Sendeka anajua vita ya kila aina na hana historia ya kushindwa na tupo nae na sio kila vita ni lazima utumie bunduki kuna vita vinahitaji akili ya kuzaliwa wala sio phd na tunamuamini hatutamuangusha
Mweshimiwa mbunge wa simanjiro baba wetu mpendwa kweli siungi mkono rais samia amechoka sana kwa kazi ya inchi yetu tuachiee lisu kazi achana wizi wa CCM
Hongera sana Mh. Sendeka kwa kuwajingashia wamasai wenzako. Endelea kujimegea ardhi na kuwavuruisha wamasai wenzio kwa visingizio vya mapendekezo ya "game reserves". Lakini mwenye macho haambiwi ona!
Mzee wewe huna tofauti na chokoraa mlala jalalani, yaani wewe bado unatuona sisi wote ni mag'ombe tunafuata mapalio,hatuna barabara enzi za ukoloni hadi leo na bado unajisifu na chama chako cha ufisadi
Mzee olesendaka anashida nikwamba mamake abdo Ako madarakani na mtoto wa nyoka niwanyoka tu awesi badilika kwaiyo sendeka ww nimtoto WA Samia Samia akisema wamasaai waondolewe ww unangufu WA kumusuiya Samia sisi tunaitaji katiba mpya ili awokomeshe Hawa walagai WA ccm
Hivi wewe ole sendeka bado UNATAKA ubunge? Watu wako wanakosa maeneo lkn unatetea ATI umejengewa shule na Hosp hivi unawaza vizuri KWELI 😂😂 Tamaa za pesa mnatesa Ndugu zenu
Ole sendeka acha kuwahadaa na kuwalaghai wananchi unaona uchaguzi una karbia unaanza kugeuka tena kuonekana kama mtetezi wawananchi ,kwanza tukuulize ole sendeka kwani anayeuza hiyo aridhi ninani? Ma anayehamisha masai loliondo ninani? Ana ye uza misitu ninani aliyeuza bandari ninani? Siunamjua sasa kwanini unawalaghai na kuwahadaa wananchi ?
asante sana kaka yetu olesendeka pole sana unatutetea sana lakini serekali ya Samia na CCM yake atumpendi kabisa
Olesendeka fanya kazi nzuri mheshimiwa,be blessed
Yule wa Ngorongoro ndoo mbunge hii ni takataka kabisa
Ameanza kulamba miguu tena.Hii nchi iko na shida aisee
Sendeka anajua vita ya kila aina na hana historia ya kushindwa na tupo nae na sio kila vita ni lazima utumie bunduki kuna vita vinahitaji akili ya kuzaliwa wala sio phd na tunamuamini hatutamuangusha
Mungu akupiganie baba kwa bidii ya yetu ya wamasai
Mweshimiwa mbunge wa simanjiro baba wetu mpendwa kweli siungi mkono rais samia amechoka sana kwa kazi ya inchi yetu tuachiee lisu kazi achana wizi wa CCM
Olesendeka muigizaji tu mmasai yupi anamependa samia aliyetuacha bila ardhi?
Hongera sana Mh. Sendeka kwa kuwajingashia wamasai wenzako. Endelea kujimegea ardhi na kuwavuruisha wamasai wenzio kwa visingizio vya mapendekezo ya "game reserves". Lakini mwenye macho haambiwi ona!
Safi sana mkuu
We shauri lako 😂😂 utajuwa hujui.
Si dhani kama huo ni ukweli.
Sema Ukweri Watu Wawe Huru.Acha kujificha ktk Ukweri.Unaoeleweka.Wana Akili ya kufahamu Unaowaongoza.
Hongera mzee wangu pigania haki ya wananchi
Mzee wewe huna tofauti na chokoraa mlala jalalani, yaani wewe bado unatuona sisi wote ni mag'ombe tunafuata mapalio,hatuna barabara enzi za ukoloni hadi leo na bado unajisifu na chama chako cha ufisadi
Barabara zetu ni mbovu hasifai na huyu mzee ameshindwa kututetea bungeni ,,,tawala muluki orkito
MUNGU azidi kukupa Afya njema hakika binafsi nimekuelewa, wewe ni kiongozi mkubwa sana na mwenye uchungu katka maa society
Mzee kama vile ananjaa ya madaraka
Viongozi wa sahivi wa Tz HAWAJITAMBUI hata mmoja,kila kitu mama,.mama...mama...mama je serikali iko wapi sahivi!!?
Wamasai msidanganywe mnadhalilika.
Njia ya pekee ya wamasai kusalia kwenye maeneo Yao ni kuiondoa ccm
Siasa bhana unakanyagwa unalia halafu unamshukuru aliye kukanyaga kwa vile eti kisima cha maji kiko kwake
Acha kujipendekeza mzee shughulika na wananchi wako
Kumbe mberigiji hafui dafu huyu ndiye Mmasai
Mm kama Masai sijawai kukupenda ww mudomo tu akuna kitu
Hujielewi na hakuna na nina shaka sio na ukabila yako na akili yako
Msimtaje samia unatudhi Sana
Kalambishwa asali tayari huyo naye
Hivi si huyu ndo alikoswakoswa na risasi
Mzee olesendaka anashida nikwamba mamake abdo Ako madarakani na mtoto wa nyoka niwanyoka tu awesi badilika kwaiyo sendeka ww nimtoto WA Samia Samia akisema wamasaai waondolewe ww unangufu WA kumusuiya Samia sisi tunaitaji katiba mpya ili awokomeshe Hawa walagai WA ccm
Tutetee baba yangu
Unafiki ni kiwango kikubwa sana cha uchawi
Mmh! Yote tunayosikia toka Kanda iyo but mwamba bado anasifia na kucheza Ngoma....akiyanan wallah!
Nani atampa kura huyo mama Samia labda utampa wewe na machawa wako
Shida ya Sendeka ni kujipendekeza
Kiatu kimembana analaImisha
Sawa mwamba tetea wananchi wako
Ukikalibia uchaguzi ndo unaleta maneno laini mwaka huu kazi ipo
Mekitamayani nekilepunyeki osinga lepapa lanyorr olesendeka
Kwani huyo Samia wenu anatoa hiyo pesa toka mfukoni mwake? Unawauza nduguzo. Anawafukuza wamasai kupisha upigaji nawe unawahadaa. Kuna siku utaujua ukweli.
Hakuna mwana ccm anaeweza kumkosoa Samia hadharani
Haya yote nitatizo la Samia lkn sendeka hawezi subutu
mnafki huy mzee😂😂😂😂
🙏🙏👏👏👏👏👏
Kwani kata lokisale nimbona monduli unahusika na nini uko
Hivi wewe ole sendeka bado UNATAKA ubunge? Watu wako wanakosa maeneo lkn unatetea ATI umejengewa shule na Hosp hivi unawaza vizuri KWELI 😂😂 Tamaa za pesa mnatesa Ndugu zenu
Ole sendeka acha kuwahadaa na kuwalaghai wananchi unaona uchaguzi una karbia unaanza kugeuka tena kuonekana kama mtetezi wawananchi ,kwanza tukuulize ole sendeka kwani anayeuza hiyo aridhi ninani? Ma anayehamisha masai loliondo ninani? Ana ye uza misitu ninani aliyeuza bandari ninani? Siunamjua sasa kwanini unawalaghai na kuwahadaa wananchi ?
Umenena
Nikikumbuka lile shambulio la risasi zaidi ya 10 lakini 4 tu ndio zikaipiga gari yako....mmh! Vipi mheshimiwa si ungeacha hata moja ipasue kioo!!
Niambie kura amuna
0:12 Tabolu duo ie ngonyek olesendeke ijoito enijoito isipita oo misipita mikiolo tenekishomoki aiyop ingonyek ahu kitanaki engutuk mikiolo tenesipa ing'orito engop eishoi ino mekitaretoki engai taduaa sii meeku ai kishomoki aiyop ingonyeki amu asa taaduo King'ori too ndioli pae irkulie osekin mekingorokini tenemutu imitito engop eishoino tesipata? alaa mekitareroki engai natii shumata amu nenyena pooki
Njeeretu ntae enkai
tumba tupu😂😂😂....
Hakuna kitu hapo ni njaa tu hiyo
Kutaja maeneo kwa kuyajua kwa majina sio tija Mzee acha kuwadanganya wananchi
Samia hapati kira simanjiro
Sirahisi
Sendeka Acha Ayo Mambo kabisa
Yani tumpe kura mtu anaeuza maeneo yetu,,alafu anatuambia raisi ajasaini ,,,tumechoka na hii ccm,,,,ormaasailang mee onyo na kito
Akipita masai wote nima nyumbu
bas wewe ambae sio nyumbu ingia madarakani utengeneze
wewe sendeka mchochezi bola mfukuzwe tu mutoke kwenye hifadhi
Pimbii we hauna.Maana kabisa
Bado unatosha kwenye kiti hicho simanjiro musifanye kosa
Olesendaka naye ni Mpuuzi Tu! Dalali
Huna lolote unaona wamasai ni wajinga
Sendeka.wamasai.sio.wajinga.wana.jambo.lao.2024.25.ccm.subilini.kichapo
Wewe ni chawa kama machawa wengine
Njaa tupu