Mungu awasaidie jamani na hyo hali ya hewa ya huko maana dah kuna wakati watu wanakosaga pumzi ambao hawajaizoea ila naamini Mungu atakuwa upande wenu na hamta hathirika na hali ya hewa🙏🙏🙏💚💚💚💚💚
Nimefurahi sn kuwaina wachezaji wetu wote kwa kurejea clabuni salama kutoka kwny majukumu ya Taifa yao. Allah wajalie afy njema n tupate ushindi mnono Amina 🔰 Wawakilishi wa nchi 🇹🇿
In sha A llah mwenyezimungu awape wepesi ktk vifua vyenu pamoja na miguu Akili nautulivu ktk kazi Aamiin Pia Awalinde na mitihani ya uwanjani mfanye vzri💛💛💛💛🤲
Kila mmoja awe timamu katika Mungu ili tueze kuupata utimamu wenu wote Hatuhitaji ubinafsi au kujiuza kwa maslah binafsi ila mjaliwe kuwa na uwezo wa kitimu
Nakiamini kikosi Wana kujituma umakini na umoja ndio Siri ya ushindi ,msijisahau majina yanapaa sio kama zamani kama Una malengo na kipaji utafika mbali,daima mbele nyuma kwetu mwiko,watoto wa jangwani.msisahau Wana kuna kukamia game...
Mtakaopata nafasi tumieni muda na nafasi vizuri. Score as much as possible. Dube, bareke, msonda, mzize, chama, pacome, azizi na wengine mnahitaji kuongeza umakini na ukatili mnapolijongea lango la mpinzani. Natamani kila mchezaji uwanjani anaweza kuipatia ushindi timu yake. Kumbukeni gori la mama linavyonoga.
Mungu awe nanyi ...mkumbuke kuwasaidia wahitaji ...sadaka hizo Mungu anajibu kwa ushindi mnono !! All d best my team 🔰🔰🔰💪
Asante
Hakika mkuu
AMEN AMEN AMEN
Amen
Mungu awe nanyi nyote timu yangu pendwa
Mungu awasaidie jamani na hyo hali ya hewa ya huko maana dah kuna wakati watu wanakosaga pumzi ambao hawajaizoea ila naamini Mungu atakuwa upande wenu na hamta hathirika na hali ya hewa🙏🙏🙏💚💚💚💚💚
Mungu ibariki young africans icheze mchezo salama na imalize mechi ikiwa imeshinda Inshaallah.
Mungu ibariki yanga baba inshallah tutashinda daima mbele nyuma mwiko
Mungu awalinde jeshi lote la wananchi , pigana vita iliyobora ugenini ili mkirudi nyumbani kazi iwe rahisi
Kila la kheri Team ya Wananchi### Daima mbele Nyuma Mwiko💚💛💚💛💚
all the best champs💚💚💚💚
Time will tell 👏👏👏👏👏👏
kweliiii yangaa kubwaa sanaaaa mpaka gamond amejuaa kusemaa inshaallah😂😂😂😂😂😂
Mungu amekwishawainulia mkono wake wa ushindi. Kilichobaki ni kuipambania nembo ya ushindi yanga.
Kumbe wachezaji wote wapo na mazoezi yanaendelea asante Mungu 🙏🙏 kila la kheli chama langu
Nmefurahi kuona mastaaa wetu wote
Oyaaa kumbe zipo tayari na timu hongera Sana YANGA BINGWA
Mwenye taarifa za Dickson Job jaman atujuze maana hakumaliza mechi dhd ya Guinea
Anaendelea vizuri alipata majeruhi ya macho
Inshallah tutashinda mungu aibariki yanga
Yanga 🔥 4rever
Yes to be at the top of African soccer and now to qualify to the group stage. Thank you coach and best of luck.
In you we believe 💚💛💚👇fro UK ! Tuko pamoja
Yanga will be the top club
Inshaallah kila la kheri 💚💚💚💛💛💛
Mungu ibarik Tzania na watu wake
Inshaalah Allah akufanyie wep jumamosi mshinde
Nimefurahi sn kuwaina wachezaji wetu wote kwa kurejea clabuni salama kutoka kwny majukumu ya Taifa yao. Allah wajalie afy njema n tupate ushindi mnono Amina 🔰 Wawakilishi wa nchi 🇹🇿
🎉🎉🎉🎉🎉kila la khery wananchii tunawaombea dua ushind muhim san 🎉🎉
Yanga 🎉🎉🎉🎉
All the best kwenye maandalizi yenu 💚💚🖤🖤💛💛
katika,magumu yote bwana mungu atawapa masada toka patakatifu pake
In sha A llah mwenyezimungu awape wepesi ktk vifua vyenu pamoja na miguu Akili nautulivu ktk kazi Aamiin Pia Awalinde na mitihani ya uwanjani mfanye vzri💛💛💛💛🤲
MUNGU wetu tunaemwanimi
Tunamwomba awaongoze awalinde kazi yenu isiwe bure
Mkapambane mtoke na ushindi .tunawatakia Afya njema
Amina ❤🎉🎉🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉🎉
Ameen
❤❤❤❤❤ kwa yanga
Hayo Makoti makali sana
Nafurahi kuona kikosi kime kamilika kazi njema jeshi letu
God bless us
Young African take nowadays the highest qualifying position, Younger win Africa champion Cup GOD with you all
Wa kwanza
Mungu ibariki yanga
Mungu ibariki yanga yangu tupate ushindi mnono.
Mwenyezi mungu awe pamoja nañyi murudi na ushindi wanangu Amen Amen
Nawatakia kila la here washujaa wetu ❤❤❤❤
Yanga bigwa 💚💚💛💛🙏🙏🙏🙏
Kilalahery chamalangu🙏🙏
Allaah Akbar
In Sha Allah...🙏
Tupo pamoja tusonge mbele 💪💪💪
Nime penda kumuona azizi ki, mudathir, pacome duke abuya barcaa na wengine wooote
Mungu awatagulie
Kweli mungu awatangulie
Mungu awe nanyi
mwenyez mung akawasaidie inshallah
Long live "Wanainchi" pride of Bongo.
MORE BLESSINGS TIMU LA WANA WA NCHI DAR YOUNG AFRICAN
Eeee Mwenyeezimungu ibariki Yanga, Ibariki Tanzania na ibariki Africa nzima.
Mungu awabariki
Duuh wachezaji wote wamefika duuh
Viva young Africans
Yanga champion
Mungu awasaidie
GOD BLESS YOU
mtashobya josia nikiwa Kenya nawapata kwauzuri pore nasafari tunatengemia ushindi mugu awabariki
Young Africans 💛🎉
CBE watalia
Young African is a big club and have good players compare to other clubs 0:00
We are together Young African 3point is important.
Mungu mwema mtashinda
Kikubwa kupambana
Here we go kombe jangwan this year
💛💚💚💚💚yanga bingwa
Alie msikia gamond akisema inshallah
Full mkoko,kishaumana,watataja🎉🎉🎉🎉
Nawatakia ushindi mkubwa huko Ethiopia na mrudi salama
Sijamuona BBD
Mungu awateteee nyote
All the best our HEROES, we will make it to the Group Stage insha Allah
Hawa mfumo unawaitaji
Nimefrah kuona wachezaji wote
Kila mmoja awe timamu katika Mungu ili tueze kuupata utimamu wenu wote
Hatuhitaji ubinafsi au kujiuza kwa maslah binafsi ila mjaliwe kuwa na uwezo wa kitimu
Yanga
Nilichofurahi ni kuwaona wachezaji waliokuwa kwenye timu zao za taifa
yanga bingwa
Kila la kher Chama langu pendwa kuelekea mechi ya jumamos hee mungu tusimamie
Endeleeni kupambana wanajeshi wetu tuko nanyi kwa maombi
Nyengine kubwa
Nakiamini kikosi Wana kujituma umakini na umoja ndio Siri ya ushindi ,msijisahau majina yanapaa sio kama zamani kama Una malengo na kipaji utafika mbali,daima mbele nyuma kwetu mwiko,watoto wa jangwani.msisahau Wana kuna kukamia game...
Good coach
🎉🎉🎉🎉🔥🔥🔥🔥
kila la kheli jeshi letu🙏
💚💛💚💛💛
Daima mbele nyuma mwiko
🎉🎉🎉motoo
Sijakuona Chama na Musonda
Viva yang💚💚💚💚💚💛💛💛
Mungu pamoja nasi
Mtakaopata nafasi tumieni muda na nafasi vizuri. Score as much as possible. Dube, bareke, msonda, mzize, chama, pacome, azizi na wengine mnahitaji kuongeza umakini na ukatili mnapolijongea lango la mpinzani. Natamani kila mchezaji uwanjani anaweza kuipatia ushindi timu yake. Kumbukeni gori la mama linavyonoga.
Kesho tunataka ushindi wabao 5tu
Naitakia timu yangu ushidi
ABEBE BIKILA
Mungu asimame na nyie
MZEE PEMBE LUSWAGA WA CHANIKA TAWI LA MSHIKAMANO NAWATAKIA USHINDI MKUBWA
💪💪