OLESENDEKA AONGEA KWA UCHUNGU MBELE YA WANANCHI MAENEO YA WAMASAI KUGEUZWA KUWA HIFADHI YA WANYAMA

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 65

  • @user-zk9ox3di4b
    @user-zk9ox3di4b 29 днів тому +3

    asante sana kaka yetu olesendeka pole sana unatutetea sana lakini serekali ya Samia na CCM yake atumpendi kabisa

  • @JAMESLAPUT-ye6kk
    @JAMESLAPUT-ye6kk 28 днів тому +1

    Olesendeka fanya kazi nzuri mheshimiwa,be blessed

  • @artsonkimath2917
    @artsonkimath2917 28 днів тому +3

    Yule wa Ngorongoro ndoo mbunge hii ni takataka kabisa

  • @jeremiahngoka4980
    @jeremiahngoka4980 29 днів тому +3

    Ameanza kulamba miguu tena.Hii nchi iko na shida aisee

  • @PartySekemi
    @PartySekemi 28 днів тому +2

    Sendeka anajua vita ya kila aina na hana historia ya kushindwa na tupo nae na sio kila vita ni lazima utumie bunduki kuna vita vinahitaji akili ya kuzaliwa wala sio phd na tunamuamini hatutamuangusha

  • @user-te7ju3wk1x
    @user-te7ju3wk1x 24 дні тому

    Mungu akupiganie baba kwa bidii ya yetu ya wamasai

  • @JoshuaKamusiara
    @JoshuaKamusiara 29 днів тому +2

    Mweshimiwa mbunge wa simanjiro baba wetu mpendwa kweli siungi mkono rais samia amechoka sana kwa kazi ya inchi yetu tuachiee lisu kazi achana wizi wa CCM

  • @mossesmepukori1826
    @mossesmepukori1826 29 днів тому +3

    Olesendeka muigizaji tu mmasai yupi anamependa samia aliyetuacha bila ardhi?

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 29 днів тому

    Hongera sana Mh. Sendeka kwa kuwajingashia wamasai wenzako. Endelea kujimegea ardhi na kuwavuruisha wamasai wenzio kwa visingizio vya mapendekezo ya "game reserves". Lakini mwenye macho haambiwi ona!

  • @KiriaKipara
    @KiriaKipara 29 днів тому +1

    Safi sana mkuu

  • @georgekimasaofficial1629
    @georgekimasaofficial1629 29 днів тому +2

    We shauri lako 😂😂 utajuwa hujui.

  • @ShalomNissitv
    @ShalomNissitv 29 днів тому +2

    Si dhani kama huo ni ukweli.

  • @johakhimu.mgembe.3297
    @johakhimu.mgembe.3297 23 дні тому

    Sema Ukweri Watu Wawe Huru.Acha kujificha ktk Ukweri.Unaoeleweka.Wana Akili ya kufahamu Unaowaongoza.

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku 28 днів тому

    Hongera mzee wangu pigania haki ya wananchi

  • @jumakilinja6341
    @jumakilinja6341 28 днів тому +1

    Mzee wewe huna tofauti na chokoraa mlala jalalani, yaani wewe bado unatuona sisi wote ni mag'ombe tunafuata mapalio,hatuna barabara enzi za ukoloni hadi leo na bado unajisifu na chama chako cha ufisadi

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso 29 днів тому +1

    Barabara zetu ni mbovu hasifai na huyu mzee ameshindwa kututetea bungeni ,,,tawala muluki orkito

  • @konemelau9068
    @konemelau9068 19 днів тому

    MUNGU azidi kukupa Afya njema hakika binafsi nimekuelewa, wewe ni kiongozi mkubwa sana na mwenye uchungu katka maa society

  • @ZakariaMnzava
    @ZakariaMnzava 29 днів тому +2

    Mzee kama vile ananjaa ya madaraka

  • @user-sb3hh3gc3k
    @user-sb3hh3gc3k 27 днів тому

    Viongozi wa sahivi wa Tz HAWAJITAMBUI hata mmoja,kila kitu mama,.mama...mama...mama je serikali iko wapi sahivi!!?

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 29 днів тому +1

    Wamasai msidanganywe mnadhalilika.
    Njia ya pekee ya wamasai kusalia kwenye maeneo Yao ni kuiondoa ccm

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 29 днів тому +1

    Siasa bhana unakanyagwa unalia halafu unamshukuru aliye kukanyaga kwa vile eti kisima cha maji kiko kwake

  • @jeremiahblazio4781
    @jeremiahblazio4781 29 днів тому +1

    Acha kujipendekeza mzee shughulika na wananchi wako

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z 26 днів тому

    Kumbe mberigiji hafui dafu huyu ndiye Mmasai

  • @olekitamwasmokotio9855
    @olekitamwasmokotio9855 28 днів тому +2

    Mm kama Masai sijawai kukupenda ww mudomo tu akuna kitu

    • @PartySekemi
      @PartySekemi 28 днів тому

      Hujielewi na hakuna na nina shaka sio na ukabila yako na akili yako

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 27 днів тому

    Msimtaje samia unatudhi Sana

  • @elishadodi8787
    @elishadodi8787 28 днів тому

    Kalambishwa asali tayari huyo naye

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 29 днів тому +1

    Hivi si huyu ndo alikoswakoswa na risasi

  • @LaizerSangau
    @LaizerSangau 28 днів тому

    Mzee olesendaka anashida nikwamba mamake abdo Ako madarakani na mtoto wa nyoka niwanyoka tu awesi badilika kwaiyo sendeka ww nimtoto WA Samia Samia akisema wamasaai waondolewe ww unangufu WA kumusuiya Samia sisi tunaitaji katiba mpya ili awokomeshe Hawa walagai WA ccm

  • @FredrickOlentimama-tj4ps
    @FredrickOlentimama-tj4ps 19 днів тому

    Tutetee baba yangu

  • @user-cw3vu8mu3k
    @user-cw3vu8mu3k 27 днів тому

    Unafiki ni kiwango kikubwa sana cha uchawi

  • @InnocentCharles-hm3ff
    @InnocentCharles-hm3ff 28 днів тому

    Mmh! Yote tunayosikia toka Kanda iyo but mwamba bado anasifia na kucheza Ngoma....akiyanan wallah!

  • @adamwoiso2180
    @adamwoiso2180 26 днів тому

    Nani atampa kura huyo mama Samia labda utampa wewe na machawa wako

  • @uraiatv8455
    @uraiatv8455 29 днів тому +1

    Shida ya Sendeka ni kujipendekeza

  • @ImaniLaizar
    @ImaniLaizar 26 днів тому

    Sawa mwamba tetea wananchi wako

  • @user-jl5uh1xq9f
    @user-jl5uh1xq9f 28 днів тому

    Ukikalibia uchaguzi ndo unaleta maneno laini mwaka huu kazi ipo

  • @Maasai-TV
    @Maasai-TV 29 днів тому

    Mekitamayani nekilepunyeki osinga lepapa lanyorr olesendeka

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha 29 днів тому

    Kwani huyo Samia wenu anatoa hiyo pesa toka mfukoni mwake? Unawauza nduguzo. Anawafukuza wamasai kupisha upigaji nawe unawahadaa. Kuna siku utaujua ukweli.

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku 28 днів тому

    Hakuna mwana ccm anaeweza kumkosoa Samia hadharani
    Haya yote nitatizo la Samia lkn sendeka hawezi subutu

  • @user-yl2br2ts3i
    @user-yl2br2ts3i 28 днів тому

    mnafki huy mzee😂😂😂😂

  • @LasaroSilasi
    @LasaroSilasi 29 днів тому

    🙏🙏👏👏👏👏👏

  • @patellaisangai6013
    @patellaisangai6013 28 днів тому

    Kwani kata lokisale nimbona monduli unahusika na nini uko

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 28 днів тому

    Hivi wewe ole sendeka bado UNATAKA ubunge? Watu wako wanakosa maeneo lkn unatetea ATI umejengewa shule na Hosp hivi unawaza vizuri KWELI 😂😂 Tamaa za pesa mnatesa Ndugu zenu

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184 27 днів тому

    Ole sendeka acha kuwahadaa na kuwalaghai wananchi unaona uchaguzi una karbia unaanza kugeuka tena kuonekana kama mtetezi wawananchi ,kwanza tukuulize ole sendeka kwani anayeuza hiyo aridhi ninani? Ma anayehamisha masai loliondo ninani? Ana ye uza misitu ninani aliyeuza bandari ninani? Siunamjua sasa kwanini unawalaghai na kuwahadaa wananchi ?

  • @williamwanga2126
    @williamwanga2126 28 днів тому

    Umenena

  • @kibbysaidi7813
    @kibbysaidi7813 29 днів тому

    Nikikumbuka lile shambulio la risasi zaidi ya 10 lakini 4 tu ndio zikaipiga gari yako....mmh! Vipi mheshimiwa si ungeacha hata moja ipasue kioo!!

  • @user-ff1ti2bo4w
    @user-ff1ti2bo4w 28 днів тому

    Niambie kura amuna

  • @juliusjuliuskalunjulaipu-ik7kq
    @juliusjuliuskalunjulaipu-ik7kq 9 днів тому

    0:12 Tabolu duo ie ngonyek olesendeke ijoito enijoito isipita oo misipita mikiolo tenekishomoki aiyop ingonyek ahu kitanaki engutuk mikiolo tenesipa ing'orito engop eishoi ino mekitaretoki engai taduaa sii meeku ai kishomoki aiyop ingonyeki amu asa taaduo King'ori too ndioli pae irkulie osekin mekingorokini tenemutu imitito engop eishoino tesipata? alaa mekitareroki engai natii shumata amu nenyena pooki

  • @lenkitengtajeutajeu
    @lenkitengtajeutajeu 15 днів тому

    Njeeretu ntae enkai

  • @user-yl2br2ts3i
    @user-yl2br2ts3i 28 днів тому

    tumba tupu😂😂😂....

  • @lucasparmet3201
    @lucasparmet3201 29 днів тому

    Hakuna kitu hapo ni njaa tu hiyo

  • @lucasparmet3201
    @lucasparmet3201 29 днів тому

    Kutaja maeneo kwa kuyajua kwa majina sio tija Mzee acha kuwadanganya wananchi
    Samia hapati kira simanjiro

  • @obadiajuma436
    @obadiajuma436 29 днів тому

    Sirahisi

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc 29 днів тому

    Sendeka Acha Ayo Mambo kabisa

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso 29 днів тому

    Yani tumpe kura mtu anaeuza maeneo yetu,,alafu anatuambia raisi ajasaini ,,,tumechoka na hii ccm,,,,ormaasailang mee onyo na kito

  • @GeofreyMwandanji-ot2lf
    @GeofreyMwandanji-ot2lf 28 днів тому +1

    Akipita masai wote nima nyumbu

    • @MaikoSiria
      @MaikoSiria 21 день тому

      bas wewe ambae sio nyumbu ingia madarakani utengeneze

  • @YassinRajabu
    @YassinRajabu 29 днів тому +1

    wewe sendeka mchochezi bola mfukuzwe tu mutoke kwenye hifadhi

  • @yamatlemomo542
    @yamatlemomo542 29 днів тому

    Bado unatosha kwenye kiti hicho simanjiro musifanye kosa

  • @melubokusoro5668
    @melubokusoro5668 29 днів тому

    Olesendaka naye ni Mpuuzi Tu! Dalali

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 29 днів тому +1

    Huna lolote unaona wamasai ni wajinga

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743 21 день тому

    Sendeka.wamasai.sio.wajinga.wana.jambo.lao.2024.25.ccm.subilini.kichapo

  • @batwelimahenge7850
    @batwelimahenge7850 29 днів тому

    Wewe ni chawa kama machawa wengine
    Njaa tupu