Haji ni funzo Kwa wale wote wenyekujiona ni Bora,Allah katuonya sana kujifaharisha ,pia tumeonywa kujiepusha kutoka Siri/aibu ya mstiri wako baada ya kuvunjika mapenzi yenu iwe ktk ndoa,kazi au urafiki tu
Funzo kwa nini haji atabaki kuwa haji imegn simba alitoka twambie simba leo ikoje utapata jibu kila mwanadam mungu kampa kipaji chake tatzo watanzania aslimia kubwa mna roho za kinafk wivu kutokukubali uwezo wa mtu manara ni mmoja tu tanzania uwez kumfananisha na hawa madogo wote wanaobana pua
Umeishiwa pumzi wewe. Uwepo wa Simba ilivyo na Manara vina mahusiano gani hapo? Wewe ndio mnafiki wanao bana pua wameajiriwa na umaarufu umetaradadi. Wewe sasa ndio unakorosho na kijiba. Lazima Tukabali kila Nabii na Zama zake. Manara alifanya yake kwa ubunifu wake na kwa wakati wake. Nahao unao waonea ndunda kwa sasa wana fanya mazuri kwa ubunifu wao na kwa wakati wao. Tuache Wivu tuwaache vijana wafanye kazi nasio tuwaseme kama hauna kazi shika jembe ukalime tu. @@JohnsonBagambi
@@JohnsonBagambi Nashukuru Umejitambua katika sifa ulizo zitaja za mnafiki Chuki wivu na wewe unazo hiyo % kubwa ya wa Tanzania wenye chuki na wivu . Hao unao waita wabana pua huo tayari ni wivu unamtoaje mtu kasoro wakati hauja muumba wewe? Hawa wapo kazini tena ni waajiriwa wanaisemea Timu zao na ndio Mwenyezi Mungu ndivyo alivyo waumba wewe una wako soa kwa chuki zako binafsi Kilicho kukasirisha bila sababu hapa ni nini? (A) kuajiriwa kwao(B) Kua katika idara moja ya habari na Haji wakati wewe hupendi. Jitafakari ukishapata majibu ya swali (A,B)hapa unge mzungu mzia haji kama haji tunge pita tu. Nawewe ni miongoni mwa asilimia kubwa ya hao ulio waita wanafiki kwa hizi sifa ulizo zioanisha hapa. Tuache tabia za Nyani analiona ..................la mwenzie tu kumbe na yeye lake liko vilevile.
Huyu anajibrandi Kila mahali anataka KUINGIA kama brand bila anufaike yeye zaid kama brand Sasa utaratibu ni KWAMBA kama anaingia kama Brandi ajitangaze anatakiwa kuweka pesa ndio ajitangaze aidha kama anataka ajira YANGA aweke maswala ya brand pembeni jambo ambalo hawezi . Brandi kukutana na brand lazima kuweka mkataba WA kuweka fedha yaani kama YANGA inataka kujiingiza Kwa manara YANGA iweke mpunga au manara kujitangaza kama Brandi Kwa YANGA aweke mpunga Hiyo ndio win win situation Asilete ujanja mbele ya vichwa vya kisomi na vijana mahiri
Hakuwa na Nidhamu Baada ya Muda wako kuisha Uliita Press Conference na Akiwa na Mkewe na Mama yake, Kuzungumza wewe ndiyo Msemaji na Kumponda Ally Kamwe, Kutumia Mabavu. UNGEMUHESHIMU ALLY KAMWE KAIONGOZA YANGA MIAKA 2, ALLY AMWE HAWEZI KUTOLEWA KSB UMERUDI
Manara kajifunze kitu kinaitwa "Rule of Engagement " Kanuni na vigezo kuzingatiwa ni msemo maarufu sana. Manara haelewi kabisa kuzingatia kanuni na vigezo. Mfano hai. Baada ya kufunguliwa kifungo chake, kwa akili ya kawaida tu ya mwajiliwa yeyote, hakupaswa kuita press conference na kuongea aliyoongea. Kwa akili ya manara alipofungiwa,Cheo chake pia kienda kifungoni ndiyo maana mlimsikia akisema hana boss kitengo cha habari na yeye ndiye KING OF THE MIC wakati huo timu iko pre season South Afrika. Huo sio weledi wa kiofisi, yanga ni taasisi kubwa yenye maono makubwa. Inaendeshwa kitaaluma na kwa kuzingatia mifumo ya kiutendaji inayotumika kimataifa. Haji hajui hilo. Anaanza kuwasimanga waliokuwepo kuwa wameifanya yanga kuwa wanyonge. Akatangaza kuwa amerudi enzi za unyonge zimekwisha.Mafanikio makubwa yamepatikana manara akiwa hayupo. Fainali ya confederation, robo fainali club championship, na hapa nyumbani NBC Premier back 2 back. Hiyo sio namna ya kurudi. Hersi ni muungwana amejua kumchukulia manara, but angeamua kuvaa urais na kumwadibisha angemweka pembeni, ila kwa kuwa ni muungwana akambeba. Yanga ilipo na inakoelekea watu aina ya manara hawana nafasi. He is too full of himself kiasi kwamba anajiona ni mkubwa kuliko yanga yenyewe. Anachojivunia ni uwezo wa ushawishi. Hilo halina ubishi. But kinachoweza kuupa thamani na nafasi huo uwezo NI TABIA. Kama hana tabia atatupwa nje na uwezo wake. Kama alipata nafasi kwa sababu ya uwezo ni swala muda tu, TABIA ITAMUUMBUA ndicho kinachotokea. Bahati mbaya sana kwake, tabia ndiyo ilimtoa simba pia. So nyie wachambuzi acheni kumpamba hapambiki huyo. Anayempenda manara atamwambia ukweli.
Hayo ndio malipo ya mnafiki Ulikuwa Simba uko safi kiakili kimwili ss hv angalia ulivyo Bugatti Mapenzi yana kupeleka kichurachura Maisha nayo Yana kupiga pushapu Yanga ndio imekushika masikio Poleni msiotakiwa Poleni Simba nguvu Moja Jana na leooo🤣💪🏽🙏🏼
Acheni unafki kadhazeeka nyoosha maelezo kisa sio aliko yanga tuna raha na tunanenepa kila siku kazi mnayo kma mnateseka kwaajili yake mchukueniiiiiiiiiiii daima mbele nyuma mwikooooooooooooooooooooooooooooooooooo👌👌🔥🔥🔥💪🖐🔥🔥
Hebu nyie waandishi acheni habari zenu za kutaka kuanza kuivuruga Timu yetu,hizo zote mnataka kuanzisha chokochoko ndani ya club,hampendi utulivu uliopo na mafanikio yaliyopo
Akzi yake tayari jmeisha katumika basi Tena yanga kama maerkani wanajutumiya ukimaliza wanakuhuwa mwisho k wisha kabisa Simba atukutaki wewe m ariki mkubwa na dawa ya mnafiki ni moto
NI Kweli manara kapungua sana, ana stress sana,😢😢😢 na mwanamke yule ni mpigaji tu hakuna mapenzi hapo! Kwa ushauri wangu manara atulie amlilie mungu ampe mke aliye tulia na sio stress za media na mwanamke kila kukicha!
Si alisema hana shida gsm anampa mshahara wa bure kabla ya kifungo na mpaka kimeisha akaongezwa na mashahara sasa imekuaje tatizo babangu anaongea sana na maneno yake hatana busara plus matusi mpira ni starehe
Ni sahihi kabisa ana jipendejeza kwani aliondoka simba akizani simba itakufa lakini pia alishindwa kujua kuwa Hawa ni mapacha unapo mpiga doto jua kurwa anaishi kwa taazari na wewe tatizo Hana adabu
Manara kapewa kaz ya ukurugenz wa kutafuta wanachama jukumu kubwa wala huwez kumusikia sikia kwa sababu jukumu hili sio la kiusemaji Sasa nyie wachonganishi manara apo hajaongea xhochote najiuliza hiyo journalist proffesion mmesomea wapi?vichocho?
Nyinyi waandishi vishet sasa sibola.mngeungana na dida na kina juma lokole ili utabulike kama.mnasapot ushoga watoto wakiume mnamjadili.mtu ambae analipwa mshahara kuliko nyinyi ana tv yake ambayo anaweza kuwaajili saa na.muda autakao kwa mwenendo huo mtapata kaz au mmetumwa na waajili wenu mumchafue manara kwakua mnaona tv zenu hazfanyi vzur?
Yanga hawajamkataa manala,kwa hiyo mlitaka kamwe afukuzwe baada ya azabu yake kuisha,je akirudi simba mtakubali ahamed ally atoke akae yeye,maana haeshimu waliyo fanya wengine wakati yeye kafungiwa
Alitakiwa Kushuka Jukwaani Wakati Jamii Ilikuwa Bado Ina mpenda Na Kumthamini Lakini Anapoelekea ni Kule Kule Kwenye Kudharirika Na Kudharauliwa Hamna Jinsi.
Sisi Simba hatumtaki.aje ameyakanyanga anywe TU maana kaitukama sana Simba katuita wadudunkatuita makolo na Nk wanini sasa.aende.zakemhuko Kwa Tim ya mama mdogo yanga.hatumtaki.simba aje
Haji ni funzo Kwa wale wote wenyekujiona ni Bora,Allah katuonya sana kujifaharisha ,pia tumeonywa kujiepusha kutoka Siri/aibu ya mstiri wako baada ya kuvunjika mapenzi yenu iwe ktk ndoa,kazi au urafiki tu
Kwani hajijui kuwa amechokwa abaki tu na Tv Media yake kila jambo linakwenda na wakati kazi kuoa hovyo akae na mke wa kwanza tu
Funzo kwa nini haji atabaki kuwa haji imegn simba alitoka twambie simba leo ikoje utapata jibu kila mwanadam mungu kampa kipaji chake tatzo watanzania aslimia kubwa mna roho za kinafk wivu kutokukubali uwezo wa mtu manara ni mmoja tu tanzania uwez kumfananisha na hawa madogo wote wanaobana pua
Umeishiwa pumzi wewe. Uwepo wa Simba ilivyo na Manara vina mahusiano gani hapo? Wewe ndio mnafiki wanao bana pua wameajiriwa na umaarufu umetaradadi. Wewe sasa ndio unakorosho na kijiba. Lazima Tukabali kila Nabii na Zama zake. Manara alifanya yake kwa ubunifu wake na kwa wakati wake. Nahao unao waonea ndunda kwa sasa wana fanya mazuri kwa ubunifu wao na kwa wakati wao. Tuache Wivu tuwaache vijana wafanye kazi nasio tuwaseme kama hauna kazi shika jembe ukalime tu. @@JohnsonBagambi
Mashaallah kwel kaka
@@JohnsonBagambi Nashukuru Umejitambua katika sifa ulizo zitaja za mnafiki Chuki wivu na wewe unazo hiyo % kubwa ya wa Tanzania wenye chuki na wivu . Hao unao waita wabana pua huo tayari ni wivu unamtoaje mtu kasoro wakati hauja muumba wewe? Hawa wapo kazini tena ni waajiriwa wanaisemea Timu zao na ndio Mwenyezi Mungu ndivyo alivyo waumba wewe una wako soa kwa chuki zako binafsi Kilicho kukasirisha bila sababu hapa ni nini? (A) kuajiriwa kwao(B) Kua katika idara moja ya habari na Haji wakati wewe hupendi. Jitafakari ukishapata majibu ya swali (A,B)hapa unge mzungu mzia haji kama haji tunge pita tu. Nawewe ni miongoni mwa asilimia kubwa ya hao ulio waita wanafiki kwa hizi sifa ulizo zioanisha hapa. Tuache tabia za Nyani analiona ..................la mwenzie tu kumbe na yeye lake liko vilevile.
Koma kiherehere kibaya we huna tofauti na mwanamke malaya
Dunia haijawahi kumuwacha mnafiki salama
Simba msimpokee huyo ni mtego mkubwa kutoka GSM ili watuangushe tena, tego hilo
Upo sahii kabisa ndugu huyu msenge anatumika
Huyu anajibrandi Kila mahali anataka KUINGIA kama brand bila anufaike yeye zaid kama brand
Sasa utaratibu ni KWAMBA kama anaingia kama Brandi ajitangaze anatakiwa kuweka pesa ndio ajitangaze aidha kama anataka ajira YANGA aweke maswala ya brand pembeni jambo ambalo hawezi .
Brandi kukutana na brand lazima kuweka mkataba WA kuweka fedha yaani kama YANGA inataka kujiingiza Kwa manara YANGA iweke mpunga au manara kujitangaza kama Brandi Kwa YANGA aweke mpunga
Hiyo ndio win win situation
Asilete ujanja mbele ya vichwa vya kisomi na vijana mahiri
Akachekiwe naafya Hawa wanawake wameoza kamavip dozi mapema
Mkataa pema pabaya panamwita simba ilimpa jina lakini alitunyea wanasimba Sasa Kiko wp
Nikweli kabisa
Haji manara hakupewa umaarufu Simba haji manara maarufu kutokana na jina la ukoo wake manara msipende kujisemea tu
Atampokea nani simba huyo mnara sisi tuna semaji la CAF
Hapo mmeona huyu sio Manara wa simba huyo ni manara wa utopolo kachooooka ngozi imezeeeka kweli mdomo uliponza kichwa kupata ngewe
Hakuwa na Nidhamu Baada ya Muda wako kuisha
Uliita Press Conference na Akiwa na Mkewe na Mama yake, Kuzungumza wewe ndiyo Msemaji na Kumponda Ally Kamwe, Kutumia Mabavu.
UNGEMUHESHIMU ALLY KAMWE KAIONGOZA YANGA MIAKA 2, ALLY AMWE HAWEZI KUTOLEWA KSB UMERUDI
Aje awe chawa wa konde mjeshiiii tutampokea
😂😂😂 Dah! Mbavu sina 🤣🤣🤣👉🏼🐸🐸🐸
Ukiichukia Simba huwezi kufika mbali
Senzo fyuuuuu
Manara fyuuuu
kwa kawaida ukiwa Mzee Ruziki zako nazo hupungua Manara pole sana!
Nani kakudanya!? Bakharesa Mzee lkn kila sku anaingiza mabilioni ya fedha
Huyo manara apimwe afya ya akili tusije.mpoteza😂😂😂
Akiwa simba alikuwa anaheshimiwa lakini hawa yanga hawana heshima
Huyu mjanja mtu wa propaganda anataka Simba tumsamehe iliatuingize chaka
Manara kajifunze kitu kinaitwa "Rule of Engagement " Kanuni na vigezo kuzingatiwa ni msemo maarufu sana. Manara haelewi kabisa kuzingatia kanuni na vigezo. Mfano hai. Baada ya kufunguliwa kifungo chake, kwa akili ya kawaida tu ya mwajiliwa yeyote, hakupaswa kuita press conference na kuongea aliyoongea. Kwa akili ya manara alipofungiwa,Cheo chake pia kienda kifungoni ndiyo maana mlimsikia akisema hana boss kitengo cha habari na yeye ndiye KING OF THE MIC wakati huo timu iko pre season South Afrika. Huo sio weledi wa kiofisi, yanga ni taasisi kubwa yenye maono makubwa. Inaendeshwa kitaaluma na kwa kuzingatia mifumo ya kiutendaji inayotumika kimataifa. Haji hajui hilo. Anaanza kuwasimanga waliokuwepo kuwa wameifanya yanga kuwa wanyonge. Akatangaza kuwa amerudi enzi za unyonge zimekwisha.Mafanikio makubwa yamepatikana manara akiwa hayupo. Fainali ya confederation, robo fainali club championship, na hapa nyumbani NBC Premier back 2 back. Hiyo sio namna ya kurudi. Hersi ni muungwana amejua kumchukulia manara, but angeamua kuvaa urais na kumwadibisha angemweka pembeni, ila kwa kuwa ni muungwana akambeba. Yanga ilipo na inakoelekea watu aina ya manara hawana nafasi. He is too full of himself kiasi kwamba anajiona ni mkubwa kuliko yanga yenyewe. Anachojivunia ni uwezo wa ushawishi. Hilo halina ubishi. But kinachoweza kuupa thamani na nafasi huo uwezo NI TABIA. Kama hana tabia atatupwa nje na uwezo wake. Kama alipata nafasi kwa sababu ya uwezo ni swala muda tu, TABIA ITAMUUMBUA ndicho kinachotokea. Bahati mbaya sana kwake, tabia ndiyo ilimtoa simba pia. So nyie wachambuzi acheni kumpamba hapambiki huyo. Anayempenda manara atamwambia ukweli.
Akili Huna ww uliona ukitoka simba utatoboa sasa umeangukia pua
Hayo ndio malipo ya mnafiki
Ulikuwa Simba uko safi kiakili kimwili ss hv angalia ulivyo Bugatti
Mapenzi yana kupeleka kichurachura Maisha nayo Yana kupiga pushapu Yanga ndio imekushika masikio
Poleni msiotakiwa Poleni
Simba nguvu Moja Jana na leooo🤣💪🏽🙏🏼
tamaa mbaya
Brooh alizinguwa xanaaaa achaa ya mkutee 😂😂😂
Acheni unafki kadhazeeka nyoosha maelezo kisa sio aliko yanga tuna raha na tunanenepa kila siku kazi mnayo kma mnateseka kwaajili yake mchukueniiiiiiiiiiii daima mbele nyuma mwikooooooooooooooooooooooooooooooooooo👌👌🔥🔥🔥💪🖐🔥🔥
Hebu nyie waandishi acheni habari zenu za kutaka kuanza kuivuruga Timu yetu,hizo zote mnataka kuanzisha chokochoko ndani ya club,hampendi utulivu uliopo na mafanikio yaliyopo
Na bado,utakufa mbwa Koko na ilo domo lako, na usiludi kwetu ,
😂 Hajji Manara acha yamkute. Mwana kulitaka Mwana kulipata! KUDADEKI..
Manara kwani niyanga Kuna kazin hapo naenda hata Manchester united
ashura yupo hoi sana mnafiki huyu
Sura imepowaa sana ana stress kabisa haja changamka
Haaah, akufanya haki kwa makabila, ndiyo majibu yanarudi mdogo mdogo
Cyo kakonda semeni ukweli kazeeka vp mnaficha ficha?
Mwanakulitafuta simba msimpokee mnafiqi huyo.
Akzi yake tayari jmeisha katumika basi Tena yanga kama maerkani wanajutumiya ukimaliza wanakuhuwa mwisho k wisha kabisa Simba atukutaki wewe m ariki mkubwa na dawa ya mnafiki ni moto
NI Kweli manara kapungua sana, ana stress sana,😢😢😢 na mwanamke yule ni mpigaji tu hakuna mapenzi hapo! Kwa ushauri wangu manara atulie amlilie mungu ampe mke aliye tulia na sio stress za media na mwanamke kila kukicha!
Usaliti hua haumuachi mtu salama
Si alisema hana shida gsm anampa mshahara wa bure kabla ya kifungo na mpaka kimeisha akaongezwa na mashahara sasa imekuaje tatizo babangu anaongea sana na maneno yake hatana busara plus matusi mpira ni starehe
Sasa umenyoa upara na mkichwa huo jaman
Arudi nyumbani wasimsumbue Haji huyu ni mzaliwa wa simba mo --ampe nafasi ya kazi arudishwe kwenye use maji. Kwani tunampenda sana
Unampenda peke yako. Mbafu!!!
Kurjuan ya mzee magoma imeanza kazi itawasambalatisha
Njia ulopita ukiwa unaenda usiwele miba ipo cku utapita tena huyu mzungupori mjinga sana
Kurjuan ya Mzee magoma😮😮😮😮
Sasa uyu kwa kurjuwani uyu wa sumu ya panya
Duka lenu yanga vipi tena?
😂😂😂
Ulitakaje wakati Wako umepita shida yako huna busara unakuwa na maneno makali
Awaachie watoto wafanye kazi zama zake zimeshapita
Yanga Wamuonyesha Nn Maana ya Ubaya Ubwela 😂😂
Anadharau broo manara sana. Anawaita wachambuzi mabata.
Haji labda shetani tu ndo watamkubali na sio binaadamu
Kaka wewe ni Simba uliteleza tu rudi nyumbani.
Ni sahihi kabisa ana jipendejeza kwani aliondoka simba akizani simba itakufa lakini pia alishindwa kujua kuwa Hawa ni mapacha unapo mpiga doto jua kurwa anaishi kwa taazari na wewe tatizo Hana adabu
Manara ndio basi tena
Wote mnao msema manara ninyi ni makolo sisi wanayanga tuko kimya!!!! na manara wetu nyooooo
@@AloyceSiwingwa tulia kimya haujui lolote
Viongozi wa Yanga washakushtukia wewe Haji ni Simba
Ukivuta BANGE utotoni basi ujuwe utoka kichwani Kwa muda wa Miaka 40 ivyo BANGE ndio inafanya kazi yake
Ungetafuta kaz nyingine mambo ya usemaj waachie vjn
Nataka simba tumsamehe manara ni ndugu yetu. Amekaa simba na amefanya kazi sana na kwa moyo simba
Natamani huyu mwamba awe msemaji wa TFF
Rud Simba alavu punguza maneno mkuu bana ww niwakwetu Rudi nyumban haji
Mbona anavidonda kichwani au alikua hanabebeshwa mipira?
Ila huyu bwana anaonekana kudhoofu sana. Anatakiwa kupima afya mapema; dawa zipo.
Usimseme mtu hujui kesho yako na kizazi chako
Sasa inabidi tuletee Sili za juma mwiko
Sili Gani alete akati hayupo kwenye kamati yoyote nishabibi kama ww tu😅😅😅
Manara kapewa kaz ya ukurugenz wa kutafuta wanachama jukumu kubwa wala huwez kumusikia sikia kwa sababu jukumu hili sio la kiusemaji
Sasa nyie wachonganishi manara apo hajaongea xhochote najiuliza hiyo journalist proffesion mmesomea wapi?vichocho?
Hahahaaaa saf sana mnafik mkubwa huyo mungu amemuhuzunisha sana na bado atakonda Abaki kama sindano
Kwahyo mjomba kafanyiwa kama dem wa mwanzo ataufute vizee vyenzake tu
Dawa ya watu Wanafiki kama Manara ni Hicho alichokipata.
Njini Hersi amefanya Ubaya Ubwela
Mh kumbe bwana Haji ni mtu mzima sana.Hapa anaonekana vizuri kabisa.
Hata Simba hatukutaki nenda maji maji
Huna nidhamu hata SIMBA hatukutaki😂
Zaylisa ana Gundu
Hii ni mbegu ambayo mtu unapanda mwenyewe na haya mavuno yake
Achorire kachola
Haji Manara kitu kubwa ababaishwi na chochote ❤❤❤❤
Unampenda sana huyo . Aliondoka simba kwa vijibwaaa acha yamkute ❤
Zaylisa ni kisirani
Manara wa simba siyo huyuu
Sawa aseme tyu tunajua anatak kurundi kwenye kiki
Mbona hamumwachi aongee mnamsemea
Mbona mmeongeq ninyi tu mmeongea hajaongeq yeye
Bado hujasema nabado hujasema mmpaka usemeeee
Hajji ulijifakharisha kijinga na huyo Malaya unaemtembeza uchi dunia nzima kupitia mitandao.
Kwani tajiri akikufukuza unalazimisha nini, kazi ziko nyingi tafuta pengine
Uyo roporopo aende zake
manara kilichomuumiza nikuchanganya dini nadunia manara anajifanya mtu wadini ila anavyompost mke wake akiwa uchi kabisaa
Acha uongo na imani za wakoloni
Nyinyi waandishi vishet sasa sibola.mngeungana na dida na kina juma lokole ili utabulike kama.mnasapot ushoga watoto wakiume mnamjadili.mtu ambae analipwa mshahara kuliko nyinyi ana tv yake ambayo anaweza kuwaajili saa na.muda autakao kwa mwenendo huo mtapata kaz au mmetumwa na waajili wenu mumchafue manara kwakua mnaona tv zenu hazfanyi vzur?
Yanga hawajamkataa manala,kwa hiyo mlitaka kamwe afukuzwe baada ya azabu yake kuisha,je akirudi simba mtakubali ahamed ally atoke akae yeye,maana haeshimu waliyo fanya wengine wakati yeye kafungiwa
Jamaa limekonda lipua likibwaaa kudadadeek ,Yanga hawamtaki Tena duuh pole
Ungekuwa mkimya ingekupa heshima. Kupayuka kilawama kunakushusha! Yanga si mali yako binafsi yeyote anaweza kupewa nafasi yoyote wakati wowote!
Alitakiwa Kushuka Jukwaani Wakati Jamii Ilikuwa Bado Ina mpenda Na Kumthamini Lakini Anapoelekea ni Kule Kule Kwenye Kudharirika Na Kudharauliwa Hamna Jinsi.
Manara kawa mlopokaji sana, kujifaharisha kuwa ana pesa nyingi yeye, kujuwa kila kitu yeye, hapaswi kujipangia nafasi kubali unapopangiwa.
Tatizo mbinafsi
Brooh alizinguwa xanaaaa achaa ya mkutee😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Shida yake ni kujiona Bora kuliko mtu mwingine yoyote na na ujuaji mwingi na kujisikia sana Simba tulishindwana nae kwa ajili ya hivyo
Kurujuan ya Mzee magoma haijamuacha salama
Nan mngine kaona manara amepungua cjuy Ndo umri ushaenda
Sio mnafiki wenenda tu mnafiki ww ludi Simba yako
Ila harmonize 😅😅😅😅
NDIO UKOME KUROPOKA NYAU WEWE
Sisi Simba hatumtaki.aje ameyakanyanga anywe TU maana kaitukama sana Simba katuita wadudunkatuita makolo na Nk wanini sasa.aende.zakemhuko Kwa Tim ya mama mdogo yanga.hatumtaki.simba aje
Mbona amekonda sana
Atakua chizi huyu mjinga
Angeenda hata azamu
Sasa mbona mlivyo andika na nnacho kiskia si sawa k..nina zenu mnaongea nyie alafu mnasema anaongea uchafu upi???????
Kwani huyu ni timu gan jmn mbona haeleweki Simba msimpokee hiyo hata nyinyi baadae atakuja kuwachafua
Mbona alifurahiya usajili wa chama yanga nakuuliza size ya viatu vya chama abaki na chama au akawe msemaji Dodoma Jiji maana ndio kwenye asili yao
We mtangazaji mbona unaongea ww wacha tumsikie mwenye acheni ufala huo