Tupo pamoja Kijana wetu Afande Sele Hakika unamheshimisha Mwamba wetu Hayati Dr Magufuli ambaye baadhi ya Wanasiasa na hasa kwenye chama chake wanavyomwandama vibaya" "Sikiliza kwenye majukwaa hawaangalii mema aliyoyatenda kwa Umma wa Watanzania wanashupalia makosa aliyoyatenda kama Binadamu"Mungu ampuzishe mahali pema PEPONI
Kumbe Afande Sele ni mtu mwenye akili sana. Nilikuwa namwelewa kinyume. Hongera sana umeongea ukweli mtupu. Sina la kusema. Ila wewe ni hazina ya badae. Mungu akuongezee vyema
Katika watu waloumizwa na kifo Cha Magu na wewe ni Mmoja wao nakufatilia since mr president Magufuli yupo hai ulikua hupitwi na ishu yoyote ya Magufuli still had Leo hii ukiona title ya Magufuli lazima upite Hadi nimefahamu jina lako,kiukweli na mm pia ni miongoni mwao rafik yangu
Niliona mengi Sana wakati wa magufuli tena makubwa 1.flyover 2.reli ya kisasa 3.usimamizi wa madini 4.usimamizi kwa watumishi wa umma 5.ununuzi wa ndege 6.samaki wengi 7.kubadili mindset ya watu Duuu na mengine mengi Hakiki taifa letu lilipoteza kiongozi hodari
Magufuli alikuwa kama viongozi waliokuwepo ulaya waliibadili ulaya kutoka chini mpaka walipo. Ila hatuambiwi eti democracy wao wameanzisha democracy 1978 wakati wameshaweka mambo yao sawa .leo wanaongea uhamiaji tu kila kitu chao kipo sawa maono yako mungu akubaliki kk binadamu ni wachache hilo ulijue.
Allah amrehem magufuli wetu kipenz cha watu jaman angekuwepo tungukuwa mbal san wanyonge allah allah mpe pepo ya firdaus milele laima sasahv hawangaliwi wanyonge nauli zipo juu sana baba tunakukubuka sana 😭😭
Iv Yan mtu kalala bado anamguso kwawatu lkn Kuna watu wako hai hawana sifa kabisa Oh! Hallelujah 🙌 Dr JOHN POMBE JOSEPH MAGUFUL lala salama kamanda uliamusha na kufungua Akili za wengi Hilo n kusudi la MUNGU juu ya wateule wake mwamba umelala na ulale salama kpnz Cha Tanzania na Africa kwa ujumla.
Nimefurahi kusikia Afande Sele yuko detailed kiasi cha kufahamu Giants of the world, Mussoline, Hitler etc na harakati zao, inaonesha unapenda kusoma na kufatilitia mambo!.
Hakika Mungu alimtuma atupiganie lakini wale wasiopenda maendeleo ya Tz wakahakikisha wanaikatiza safari yake. Mungu akulaze Mahalia pema unapostahili mwamba. Rip Mwamba Magu.
Kosa lake ni kuwafilisi watu Mali zao na kuwakamua wawekezaji mpaka wakaanza kukimbia nchi na uchumi ulishaanza kuporomoka polepole ila sisi masikini tulifurahi hali hiyo si unajua tena mtu masikini anavyofurahia anguko la mwenzake akawabana wapinzani ili asikike peke yake hakupenda kupingwa wala kukosolewa
❤Tuliya ndg mutungie mashauri mazuri kama kumuenzi hii ni dunia tunapita,pole saana mwanangu zMungu atakulinda usife moyo Wote niwaja wake kwake nitalejea
@@noelbryson7840 wazungu wanavoitaga watu wao waliofanya makubwa kwenye mataifa yao huwa waafrika kama wewe hamusemagi chochote ila wa kwetu mnaleta ubishi . Learn or perish
kweli bn mama kaluhusu kila mtu ale ulefu wakamba yake dah mungu huyu bx bn yeye ndie anajua kuliko sisi ila watu wabaya sana hata kama wamemtanguliza ili wapate vyweo na nakukusanya mapesa ya kutosha pita kaliakoo sasa ivi2 uone magolofa yanavovunjwa nakujegwa
Rip mz magu.maneno yako niya busara na maono yako ni mapana mno hata kama wanasema nabii hana heshima kwao.magu kafanya mingi sana,kwasasa mama anayandelesha!na kuna wengine watakao tokeya kama magu akina makonda mbona wako vizuri tu kwanye siyasa.magu mwenyewe ashaga nena hayo maneno mbele ya umati kwamba viongoze wazee ndio waliouwa inchi.na akawaambiya lukuvu,na kabudi,ya kwamba hawawezi kuwa ma raisi juu uzee unaanza kuwatawala.tanzinia ni inchi tajiri ukipata viongozi wema mbona ni haraka kuwa na mabadiliko harara.karibuni tanzania itapinzana na chine.kwenye uzinduzi wa zahabu mupya inayo patikana africa. Na inawezekana kati ya inchi tatu za africa moja itakuwa juu kwa iyo chine watashuka kamataifa.kuna madini yanayo patinakana tanzania na ni muhimu sana kimataifa.nayanapatina inchi tatu barani africa,mijawapo ni mozambike,madascare,na tanziania.ni madini ya thamani sana.mnamo mwaka 2026 njo uvumbuzi wa hayo madini utaanzishwa.ongera
Afande Sele,umenigusa sana kwa kweli.Waliokukamata wote wasamehe bure.Ndo nchi yetu ilipofikia kwa sasa.Mwenye haki hana haki lakini wale wasiostahili haki,ndio wanaonekana wenye haki.Tutamkumbuka Magufuri daima.
Afande Sele ana akili mingi sana huyu bwana. Bug up brother. Uko vizuri sana. Sisi huku tunaendelea na maombolezo ya kifo cha JPM. Kila kukicha ni maombolezo tuu.
Magufuli alikuwa mwamba kupatikana Rais kama huyo mpaka Mungu apende tena maana Serikali ya sasa hivi ni ya awamu ya nne iliyojaa wezi awamu ya sita kuuzwa kwa bandari zote kuwaondoa wamasai kwenye ardhi yao
Afande sele umeongea kitu kikubwa Sana mama Samia ikikupendeza mpe Hata ukuu wa wilaya atatupa kitu watanzania. Ebu jaribu kumwamini umpe nafasi serikalini.
My God Afande nimepack gari kukusikiliza you have drown deep down my emotions Salute Sele Msiba wa Magufuli uliniumiza sana sana
Hakika
Sana mw
amba
Afande Selle umeongea MADINI matupu, tuko pamoja.
True patriotic and leader of Africa rest in perfect heaven Dr Jpm
Tupo pamoja Kijana wetu Afande Sele Hakika unamheshimisha Mwamba wetu Hayati Dr Magufuli ambaye baadhi ya Wanasiasa na hasa kwenye chama chake wanavyomwandama vibaya" "Sikiliza kwenye majukwaa hawaangalii mema aliyoyatenda kwa Umma wa Watanzania wanashupalia makosa aliyoyatenda kama Binadamu"Mungu ampuzishe mahali pema PEPONI
Pole sana Afande sele. Tuko pamoja tunamkumbuka daima kama alivyosema yeye.
Kumbe Afande Sele ni mtu mwenye akili sana. Nilikuwa namwelewa kinyume. Hongera sana umeongea ukweli mtupu. Sina la kusema. Ila wewe ni hazina ya badae. Mungu akuongezee vyema
Natamani nigonge like mara mbili Ila haiwezekani
Kati ya Maraisi niliyotokea kuwaelewa Africa Ni gadafi na magufuli,mungu awalaze mahali pema peponi 🙏
Na Thomas sankara
Na Mugabe
Pole sana. Ni msiba uliotuuma watanzania wote. Ila kazi ya Mungu haina makosa
Umeongea vizuri sana brother.
Umesema sawa kabisa Sele 🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Hakuna wa kuvaa viatu vya Magufuli waliobaki hivi sasa ni wanafiki hata Mtume Muhammad alikuwa nao wanafikii
Daa I'm speechless be blessed Afande.
Sijawahi kuumia moyo kama kifo cha magufuli RIP jpm
Katika Marais wa Africa huyu mwamba alikuwa KICHWA.
Magufuli alikuwa "True Leader"
Tukubali tumepoteza Assert.
Hakuna maendeleo nchi hii bila magu saahv ni wizi tuu
Katika watu waloumizwa na kifo Cha Magu na wewe ni Mmoja wao nakufatilia since mr president Magufuli yupo hai ulikua hupitwi na ishu yoyote ya Magufuli still had Leo hii ukiona title ya Magufuli lazima upite Hadi nimefahamu jina lako,kiukweli na mm pia ni miongoni mwao rafik yangu
Pumzika kwa amani Rais wetu mpendwa Hayati Dr. John Pombe Magufuli. Huku Kenya tunakukumbuka sana❤.
Afande sele Mungu akutangulie you're right ✅
Hakika kifo cha hayati magufuli hakita sahaurikz tuliumia na bado tunaumia mungu atujalie tuzid kusafir salama ingawa tunaumia.
Daaah, kifo hicho cha mwamba sikuamini! Yaaan vitu ambavyo nilivyokuwa nimepanga vimefeli baada ya kifo chake, Mungu aendelee kumpuzisha salama!
Niliona mengi Sana wakati wa magufuli tena makubwa
1.flyover
2.reli ya kisasa
3.usimamizi wa madini
4.usimamizi kwa watumishi wa umma
5.ununuzi wa ndege
6.samaki wengi
7.kubadili mindset ya watu
Duuu na mengine mengi
Hakiki taifa letu lilipoteza kiongozi hodari
Lakn leo sifa zinaenda kwa msimbe
Alafu kuna boya moja linaelea kwenye sifa ya Magufuli 😢
Jpm tulikupenda Sana❤
Magufuli alikuwa kama viongozi waliokuwepo ulaya waliibadili ulaya kutoka chini mpaka walipo. Ila hatuambiwi eti democracy wao wameanzisha democracy 1978 wakati wameshaweka mambo yao sawa .leo wanaongea uhamiaji tu kila kitu chao kipo sawa maono yako mungu akubaliki kk binadamu ni wachache hilo ulijue.
Sema afande selle ana akili nyingi saana huyu jamaa Mungu akupe maisha marefu zaidi
Afande sele umemikosha kusema ngano hazidum magugu yanadum😊😊😊
Allah amrehem magufuli wetu kipenz cha watu jaman angekuwepo tungukuwa mbal san wanyonge allah allah mpe pepo ya firdaus milele laima sasahv hawangaliwi wanyonge nauli zipo juu sana baba tunakukubuka sana 😭😭
Yaan we acha tu Afande Sele ila Mungu anajua
True man umesema kweli sanaaa tuko pamoja sana mm pia ila JPM hapana.😢😢😢😢😢
Nikweli mungu muweke magu peponi
Na alisema kwamba sikumoja mtanikumbuka
Afande sele 🔥🔥🔥🔥🔥
Iv Yan mtu kalala bado anamguso kwawatu lkn Kuna watu wako hai hawana sifa kabisa Oh! Hallelujah 🙌
Dr JOHN POMBE JOSEPH MAGUFUL lala salama kamanda uliamusha na kufungua Akili za wengi Hilo n kusudi la MUNGU juu ya wateule wake mwamba umelala na ulale salama kpnz Cha Tanzania na Africa kwa ujumla.
Nimefurahi kusikia Afande Sele yuko detailed kiasi cha kufahamu Giants of the world, Mussoline, Hitler etc na harakati zao, inaonesha unapenda kusoma na kufatilitia mambo!.
Pamoja afande sele huyo rais alikuwa wa aina yale😊
Sio ww tu kamanda inauma Sana aisee Kwa wale walioipenda Tz
Daah thanks for this Afande 😢
Binafsi hua napenda sanaa interview za afande sele na konk master ❤
Hakika Mungu alimtuma atupiganie lakini wale wasiopenda maendeleo ya Tz wakahakikisha wanaikatiza safari yake. Mungu akulaze Mahalia pema unapostahili mwamba. Rip Mwamba Magu.
Kosa lake ni kuwafilisi watu Mali zao na kuwakamua wawekezaji mpaka wakaanza kukimbia nchi na uchumi ulishaanza kuporomoka polepole ila sisi masikini tulifurahi hali hiyo si unajua tena mtu masikini anavyofurahia anguko la mwenzake akawabana wapinzani ili asikike peke yake hakupenda kupingwa wala kukosolewa
@@saidbakar-qo6riuchumi ulipanda tulikuwa uchumi wa kati blue Leo tuko wapi?
Hujitambui ww.@@saidbakar-qo6ri
@@saidbakar-qo6ri wewe ulikuwa mmoja wa waliofilisiwa?
Umeongea kwa ufupi lakini katika mpangalio mzuri sana!.
Wakubwa wa serekali ndani ya ikulu wako na siri kubwa! Tafakarini hilo. Msipumbazwe kwakua Tanzania ni nchi ya amani 🙏🙏🙏 MAGU WAS THE BEST
Kabisaa...!! Hawakupendwa waendeshwe...!
Kaka na kukubali sanaaaaa afandee seleeee kaka wee akili zako ni OG
❤Tuliya ndg mutungie mashauri mazuri kama kumuenzi hii ni dunia tunapita,pole saana mwanangu zMungu atakulinda usife moyo Wote niwaja wake kwake nitalejea
Afande Sele ukweli nikwamba waliombeza magufuri walikuja ni Mafisadi na waliokua na uchu wa mafaraka
❤❤ jiwe magufuri
Nikweli kabisa maana ofisi zote za selikali watu walikua wanasikilizwa maneno ya njoo kesho yaliisha kabisa
kweli kabisa kk yani mtu wako chini unaskizwa nakupewa heshima
umeongea kwa hisia sana kaka ni wachache tu wanayajua makuu aliyoyafanya jpm
Wl take 100years to find new magufuli, RIP king 👑magufuli
Maneno yako yananiliza sana
Kizuri hakidumu kazi ya mungu haina makosa pumzika kwa amani JPM!!
Afande Sele ❤❤❤❤❤❤❤❤❤💯💯💯💯🔥
Nimefurahi kusikia mpendwa wetu snaongelewa❤❤
Narudia Tena Afande umeongea ukweli mtu
Kwakweli mpaka sasa sijawai amini kama kweli magufuri Kafariki nikirudi tz ndo nitaamini maana niko ndotoni😢
Pumizika salama baba tulikupenda sana magufuli
Kabisa kaka mtaani ovyo sana, ukiachana na uchawa wa mama unaupga mwingi ila kitaa kimaharibika
Ndo vizuri so tulimkataa tukasema dikteta Sasa ndio tufaidi Hali hii Sasa !
@@NuruMfaume😢😢😢😢WANAFIKI TU
Nikweli kabisa Mimi naamini ipo siku mwili wake utapimwa upya
Ndg,yangu itatusaidia nini!
Tutasubiri sana kumpata kama magufuli
Kiukweli leo nikipewa kalama ya kufufua mtu mmoja tu kweye hii dunia mimi na mfufua "Mr. late president Magu"maana ntaokoa vitu vingi sana.
MIMI JE 🥹🥹🥹🥹🥹NITAMFUFUA NIMPE MIAKA 25 ILI ASIZEEKE MAPEMA 🤲🏿🤲🏿🤲🏿🤲🏿🤲🏿🤲🏿🥹🥹🥹🥹criying everyday
MIMI JE 🥹🥹🥹🥹🥹NITAMFUFUA NIMPE MIAKA 25 ILI ASIZEEKE MAPEMA 🤲🏿🤲🏿🤲🏿🤲🏿🤲🏿🤲🏿🥹🥹🥹🥹criying everyday
@@atutweve4160Moja 50
Tumepoteza sasa hivi ni dhiki tupu Wamasai wanyonge nk
Salute afande sele❤❤❤❤
Niko pamoja nawe afande Sele ila kazi ya Mungu aina makosa
Sasa kama upo pamoja na afande selle Sasa unatuambia sis ili iweje?😊😊😊
@@hamisimuhammad3656 tulia mbona unawaka kama Moto wabangi kwani amekuita kwenye coment yake 😏😏😏
@@hamisimuhammad3656uko na shida mingi xn😅😅😅😅😅😅
MUNGU AMUWEKE KTK NURU YA USO WAKE APUMZIKE KWA AMANI KIPENZI CHETU.
( MTAKATIFU MAGUFULI ) St JPM mimi sio mtz ila naamini pia uyu alikuwa ni mtume wa Mungu
Ukimuita mtakatifu unamaanisha nini?..
@@noelbryson7840 wazungu wanavoitaga watu wao waliofanya makubwa kwenye mataifa yao huwa waafrika kama wewe hamusemagi chochote ila wa kwetu mnaleta ubishi . Learn or perish
@@noelbryson7840vyovyote utakavyoelewa
Yaani uongozi wa Dr Magu ulitufanya kuuelewa zaidi uongozi ninini nakututoa woga kutuweka kwenye mwanga fulani
Bado nampenda sana magufuli
Bg nakupata ndani yá 🇲🇿🇲🇿
Wise man, nakukubali sana afande upo vzr sana
Pole sana mi mwenyewe nilikuelewa sana sana hali iliyokupata
Ni kweli wapo watu walio Fulahia kifo cha Mangufuli lakini leo wanajutia
kweli bn mama kaluhusu kila mtu ale ulefu wakamba yake dah mungu huyu bx bn yeye ndie anajua kuliko sisi ila watu wabaya sana hata kama wamemtanguliza ili wapate vyweo na nakukusanya mapesa ya kutosha pita kaliakoo sasa ivi2 uone magolofa yanavovunjwa nakujegwa
Wee acha ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯
Jacob hongera maana nakumbuka ulisoma zombo na kina salumu kindaile
Hakika aisee
Rip mz magu.maneno yako niya busara na maono yako ni mapana mno hata kama wanasema nabii hana heshima kwao.magu kafanya mingi sana,kwasasa mama anayandelesha!na kuna wengine watakao tokeya kama magu akina makonda mbona wako vizuri tu kwanye siyasa.magu mwenyewe ashaga nena hayo maneno mbele ya umati kwamba viongoze wazee ndio waliouwa inchi.na akawaambiya lukuvu,na kabudi,ya kwamba hawawezi kuwa ma raisi juu uzee unaanza kuwatawala.tanzinia ni inchi tajiri ukipata viongozi wema mbona ni haraka kuwa na mabadiliko harara.karibuni tanzania itapinzana na chine.kwenye uzinduzi wa zahabu mupya inayo patikana africa. Na inawezekana kati ya inchi tatu za africa moja itakuwa juu kwa iyo chine watashuka kamataifa.kuna madini yanayo patinakana tanzania na ni muhimu sana kimataifa.nayanapatina inchi tatu barani africa,mijawapo ni mozambike,madascare,na tanziania.ni madini ya thamani sana.mnamo mwaka 2026 njo uvumbuzi wa hayo madini utaanzishwa.ongera
JPM my most beloved president.
Daah! MI MAGUFULI nilimuona Nabii wa kizazi cha sasa ,,r i p magu.
Pamoja sana kaka mkubwa mi mwenyewe niliumia sana rais wangu mpendwa mchapa kazi niliyasema mengi moyoni mwangu
Tupo pamoja Afande hata mimi navhukizwa na Tabia za utegemezi
Kwa kweli tutazidi kumkumbuka huyu mwamba ❤❤❤❤🙏🙏
Kwa imani yangu JPM ni mtume wa Mwenyezi Mungu naamini ata andikwa na ata somwa na vizazi vijavyo, Time will tell .
Hakuna mtume tena haw wengne wanafata tu nyayo zao ktk matendo
Much respect afande sele😢
Afande Sele,umenigusa sana kwa kweli.Waliokukamata wote wasamehe bure.Ndo nchi yetu ilipofikia kwa sasa.Mwenye haki hana haki lakini wale wasiostahili haki,ndio wanaonekana wenye haki.Tutamkumbuka Magufuri daima.
Nakubali wwe sio mnafki ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mungu amulaze mahari mpema peponi hata mimi nilimupenda jpm
Afande umenena, kweli kbsa siku Moja huyu Magu atatangazwa mtakatifu , ni mgumu kuelewa.ww n nabii,
Thank u afade hakika hapo ndo naelewa why uliimba msnii ni kioo
Afande sele Mwamba 💪 💪 💪 💪 💪 💪
Unanitonesha kidonda. Magufuli ananiuma sana kila siku. Mungu amlaze peponi.
Afande Sele ana akili mingi sana huyu bwana. Bug up brother. Uko vizuri sana. Sisi huku tunaendelea na maombolezo ya kifo cha JPM. Kila kukicha ni maombolezo tuu.
Kwa kweli umeongea❤
Magufuli alikuwa mwamba kupatikana Rais kama huyo mpaka Mungu apende tena maana Serikali ya sasa hivi ni ya awamu ya nne iliyojaa wezi awamu ya sita kuuzwa kwa bandari zote kuwaondoa wamasai kwenye ardhi yao
Hakika afande selle umenifanya nilie mno ., daa hakika Magu Umetuacha njia panda wanyonge mweeeeeeeeeee.
Afande sele umeongea kitu kikubwa Sana mama Samia ikikupendeza mpe Hata ukuu wa wilaya atatupa kitu watanzania. Ebu jaribu kumwamini umpe nafasi serikalini.
Afande kweli ww ni kichwa sana msema kweli na mwenye uzalendo wa hari ya juu
RIP JPM ❤️❤️❤️
Huko sawa kaka
Wataanza kukufigisu wanapoona unamuongelea na kumpenda magufuli!,,maana hawataki hata kumsikia!
Hakika Afande Sele! Apumzike kwa amani!
Sele tupo pamoja Sana JPM wetu alituuma sana😢😢
Mimi nililia sanaaa usiku ule
Pamoja na kuvuta bangi lakini akili ungali nazo