Hakuna perfect man dada yangu Wolper. Wote Wana mapungufu, ni kuvumiliana tu. Hata awe anakupenda vipi ipo siku atakuboa tu ila mnasamehana maisha yanaendelea
Wanawakeni mama zetu na Wana hisia za kweli! tueshimu Sana wanacho ongea, Maana katika maandiko yanasema Mwanamke Mheshimu Mumeo na Mwanamke mpende Mkeo!!
Kwanza wewe walper una maringo......kwa sasa hivi harmonize huezi mfikia hata kidogo......ushamba umebaki kwako..........😝😝😝😝 Achana na jeshiiiiiiii💋konde boy for everybody ❤️
Uknow uknow uknow nyiiiiiingi acha hixooooo misifaaaaaaa mingi, ongea kama ww wolpa usiiige muangalie monalisa hanaga makuu,mshamba lakini ndio kesha kugonga na kasepa na hana time,na huyo ulompata unasema kula bata atakula bata kwako then ataenda Kuowa mke mtulivu asoringa na mwenye adabu kuongea mpaka matendo kauli inafunga tujifunze kauli nzuri
Sasa ku experience kiaje 😂😂😂buana wee...usiongee kizungu kma hujui maana yake ...umeulizwa mbona kwa umri wko hujafikiria mambo ya familia eti unajibu hujaexperience 😆😆😆😆😆aaiiisseee.....si mpaka uingie kwa familia ndio upate hiyo experience wolper kachemsha ungesema tu huko tayari kupata mtt na kuolewa maana ushachezewa sanaa
Ustahili kusemahamo nizealikuwa mshamba Nahisi hata wewe ulikuwa mshamba nakumbukasana boyfriend ambaealikuwa nawewe Leo unamwita mshamba ustahili ulikashifu sana Hamo ukawa unashangaza watu sana hakunabinadamu asiekoseana nanagirlfriend au boyfriend acha jina la kumwita Hamo alikuwa mshamba arekurespekt sio kama maeasta nawamatatoo aliyekusema unanuka Bibi huyo ndio akukurespekt au muongo aliekudhalilisha na mapicha machafu .siku Zote usipende unamwambia Hamo Ni mshamba angekündigt mshamba sidhani kama angekuua Gauni try to User a good Language maisha hapana kupita usimseme Hamo mshamba wakati juzi tuu umemuengelea kwa uzuri au ulikuwa unapretend wakati anafungua cd yake .sawa nampenda kukueleza ukweli ukichu,ja sawa
Huyu ana utajiri gani Ata anajigamba na kutukana watu Hana anacho jua Zaid ya you know na actually shenzi huyu hiyo maana ya experience sijui kama anajua
Wolfer una upungufu wa akili, maringo na sifa ambazo hazina faida dadangu dunia ni duara. Harmo kukuacha inakuuma sana sahi harmo nhumuwei hata kidogo..
Plan pesa but one day utakumbuka hayo maneno .kumbuka mdomo unaumba ukikaa bila kua na familia yako sijui utakua unamtafutia Nani hiyo pesa . Hakuna kitu Cha msingi Kama kua na mtt mis money but akid is very important to our lives
Em tuone km mtafikia maneno yakuambiwa maana wale wamesha kua 1 ila hatutaki mapenzi wala mtukalie uchi tunataka muvi ambayo tutaangalia na family kwa pamoja
Wanawake sisi mungu tusameh mtu anakukojoza ,we mkiachana unamnanga nna imani wanawake ndotuna aibu nying zaid kama wanaume tunaoachana nao na wao wakianza kutuanika mhh tutadhalilika
Jack ukimpata Mchumba usimtangazie mtu..kuna fitna nyingi ktk hili..aina haja..hili linahitaji ushauri..nilikuwa sijui Kama ww ni muelewa Sana..kupitia hii intaviu nimekusoma
He kumbe m siheshimiki kisa sijaolewa bado duh jmn na ndoa iwe yenye baraka sio. Ndoa ndoano afu useme naheshimiwa dah tumuombe Mungu amabao bado htujaolewa
Wolper acha uboya ushamba wa harmonize unauona Leo baada ya kuachana wakati mumevuana nguo Mara ngapi huo ushamba mbona ulikua hauonekani acha izo haisaidii piga kimya
Kusema kweli wolper amechanganyikiwa mtaliani kamkoroga akili juu anachoulizwa hajibu bali anajibu vitu vyake. Anaona sifa kutangaza kuwa miji mikubwa mikubwa zinazojulikana kwa ngono hata haoni haya bure kabisa.
Hakuna perfect man dada yangu Wolper. Wote Wana mapungufu, ni kuvumiliana tu. Hata awe anakupenda vipi ipo siku atakuboa tu ila mnasamehana maisha yanaendelea
N vizuli
Asante mama
Hakuna asiyekuwa mxhamba ujanja unatokaga mtaani kujichanganya na watu namna hiyooo Kama nikweli gonga likee hapaaaa
True point
👋👏👏👏
💪💪
Wewe ni star, mzuri na wa kisasa kwa nn u date na mwanamme mshamba? Hiyo ni tabia mbaya haiketi picha nzuri
Kweli
Nirikuwa najuwa una hakiri kumbe mutu muzima horyo mungu wangu badirika wolper kuongeya ivo nihaya inaguhangayisha🇧🇮🇧🇮🇧🇮
maringo unayo siku zote sifa mingiiiiiiiiiiii unadhani maskini ndo hawana mapenzi wewe ni maskini wa akili wolper hiyo pride yako hiyooooo siyoooo
Wanawakeni mama zetu na Wana hisia za kweli! tueshimu Sana wanacho ongea, Maana katika maandiko yanasema Mwanamke Mheshimu Mumeo na Mwanamke mpende Mkeo!!
As we Aman tuwaheshimu Sana wanawake tunao ishi nao!!
Nilimwelewa Mzee Lowasa aliposema kipaumbele cha kwanza Elimu, cha Pili Elimu na tatu Elimu..😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Hazimo
Kabisa!!
Kwanza wewe walper una maringo......kwa sasa hivi harmonize huezi mfikia hata kidogo......ushamba umebaki kwako..........😝😝😝😝 Achana na jeshiiiiiiii💋konde boy for everybody ❤️
Uknow uknow uknow nyiiiiiingi acha hixooooo misifaaaaaaa mingi, ongea kama ww wolpa usiiige muangalie monalisa hanaga makuu,mshamba lakini ndio kesha kugonga na kasepa na hana time,na huyo ulompata unasema kula bata atakula bata kwako then ataenda Kuowa mke mtulivu asoringa na mwenye adabu kuongea mpaka matendo kauli inafunga tujifunze kauli nzuri
Mh.... unaongea usicho kijua 😂
Tatizo la masuper star wa bongo mnadharau Wanaume masikini mbona masikini huku kitaa tumetulia na mapenzi yetu
Namadharau yko ndio kila mwanaume unaeshika anakuchezea nakukuacha
Yaan upo sahh bro
Apo sasa mme tulia kwel😂😂😂😂
Hatimae leo unaitwa mama P MUNGU wetu nimwema
Nakupenda san mpnz auna ujinga
Yan wew mmbwa kwa harmoniz utasubiri
Hatariiii
Umempa ukwel wk kungun huyo hana llt kwa konde boy atasubir
Umependeza sana wolper!hasa izo glass zako uuum nipowa sana, D&G
Vp
Smash,Lavish and miss Beauty...I like the you answer the questions. Much Love from Dubai.
Nakupenda sana my lv worple
True time is better.
Wolper nakupenda bure love
afu mnapendaga kusema mpango wa mungu......dah.....mtachomwa moyo nynyi....
Nakupenda sn Jackline Wolper
sio eti alikua mshamba alikua mdogo wako so hana experience kama yako
Sanaaaaaa
Nimechoka dd mchaga wangu eti daaaaaaaaaa🌷🌷💖💖💗💗💗
I love this woman she is my role model.
Youth so beautiful wolper
Wolper kwa sasa konde boy humuwezi wew ndomana hunamzungumzia sn lkn hakuzungumzii ata kdg
Achana na konde boy si leval yko, ashakusahau konde yko busy na cute sara
Love love love wolper asokupenda mchawi
Sasa ku experience kiaje 😂😂😂buana wee...usiongee kizungu kma hujui maana yake ...umeulizwa mbona kwa umri wko hujafikiria mambo ya familia eti unajibu hujaexperience 😆😆😆😆😆aaiiisseee.....si mpaka uingie kwa familia ndio upate hiyo experience wolper kachemsha ungesema tu huko tayari kupata mtt na kuolewa maana ushachezewa sanaa
😂😂😂😂😂
Hahaaaaaaaaaa,fact
Shania una maneno km yoteee
Ustahili kusemahamo nizealikuwa mshamba Nahisi hata wewe ulikuwa mshamba nakumbukasana boyfriend ambaealikuwa nawewe Leo unamwita mshamba ustahili ulikashifu sana Hamo ukawa unashangaza watu sana hakunabinadamu asiekoseana nanagirlfriend au boyfriend acha jina la kumwita Hamo alikuwa mshamba arekurespekt sio kama maeasta nawamatatoo aliyekusema unanuka Bibi huyo ndio akukurespekt au muongo aliekudhalilisha na mapicha machafu .siku Zote usipende unamwambia Hamo Ni mshamba angekündigt mshamba sidhani kama angekuua Gauni try to User a good Language maisha hapana kupita usimseme Hamo mshamba wakati juzi tuu umemuengelea kwa uzuri au ulikuwa unapretend wakati anafungua cd yake .sawa nampenda kukueleza ukweli ukichu,ja sawa
UNAJIMPYA WEWE
Toka hapa,ashame on you,dharau ipi uliyo nayo,Na ww
Kweli mimi napendaga ginsi uyu dada
Penda sana mm wolper wasiokupenda wajinyonge.
❤️💚💛
mtafutaji wangu
Happ kwenye pesa ndio nakupenda dada
Mpambanaji💓💓💓
Huyu ana utajiri gani Ata anajigamba na kutukana watu Hana anacho jua Zaid ya you know na actually shenzi huyu hiyo maana ya experience sijui kama anajua
Kama wewe unajua kwanini usiende kumsaidia kuongea kenge wewe
Huhuhuu 🙉🙉
Wolper na Harmonize kuna maneno wana-share """ you know """"
Wolfer una upungufu wa akili, maringo na sifa ambazo hazina faida dadangu dunia ni duara. Harmo kukuacha inakuuma sana sahi harmo nhumuwei hata kidogo..
Acha tamaa,mwanamke anamda wake wa kuolewa mda ukipita Dada yangu kalaga bao utabaki kuwa NUNGAHEMBE.
Km hajampatajeee afenyejee?
Dah mm hyu dda nmkbli sna 🤠dah wolper mm sjui nsmje nnvokukubali
Kuringa kubaya na kudharau maskini sio vizuri..coz hujafa hujaumbika..leo na kesho umepoteza mguu, maskini mwenye miguu miwili utamuona wa maana sana.
Plan pesa but one day utakumbuka hayo maneno .kumbuka mdomo unaumba ukikaa bila kua na familia yako sijui utakua unamtafutia Nani hiyo pesa . Hakuna kitu Cha msingi Kama kua na mtt mis money but akid is very important to our lives
Nilikuonya juu ya kupendana na kile kijamaa cha WCB, hukuelewa.. Umeona kilicho tokea?
I Love you Jackline Wolper
Dadaangu usiringe Sana wanaume hawaaminiki..n you don't know where your future holds... Hivo unavoviita vishamba vinaeza kuja kuwa mumeo.
Nampenda xna Wolper
Kweli kabisa kazi na pesa ndoo mwanaume sasahivi ❤❤❤❤❤💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋
Ni kweli kabisa 👌👌
@@Superman--un9xz uwongo uwongo
Mtoto Mchaga dah!. I lived in Taveta , wachaga nawajua .
Em tuone km mtafikia maneno yakuambiwa maana wale wamesha kua 1 ila hatutaki mapenzi wala mtukalie uchi tunataka muvi ambayo tutaangalia na family kwa pamoja
Eti kapuni kapuni kapuni kapu kweli ila hawatufikiii na mzeee mwinyimkuu huku maneno ya kuambiwa❤
Maneno yakuambiwa iko hot sana
Hapo uligonga ndipo
@@asherinashoni4526 kweli kabisa il mbon kapuni sio mbayaa
umeongea smart kula bata mama uko mzuri
😄😄😛😛et Sina experience ya mimba😄gambeeee
Una ongeya sana
Wadangaji super
Acha hizo wew mnapenda serengeti boys acha habar hizo huwo ni shamba uwoya
Mshamba wakati alikuwa anakuvua chupi sema ulijua hatatoka kimuziki lakini leo unamuongelea vibaya kila siku mwenzio alimove akaoa Sara
We jamaa unaakili Sana umeongea point
Wolper nakupenda saanaa
Wanawake sisi mungu tusameh mtu anakukojoza ,we mkiachana unamnanga nna imani wanawake ndotuna aibu nying zaid kama wanaume tunaoachana nao na wao wakianza kutuanika mhh tutadhalilika
Ifikiee hatua watanzania tuipende tu lugha yetu maanaaa daahaa yunoo yunoo yunoo yunoo actually actually ...yeh yeh yeah ukuda tu yunoo nn sasa aaaah muwe specific embu wakenya kujenii muone ujinga yetu Tz
Jack ukimpata Mchumba usimtangazie mtu..kuna fitna nyingi ktk hili..aina haja..hili linahitaji ushauri..nilikuwa sijui Kama ww ni muelewa Sana..kupitia hii intaviu nimekusoma
Heshima ya mwanamke ndoa,then mtoto we unaongea nini mambo ya pesa tuachieni wanaume ndo fani yetu.
He kumbe m siheshimiki kisa sijaolewa bado duh jmn na ndoa iwe yenye baraka sio. Ndoa ndoano afu useme naheshimiwa dah tumuombe Mungu amabao bado htujaolewa
prisca njooo nikuoe upate heshima
Wanaume wenyewe ck hizi wanapenda kulelewa
Daa mihukupenda km Huna Ile miwiqi yko
leo unawaita wenzio masikin jaman kweli maisha hubadilika
Nadya Hassan True ...Hakuna MTU ajuwae ya kesho
Wolep nakupenda etii waringaaa😂😂😂😂
Harmo ananyoosha kiingereza we na iyo u know ni nyingii sana
Mremboooo
So beautiful Jack 😘😘
Lot of ❤❤jucky
Love
Wolper nakukubali sana lkn kusema unakataa milion 30 uongo huo
Ni true wolper,kuna mijiti haifai kukuumiza
Nakupenda sana dada uko vzr
Wolper acha uboya ushamba wa harmonize unauona Leo baada ya kuachana wakati mumevuana nguo Mara ngapi huo ushamba mbona ulikua hauonekani acha izo haisaidii piga kimya
Hapa nimeelewa Kwani Harmo kamlilia Kajala, "nilikuona wewe ni mwanamke wa maisha yangu hata tulipoachana haukufanya interview yoyote kuniongelea" pongezi Kajala
Wolper zaa mtoto Mmoja hapo unafeli
Umependeza saana my c na unatema vitu vizr saana
Ulipokuwa unamvulia chupi ulikuwa haumuoni Kama Ni mshamba? Leo baada ya kupigwa chini ndo unajifanya eti alikuwa mshamba.
hill nalo nenooo piga makofi kwa Kondeake weweeee
Worper sikuhiz unavyovaa kiheshima hadi raha
hahhahahaaaa jack bana eti ana kipepo cha maringo sa si ukikemeee hahhahaaa 😊😂😂😊😂😂😂
We mwenyeo ulikua mshamba adi sasa mshamba
😂😂😂😂
yeahhhhh
Naonaga kama hujui vizur lugha fulani bora kujisalimisha kwa kujizalilisha demu mzur unafosi kuchomekea vionjo vya mambele
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣haja experience kuwa na mtoto, 🤣🤣🤣🙌🙌 nacho sikia n you know tu 🤣🤣🤣🤣
Uwoya auna utafauti na miss buza.. Watu washakutumia sanaa sahv umebak amaboko tu..ushachuja wewe auna jipya
Sorry co uwoya ni wolper auna jipya watakutumia watakuacha km bata
Mmmmmh wolper acha dharau kweli pepo likutoke
Uko vzur dada
Wew lofa sana
Jua kam harmonize yupo Juu sana
hakuna kama maneno ya kuambiwa🙌
🤣🤣🤣
Kusema kweli wolper amechanganyikiwa mtaliani kamkoroga akili juu anachoulizwa hajibu bali anajibu vitu vyake. Anaona sifa kutangaza kuwa miji mikubwa mikubwa zinazojulikana kwa ngono hata haoni haya bure kabisa.
Pesa nitamu ukiwa na mtoto wakuikula...kaa hauna mtoto pesa ina maana gani...watanzania mkona nakasoro ya kukosa masomo mengi....
Eti kapuni ndio number one Na Maneno ya kuambiwa itakuwa number ngapi?mtasubiri sana kwa maneno ya kuambiwa
Yani kaka umeongea maneno ya kuambiwa number one 🌍
Siri za familia nazo itakua yangapi?
Yuuu noooo,yoooo nooo yaaani wabongo banaaaaa 🤣🤣🤣😂
😅😅😅
😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Wewe wawapi
we Million 30 ipi io ambayo utakataa ww 😪😂
yuno yuno yuno yuno....yuno iyo veeepeeeee😁😁
Hiyo yonoo ukimchanganyia kingeleza ataanza kuuliza, yaani haja sikia kile kingeleza yunooo🤣🤣🤣🤣
Hahaha yo know
Hahaha
Dada hapa hujajieleza poa though some points umenena kweli
Nakupendaga we dada mpk bc Yani natamani kila cku niwe nakuona tu
Wew dada akili zako ni sawa na jins unavyo vaa lakin ukwel chukua mfano Zar(boss lady) anakuzid kila sector lakin anfemilia ya watoto 5
😂😂😂😂😂😂😂yani izi siku dada yangu una maringo hadi kero😂😂😂😂ila nakupendaga sana my choice
Sipendi interview ya huyu mwanamke, anaongea kama anajifundisha kuongea. Mchwee
Aisha Elias kwani umelazimishwa kuskiza 😀😀mijitu muna taabu
Ata yeye akupendi kakojoe ulale
Unampnda ndo mana umefika umu
@@zashamloli1233 Hahaha mna maneno nyie
@@saimonmadeni9463 Hahaha si kwa kumfokea uko
Jack jamani jack wewe nilikuwa na mpango wa kukushilikisha kwenye mvi yangu lakini umenikwamisha tamaa na kuogopa sasa mimi
Aya bhn
Ringa ringa wolper usiringa kwann wakati unae umpendae
Ttzo movie za bongo ukianza ikifika kati tuu mtizamaji akajua inaishia wapi tofaut na za wenzenu
Penda sana jack
Mmmh,,,,jamnieeeee hapa hakuna ndoaaa watu hawataki kuolewaa kazi kazi fanya kazi kisha kapumzike pembeni
Nilishangaa eti huyo kijana harmo anasema wanawake wa kiafrika wanapenda vitu na wala sio wakweli
Mbona sara kamuweza amonaizy
Hasna Abduly c nasikia wameachana
@@fasratabuu2585 aaaa wap hawajaachana juz tu katoa wimbo saea ndo vidio vixer
Ok
Nimeipenda hapo kugaramia mtanzania hakuna kushea😂😂😂😂😂😂😂😂
Mmmmmmhu makubwa haya ya kukutwa na pepo la kujidai na ulingaji!
Washamba wazazi wake walio mzaaa wame shindwa kulea
Ampaka amekosa heshma
Mhhh hapo kwenye umasikini hapo,ndugu yangu ,,,,,,we bado huna pesa ,
Acha tharau ww jux alikutosa Dallas pia alikutosa konde boy pia alikutosa jiulize Sasa ndio umeolewa na mwanamitindo ndio utulie sasa
Ayo ni maneno ya dharau sana