Goli la Kaseke | Pamba Jiji 1-0 Azam FC | NBC Premier League 09/02/2025
Вставка
- Опубліковано 9 лют 2025
- Super Sub, Deus Kaseke ameifungia Pamba jiji FC goli pekee na la ushindi dhidi ay Azam FC , ikiwa ni mpira wake wa kwanza kuugusa tangu aingia dimbani dakika ya 85.
Ni mechi ya Ligi Kuu ya NBC #NBCPremierLeague iliyopigwa leo kwenye Dimba la CCM Kirumba, Mwanza....
Tazama goli...
Safi sana mlitucheka juzi
Azam FC wanazidi kujikita kwenye nafasi ya tatu..
Yan awa ni mbwa sana ndio maana miaka yote watakua wasindikizaji tu uwez kukaza timu kubwa alafu ukicheza na timu ndogo unalegeza
Juzi Zaka za kazi alicheka sana Simba kutoa suluhu, akasema gape kati yao na Simba limepungua 😄😄😄😄
Ligi ngumu hii. Bado sana
Woow...
Ligi Ngumu
Hatari sana
Safi. Sana
Pamba unyonge mwisho ulikuwa mzunguko wa kwanza😂
hongera pamba jiji kwa ushindi tushinde game 4 mfululixo akij yanga pia tumpige ,2
Yanga iyo gsm pamj na pamba jiji au??
@@awenasaid8902Hahaha yanga akishinda mtayasikia Sana maneno ya GSM.. wakati Simba anaongoza kauli ilikuwa ubaya ubwela..
@@thadeylyimo9772hapan ilikuwa gusa achia twende kwao
Azam ni tmuh kubwa na xuala lakufungwa ni kawaida
Hata Pamba ni timu kubwa kwao suala la kufunga ni la kawaida!
Minziro ni kocha mzuri snaa pamba matumain yanaonekana
Kaiulize jezi!
Wakikutana na Yanga sasa wanavyokaza mafuvu
Utadhani ubingwa unapatikana kwa kuwafunga yanga nyambafu
Simba labda😂 hawa si watoto wa GSM😂
Umeoan
😂😂😂😂
Na hao pamba Jiji wakikutana na yanga wanavyokuwa lege lege utaskia hamsa
Ila kocha wa pamba😅
wew umefrah kwakuwa alianza yey kukubak ndipo akafata kijan kutok tabora na yey akakubaka
Huyu kipa wa Azam mie nimemuangalia tokea mapema Kama hayupo sw hivi
Kumeanza kuchangamka sasa😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Pamba gari limewaka
Wazee wa kukamia wamashenyentwa
Mbona hujapost highlights zote
Azam kazi kukamia yanga
Acha awale
Azam uzeni juice tu mpira hamuuwez timu inasubili kukamia timu moja2 ligi Zima 😂 hamjitambui
Hapo kdg refa asem ni offside au fauli bht nzuri mpr haukuwa na contact yyt,na ulipigwa mbele ya mabeki wa colla😂
Bao la awali la Pamba lilikataliwa na Mwamuzi kwa udhaifu wake au maelekezo toka juu??
Wanafkil ubingw ni ice
Kiko wapi😮
Wasenge wanawakazia yanga tuu😂😂😂😂😂
Mtu mbadi
TP-LINDANDA SAFI SANA .. DIRISHA DOGO NAONA LIMELIPA..
Timu za GSM
Mbonah Kuna kelele xanaah
Wataanza pamba ni timu ya gsm😅😅😅.
Nimeon mtu kavaa tshet imeandikwa gsm co pamba ni ya gsm😮
Pamba jiji😅😅
Subiri azamu wakutane na yanga sasa wanakamia shoo vubaya mno😆😆
Makenge haya Azam 😂😂😂
Wakikutana na yanga wanovokaza Hawa mbwa
Umeonaaa
Kuna timu iliwahi kusema wao naazam ndiowakubwa ila simba msiwatukane wakubwa wenzenu jamani
Wakikutana nayanga Azam wana towa macho hao wakikutana na watoto wadogo hawana lolote
Azam kwa stail hii mtachukuw ubigwa kwel
Hapa tayar washapoteza point
Apa hamna kitu asipo angalia ata nafas ya 4 atakuwa
Azam refa kawabeba akuna kitu
Kawabeba wakati wamefungwa
Na wewe ulibakwa na yanga si ndiyo?😅😅😅😅
😂😂akijibu nishtue
Nmefurahije hawa walamba ukwaju wakikiutana na yanga wanahisi ndo wanaenda kuwa mabingwa af kwngne yanalegea ka nn ngoja wawekwe na ubingwa wataendelea kusikilzia kwenye tv,shenziii zao
Sasa ulitaka kwayanga wawe wepesi ili iweje?
Leo si wamekutana na yanga B 😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Yani mpira wa bongo cjui Sheria Kwa wacheza waliopo benchi kuingia kushangilia ndani ya kiwanja TFF wapo wapi
Lazima Panba atapigwa faini, hakuna namna!