AFANDE SELE AIBUA MAPYA KIFO CHA MAGUFULI ''ILINIPONZA NIMELALA POLISI SIKU 7'' ATAMANI MAGUFULI DAY

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 267

  • @nestor384
    @nestor384 6 місяців тому +21

    My God Afande nimepack gari kukusikiliza you have drown deep down my emotions Salute Sele Msiba wa Magufuli uliniumiza sana sana

  • @josephatkiliko2546
    @josephatkiliko2546 6 місяців тому +22

    True patriotic and leader of Africa rest in perfect heaven Dr Jpm

  • @patrinraura1397
    @patrinraura1397 6 місяців тому +54

    Tupo pamoja Kijana wetu Afande Sele Hakika unamheshimisha Mwamba wetu Hayati Dr Magufuli ambaye baadhi ya Wanasiasa na hasa kwenye chama chake wanavyomwandama vibaya" "Sikiliza kwenye majukwaa hawaangalii mema aliyoyatenda kwa Umma wa Watanzania wanashupalia makosa aliyoyatenda kama Binadamu"Mungu ampuzishe mahali pema PEPONI

    • @user-oc7ur4ob1e
      @user-oc7ur4ob1e 6 місяців тому

      Pole sana Afande sele. Tuko pamoja tunamkumbuka daima kama alivyosema yeye.

  • @MihayoMageta
    @MihayoMageta 6 місяців тому +14

    Afande Selle umeongea MADINI matupu, tuko pamoja.

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 6 місяців тому +25

    Umesema sawa kabisa Sele 🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @user-gw8wv2zf2g
    @user-gw8wv2zf2g 6 місяців тому +34

    Natamani nigonge like mara mbili Ila haiwezekani

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba998 6 місяців тому +29

    Kati ya Maraisi niliyotokea kuwaelewa Africa Ni gadafi na magufuli,mungu awalaze mahali pema peponi 🙏

  • @johnsosy3128
    @johnsosy3128 6 місяців тому +24

    Umeongea vizuri sana brother.

  • @jumaally4263
    @jumaally4263 6 місяців тому +7

    Kumbe Afande Sele ni mtu mwenye akili sana. Nilikuwa namwelewa kinyume. Hongera sana umeongea ukweli mtupu. Sina la kusema. Ila wewe ni hazina ya badae. Mungu akuongezee vyema

  • @hassnsalim5156
    @hassnsalim5156 6 місяців тому +17

    Hakuna wa kuvaa viatu vya Magufuli waliobaki hivi sasa ni wanafiki hata Mtume Muhammad alikuwa nao wanafikii

  • @simonmadiba2053
    @simonmadiba2053 6 місяців тому +6

    Pole sana. Ni msiba uliotuuma watanzania wote. Ila kazi ya Mungu haina makosa

  • @Mamie-zm8cq
    @Mamie-zm8cq 6 місяців тому +8

    kumbe una akili hivyo Afande Sele, yote unayosema ni kweli, na mm niliumia sana.R.I.P mwamba.

  • @makelemohuya2723
    @makelemohuya2723 6 місяців тому +14

    Afande sele Mungu akutangulie you're right ✅

  • @user-zy6vq6lz7z
    @user-zy6vq6lz7z 5 місяців тому +5

    Sijawahi kuumia moyo kama kifo cha magufuli RIP jpm

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 6 місяців тому +9

    Hakuna maendeleo nchi hii bila magu saahv ni wizi tuu

    • @EzzyEddy-il3ce
      @EzzyEddy-il3ce 5 місяців тому +1

      Katika watu waloumizwa na kifo Cha Magu na wewe ni Mmoja wao nakufatilia since mr president Magufuli yupo hai ulikua hupitwi na ishu yoyote ya Magufuli still had Leo hii ukiona title ya Magufuli lazima upite Hadi nimefahamu jina lako,kiukweli na mm pia ni miongoni mwao rafik yangu

  • @Ushauri235
    @Ushauri235 6 місяців тому +6

    Niliona mengi Sana wakati wa magufuli tena makubwa
    1.flyover
    2.reli ya kisasa
    3.usimamizi wa madini
    4.usimamizi kwa watumishi wa umma
    5.ununuzi wa ndege
    6.samaki wengi
    7.kubadili mindset ya watu
    Duuu na mengine mengi
    Hakiki taifa letu lilipoteza kiongozi hodari

    • @user-zy6vq6lz7z
      @user-zy6vq6lz7z 5 місяців тому

      Lakn leo sifa zinaenda kwa msimbe

    • @marcoakyoo760
      @marcoakyoo760 5 місяців тому

      Alafu kuna boya moja linaelea kwenye sifa ya Magufuli 😢

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 6 місяців тому +17

    Magufuli alikuwa kama viongozi waliokuwepo ulaya waliibadili ulaya kutoka chini mpaka walipo. Ila hatuambiwi eti democracy wao wameanzisha democracy 1978 wakati wameshaweka mambo yao sawa .leo wanaongea uhamiaji tu kila kitu chao kipo sawa maono yako mungu akubaliki kk binadamu ni wachache hilo ulijue.

  • @DaudiSaid-bj7dh
    @DaudiSaid-bj7dh 6 місяців тому +4

    Daa I'm speechless be blessed Afande.

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 6 місяців тому +9

    Hakika kifo cha hayati magufuli hakita sahaurikz tuliumia na bado tunaumia mungu atujalie tuzid kusafir salama ingawa tunaumia.

  • @abdulikilala5902
    @abdulikilala5902 6 місяців тому +13

    Jpm tulikupenda Sana❤

  • @dicksonmgoga-hj4im
    @dicksonmgoga-hj4im 6 місяців тому +4

    Daaah, kifo hicho cha mwamba sikuamini! Yaaan vitu ambavyo nilivyokuwa nimepanga vimefeli baada ya kifo chake, Mungu aendelee kumpuzisha salama!

  • @user-dt9st1ko1f
    @user-dt9st1ko1f 6 місяців тому +12

    Allah amrehem magufuli wetu kipenz cha watu jaman angekuwepo tungukuwa mbal san wanyonge allah allah mpe pepo ya firdaus milele laima sasahv hawangaliwi wanyonge nauli zipo juu sana baba tunakukubuka sana 😭😭

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 6 місяців тому +12

    Afande sele umemikosha kusema ngano hazidum magugu yanadum😊😊😊

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 6 місяців тому +28

    Yaan we acha tu Afande Sele ila Mungu anajua

  • @maureenkemei8762
    @maureenkemei8762 6 місяців тому +4

    Pumzika kwa amani Rais wetu mpendwa Hayati Dr. John Pombe Magufuli. Huku Kenya tunakukumbuka sana❤.

  • @user-yd3cj5xs1z
    @user-yd3cj5xs1z 6 місяців тому +33

    Magufuli alikuwa "True Leader"
    Tukubali tumepoteza Assert.

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8ui 6 місяців тому +41

    Katika Marais wa Africa huyu mwamba alikuwa KICHWA.

  • @adamdaudi6191
    @adamdaudi6191 6 місяців тому +9

    Nimefurahi kusikia Afande Sele yuko detailed kiasi cha kufahamu Giants of the world, Mussoline, Hitler etc na harakati zao, inaonesha unapenda kusoma na kufatilitia mambo!.

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8ui 6 місяців тому +24

    Hakika Mungu alimtuma atupiganie lakini wale wasiopenda maendeleo ya Tz wakahakikisha wanaikatiza safari yake. Mungu akulaze Mahalia pema unapostahili mwamba. Rip Mwamba Magu.

    • @saidbakar-qo6ri
      @saidbakar-qo6ri 6 місяців тому

      Kosa lake ni kuwafilisi watu Mali zao na kuwakamua wawekezaji mpaka wakaanza kukimbia nchi na uchumi ulishaanza kuporomoka polepole ila sisi masikini tulifurahi hali hiyo si unajua tena mtu masikini anavyofurahia anguko la mwenzake akawabana wapinzani ili asikike peke yake hakupenda kupingwa wala kukosolewa

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 6 місяців тому

      ​@@saidbakar-qo6riuchumi ulipanda tulikuwa uchumi wa kati blue Leo tuko wapi?

    • @jamesmasome359
      @jamesmasome359 6 місяців тому

      Hujitambui ww.​@@saidbakar-qo6ri

    • @ebonybhoke5321
      @ebonybhoke5321 5 місяців тому

      ​@@saidbakar-qo6ri wewe ulikuwa mmoja wa waliofilisiwa?

  • @OscerShop
    @OscerShop 6 місяців тому +13

    Na alisema kwamba sikumoja mtanikumbuka

  • @Japhary-sx3je
    @Japhary-sx3je 6 місяців тому +22

    Nikweli mungu muweke magu peponi

  • @abdulkadirgafla3889
    @abdulkadirgafla3889 6 місяців тому +14

    Wakubwa wa serekali ndani ya ikulu wako na siri kubwa! Tafakarini hilo. Msipumbazwe kwakua Tanzania ni nchi ya amani 🙏🙏🙏 MAGU WAS THE BEST

    • @aishakhamis2996
      @aishakhamis2996 6 місяців тому

      Kabisaa...!! Hawakupendwa waendeshwe...!

  • @eliadaniel216
    @eliadaniel216 6 місяців тому +3

    Sema afande selle ana akili nyingi saana huyu jamaa Mungu akupe maisha marefu zaidi

  • @sautiyamunguduniani4620
    @sautiyamunguduniani4620 6 місяців тому +3

    Iv Yan mtu kalala bado anamguso kwawatu lkn Kuna watu wako hai hawana sifa kabisa Oh! Hallelujah 🙌
    Dr JOHN POMBE JOSEPH MAGUFUL lala salama kamanda uliamusha na kufungua Akili za wengi Hilo n kusudi la MUNGU juu ya wateule wake mwamba umelala na ulale salama kpnz Cha Tanzania na Africa kwa ujumla.

  • @OscerShop
    @OscerShop 6 місяців тому +8

    Afande Sele ukweli nikwamba waliombeza magufuri walikuja ni Mafisadi na waliokua na uchu wa mafaraka

  • @OscerShop
    @OscerShop 6 місяців тому +7

    Nikweli kabisa maana ofisi zote za selikali watu walikua wanasikilizwa maneno ya njoo kesho yaliisha kabisa

    • @mohamedslh5478
      @mohamedslh5478 6 місяців тому

      kweli kabisa kk yani mtu wako chini unaskizwa nakupewa heshima

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 6 місяців тому +6

    Wl take 100years to find new magufuli, RIP king 👑magufuli

  • @joezeno8
    @joezeno8 6 місяців тому +8

    Afande Sele ❤❤❤❤❤❤❤❤❤💯💯💯💯🔥

  • @adamdaudi6191
    @adamdaudi6191 6 місяців тому +7

    Umeongea kwa ufupi lakini katika mpangalio mzuri sana!.

  • @SilaMinanda
    @SilaMinanda 6 місяців тому +15

    Kabisa kaka mtaani ovyo sana, ukiachana na uchawa wa mama unaupga mwingi ila kitaa kimaharibika

    • @NuruMfaume
      @NuruMfaume 6 місяців тому +1

      Ndo vizuri so tulimkataa tukasema dikteta Sasa ndio tufaidi Hali hii Sasa !

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji 6 місяців тому

      @@NuruMfaume😢😢😢😢WANAFIKI TU

  • @josephsaghana1056
    @josephsaghana1056 6 місяців тому +2

    True man umesema kweli sanaaa tuko pamoja sana mm pia ila JPM hapana.😢😢😢😢😢

  • @emilyKassiano-oo5iy
    @emilyKassiano-oo5iy 6 місяців тому +3

    Afande sele 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @user-jb7nh5pp2e
    @user-jb7nh5pp2e 6 місяців тому +10

    Salute afande sele❤❤❤❤

  • @jworld1480
    @jworld1480 6 місяців тому +5

    umeongea kwa hisia sana kaka ni wachache tu wanayajua makuu aliyoyafanya jpm

  • @AloyceKiria
    @AloyceKiria 6 місяців тому +3

    Sio ww tu kamanda inauma Sana aisee Kwa wale walioipenda Tz

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js 6 місяців тому +8

    Kaka na kukubali sanaaaaa afandee seleeee kaka wee akili zako ni OG

  • @TPW_FLUXY
    @TPW_FLUXY 6 місяців тому +31

    Pamoja afande sele huyo rais alikuwa wa aina yale😊

  • @MnaitheBigname
    @MnaitheBigname 6 місяців тому +18

    Niko pamoja nawe afande Sele ila kazi ya Mungu aina makosa

    • @hamisimuhammad3656
      @hamisimuhammad3656 6 місяців тому

      Sasa kama upo pamoja na afande selle Sasa unatuambia sis ili iweje?😊😊😊

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y 6 місяців тому

      ​@@hamisimuhammad3656 tulia mbona unawaka kama Moto wabangi kwani amekuita kwenye coment yake 😏😏😏

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 6 місяців тому

      ​@@hamisimuhammad3656uko na shida mingi xn😅😅😅😅😅😅

  • @user-oc7ur4ob1e
    @user-oc7ur4ob1e 6 місяців тому +5

    MUNGU AMUWEKE KTK NURU YA USO WAKE APUMZIKE KWA AMANI KIPENZI CHETU.

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 6 місяців тому +12

    Tumepoteza sasa hivi ni dhiki tupu Wamasai wanyonge nk

  • @ramamohamed8392
    @ramamohamed8392 6 місяців тому +2

    Daah thanks for this Afande 😢

  • @ndilibangokaruhawe9335
    @ndilibangokaruhawe9335 6 місяців тому +9

    Nikweli kabisa Mimi naamini ipo siku mwili wake utapimwa upya

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 6 місяців тому +6

    Kwakweli mpaka sasa sijawai amini kama kweli magufuri Kafariki nikirudi tz ndo nitaamini maana niko ndotoni😢

  • @mwajumashaibuomary7363
    @mwajumashaibuomary7363 6 місяців тому +4

    Maneno yako yananiliza sana

  • @mussakiuzio-wq2jm
    @mussakiuzio-wq2jm 6 місяців тому +2

    Kizuri hakidumu kazi ya mungu haina makosa pumzika kwa amani JPM!!

  • @zegelibilishanga6047
    @zegelibilishanga6047 6 місяців тому +4

    ❤Tuliya ndg mutungie mashauri mazuri kama kumuenzi hii ni dunia tunapita,pole saana mwanangu zMungu atakulinda usife moyo Wote niwaja wake kwake nitalejea

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 6 місяців тому +9

    kweli bn mama kaluhusu kila mtu ale ulefu wakamba yake dah mungu huyu bx bn yeye ndie anajua kuliko sisi ila watu wabaya sana hata kama wamemtanguliza ili wapate vyweo na nakukusanya mapesa ya kutosha pita kaliakoo sasa ivi2 uone magolofa yanavovunjwa nakujegwa

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 6 місяців тому

      Wee acha ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯

  • @weiryalema8057
    @weiryalema8057 6 місяців тому +3

    Narudia Tena Afande umeongea ukweli mtu

  • @SophiaKamgunda
    @SophiaKamgunda 6 місяців тому +3

    Yaani uongozi wa Dr Magu ulitufanya kuuelewa zaidi uongozi ninini nakututoa woga kutuweka kwenye mwanga fulani

  • @MatatizoMkama
    @MatatizoMkama 6 місяців тому +3

    Pumizika salama baba tulikupenda sana magufuli

  • @AmadeMbezy
    @AmadeMbezy 6 місяців тому +7

    Bg nakupata ndani yá 🇲🇿🇲🇿

  • @RwegoshoraPatt-os2ik
    @RwegoshoraPatt-os2ik 6 місяців тому +3

    Tutasubiri sana kumpata kama magufuli

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 6 місяців тому +4

    Rip mz magu.maneno yako niya busara na maono yako ni mapana mno hata kama wanasema nabii hana heshima kwao.magu kafanya mingi sana,kwasasa mama anayandelesha!na kuna wengine watakao tokeya kama magu akina makonda mbona wako vizuri tu kwanye siyasa.magu mwenyewe ashaga nena hayo maneno mbele ya umati kwamba viongoze wazee ndio waliouwa inchi.na akawaambiya lukuvu,na kabudi,ya kwamba hawawezi kuwa ma raisi juu uzee unaanza kuwatawala.tanzinia ni inchi tajiri ukipata viongozi wema mbona ni haraka kuwa na mabadiliko harara.karibuni tanzania itapinzana na chine.kwenye uzinduzi wa zahabu mupya inayo patikana africa. Na inawezekana kati ya inchi tatu za africa moja itakuwa juu kwa iyo chine watashuka kamataifa.kuna madini yanayo patinakana tanzania na ni muhimu sana kimataifa.nayanapatina inchi tatu barani africa,mijawapo ni mozambike,madascare,na tanziania.ni madini ya thamani sana.mnamo mwaka 2026 njo uvumbuzi wa hayo madini utaanzishwa.ongera

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 6 місяців тому +10

    ( MTAKATIFU MAGUFULI ) St JPM mimi sio mtz ila naamini pia uyu alikuwa ni mtume wa Mungu

    • @noelbryson7840
      @noelbryson7840 6 місяців тому

      Ukimuita mtakatifu unamaanisha nini?..

    • @thelonewolf4429
      @thelonewolf4429 6 місяців тому

      @@noelbryson7840 wazungu wanavoitaga watu wao waliofanya makubwa kwenye mataifa yao huwa waafrika kama wewe hamusemagi chochote ila wa kwetu mnaleta ubishi . Learn or perish

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 6 місяців тому +1

      ​@@noelbryson7840vyovyote utakavyoelewa

  • @NailahMarwa
    @NailahMarwa 6 місяців тому +2

    Kwa imani yangu JPM ni mtume wa Mwenyezi Mungu naamini ata andikwa na ata somwa na vizazi vijavyo, Time will tell .

    • @FatumaMohamedi-t6t
      @FatumaMohamedi-t6t 6 місяців тому

      Hakuna mtume tena haw wengne wanafata tu nyayo zao ktk matendo

  • @elikanakagembe7530
    @elikanakagembe7530 5 місяців тому +1

    Ni kweli wapo watu walio Fulahia kifo cha Mangufuli lakini leo wanajutia

  • @homeboy2307
    @homeboy2307 6 місяців тому +3

    Bado nampenda sana magufuli

  • @mrdeniskomba6199
    @mrdeniskomba6199 6 місяців тому +6

    Hakika aisee

  • @musapfute6608
    @musapfute6608 6 місяців тому +1

    Wise man, nakukubali sana afande upo vzr sana

  • @piuslugata4931
    @piuslugata4931 5 місяців тому +1

    ❤❤ jiwe magufuri

  • @shelyboyshely2928
    @shelyboyshely2928 6 місяців тому +1

    Pamoja sana kaka mkubwa mi mwenyewe niliumia sana rais wangu mpendwa mchapa kazi niliyasema mengi moyoni mwangu

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 6 місяців тому +3

    Magufuli alikuwa mwamba kupatikana Rais kama huyo mpaka Mungu apende tena maana Serikali ya sasa hivi ni ya awamu ya nne iliyojaa wezi awamu ya sita kuuzwa kwa bandari zote kuwaondoa wamasai kwenye ardhi yao

  • @frimatuslupimo2031
    @frimatuslupimo2031 5 місяців тому

    JPM my most beloved president.

  • @dicksonwanyama1689
    @dicksonwanyama1689 6 місяців тому +2

    Much respect afande sele😢

  • @KitokiSospeter
    @KitokiSospeter 6 місяців тому

    Afande Sele,umenigusa sana kwa kweli.Waliokukamata wote wasamehe bure.Ndo nchi yetu ilipofikia kwa sasa.Mwenye haki hana haki lakini wale wasiostahili haki,ndio wanaonekana wenye haki.Tutamkumbuka Magufuri daima.

  • @ibrahimhumbotv
    @ibrahimhumbotv 6 місяців тому +8

    Daah! MI MAGUFULI nilimuona Nabii wa kizazi cha sasa ,,r i p magu.

  • @davidnyaonge2035
    @davidnyaonge2035 6 місяців тому +1

    Tupo pamoja Afande hata mimi navhukizwa na Tabia za utegemezi

  • @shabanimadobe972
    @shabanimadobe972 6 місяців тому +1

    Jacob hongera maana nakumbuka ulisoma zombo na kina salumu kindaile

  • @christianlutego1288
    @christianlutego1288 6 місяців тому +1

    Afande umenena, kweli kbsa siku Moja huyu Magu atatangazwa mtakatifu , ni mgumu kuelewa.ww n nabii,

  • @marcoakyoo760
    @marcoakyoo760 5 місяців тому

    Pole sana mi mwenyewe nilikuelewa sana sana hali iliyokupata

  • @catherinemdage4905
    @catherinemdage4905 6 місяців тому +2

    Hakika afande selle umenifanya nilie mno ., daa hakika Magu Umetuacha njia panda wanyonge mweeeeeeeeeee.

  • @NuruMfaume
    @NuruMfaume 6 місяців тому +3

    Wataanza kukufigisu wanapoona unamuongelea na kumpenda magufuli!,,maana hawataki hata kumsikia!

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 6 місяців тому +1

    Kwa kweli tutazidi kumkumbuka huyu mwamba ❤❤❤❤🙏🙏

  • @JumanneSamike77
    @JumanneSamike77 5 місяців тому

    Afande sele umeongea kitu kikubwa Sana mama Samia ikikupendeza mpe Hata ukuu wa wilaya atatupa kitu watanzania. Ebu jaribu kumwamini umpe nafasi serikalini.

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 6 місяців тому +1

    Mungu amulaze mahari mpema peponi hata mimi nilimupenda jpm

  • @Manyesha6290
    @Manyesha6290 6 місяців тому

    Thank u afade hakika hapo ndo naelewa why uliimba msnii ni kioo

  • @user-rs9ws1om8b
    @user-rs9ws1om8b 5 місяців тому

    Unanitonesha kidonda. Magufuli ananiuma sana kila siku. Mungu amlaze peponi.

  • @marianamontoedi1318
    @marianamontoedi1318 6 місяців тому +3

    RIP JPM ❤️❤️❤️

  • @emanuelelias4695
    @emanuelelias4695 5 місяців тому

    Afande kweli ww ni kichwa sana msema kweli na mwenye uzalendo wa hari ya juu

  • @innocent91044
    @innocent91044 6 місяців тому +1

    Afande Sele ana akili mingi sana huyu bwana. Bug up brother. Uko vizuri sana. Sisi huku tunaendelea na maombolezo ya kifo cha JPM. Kila kukicha ni maombolezo tuu.

  • @Diana-lf3nr
    @Diana-lf3nr 5 місяців тому

    Nimefurahi kusikia mpendwa wetu snaongelewa❤❤

  • @allyomary2271
    @allyomary2271 6 місяців тому +4

    Point sana lakini namna unavyoziwasilisha ndio kwenye changamoto punguza Jani la arusha

    • @NuruMfaume
      @NuruMfaume 6 місяців тому +1

      Your wrong!sisi 18:45 tunamwelewa

  • @helentelemla5623
    @helentelemla5623 6 місяців тому +1

    JPM THE BEST R I.P BABA

  • @philiminamlosa
    @philiminamlosa 6 місяців тому +1

    Magufuli na Nyerere ndo walikuwa Marais ambao walio kuwa na uchungu na nchi yake na kuwasaidia na kuwa na uchungu na wanachi wake

  • @ConfusedDaisies-rb5
    @ConfusedDaisies-rb5 6 місяців тому +1

    Pamoja na kuvuta bangi lakini akili ungali nazo

  • @lucasbonface-lv5ek
    @lucasbonface-lv5ek 6 місяців тому

    Nakubali wwe sio mnafki ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @sambulugu9988
    @sambulugu9988 6 місяців тому +1

    Hakika Afande Sele! Apumzike kwa amani!

  • @emilyKassiano-oo5iy
    @emilyKassiano-oo5iy 6 місяців тому +1

    Mimi nililia sanaaa usiku ule

  • @SaluMaige-sc8bm
    @SaluMaige-sc8bm 6 місяців тому +2

    Sasa tunataabika maisha ngumu

  • @davidkamando9630
    @davidkamando9630 6 місяців тому

    Kweli kabisa mbunge sio mfadhili ni muwakilishi.... Mkipokea pesa zake akipata nafasi atapambana kuzirudisha... Kataeni pesa zake kipindi cha kampeni ili awajibishe ipasavyo