Huyu jamaa milio ya mabom yameshaufyatua ubongo wake, si leo tu amesema Russia imeshashindwa vita.. Nilicomment pale kwa bro bundala sns Kuwa ameongea kinyume ndo hiki sasa 😂😂😂
Adabu inaanza Wewe jiudhururu kwanza halafu wanaume zako Waache kukupa kiburi. Nabado ukitaka kutoroka vaa dela na baibui upake makeup na wanja. Utamaliza Raia.
Kichapo kiendelee
From 🇧🇮🇧🇮👊👊 shoga ameumbuka
Huyu jamaa lkn akili zipo sawa
Marekani anabambiwa kila kona huku china kule korea af uku kipolo na Mrusi ukren
Puttin BIGGEST lion🙏🙏🏼🙏
Zelensky hana jipya .
Ufalme wa Mungu Usimame.
Amin.
Zelenzky mwehu huyo hivi Kwa akili ya kawaida putini aachie maeneo aliyoyapambania!!🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺💪💪💪💪
Tupo pamoja mkono kwa mkono hadi mwisho Russia for life
Bado akili Hana
Bado hajawa tayari kwa mazungumzo wacha kichapo kiendelee
Huyu zelenzky ni mbuzi wa kafara hajitambui tu,,
Maji shingoni. Siuliambiwa ingia mazungumuzo ukakataa? Tulia unyolewee😢
Huyo ni mcheshaji ndivo anavyowaza.... Hizo ni ndoto kukomboa majimbo yote itatumia miaka 107
Huyo shoga aendelee kupewa kichapo cha mbwa Koko kama kawa
Tumechoka na huyu zelensky. Hata kumsikia sitaki. Maana amesababisha hasara kubwa sana kwa ukrein.
Huyu jamaa milio ya mabom yameshaufyatua ubongo wake, si leo tu amesema Russia imeshashindwa vita.. Nilicomment pale kwa bro bundala sns Kuwa ameongea kinyume ndo hiki sasa 😂😂😂
America imevamia muno mwenzao kavamia tu Ukraine. Wampe support amalizie
Huyu jamaa hana adabu hata yakuvalia nguo anafkiri putin mjinga
Mwezi wa 3 mwaka jana Urusi aliondoa Vikosi vyke Kiev kufuatia mazungumzo huyu jamaa akapanda kiburi
Russia hawez kurejea hilo kosa
Awali nilimsikia Zelensky akisema kwamba atafanya mazungumzo ikiwa Putin ataondoka madarakani. Je! Inakuwa je tana?😂
Mpuuzi wewe yani ghalama yote ilio tumika leo tuyaachie maeneo ki bwelele tu namna hio
Hawataki mazungumzo. Manake wanajuwa kuwa urusi hawatakubali. Ivi uchaguzi lini ukrein ili huyu mbwa aondoke
Adabu inaanza Wewe jiudhururu kwanza halafu wanaume zako Waache kukupa kiburi. Nabado ukitaka kutoroka vaa dela na baibui upake makeup na wanja. Utamaliza Raia.