Hongera sana Kikeke!! Kwenye swala la DRC na Rwanda hawa wachambuzi kiango Chao Kiko chini Sana kwenye hili swala, labda wajulishe mapema kuhusu topic wajiandae vizuri kabla ya kuingia studio, otherwise ni disappointment kubwa.
Haya ni mapinduzi makubwa hii ni zaidi ya burudani Tz,Africa na Dunia nziama.Nafurahia sna ninapo fatilia vipindi vya CROWN MEDIA & CROWN FM na hasa KASRI la KIKEKE duh siboreki kabisa naburudika na ninapata elimu
Kiukweli kike uko vzr ila hao ulio nao hauwazi swala la rwanda na drc nipana kuliko hivo wanavo dhan rwanda na drc halitosha kila his uki msikiliza tabombek au nyele mwaka 1996 uta elewa kwa wale siyo wanya rwanda bali niwa kongo mani hata tanzani kuna wajuluo wa msoma na wapo wa jaluo wa kenya wapo wa masai wa tanzia na wa masai wa Kenyana ha baguliwi popote kwann wanya mulenge wa nyanya swe
Kikeke kaifanya crown kuwa bbc kabisa hongera Sana alikiba umetupa kitu sahihi
Nawfuatilia vizuri sana nikiwa Marekani
Nawapata mbashara nikiwa ndan ya drc kupitia chanel ya UA-cam, crown👑🎉🎉
Nakubali kazi kutokea Katavi
Tupe mambo mzee wa haki ❤❤unatupa vitu vya kweli 😍😍
Hongera sana Kikeke!! Kwenye swala la DRC na Rwanda hawa wachambuzi kiango Chao Kiko chini Sana kwenye hili swala, labda wajulishe mapema kuhusu topic wajiandae vizuri kabla ya kuingia studio, otherwise ni disappointment kubwa.
Wabongo kujifanya mnajua ss. Nenda ww kachambue, kazi kualibu ugali wa watu tu
@@tadyinkmussa2530😆😆😆😆Kuna watu wahifanya wachambuzi na akiekwa pale hamna kitu
Nakubal kaz ya kikeke
Kikeke yaani we mwamba kweli kweli❤❤❤❤🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Tv yetu iyo Mungu ibariki
Leonardo utafika mbali bro ... appreciate sana kaka
Léo Nakukubal Sana 💜🫂 brother 💥💥💥💥🔥💎🌚💎🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
It's bbc or crown
Qasri la kikeke 🔥
Haya ni mapinduzi makubwa hii ni zaidi ya burudani Tz,Africa na Dunia nziama.Nafurahia sna ninapo fatilia vipindi vya CROWN MEDIA & CROWN FM na hasa KASRI la KIKEKE duh siboreki kabisa naburudika na ninapata elimu
BBC Watuache sas ❤❤
Pamoja sana Mfalme
Hii media kiboko so kwaizo camera
😊
oya hii media nataman iwe nchi nzma wana balaa zito wako wapya yan
Nice❤
🙌🏽🔥🔥🔥🔥
Bona kenya ampatikani kwa startimes
Kuanzia wiki ijayo itapatiķana Azam Tv
Hapa home
mpeni kipind huyu anajua san anakitu kikeke mpen hat kisegment
Kiukweli kike uko vzr ila hao ulio nao hauwazi swala la rwanda na drc nipana kuliko hivo wanavo dhan rwanda na drc halitosha kila his uki msikiliza tabombek au nyele mwaka 1996 uta elewa kwa wale siyo wanya rwanda bali niwa kongo mani hata tanzani kuna wajuluo wa msoma na wapo wa jaluo wa kenya wapo wa masai wa tanzia na wa masai wa Kenyana ha baguliwi popote kwann wanya mulenge wa nyanya swe
Huyo Askari muongo tu kiufupi ndio taasisi inayoongoza kwa rushwa anaongea Siasa tu
Hiyo sio kweli Brazil 🇧🇷 wachezaji wake wa time ya taifa wote wanatoka au wanacheza nje ya nchi bongo hatuna mifumo ni upigaji
MIFUMO NI WATU_
⛹🏼⛹🏼⛹🏼😎
Leonardo fundiii
Moto sana
ledio yenu inasumbua uku pugu inafoka tu mnatunyima uhondo
mimi nikonanyie sambamba kutokea 🇺🇸.
It's bbc or crown