Mambo ya Kufahamu kuhusu Viza za Muda Mfupi kuingia nchini Marekani(Utalii na Biashara)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 13 вер 2024
  • Fahamu kwa kina kuhusu Utaratibu wa Viza za Muda mfupi kwenda nchini Marekani kwa Utalii au Kibiashara.
    #UbaloziniLeo #Viza #Usembassytz #UbaloziWaMarekani

КОМЕНТАРІ • 45

  • @gwalughanomerryrose4913
    @gwalughanomerryrose4913 7 місяців тому

    Hii ilikuwa program bora sana... nashauri muendeleze!! Kuna Mambo mengi mazuri natamani muwe mnatupa ufafanuzi wenyewe... Mungu awabariki!

  • @user-xy6ou8xo1s
    @user-xy6ou8xo1s Рік тому +1

    Upo vizuri dadangu

  • @kilalikanestory3635
    @kilalikanestory3635 3 місяці тому

    Mimi nawashukulu sana kwa mafunzo muliyotupatia

  • @user-kr2yk6gn4q
    @user-kr2yk6gn4q 7 місяців тому

    Asante sana Kwa mongozo mzuri, God bless you.

  • @Abelsimalenga
    @Abelsimalenga 2 місяці тому

    Naitwa Abel Simalenga tafadhali naomba kujuwa vigezo ni vipi

  • @meshakishaurifisoo8200
    @meshakishaurifisoo8200 5 місяців тому

    Meshack shauri fisoo

  • @shukuruilomo768
    @shukuruilomo768 3 роки тому +1

    Ahsante Sana kwakunifungua

  • @muhammedjuma8966
    @muhammedjuma8966 Рік тому +2

    Naomba no Nicole

  • @boy-pq6ow
    @boy-pq6ow Рік тому

    Asante sana kwa kutuerimisha.

  • @Abelsimalenga
    @Abelsimalenga 2 місяці тому

    Vigezo nipi hasa

  • @allymaulid9391
    @allymaulid9391 3 роки тому +2

    Sauti Chini

  • @angelpaul5997
    @angelpaul5997 2 роки тому +3

    Mimi Nina ndugu yangu marekani amenialika nikamtembelee gharama zote ananitolea na Mimi Nina kipato cha chini je nitapata VISA?

  • @kamuogo
    @kamuogo 3 місяці тому

    Tupeni viza jamani

  • @petermarwa3871
    @petermarwa3871 2 роки тому +4

    Ukifika ubalozini pamele waweke sehemu ambayo watu wasio weza kuongea kingereza vizuri basi wawe na mtu ambaye anaongea kiswahili ili mtu aweze kujibu maswali vizuri

    • @marrypius576
      @marrypius576 Рік тому +1

      Unawaambia tu kuw siko vizur kweny English lazima wakusaidie hawan kipingamiz cha lugha nadhan hivy

    • @petermarwa3871
      @petermarwa3871 Рік тому

      @@marrypius576 nilishaa enda pale wakanizinguwa kwa sababu ya kingereza tu nilimkuta mmama pele

  • @NdayishimiyeIsaie-jf5fn
    @NdayishimiyeIsaie-jf5fn Місяць тому

    Sija elewa vizuli vigezo Gani binaweza kuluhusu mtu kwendwa malekani

  • @kessykasale1747
    @kessykasale1747 2 роки тому +3

    Sauti ya mtoa mada ndogo

  • @zawadmkanza8458
    @zawadmkanza8458 Рік тому

    Nice

    • @zawadmkanza8458
      @zawadmkanza8458 Рік тому

      Mm naitwa Mkanza je kwa nn mtu anaposhindwa interview harudishiwi hela yke

  • @havilambande2478
    @havilambande2478 9 місяців тому

    Mimi ni mtumishi katika imani yangu Mungu ameniambia nikawewe mkono na mtumishi aliye kuwa Marekani ikuaje

  • @godeflymatabwa8122
    @godeflymatabwa8122 2 роки тому +3

    Mimi swali langu je unaweza kuomba visa kabra ya kupata ticket

  • @kilalikanestory3635
    @kilalikanestory3635 3 місяці тому

    Mimi Niko na mwaliko wa Canada munanisaidiaje kupata visa?

  • @muyahamadi3321
    @muyahamadi3321 3 роки тому +2

    Kwajina naitwa muya hamadi mgazaa

  • @simonanzuruni8415
    @simonanzuruni8415 4 роки тому +3

    Nina aja ya kwenda marekani, niko Bujumbura

  • @boy-pq6ow
    @boy-pq6ow Рік тому +1

    Naitwa mariam John Mjema je kwa wale ambao visa zaoo kama za hotel wanazolipiwa garam a wa nafanya je. Nilisikia kama frorida wa natoa nafasi hiyo.

  • @kessykasale1747
    @kessykasale1747 2 роки тому +2

    Ninapataje viza ya kuishi marekani?

  • @saidimega9615
    @saidimega9615 7 місяців тому

    Hello habali Samahani ili niombe viza ya utalii natakiwa niwe na kiasi gani chapesa kwenye bank account yangu

  • @kitalambobabloja8742
    @kitalambobabloja8742 Рік тому +1

    Tunaomba kiongozi vigezo gan ili uwenazo uwende marekani na sio mwanafunzi na unatak ukatafute maisha uko??

  • @andreamndeme1539
    @andreamndeme1539 3 роки тому +2

    Vigezo hivyo ni vip

  • @muyahamadi3321
    @muyahamadi3321 3 роки тому +2

    Nahitaji visa

  • @zainabumohamed8541
    @zainabumohamed8541 Рік тому +1

    Kama una ndugu kule na ameshakua na watoto wa kizungu na je nitawaonje ikiwa mwanamke wa kizungu hataki kuwaleta africa anaoopa sasa je naweza kuomba visa ya kwenda kuwaona mini nikiwa bibi

  • @allymaulid9391
    @allymaulid9391 3 роки тому +1

    Mmboreshe kwenye upande wa sauti

  • @user-zg7qr3hq1k
    @user-zg7qr3hq1k 8 місяців тому

    Moja ya vigezo vinavyo takiwa Kwa mwombaji ni vipi

  • @user-rg3fg5zh8m
    @user-rg3fg5zh8m 6 місяців тому

    Vigezo HIVYO ni vipi ambazo natakiwa kuwa navy

  • @hekimamtazamo4151
    @hekimamtazamo4151 10 місяців тому

    Kwani tz hawatupatie mika mitano viza ya USA

  • @kadhyajuma3471
    @kadhyajuma3471 Рік тому

    Mimi nataka visa ya kwenda marekani kufanya kazi

  • @sarahbrown7884
    @sarahbrown7884 Рік тому

    Naunga na maafisa wa visa kiukweli wanaangalia mtu anacho kiongea kina ukweli au la asha

  • @charliesim9565
    @charliesim9565 11 місяців тому

    Get your sound right

  • @IAMHERYX
    @IAMHERYX 4 роки тому +1

    Vigezo nivipi vyakupata viza iyo kaka

  • @kikapuchetu3935
    @kikapuchetu3935 3 роки тому +1

    Njia rahisi kuingia Canada
    ua-cam.com/video/EpfaRSIzyhQ/v-deo.html