AFANDE SELE AIBUA MAPYA KIFO CHA MAGUFULI ''ILINIPONZA NIMELALA POLISI SIKU 7'' ATAMANI MAGUFULI DAY

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 270

  • @nestor384
    @nestor384 10 місяців тому +21

    My God Afande nimepack gari kukusikiliza you have drown deep down my emotions Salute Sele Msiba wa Magufuli uliniumiza sana sana

  • @MihayoMageta
    @MihayoMageta 10 місяців тому +14

    Afande Selle umeongea MADINI matupu, tuko pamoja.

  • @josephatkiliko2546
    @josephatkiliko2546 10 місяців тому +22

    True patriotic and leader of Africa rest in perfect heaven Dr Jpm

  • @patrinraura1397
    @patrinraura1397 10 місяців тому +54

    Tupo pamoja Kijana wetu Afande Sele Hakika unamheshimisha Mwamba wetu Hayati Dr Magufuli ambaye baadhi ya Wanasiasa na hasa kwenye chama chake wanavyomwandama vibaya" "Sikiliza kwenye majukwaa hawaangalii mema aliyoyatenda kwa Umma wa Watanzania wanashupalia makosa aliyoyatenda kama Binadamu"Mungu ampuzishe mahali pema PEPONI

    • @MARYLembeli
      @MARYLembeli 10 місяців тому

      Pole sana Afande sele. Tuko pamoja tunamkumbuka daima kama alivyosema yeye.

  • @jumaally4263
    @jumaally4263 10 місяців тому +7

    Kumbe Afande Sele ni mtu mwenye akili sana. Nilikuwa namwelewa kinyume. Hongera sana umeongea ukweli mtupu. Sina la kusema. Ila wewe ni hazina ya badae. Mungu akuongezee vyema

  • @Goodluck-p9y
    @Goodluck-p9y 10 місяців тому +34

    Natamani nigonge like mara mbili Ila haiwezekani

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba998 10 місяців тому +29

    Kati ya Maraisi niliyotokea kuwaelewa Africa Ni gadafi na magufuli,mungu awalaze mahali pema peponi 🙏

  • @simonmadiba2053
    @simonmadiba2053 10 місяців тому +6

    Pole sana. Ni msiba uliotuuma watanzania wote. Ila kazi ya Mungu haina makosa

  • @johnsosy3128
    @johnsosy3128 10 місяців тому +24

    Umeongea vizuri sana brother.

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 10 місяців тому +25

    Umesema sawa kabisa Sele 🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @hassnsalim5156
    @hassnsalim5156 10 місяців тому +17

    Hakuna wa kuvaa viatu vya Magufuli waliobaki hivi sasa ni wanafiki hata Mtume Muhammad alikuwa nao wanafikii

  • @DaudiSaid-bj7dh
    @DaudiSaid-bj7dh 10 місяців тому +4

    Daa I'm speechless be blessed Afande.

  • @PhilipoLeonard-q5w
    @PhilipoLeonard-q5w 10 місяців тому +5

    Sijawahi kuumia moyo kama kifo cha magufuli RIP jpm

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8ui 10 місяців тому +41

    Katika Marais wa Africa huyu mwamba alikuwa KICHWA.

  • @ArnoldMbulawa
    @ArnoldMbulawa 10 місяців тому +33

    Magufuli alikuwa "True Leader"
    Tukubali tumepoteza Assert.

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 10 місяців тому +9

    Hakuna maendeleo nchi hii bila magu saahv ni wizi tuu

    • @EzzyEddy-il3ce
      @EzzyEddy-il3ce 10 місяців тому +1

      Katika watu waloumizwa na kifo Cha Magu na wewe ni Mmoja wao nakufatilia since mr president Magufuli yupo hai ulikua hupitwi na ishu yoyote ya Magufuli still had Leo hii ukiona title ya Magufuli lazima upite Hadi nimefahamu jina lako,kiukweli na mm pia ni miongoni mwao rafik yangu

  • @maureenkemei8762
    @maureenkemei8762 10 місяців тому +4

    Pumzika kwa amani Rais wetu mpendwa Hayati Dr. John Pombe Magufuli. Huku Kenya tunakukumbuka sana❤.

  • @makelemohuya2723
    @makelemohuya2723 10 місяців тому +14

    Afande sele Mungu akutangulie you're right ✅

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 10 місяців тому +9

    Hakika kifo cha hayati magufuli hakita sahaurikz tuliumia na bado tunaumia mungu atujalie tuzid kusafir salama ingawa tunaumia.

  • @dicksonmgoga-hj4im
    @dicksonmgoga-hj4im 10 місяців тому +4

    Daaah, kifo hicho cha mwamba sikuamini! Yaaan vitu ambavyo nilivyokuwa nimepanga vimefeli baada ya kifo chake, Mungu aendelee kumpuzisha salama!

  • @Ushauri235
    @Ushauri235 10 місяців тому +6

    Niliona mengi Sana wakati wa magufuli tena makubwa
    1.flyover
    2.reli ya kisasa
    3.usimamizi wa madini
    4.usimamizi kwa watumishi wa umma
    5.ununuzi wa ndege
    6.samaki wengi
    7.kubadili mindset ya watu
    Duuu na mengine mengi
    Hakiki taifa letu lilipoteza kiongozi hodari

    • @PhilipoLeonard-q5w
      @PhilipoLeonard-q5w 10 місяців тому

      Lakn leo sifa zinaenda kwa msimbe

    • @marcoakyoo760
      @marcoakyoo760 10 місяців тому

      Alafu kuna boya moja linaelea kwenye sifa ya Magufuli 😢

  • @abdulikilala5902
    @abdulikilala5902 10 місяців тому +13

    Jpm tulikupenda Sana❤

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 10 місяців тому +17

    Magufuli alikuwa kama viongozi waliokuwepo ulaya waliibadili ulaya kutoka chini mpaka walipo. Ila hatuambiwi eti democracy wao wameanzisha democracy 1978 wakati wameshaweka mambo yao sawa .leo wanaongea uhamiaji tu kila kitu chao kipo sawa maono yako mungu akubaliki kk binadamu ni wachache hilo ulijue.

  • @eliadaniel216
    @eliadaniel216 10 місяців тому +3

    Sema afande selle ana akili nyingi saana huyu jamaa Mungu akupe maisha marefu zaidi

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 10 місяців тому +12

    Afande sele umemikosha kusema ngano hazidum magugu yanadum😊😊😊

  • @RamhaJuma
    @RamhaJuma 10 місяців тому +12

    Allah amrehem magufuli wetu kipenz cha watu jaman angekuwepo tungukuwa mbal san wanyonge allah allah mpe pepo ya firdaus milele laima sasahv hawangaliwi wanyonge nauli zipo juu sana baba tunakukubuka sana 😭😭

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 10 місяців тому +28

    Yaan we acha tu Afande Sele ila Mungu anajua

  • @josephsaghana1056
    @josephsaghana1056 10 місяців тому +2

    True man umesema kweli sanaaa tuko pamoja sana mm pia ila JPM hapana.😢😢😢😢😢

  • @Japhary-sx3je
    @Japhary-sx3je 10 місяців тому +22

    Nikweli mungu muweke magu peponi

  • @OscerShop
    @OscerShop 10 місяців тому +13

    Na alisema kwamba sikumoja mtanikumbuka

  • @emilyKassiano-oo5iy
    @emilyKassiano-oo5iy 10 місяців тому +3

    Afande sele 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @sautiyamunguduniani4620
    @sautiyamunguduniani4620 10 місяців тому +3

    Iv Yan mtu kalala bado anamguso kwawatu lkn Kuna watu wako hai hawana sifa kabisa Oh! Hallelujah 🙌
    Dr JOHN POMBE JOSEPH MAGUFUL lala salama kamanda uliamusha na kufungua Akili za wengi Hilo n kusudi la MUNGU juu ya wateule wake mwamba umelala na ulale salama kpnz Cha Tanzania na Africa kwa ujumla.

  • @adamdaudi6191
    @adamdaudi6191 10 місяців тому +9

    Nimefurahi kusikia Afande Sele yuko detailed kiasi cha kufahamu Giants of the world, Mussoline, Hitler etc na harakati zao, inaonesha unapenda kusoma na kufatilitia mambo!.

  • @TPW_FLUXY
    @TPW_FLUXY 10 місяців тому +31

    Pamoja afande sele huyo rais alikuwa wa aina yale😊

  • @AloyceKiria
    @AloyceKiria 10 місяців тому +3

    Sio ww tu kamanda inauma Sana aisee Kwa wale walioipenda Tz

  • @ramamohamed8392
    @ramamohamed8392 10 місяців тому +2

    Daah thanks for this Afande 😢

  • @DansonMtambi-fq2ff
    @DansonMtambi-fq2ff Місяць тому

    Binafsi hua napenda sanaa interview za afande sele na konk master ❤

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8ui 10 місяців тому +24

    Hakika Mungu alimtuma atupiganie lakini wale wasiopenda maendeleo ya Tz wakahakikisha wanaikatiza safari yake. Mungu akulaze Mahalia pema unapostahili mwamba. Rip Mwamba Magu.

    • @saidbakar-qo6ri
      @saidbakar-qo6ri 10 місяців тому

      Kosa lake ni kuwafilisi watu Mali zao na kuwakamua wawekezaji mpaka wakaanza kukimbia nchi na uchumi ulishaanza kuporomoka polepole ila sisi masikini tulifurahi hali hiyo si unajua tena mtu masikini anavyofurahia anguko la mwenzake akawabana wapinzani ili asikike peke yake hakupenda kupingwa wala kukosolewa

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 10 місяців тому

      ​@@saidbakar-qo6riuchumi ulipanda tulikuwa uchumi wa kati blue Leo tuko wapi?

    • @jamesmasome359
      @jamesmasome359 10 місяців тому

      Hujitambui ww.​@@saidbakar-qo6ri

    • @ebonybhoke5321
      @ebonybhoke5321 10 місяців тому

      ​@@saidbakar-qo6ri wewe ulikuwa mmoja wa waliofilisiwa?

  • @adamdaudi6191
    @adamdaudi6191 10 місяців тому +7

    Umeongea kwa ufupi lakini katika mpangalio mzuri sana!.

  • @abdulkadirgafla3889
    @abdulkadirgafla3889 10 місяців тому +14

    Wakubwa wa serekali ndani ya ikulu wako na siri kubwa! Tafakarini hilo. Msipumbazwe kwakua Tanzania ni nchi ya amani 🙏🙏🙏 MAGU WAS THE BEST

    • @aishakhamis2996
      @aishakhamis2996 10 місяців тому

      Kabisaa...!! Hawakupendwa waendeshwe...!

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js 10 місяців тому +8

    Kaka na kukubali sanaaaaa afandee seleeee kaka wee akili zako ni OG

  • @zegelibilishanga6047
    @zegelibilishanga6047 10 місяців тому +4

    ❤Tuliya ndg mutungie mashauri mazuri kama kumuenzi hii ni dunia tunapita,pole saana mwanangu zMungu atakulinda usife moyo Wote niwaja wake kwake nitalejea

  • @OscerShop
    @OscerShop 10 місяців тому +8

    Afande Sele ukweli nikwamba waliombeza magufuri walikuja ni Mafisadi na waliokua na uchu wa mafaraka

  • @piuslugata4931
    @piuslugata4931 10 місяців тому +1

    ❤❤ jiwe magufuri

  • @OscerShop
    @OscerShop 10 місяців тому +7

    Nikweli kabisa maana ofisi zote za selikali watu walikua wanasikilizwa maneno ya njoo kesho yaliisha kabisa

    • @mohamedslh5478
      @mohamedslh5478 10 місяців тому

      kweli kabisa kk yani mtu wako chini unaskizwa nakupewa heshima

  • @jworld1480
    @jworld1480 10 місяців тому +5

    umeongea kwa hisia sana kaka ni wachache tu wanayajua makuu aliyoyafanya jpm

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 10 місяців тому +6

    Wl take 100years to find new magufuli, RIP king 👑magufuli

  • @mwajumashaibuomary7363
    @mwajumashaibuomary7363 10 місяців тому +4

    Maneno yako yananiliza sana

  • @mussakiuzio-wq2jm
    @mussakiuzio-wq2jm 10 місяців тому +2

    Kizuri hakidumu kazi ya mungu haina makosa pumzika kwa amani JPM!!

  • @joezeno8
    @joezeno8 10 місяців тому +8

    Afande Sele ❤❤❤❤❤❤❤❤❤💯💯💯💯🔥

  • @Diana-lf3nr
    @Diana-lf3nr 10 місяців тому

    Nimefurahi kusikia mpendwa wetu snaongelewa❤❤

  • @weiryalema8057
    @weiryalema8057 10 місяців тому +3

    Narudia Tena Afande umeongea ukweli mtu

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 10 місяців тому +6

    Kwakweli mpaka sasa sijawai amini kama kweli magufuri Kafariki nikirudi tz ndo nitaamini maana niko ndotoni😢

  • @MatatizoMkama
    @MatatizoMkama 10 місяців тому +3

    Pumizika salama baba tulikupenda sana magufuli

  • @SilaMinanda
    @SilaMinanda 10 місяців тому +15

    Kabisa kaka mtaani ovyo sana, ukiachana na uchawa wa mama unaupga mwingi ila kitaa kimaharibika

    • @NuruMfaume
      @NuruMfaume 10 місяців тому +1

      Ndo vizuri so tulimkataa tukasema dikteta Sasa ndio tufaidi Hali hii Sasa !

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji 10 місяців тому

      @@NuruMfaume😢😢😢😢WANAFIKI TU

  • @ndilibangokaruhawe9335
    @ndilibangokaruhawe9335 10 місяців тому +9

    Nikweli kabisa Mimi naamini ipo siku mwili wake utapimwa upya

    • @EsterKiyabo
      @EsterKiyabo 10 місяців тому

      Ndg,yangu itatusaidia nini!

  • @RwegoshoraPatt-os2ik
    @RwegoshoraPatt-os2ik 10 місяців тому +3

    Tutasubiri sana kumpata kama magufuli

  • @josephmchodo
    @josephmchodo 10 місяців тому +4

    Kiukweli leo nikipewa kalama ya kufufua mtu mmoja tu kweye hii dunia mimi na mfufua "Mr. late president Magu"maana ntaokoa vitu vingi sana.

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 10 місяців тому +1

      MIMI JE 🥹🥹🥹🥹🥹NITAMFUFUA NIMPE MIAKA 25 ILI ASIZEEKE MAPEMA 🤲🏿🤲🏿🤲🏿🤲🏿🤲🏿🤲🏿🥹🥹🥹🥹criying everyday

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 10 місяців тому +2

      MIMI JE 🥹🥹🥹🥹🥹NITAMFUFUA NIMPE MIAKA 25 ILI ASIZEEKE MAPEMA 🤲🏿🤲🏿🤲🏿🤲🏿🤲🏿🤲🏿🥹🥹🥹🥹criying everyday

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 10 місяців тому +1

      ​@@atutweve4160Moja 50

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 10 місяців тому +12

    Tumepoteza sasa hivi ni dhiki tupu Wamasai wanyonge nk

  • @JeremiahElishaMwanyesya
    @JeremiahElishaMwanyesya 10 місяців тому +10

    Salute afande sele❤❤❤❤

  • @MnaitheBigname
    @MnaitheBigname 10 місяців тому +18

    Niko pamoja nawe afande Sele ila kazi ya Mungu aina makosa

    • @hamisimuhammad3656
      @hamisimuhammad3656 10 місяців тому

      Sasa kama upo pamoja na afande selle Sasa unatuambia sis ili iweje?😊😊😊

    • @Jurbeg
      @Jurbeg 10 місяців тому

      ​@@hamisimuhammad3656 tulia mbona unawaka kama Moto wabangi kwani amekuita kwenye coment yake 😏😏😏

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 10 місяців тому

      ​@@hamisimuhammad3656uko na shida mingi xn😅😅😅😅😅😅

  • @MARYLembeli
    @MARYLembeli 10 місяців тому +5

    MUNGU AMUWEKE KTK NURU YA USO WAKE APUMZIKE KWA AMANI KIPENZI CHETU.

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 10 місяців тому +10

    ( MTAKATIFU MAGUFULI ) St JPM mimi sio mtz ila naamini pia uyu alikuwa ni mtume wa Mungu

    • @noelbryson7840
      @noelbryson7840 10 місяців тому

      Ukimuita mtakatifu unamaanisha nini?..

    • @thelonewolf4429
      @thelonewolf4429 10 місяців тому

      @@noelbryson7840 wazungu wanavoitaga watu wao waliofanya makubwa kwenye mataifa yao huwa waafrika kama wewe hamusemagi chochote ila wa kwetu mnaleta ubishi . Learn or perish

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 10 місяців тому +1

      ​@@noelbryson7840vyovyote utakavyoelewa

  • @SophiaKamgunda
    @SophiaKamgunda 10 місяців тому +3

    Yaani uongozi wa Dr Magu ulitufanya kuuelewa zaidi uongozi ninini nakututoa woga kutuweka kwenye mwanga fulani

  • @homeboy2307
    @homeboy2307 10 місяців тому +3

    Bado nampenda sana magufuli

  • @AmadeMbezy
    @AmadeMbezy 10 місяців тому +7

    Bg nakupata ndani yá 🇲🇿🇲🇿

  • @musapfute6608
    @musapfute6608 10 місяців тому +1

    Wise man, nakukubali sana afande upo vzr sana

  • @marcoakyoo760
    @marcoakyoo760 10 місяців тому

    Pole sana mi mwenyewe nilikuelewa sana sana hali iliyokupata

  • @elikanakagembe7530
    @elikanakagembe7530 10 місяців тому +1

    Ni kweli wapo watu walio Fulahia kifo cha Mangufuli lakini leo wanajutia

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 10 місяців тому +9

    kweli bn mama kaluhusu kila mtu ale ulefu wakamba yake dah mungu huyu bx bn yeye ndie anajua kuliko sisi ila watu wabaya sana hata kama wamemtanguliza ili wapate vyweo na nakukusanya mapesa ya kutosha pita kaliakoo sasa ivi2 uone magolofa yanavovunjwa nakujegwa

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 10 місяців тому

      Wee acha ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯

  • @shabanimadobe972
    @shabanimadobe972 10 місяців тому +1

    Jacob hongera maana nakumbuka ulisoma zombo na kina salumu kindaile

  • @mrdeniskomba6199
    @mrdeniskomba6199 10 місяців тому +6

    Hakika aisee

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 10 місяців тому +4

    Rip mz magu.maneno yako niya busara na maono yako ni mapana mno hata kama wanasema nabii hana heshima kwao.magu kafanya mingi sana,kwasasa mama anayandelesha!na kuna wengine watakao tokeya kama magu akina makonda mbona wako vizuri tu kwanye siyasa.magu mwenyewe ashaga nena hayo maneno mbele ya umati kwamba viongoze wazee ndio waliouwa inchi.na akawaambiya lukuvu,na kabudi,ya kwamba hawawezi kuwa ma raisi juu uzee unaanza kuwatawala.tanzinia ni inchi tajiri ukipata viongozi wema mbona ni haraka kuwa na mabadiliko harara.karibuni tanzania itapinzana na chine.kwenye uzinduzi wa zahabu mupya inayo patikana africa. Na inawezekana kati ya inchi tatu za africa moja itakuwa juu kwa iyo chine watashuka kamataifa.kuna madini yanayo patinakana tanzania na ni muhimu sana kimataifa.nayanapatina inchi tatu barani africa,mijawapo ni mozambike,madascare,na tanziania.ni madini ya thamani sana.mnamo mwaka 2026 njo uvumbuzi wa hayo madini utaanzishwa.ongera

  • @frimatuslupimo2031
    @frimatuslupimo2031 10 місяців тому

    JPM my most beloved president.

  • @ibrahimhumbotv
    @ibrahimhumbotv 10 місяців тому +8

    Daah! MI MAGUFULI nilimuona Nabii wa kizazi cha sasa ,,r i p magu.

  • @shelyboyshely2928
    @shelyboyshely2928 10 місяців тому +1

    Pamoja sana kaka mkubwa mi mwenyewe niliumia sana rais wangu mpendwa mchapa kazi niliyasema mengi moyoni mwangu

  • @davidnyaonge2035
    @davidnyaonge2035 10 місяців тому +1

    Tupo pamoja Afande hata mimi navhukizwa na Tabia za utegemezi

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 10 місяців тому +1

    Kwa kweli tutazidi kumkumbuka huyu mwamba ❤❤❤❤🙏🙏

  • @MBALASUPA
    @MBALASUPA 10 місяців тому +2

    Kwa imani yangu JPM ni mtume wa Mwenyezi Mungu naamini ata andikwa na ata somwa na vizazi vijavyo, Time will tell .

    • @FatumaMohamedi-t6t
      @FatumaMohamedi-t6t 10 місяців тому

      Hakuna mtume tena haw wengne wanafata tu nyayo zao ktk matendo

  • @dicksonwanyama1689
    @dicksonwanyama1689 10 місяців тому +2

    Much respect afande sele😢

  • @KitokiSospeter
    @KitokiSospeter 10 місяців тому

    Afande Sele,umenigusa sana kwa kweli.Waliokukamata wote wasamehe bure.Ndo nchi yetu ilipofikia kwa sasa.Mwenye haki hana haki lakini wale wasiostahili haki,ndio wanaonekana wenye haki.Tutamkumbuka Magufuri daima.

  • @lucasbonface-lv5ek
    @lucasbonface-lv5ek 10 місяців тому

    Nakubali wwe sio mnafki ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 10 місяців тому +1

    Mungu amulaze mahari mpema peponi hata mimi nilimupenda jpm

  • @christianlutego1288
    @christianlutego1288 10 місяців тому +1

    Afande umenena, kweli kbsa siku Moja huyu Magu atatangazwa mtakatifu , ni mgumu kuelewa.ww n nabii,

  • @Manyesha6290
    @Manyesha6290 10 місяців тому

    Thank u afade hakika hapo ndo naelewa why uliimba msnii ni kioo

  • @Ambwene
    @Ambwene 10 місяців тому

    Afande sele Mwamba 💪 💪 💪 💪 💪 💪

  • @SylvanusNgutse
    @SylvanusNgutse 10 місяців тому

    Unanitonesha kidonda. Magufuli ananiuma sana kila siku. Mungu amlaze peponi.

  • @innocent91044
    @innocent91044 10 місяців тому +1

    Afande Sele ana akili mingi sana huyu bwana. Bug up brother. Uko vizuri sana. Sisi huku tunaendelea na maombolezo ya kifo cha JPM. Kila kukicha ni maombolezo tuu.

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 10 місяців тому

    Kwa kweli umeongea❤

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 10 місяців тому +3

    Magufuli alikuwa mwamba kupatikana Rais kama huyo mpaka Mungu apende tena maana Serikali ya sasa hivi ni ya awamu ya nne iliyojaa wezi awamu ya sita kuuzwa kwa bandari zote kuwaondoa wamasai kwenye ardhi yao

  • @catherinemdage4905
    @catherinemdage4905 10 місяців тому +2

    Hakika afande selle umenifanya nilie mno ., daa hakika Magu Umetuacha njia panda wanyonge mweeeeeeeeeee.

  • @JumanneSamike77
    @JumanneSamike77 10 місяців тому

    Afande sele umeongea kitu kikubwa Sana mama Samia ikikupendeza mpe Hata ukuu wa wilaya atatupa kitu watanzania. Ebu jaribu kumwamini umpe nafasi serikalini.

  • @emanuelelias4695
    @emanuelelias4695 10 місяців тому

    Afande kweli ww ni kichwa sana msema kweli na mwenye uzalendo wa hari ya juu

  • @marianamontoedi1318
    @marianamontoedi1318 10 місяців тому +3

    RIP JPM ❤️❤️❤️

  • @JofreyRutta-xm1zp
    @JofreyRutta-xm1zp 10 місяців тому

    Huko sawa kaka

  • @NuruMfaume
    @NuruMfaume 10 місяців тому +3

    Wataanza kukufigisu wanapoona unamuongelea na kumpenda magufuli!,,maana hawataki hata kumsikia!

  • @sambulugu9988
    @sambulugu9988 10 місяців тому +1

    Hakika Afande Sele! Apumzike kwa amani!

  • @ErizicDaud
    @ErizicDaud 10 місяців тому

    Sele tupo pamoja Sana JPM wetu alituuma sana😢😢

  • @emilyKassiano-oo5iy
    @emilyKassiano-oo5iy 10 місяців тому +1

    Mimi nililia sanaaa usiku ule

  • @ConfusedDaisies-rb5
    @ConfusedDaisies-rb5 10 місяців тому +1

    Pamoja na kuvuta bangi lakini akili ungali nazo