadi1765
    @shamsumikidadi1765 Рік тому +1

    Mashaallah azidi kukuinua hamna kisichowezekana na mimi nitapambana nshaallah

  • @josephomuto3240
    @josephomuto3240 3 роки тому +5

    Kenya tuko ndani ya nyumba. Hongera Hamidu kwa kazi nzuri. Nafurahi tu jinsi Zama anavyochukua notes.

  • @kitonekantasha1687
    @kitonekantasha1687 3 роки тому +6

    Namsubir Bakharesa 🙏🙏🙏 Mpare damu umepambana vyakutosha hongera sana

  • @noelsimonmushi
    @noelsimonmushi 24 дні тому

    True, motivative, inspiring story♥️♥️

  • @amraabdallah9446
    @amraabdallah9446 3 роки тому +3

    MashaAllah Mungu ambakir zaidi kwa juhudi zake he's the best 👌

  • @maindachausa3912
    @maindachausa3912 3 роки тому +8

    Very inspired kaka, may ALLAH bless u

  • @sheshem5453
    @sheshem5453 2 роки тому +3

    Very Inspiring... May ALLAH continue to Bless You Bro.. Asante Zamaradi...

  • @adammlonganile7921
    @adammlonganile7921 2 місяці тому

    Interviewer pia uko vyema sana unajua unachohoji ili kinatusaidia sana

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 3 роки тому +6

    Mashaallah Tabaraka Rahman, kweli hakuna linaloshindika!

  • @sharifakhamis230
    @sharifakhamis230 3 роки тому +4

    Mashallah

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 6 місяців тому

    Yesu wangu akutunze

  • @wangwemseti7592
    @wangwemseti7592 3 роки тому +5

    Huyu tajiri sura yake si ngeni kwangu nimemuona akiwa chini kweli mungu akiamua kumpaisha mtu anaweza kama itapendeza njoo upande wa migodi huku north mara kuna frusa za uchimbaji

  • @hajeralqaidi2115
    @hajeralqaidi2115 3 роки тому +4

    Mashaallah amepambana vyakutosha

  • @emmanuelmasanja6040
    @emmanuelmasanja6040 Рік тому +1

    Hongera sana kwa kufanya mambo makubwa

  • @nasseaman3720
    @nasseaman3720 3 роки тому +2

    Mtu wa dini na roho safi what a good stories and inspired .

  • @richardsaidi2448
    @richardsaidi2448 3 роки тому +2

    Brooo. uko vzr sanaaa

  • @selemanisaidi3457
    @selemanisaidi3457 3 роки тому +3

    Hongera sana baba

  • @sikitujuma4866
    @sikitujuma4866 3 роки тому +3

    Napenda historia ya maisha yako kwa kua nami nimehangaika sana

  • @shifaaal-baity4503
    @shifaaal-baity4503 3 роки тому +3

    Masha Allah

  • @sashoright8213
    @sashoright8213 2 роки тому +3

    Yan ni hivii ukiwa sio Malaya unafanikiwa basii wnye uwezo waache kuekeza kwnye ngono waekeze kwnye Mambo muhm la sivyokila siku utaona wabaya watu Amin kwamba

  • @doricelugundiza4849
    @doricelugundiza4849 2 роки тому +1

    Very inspiring

  • @mustaphalushoto3262
    @mustaphalushoto3262 2 роки тому +3

    Nimejifunza kitu kikubwa sana kuwa kila kitu ni vyema kukifanya kwa siri

  • @a.856
    @a.856 3 роки тому +3

    👏👏👏

  • @ghoststpatrick9878
    @ghoststpatrick9878 3 роки тому +7

    Dada zamaradi naomba msaada uniconnect Na huyu brother nimtengenezee app nina idea nzuri . Mwambie Mimi ni mdogo Wake kutoka kilomeni

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 3 роки тому

      Bora mtafute mwenyewe uliza kwa watu na Google na mungu atakusaidia

  • @anisajonas5241
    @anisajonas5241 3 роки тому +5

    Mm naangaika pa kulala wengine wana nyumba zote izo ila mungu ampe ekima ya kutumia izo mali izur

  • @linahcaro4780
    @linahcaro4780 2 роки тому

    Hongera sana

  • @kareisindilo2776
    @kareisindilo2776 3 роки тому +4

    ila kusema kweli zamaradi wewe mzuri sana

  • @mwanaishamande8880
    @mwanaishamande8880 3 роки тому

    Aisee mungu. Akisema yes hakuna wakusema no naukimya unamaana

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 3 роки тому +5

    Tusikate tamaa lkn ni ngumu jmn

  • @richardsaidi2448
    @richardsaidi2448 3 роки тому

    namimi munguu anisaidiee tuuu

  • @jumalihumbo8937
    @jumalihumbo8937 Рік тому

    Uyu jamaa mwamba sn aise🙌

  • @jacquelinemwakasala9563
    @jacquelinemwakasala9563 3 роки тому +1

    He jamani kuna wengine wanaishi mbinguni au duniani.sasa mbn bado kijana sana afu unazungumzia zamani zamani.jamani kuna wwngine duniani kwel wameishi hata wakipita historia inasoma eee hadi rahaaaaa

  • @lastgospel706
    @lastgospel706 3 роки тому +2

    HUYU MPARE ANAYO AKILI SIO HABA..AFU ANA USIRI ,UKIWA MSIRI RAHA SANAA

  • @shakirahamisijuma
    @shakirahamisijuma Рік тому

    Naitaji namba jaman

  • @mwanaishamande8880
    @mwanaishamande8880 3 роки тому

    Inahamasisha kuendelea kumsikiliza

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 3 роки тому

    Hongera

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 3 роки тому

    😋💯🤔

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada 3 роки тому

    Hamidu amefanana na MUZAMMIRU YASIN kiungo wa simba

  • @richardsaidi2448
    @richardsaidi2448 3 роки тому

    daaa!!!. aka kadada ni kazr

  • @asiaa6573
    @asiaa6573 3 роки тому +1

    Da Zamaradi nambie kipenzi, Hamidu kasema mifuko ya sim sikuelewa mifukk ya sim ndionini?

    • @isaacmwaipopo
      @isaacmwaipopo 3 роки тому

      Labda utakuwa haujaikuta. Simu za zamani zilikuwa na mifuko yake ya kuwekea. Ingia Google utaiona.

    • @isaacmwaipopo
      @isaacmwaipopo 3 роки тому

      Siku hizi kuna makava. Ila zamani tulikuwa tunaita mifuko. Ilikuwa mininge ukivalisha simu unachomeka kwenye mkanda kiunoni.

  • @kingndinyo9764
    @kingndinyo9764 Рік тому

    🎉

  • @ngambikomsu64
    @ngambikomsu64 3 роки тому +1

    Mimi nilitumia sm zake nyingi zilikuwa fake.

  • @linahcaro4780
    @linahcaro4780 2 роки тому

    Hongera