kiongozi mpira wa miguu ili ufunge lazima mwenzako akosee hivyo basi kama unadhani yanga imecheza chini ya kiwango ungeingia wewe tuone kama kufunga ni jambo rahisi
Wewe Unasema Nini Unawajuwa Wa Ithopia au Unasema Tu Niwatu Hatari Sana Kwa Uchawi..Mimi Nawajuwa Vizuri Naishaanda Kwao Na Hapo Arabuni Wapo Wengi Niwafanya Kazi Zandani Wakamata Sana Kwa Suwali Hilo
Wachwzaji wamesafiri makwao, wametumikia timu zao za taifa, wamesafiri kwenda Ethiopia, uchovu wa safari na mechi za ki.ataifa, hawakupata muda wa kupumzika na kujizoesha na hali ya hewa, wakacheza wakashinda. Ni mpumbavu tu atawashushia lawama.
Hugo ni mtoto wa magoma hajui mpira kama baba yake wachezaji wametoka kwenye timu zao za wana mchoko hawakufanyabmazoezi na wenzao wachezaji 14 toka YANGA walioitwa na mataifa yao si kitu rahisi asubiri marejeo Zanzibar abaki na kauli yake hiyo hiyo kuwa mwaka huu hatuna timu asibadilike baadae
Unasemaje yanga wabovu katika ufungaji na wakati mnafunga magoli kumi kwa mechi mbili? Tatizo mnafikria Gori Tano au zaidi Kila mechi kuliko kushinda mchezo
Mr..huwezi kila mechi ukapafomi kwa ubora ulele wa cku zote...hata hao vibonde kuna cku wanacheza kama mafundi, vivyo ivyo kwa timu bora ipo cku watakuwa chini ya ubora tu...
Tuache midimo timu wiki nzima inawachezaji 11 tu waliobaki wote time zao za taifa wamefika Ethiopia kwa mafungu wamejitahidi sana sana uge nn tuwe watu wa shukrani ninyi wachambuxi uchwara
Hii ndio tatizo la watu wasioujua mpira ndio hawa! Wanaongea ujinga tuu! Hongera yanga kwa kuchukua point ugenini! Jiseme shabiki wewe usieujua mpira. Nina imani na safu tuliyo nayo itafanya vizuri mechi zijazo na tutafika mbali
Hiyo sio sababu.uchovu wa safari ya nn kiwango cha young africa ni cha kawaida sana.inashindaga kwa timu mbovu kama zalan fc.na timu nyingine mbovu.na hapo bado kuna timu zipo huko mtakunanazo😊😅
Tunakusamehe Bure. Kufuzu ni ushindi Wala SI idadi ya magoli. Aziz ndiye aliyetoa pasi na Dube akafunga, wewe wataka Nini? Aaah, kumbe ulisema wewe ni magoma junior!!!
Wachezaji wanechoka na AFCON na safari ndefu ndani ya siku tatu Kusafiri na kucheza michezo migumu. Ni kweli wamecheza chini ya kiwango na mimi bado nawapongeza sana kwa ushindi wa ugenini. Ratiba iliwabana na bado inabana kwa sababu kabla ya tar. 21 sept. kuna mechi tena tar. 28 sept. Tumeshinda ila tumexoea 5G laxima tuteseke ila kwangu ushindi wa ugenini ni mtamu sana na laxima tumshukuru Mungu kwa zawadi hii. Halafu tujue wazi kuwa hawa ni binadamu sio kila siku wanakuwa na hali ileile kimwili na kisaikolojia. We kijana unaonges ukweli na laxima upokee maua yako. Penye ukweli tukubali tu. Hii ni mechi tuliuocheza hovyo kuliko mechi nyingine yeyote ktk miaka hii mitatu ya furaha. Hatujaenjoy kama tulivyozoea. Tuneshinda ila hatujaburudika.
Mdogo wangu, unda timu yako ambayo itakuwa inatumia nafasi zote zinazopatikana.
umemwambia ukwuli kak
WACHEZAJI walichoka,WAMEFANYA safari,wametumika SANA KWENYE MECHI za Taifa
Wewe kaka aujui mpila,tunakuomba usiongee azalani unatutia aibu😮
Alafu nyie yanga ikosiku presha itawapanda siku hao wachezaji mikataba ikiisha waondoke. Musajili wengine nyie simumezoea kila timu kupata magoli mengi. ileTimu yajana ilikua ngumu ndomana mnakuja kuwalaumu wachezaji wenu. Punguzeni midomo isiwe mirefu. Ubaya ubwela
TImu Gani TANZANIA Ina striking force KENGE WEWE KILA MECHI DUBE ANAFUNGA KAIZER,TIMU YA SOUTH AFRICA
Yanga inachezea ligi south Africa? Wewe unazungumzia friend match ndo unasema dube anafunga kila mechi
Akili za kenge
MPIRA UNADUNDA NA MATOKEO YAKE HUWA YANABADILIKA.
TIMU HAIWEZI KUSHINDA MECHI ZOTE😅
Anzisha timu na magoma ili muwe mnashinda magoli mengi kwenye champions.
Ilove you yanga ❤❤❤❤
Siyo kila siku ni Krisimasi.
Kweli yanga hakuna timu mwakaa huu, na mtaisoma namba
😂😂😂
Nyie yanga mna matatizo xana. Yani badala yakishukuru ushindi mlio upata unalaumu wachezaji. Je mingefungwa ingekuaje
Tumefurahi timu imeshinda wamechoka toka kwenye timu zao za taifa anaejuwa mpira hawezi kuwalaumu hiyo kimchezo ni kitu cha kawaida
Tatizo mnajilinganisha na Simbaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅
We fala kweli ,
Unataja uozo huoo😅😅😅
Nani anijilinganisha na simba wewe kweli mwehu. simba nayo ni timu ya kuifananisha na yanga hebu ona aibu.
kiongozi mpira wa miguu ili ufunge lazima mwenzako akosee hivyo basi kama unadhani yanga imecheza chini ya kiwango ungeingia wewe tuone kama kufunga ni jambo rahisi
Huyu ndokavulugwa sasa huyu yanga dam dam
Ilitakiwa kuangalia wachezaji wamefika juz toka timu za taifa....
Aziziki mbona hakuonekana.au ndo viuno vya mobeto vimeanza kufanya kaz yake😂😂😂
Wewe Unasema Nini Unawajuwa Wa Ithopia au Unasema Tu Niwatu Hatari Sana Kwa Uchawi..Mimi Nawajuwa Vizuri Naishaanda Kwao Na Hapo Arabuni Wapo Wengi Niwafanya Kazi Zandani Wakamata Sana Kwa Suwali Hilo
Ni Hawajui😂😂
Mchome wa yanga
Kweli kabisa
UNALAUMU TIMU,NA SABABU ZA KUTOFANYA HIVYO UNATOA WEWE
We ujui kitu kwenye Mpira yanga wanamechi ngapi.subilini muwe wavumilivu.nakama vipi kashangilie kwa mayele uko uko aliko
Mmeona sasa vitalo na hawa sasa mnaanza kukutana vigogo
Kweli Yanga washambuliaji hamjatutendea haki. Mmecheza chini ya kiwango.
mechi ifuatayo kacheze wewe ufunge bao 100 minha wew, unaju ugumu wa mpila?
Wachwzaji wamesafiri makwao, wametumikia timu zao za taifa, wamesafiri kwenda Ethiopia, uchovu wa safari na mechi za ki.ataifa, hawakupata muda wa kupumzika na kujizoesha na hali ya hewa, wakacheza wakashinda. Ni mpumbavu tu atawashushia lawama.
Na bado mbwa wewe, nani aliwambia Dube ni mshambuliaji mzuri pale hakuna mshambuliaji, Dube anawaza kuifunga Simba tu😂😂
Ndio tatizolenu wa tz munatoka na matokeo nyumbani kumbukeni ule ni mpila na kila timu inaitaji ushindi😮
Sis cbe tulipegeza kdg tukija tz mtaomba maji
Yani utopolo amkosagi kisingizio et wamechoka mbona kipa amejituma kama unajuwa unajuwa tu
Hugo ni mtoto wa magoma hajui mpira kama baba yake wachezaji wametoka kwenye timu zao za wana mchoko hawakufanyabmazoezi na wenzao wachezaji 14 toka YANGA walioitwa na mataifa yao si kitu rahisi asubiri marejeo Zanzibar abaki na kauli yake hiyo hiyo kuwa mwaka huu hatuna timu asibadilike baadae
Si Yanga wako na kikosi kipana haya kama uchovu wa AFCON basi ngoja tuone marudiano Amaan Complex Zanzibar
Huyu mjinga Kama babake magoma
@@jumakibasame3210HUYO MTOTO SIO WA MZEE MAGOMA HUYO MWANAHARAMU KAMA MCHOME ANEMSIFIA JIRANI YAKE ANAJUWA KUTOMBA KULIKO BABAKE MIJANA HARAMU HIYO
Kiukweli hata ukiangalia walipocheza mechi ya ligi kuu yanga Sasa sio Ile ya msimu uliyopita
Ila angepngea mchome ungesikia mashabiki wa UTO daa huyu jamaa anajua Sana mpira 😂
Peleka uke wako ukacheze pumbavu umetengeneza ulikuwa unacheza mjinga wewe tafuta kazi yakufanya wewe na anaekuuliza
Wamechoka uzee ndiyo tatizo vibabu wle wakikutana navijana ndiyo mnaona
UTOPOLO TIMU LENU BOVU HAMNA KITU 😂😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO
Kwani Simba anacheza lini?
@@salimmalaka256 sis n Zaid ya cbe🔥🔥
@@saimonijonas1471 KESHO SAA 2 USIKU YA TZ
@@PaskaliDalei KWA UBOVU HAHAHAHHH
Timu ya msimu huu mmhhh
ndoto zako zitaishia kitamdani
Bado mkiambiwa kiwango kinashuka hamuamini,Mab eto fc
Hats mimi sikufurahia kiwango cha Yanga V CBE leo, lakini pia nionavyo kama kiwango cha Azizi Ki kimeshuka vile!
Unamaliza MB zangu bora nizime simu tuu
ngoma ya watoto aikesh
Kule Ethiopia Kuna warembo bhana usishangae. Hii yanga NDIO ilipiga kaizer chief 4
Huyumtoto anawaza sh70ml wanatowawapi
Tuliwaambia wale vita lo ni wabovu na Mkakataa leo jeee
Ata timuyako pia ni mbovu.kwasababu yanga wameifunga
Uchovu wa majukumu ya timu za taifa, hata hivyo away win, ni advantage kwa yanga
muimu ni alama (3)pekee
Ww niyanga au mfuasi wa makolo tumekushtukia au ukiwa niyanga bas ni2 kasor 😅😅😅
Mlizifunga timu zingine zikiwa mbovu, timu zingine nazo zimepanda. Mtakoma waka huu😂😂😂😂😂
Makolo mc jidsnganye tabu ipo palepale.
Unasemaje yanga wabovu katika ufungaji na wakati mnafunga magoli kumi kwa mechi mbili? Tatizo mnafikria Gori Tano au zaidi Kila mechi kuliko kushinda mchezo
Watu sasa wanajua kua Yanga wanatumia madawa
Hicho ndicho kiwango cha Yanga. Msilalamike. Msijilinganishe na Simba😂😂😂😂😂😂😂
Simba iliyokufa mbele ya yanga ngao au iko simba nyingine
bado aujasema
Mpira si kama ugali na sato Wana Yanga tueshimu pia Timu shindani
Lini watafikia?Timu inaendelea kujitafuta miaka 2 😂😂😂😂😂😂😂
Sasa unataka wafunge kila siku.kwaiyo timu mzima mbovu ubwa wewe
Watu wengine bwana sijui ni swala la uelewa
Usiseme wanayanga ha2jafurah hujafurah ww ulie kuwa huna iman na timyako mjinga ww hatahivo wamejitahd kuchukua poent 3 ugenn kamawao wenyej mbon wameshindw kuchukuw hizo 3 huipongez 2 timyak unaakil ww yan si bur unadegedege ww
Muongeaji unaongea nini sasa.kalale
CBE walicheza nje ya kiwanja pia walihamisha goli
Huyu dunduka
NA wewe unalaumu sana wakati ulisema Yanga ni bora kuliko timu zote sasa malalamiko YA nn?
Kaongea point mwaka huu utopolo mtajuta
UTOPOLO TIMU LAO BOVU 😂😂😂😂😂
ACHA bangi mbichi mbn wewe na magoma baba Yako mnaipiga yanga sana kulikoni?
TIMU LENU BOVU 😂😂😂😂😂
Mr..huwezi kila mechi ukapafomi kwa ubora ulele wa cku zote...hata hao vibonde kuna cku wanacheza kama mafundi, vivyo ivyo kwa timu bora ipo cku watakuwa chini ya ubora tu...
Tuache midimo timu wiki nzima inawachezaji 11 tu waliobaki wote time zao za taifa wamefika Ethiopia kwa mafungu wamejitahidi sana sana uge nn tuwe watu wa shukrani ninyi wachambuxi uchwara
Huyu jamaaa
Mmmhhhhh ngoja ninyamaze
Bado ni mapema sana kulahumu ,wachezaji wamechoka, na mechi za afcon, tuwape muda.
Uyo ni mjinga tu yanga wamecheza vizuri aache upumbavu
Yanga ni team kubwa, itakaa saw, utaona mechi ya marudiano watapigwa 6.
Tulieni Wana YANGA kwenye marejeo mtakuja ona jumamosi
Amesahau kama hao wachezaji wengi walikuwa kwenye Tim zao za taifa,kweli ni pumbaf na hajui kabisa mpira ni shabiki maandazi
Hili Nalo jinga unafikiri kila siku ni kushinda goli nyingi? Hii ni champion league brother, ina namna yake ya kucheza.
Hii ndio tatizo la watu wasioujua mpira ndio hawa! Wanaongea ujinga tuu! Hongera yanga kwa kuchukua point ugenini! Jiseme shabiki wewe usieujua mpira. Nina imani na safu tuliyo nayo itafanya vizuri mechi zijazo na tutafika mbali
TIMU LENU BOVU 😂😂😂😂
Wewe hujui kwamba timu haikua pamoja wachezaji wamechoka kutoka kwenye mataifa yao
Hiyo sio sababu.uchovu wa safari ya nn kiwango cha young africa ni cha kawaida sana.inashindaga kwa timu mbovu kama zalan fc.na timu nyingine mbovu.na hapo bado kuna timu zipo huko mtakunanazo😊😅
@@FeisalOmary-zt1wxTIMU LAO BOVU 😂😂😂😂
Wewemsenge watuwanachoka gemuijayo jiandae kuvaajezi
Hujielewii,wametokakuchezamechingumu
Tunakusamehe Bure. Kufuzu ni ushindi Wala SI idadi ya magoli. Aziz ndiye aliyetoa pasi na Dube akafunga, wewe wataka Nini? Aaah, kumbe ulisema wewe ni magoma junior!!!
Kichwa chako kama magoma
TIMU LENU BOVU
TIMU LENU BOVU
TIMU LENU BOVU 😂😂😂😂
Kumbe huyu jamaa 0 kabsa
Badala kushukuru ushindi wewe unabeza,
Ungeenda kucheza wewe
Acha lawama za kipuuzi upo na wanahabari uchwala
Pumbavu kweli, wachezaji wametoka kwenye michuoano ya kimataifa ya FIFA ulitaka wachezeje, wao sio watu hawachoki? Shenzi nini
Mtoto wa magoma😅😅😅😅😅
Wachezaji wanechoka na AFCON na safari ndefu ndani ya siku tatu Kusafiri na kucheza michezo migumu. Ni kweli wamecheza chini ya kiwango na mimi bado nawapongeza sana kwa ushindi wa ugenini. Ratiba iliwabana na bado inabana kwa sababu kabla ya tar. 21 sept. kuna mechi tena tar. 28 sept. Tumeshinda ila tumexoea 5G laxima tuteseke ila kwangu ushindi wa ugenini ni mtamu sana na laxima tumshukuru Mungu kwa zawadi hii. Halafu tujue wazi kuwa hawa ni binadamu sio kila siku wanakuwa na hali ileile kimwili na kisaikolojia. We kijana unaonges ukweli na laxima upokee maua yako. Penye ukweli tukubali tu. Hii ni mechi tuliuocheza hovyo kuliko mechi nyingine yeyote ktk miaka hii mitatu ya furaha. Hatujaenjoy kama tulivyozoea. Tuneshinda ila hatujaburudika.
Wewe kaka huna hata aibu kwani wao wachezaji ni wanyama? Hata mnyama anachoka acha kulaumu kuku wewe
Sasaunalaumunini,?hujielewibwege
Kacheze wewe kama unaona ni rahisi....sisi cha muhimu point 3
TIMU LENU BOVU 😂😂
Hujielewiiiii,ungecheza weweee
wewe hujui mpira mechi hizi c xa kushinda 567 yanga 90%keshafuzu halafu inategemea umecheza na nani
Huyo ni mpira una dunda
Ungeingia ucheze wewe