Naona mambo ya ulaya yanakuja bongo Sidhani kama joti alikuwa kadhaminia kuzalau walemavu ila ningemsii angalie Script Kabla kutumia maana Tupo kwenye dunia kila kitu watu wapo sensitive
Na hapo joti ameonesha watu wanaopenda vizuri bila kukubaliwna na mapungufu take. Amecheza hiyo ilikufundisha, wachache Sana wataelewa, wengi watahisi ni chekesho
Ila kwa mtazamo wangu Mimi naona hiyo haijakaa vzr zaidi,imeonyesha khali ya unyanyapaa mkubwa sana kwa watu wenye uhitaji maalumu..kama walemavu..lkn kwa upande wa pili joti ameoshesha jinsi jamii ilivo na mtazamo hasi dhidi ya watu wenye uhitaji maalum..binafsi nimejihisi huzuni Sana'a aiseee...
Daah joti umetisha nakubali kazi zako kinoma ,mzee nishai naona sopa alikua kimya leo 😂😂🤣daah nyie watu mpo vizuri👌🏻👌🏻mnatutoa stress team nzima yajoti mpo vizuri well done 👌🏻
Mm na mtazamo tofauti kabisa sijapenda maudhui ya hii comedy kwasababu imenyanyapaa Walemavu hata wakiangalia hawawezi kujisikia vizuri coz kila mtu anahaki ya kupendwa bila kubaguliwa kutokana na ulemavu wake pia nimeshangaa Bodi ya Filamu wameipitisha so hii inafundisha nn kwenye jamiii hasa pia kwa Walemavu huo Ni mtazamo wangu na ushauri wangu
Hahahahha nimecheka mpaka clip nimeirudi Mara mbili kazi nzuri kwa joti,malima na huyo dada alieigiza mlemavu pamoja crew nzima Nimefanya kazi nzuri joti big up mmeniongezea siku za kuishi
Dah.. Nimejiskia vbaya sana mwishon.. Hii video imebeba ujumbe hasi kwa walemavu.. Chakusikitsha zaidi BODI YA FILAMU wameiptisha pasipo kuangalia madhara yake ktk jamii.. Kwa maana nyengine BODI YA FILAMU imebarik unyanyapaa dhidi ya walemavu..
Yule aliyeona nishai akidaka nzi na kumla anipe like
Me hapa🤣🤣🤣🤣
Mambo ya jetlee
Sio
Kwa ubaya! Ila Hii ni Kama kuwanyanyapa Walemavu jaman! Everyone deserves to be loved!! I can Imagine mlemavu akiona hii Video
True..naona kila mtu anasifia tu bila kuliona hilo. Hajaonyesha picha nzuri kwa walemavu
Mimi ni mmoja hati ya yao wallah nimejskia vibaya sana
@@nuratchibango8293 msamehe bure...Amini kwamba you are still amazing. Uzuri wako hauwezi kubadilika kwa chochote. You will forever be amazing
Naona mambo ya ulaya yanakuja bongo Sidhani kama joti alikuwa kadhaminia kuzalau walemavu ila ningemsii angalie Script Kabla kutumia maana Tupo kwenye dunia kila kitu watu wapo sensitive
Na hapo joti ameonesha watu wanaopenda vizuri bila kukubaliwna na mapungufu take. Amecheza hiyo ilikufundisha, wachache Sana wataelewa, wengi watahisi ni chekesho
Kama umemsikia yule mzee hujapewa nyuma... Piga like😂😂
Kama umesikia soko supu gonga like
Kama umeona joti kameza nzi nipe like ..na umegundua hiyo njia sio ya goba likes pia
Nikadhani nimeona mm tu
Brazza mukali 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🇧🇮
nimeona nikajua mim ty😂😂😂
Hhhhhh
Nipen like namm wapendwa
Nyie mnavituo vyenu mjue 😂💀🔥! Nishai bhana!
😂😂😂
ni vile tu kibongo bongo lakini vichekesho kama hivi vina unyanyapaa kwa walemavu nchi za watu wanakufikisha mahakamani.
Haipendezi kwakel
Leo wamwanzo nipewe like zangu
🥰
Naipenda sana Team yote ya JOTI kbsa🤣🤣
Manka anajua kucheza na camera she is good😘😘
Ni kweli kabisa
Kipande wap jaman waliommiss Kipande tujuane kwa like hapa
Ivi kipande yukowap sikuiz??
Joti tunamtaka kipande
Jot anatisha
Ila kwa mtazamo wangu Mimi naona hiyo haijakaa vzr zaidi,imeonyesha khali ya unyanyapaa mkubwa sana kwa watu wenye uhitaji maalumu..kama walemavu..lkn kwa upande wa pili joti ameoshesha jinsi jamii ilivo na mtazamo hasi dhidi ya watu wenye uhitaji maalum..binafsi nimejihisi huzuni Sana'a aiseee...
Like za nni jmn maoni
Kenya tunawakubali sana 🇰🇪
Joti unadhambi jmn🤣🤣🤣🤣💕
kwa hyo #Nishai ulipomwambia we bibiye mweupe akajibu Mungu hakupi vyote hukumuelewaa😆😆😆
Daah joti umetisha nakubali kazi zako kinoma ,mzee nishai naona sopa alikua kimya leo 😂😂🤣daah nyie watu mpo vizuri👌🏻👌🏻mnatutoa stress team nzima yajoti mpo vizuri well done 👌🏻
Nime chekaaaa mmm mpka nimeliaaaaaaa ynnnn
Jamani joti senge kweri yni
Hivi mnao ombaga LIKES hua zina utamu gani? Namimi leo nipeni hizo Likes nione ladha yake! 😁
Shenz🤣🤣🤣
@@complexjackal2782 😂
Kwa fujo
Hata mm nashindwa kuwaelewa kabisa
@@mariamgodfrey53 😆😆😆
Likes ...jmn zifike 10 tuu zinatosha
Yani weye noma
Umezipata kaka
Umezipata kaka
Anaemkubali joti like kwangu.
Hahahhaahaha ila joti utakuwa unawaza nyuma sana eeeeh🙆🙆pitieni na huku kwangu jamani,nawapenda
Huyu mzee hatariii 😂😂🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣
Ujapewa nyuma uko 🤣🤣🤣🤣
Na mimi leo naomba like leo jamani nione utamu wake
Nishai Mtombangile Kitwango watu wa ..........? Noma sana.
Cjaipenda ata kidogo,,, kaonesha kumnyanyapa kilema
Nishai mtombangile kitwango😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mwau uyu jamaa
Hatar saana
😂😂😂😂😂😂
Mtombangile Kitwango.!!!
Hahahahaaaaa Joti fala sanaa 😂😂😂
Hujapewa nyuma🤣🤣🤣🤣🤣🤣ina maana gani hii jaman😆😆😆😆
Si ndo makonda wengi wanasemaga hivi 🤣🤣🤣🤣🤣
Joti una maigizo mengi Mazuri Ila hili maudhui yake Yana ukakasi ,
Ni unyanyapaa kwa walemavu,
Haifai kucheka.
Umewaza kama mimi
Hajawanyanyapaa ila ameonesha kuna watu wana tabia za namna hii
Katoa elimu kwa watu wengi wenye tabia za kuwanyanyapaa walemavu.
@@shantalismailhassan9878 nadhani ikiwa angemkubali hapo ingekuwa na maudhui chanya sana
@@shantalismailhassan9878 hakika 👋
Uto joti mshenzi sana apo kawanyanyapaa watu kwenye ulemavu
Ila apo., kapatia sana jinsi ya kunywa energy 😂😂😂😂😂
Love this
ms*** sana we jamaa hahahaahahahahahahahahaahahahahahaha y 😂😂😂😂😂 kumbe tuko wengi
Hii joti bana kamuiga mr iboo yule nigerian comedy
Mazee ii imeweza joti bigups✌😂
Daaahh my best G Manka Mola awe naweh
Video nbaya sana. Hamna eshima na watu wenye ulemavu. Mbona mnawacheka. Hama uruma nawo. Wapo Sawa na Wazima, wakiona wataumia roho
Mm na mtazamo tofauti kabisa sijapenda maudhui ya hii comedy kwasababu imenyanyapaa Walemavu hata wakiangalia hawawezi kujisikia vizuri coz kila mtu anahaki ya kupendwa bila kubaguliwa kutokana na ulemavu wake pia nimeshangaa Bodi ya Filamu wameipitisha so hii inafundisha nn kwenye jamiii hasa pia kwa Walemavu huo Ni mtazamo wangu na ushauri wangu
Hii ya leo cjaipenda ,Kama Kuna kaubaguzi flan hivi .
Daaah kaZngua kila binadam anastail kupendwa
Hii story kaiga movie ya mr ibu ya Nigeria kitambo sana sema uzur kaongeza vitu vyake imekua nzur big up
Hujapewa nyuma huko😀😀😀
Hahahahha nimecheka mpaka clip nimeirudi Mara mbili kazi nzuri kwa joti,malima na huyo dada alieigiza mlemavu pamoja crew nzima Nimefanya kazi nzuri joti big up mmeniongezea siku za kuishi
😅
Jotti bhana daaaaaaah nimecheka
Dah.. Nimejiskia vbaya sana mwishon.. Hii video imebeba ujumbe hasi kwa walemavu.. Chakusikitsha zaidi BODI YA FILAMU wameiptisha pasipo kuangalia madhara yake ktk jamii.. Kwa maana nyengine BODI YA FILAMU imebarik unyanyapaa dhidi ya walemavu..
🤣🤣🤣🤣umenikumbusha movie ya mr.ibu ... Kitambo sana
Jaman konda apewe nyuma 😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
@@kweka14l35 we mcheke tyu
@@devothamwamwezi2036 nimcheke nani
Mungu anakuona Joti😂🤣
Haifurahishi.Ni kuwavunja moyo walemavu
Dah wakazi wa daresalaam wanaelewa hii kadhia ase😄😄
Joti he's the best... Yuachekesha nimecheka
Munaupendeleyo katika groupe hii
Hata like moja jameni?
Tulioamka salama tumshukuru Mungu
wangapi wamesikia siyo kituo changu
Hiv vituo viko nch gan yaarb Jot
Konda tuheshimiane kituo changu achana nako😂😂😂😂😂😂
We mtu in
Haupoi!!..huwa unanivunja sana mbavu😂😂😂😂😂😂😂 ...well done.
Wewe jotti noma
Hilo jina MTOMBANGILE 😂
Tongozatongoza nyingi habari ndio iyo😆😆
Yamemkuta 😂
Hujapewa nyuma 😂😂😂😂mzeee 🙌
Ujapewaa nyumaa huko😀😀😀
Huyu jamaa mwanaharamu Joti hatari so funny hehehe 😂
Dah joti leo umepatikana
Baba joti hii ya leo Kama ya Mr ibu ile ya aki na ukwa 🔥🔥🔥🔥tunakubali
Nime cheka mm leo mpka n8meliaaaa yn
Kazi nzur sana nishai manka yy anasemaje kwan
JOTI The Baddest!
Aisee weee ni kiboko😀😀😀😀
Tunaojua ratiba, hatuchelewi kuview
Hatimae jina la sopa lmekuwa kituo cha abria
😅😅😅😅tutaacha lin kugombania magar jamaaan...😄😄😄wakati gari tuupu tuuu
Kitombangile kitwango hapo tu😂😂😂
HIGH TALENTED!!1
Hujapewa nyuma
🤣🤣🤣🤣
Huu mzee bana Eti wewe hauja pewa nyuma 😆😆😆
🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂wazee wa daslamm.....
@@fadhiliignusy3790 nyie vijana ndo mnamtafsiri mzee vibaya 😂😂😂😂🏃
Wanadamu na akili zao chafu😂😂😂
😂😂😂😂hawa vijana wana vituko
Nyieeeee 🔥 🔥 🔥
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimecheeek saaan.nyieee mnavutuoo vyenuuuu
Like ndio Nini mbona kila mmoja anaomba
Mr IBU did this comedy
Zambia tunawakubali sana
Asanteni sana
Hii haichekeshi sema ina unyanyapaaji. Si maadili yetu hayo
Naitwa NISHAI MTOMBANGILE KITWANGO 😆😆😆😆😆😆😆😆
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
KITWANGO ni watu kutoka KASONGO!! Shubamiti!!? 😆😆😆😄😄😄😄
Duh watu mnawahi kha
😂😂😂😂Tongoza Tongoza
Yamemkuta 🤣
Aah basi kama mmeachana bas mi ndo furaha kwangu
Uyo dem anajua kuigiza kinoma ana kiukarimu fulani
Hahahhhaa.. we nishai WEWE 🤦🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.. KUBA LA BABAKO.
We joti wew ko ulivoona anakibasekeli ukamukata
Ila haileti maana nzuri kwa walemavu watajenga taswira ya kua hawapendwi wakiona hiii utwatia unyonge sana
Kwani hujapew nyuma hkooo🤣🤣🤣....bonge la demu kumbe miguu shida😆😆
🤣🤣🤣🤣 soo funny 💯 kenyan tupo 🇰🇪
Kutongoza Lah jamni
Ha ha ha ww nishai noma kweli
Hahaaaaaaaa...yaan unakamata nzi unakula😂😂😂😂😂
Mungu anakuona
Mungu anakuona ujue🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣, Mungu akusamehe bule 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ahaaaaaaaa noma sana
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nishai jau kwl yaan
Utapewa nyuma huko🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nauli jamani
I know I am not the only one that saw him catch that fly and put it into his mouth. 😂😂😂😂😂😂😂
Kalaje??😂😂
I knew it's only me who saw that!
😅
Hs
Qaa
Ujapewa nyuma apo🐱🐱
Joti bn🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Nishai mtombangile kitwango