Uko sawa mininabii wa Bwana watuawahamini injili ya kweli Wana taka miujiza na sio mtenda miujiza.wanashindwa kumtafuta YESU wanatafuta miujiza wanahamini mtumishi kuriko neno
Mafuta yenye tunahitaji ni Roho mtakatifu 2wakorintho 1:21 “Basi Yeye atufanyaye imara pamoja nanyi katika Kristo, na kututia mafuta, ni Mungu, naye ndiye aliyetutia mhuri akatupa arabuni ya Roho mioyoni mwetu.” 2 Wakorintho 1:21-22 “Basi yeye atufanyaye imara pamoja nanyi katika Kristo, na kututia mafuta, ni Mungu, naye aliyetutia muhuri, akatupa arabuni ya Roho mioyoni mwetu.”
Kwa hiyo hatuitaji mafuta ya muchupa wala ya olive oil tunahitaji Neno la Mungu kujaa ndani ya mioyo yetu na kujazwa na Roho mtakatifu ili tusitimize tamaa za mwili bali tutimize tamaa za Rohoni ❤❤❤
Uko sawa mininabii wa Bwana watuawahamini injili ya kweli Wana taka miujiza na sio mtenda miujiza.wanashindwa kumtafuta YESU wanatafuta miujiza wanahamini mtumishi kuriko neno
Mafuta yenye tunahitaji ni Roho mtakatifu 2wakorintho 1:21 “Basi Yeye atufanyaye imara pamoja nanyi katika Kristo, na kututia mafuta, ni Mungu, naye ndiye aliyetutia mhuri akatupa arabuni ya Roho mioyoni mwetu.”
2 Wakorintho 1:21-22
“Basi yeye atufanyaye imara pamoja nanyi katika Kristo, na kututia mafuta, ni Mungu, naye aliyetutia muhuri, akatupa arabuni ya Roho mioyoni mwetu.”
Kwa hiyo hatuitaji mafuta ya muchupa wala ya olive oil tunahitaji Neno la Mungu kujaa ndani ya mioyo yetu na kujazwa na Roho mtakatifu ili tusitimize tamaa za mwili bali tutimize tamaa za Rohoni ❤❤❤
Ila yesu alichukuwa udongo akawekeya yule kipofu . Sema tu ushetuani umezidi sana ila watumishi w mungu wapo
AMINA
Ubarikiweee
Mmm lakini sasa biashara kanisani hapana tupewe bule kupitia sadaka kidogo tu kwa imani tutapona
Ndio
Mafuta kila siku