Mambo ya Kufahamu kuhusu Viza za Muda Mfupi kuingia nchini Marekani(Utalii na Biashara)
Вставка
- Опубліковано 13 вер 2024
- Fahamu kwa kina kuhusu Utaratibu wa Viza za Muda mfupi kwenda nchini Marekani kwa Utalii au Kibiashara.
#UbaloziniLeo #Viza #Usembassytz #UbaloziWaMarekani
Hii ilikuwa program bora sana... nashauri muendeleze!! Kuna Mambo mengi mazuri natamani muwe mnatupa ufafanuzi wenyewe... Mungu awabariki!
Upo vizuri dadangu
Mimi nawashukulu sana kwa mafunzo muliyotupatia
Asante sana Kwa mongozo mzuri, God bless you.
Naitwa Abel Simalenga tafadhali naomba kujuwa vigezo ni vipi
Meshack shauri fisoo
Ahsante Sana kwakunifungua
Naomba no Nicole
Nisaidie na Mimi tafadhali
Asante sana kwa kutuerimisha.
Vigezo nipi hasa
Sauti Chini
Mimi Nina ndugu yangu marekani amenialika nikamtembelee gharama zote ananitolea na Mimi Nina kipato cha chini je nitapata VISA?
Tupeni viza jamani
Ukifika ubalozini pamele waweke sehemu ambayo watu wasio weza kuongea kingereza vizuri basi wawe na mtu ambaye anaongea kiswahili ili mtu aweze kujibu maswali vizuri
Unawaambia tu kuw siko vizur kweny English lazima wakusaidie hawan kipingamiz cha lugha nadhan hivy
@@marrypius576 nilishaa enda pale wakanizinguwa kwa sababu ya kingereza tu nilimkuta mmama pele
Sija elewa vizuli vigezo Gani binaweza kuluhusu mtu kwendwa malekani
Sauti ya mtoa mada ndogo
Nice
Mm naitwa Mkanza je kwa nn mtu anaposhindwa interview harudishiwi hela yke
Mimi ni mtumishi katika imani yangu Mungu ameniambia nikawewe mkono na mtumishi aliye kuwa Marekani ikuaje
Mimi swali langu je unaweza kuomba visa kabra ya kupata ticket
Ndio
Mimi Niko na mwaliko wa Canada munanisaidiaje kupata visa?
Kwajina naitwa muya hamadi mgazaa
Nina aja ya kwenda marekani, niko Bujumbura
Naitwa mariam John Mjema je kwa wale ambao visa zaoo kama za hotel wanazolipiwa garam a wa nafanya je. Nilisikia kama frorida wa natoa nafasi hiyo.
Ninapataje viza ya kuishi marekani?
Hello habali Samahani ili niombe viza ya utalii natakiwa niwe na kiasi gani chapesa kwenye bank account yangu
Tunaomba kiongozi vigezo gan ili uwenazo uwende marekani na sio mwanafunzi na unatak ukatafute maisha uko??
Vigezo hivyo ni vip
Nahitaji visa
Kama una ndugu kule na ameshakua na watoto wa kizungu na je nitawaonje ikiwa mwanamke wa kizungu hataki kuwaleta africa anaoopa sasa je naweza kuomba visa ya kwenda kuwaona mini nikiwa bibi
Mmboreshe kwenye upande wa sauti
Moja ya vigezo vinavyo takiwa Kwa mwombaji ni vipi
Vigezo HIVYO ni vipi ambazo natakiwa kuwa navy
Kwani tz hawatupatie mika mitano viza ya USA
Mimi nataka visa ya kwenda marekani kufanya kazi
Naunga na maafisa wa visa kiukweli wanaangalia mtu anacho kiongea kina ukweli au la asha
Get your sound right
Vigezo nivipi vyakupata viza iyo kaka
Nahitaji visa
There are permanent resident visa
Njia rahisi kuingia Canada
ua-cam.com/video/EpfaRSIzyhQ/v-deo.html