UTATA WAIBUKA UMILIKI WA SHAMBA MBUNGE OLE SENDEKA AGOMA, RIDHIWANI AINGILIA KATI “Busaea Zitumike”

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 лют 2023
  • Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
    BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
    Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
    Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 124

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 Рік тому +15

    Binti ni jasiri....😍 ukweli siujui lkn nimependa kujiamini kwako...😍

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 Рік тому +9

    🤣🤣🤣 mzee tapeli mambo yameanza kurudi kwa speed, Mungu tusaidie

  • @fatumasukwaju226
    @fatumasukwaju226 Рік тому +5

    MSICHANA Simama kama mrithi.wavamizi ni wengi karne hii.Allah akusimamie.

  • @simbajumanne9718
    @simbajumanne9718 Рік тому +8

    Mh unafanya kazi nzur sana.kila mda naona hukai ofisin

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Рік тому +4

    Namshukuru Mungu waziri umetumia hekima sana mkamalizane kwa hekima

  • @yusuphmpando9900
    @yusuphmpando9900 Рік тому +6

    Kama kiongozi unatakiwa uwenamaamuzi yamwishon si busara ukiona mwenye haki hayuko upande wako than unaacha mgomgoro haliyakuwa uliaminiwa kuwa utamaliza tatizo

  • @nelsonmaleo3342
    @nelsonmaleo3342 Рік тому +5

    Ifike mahali wabunge wetu wakinai utajiri wa mashamba

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Рік тому +6

    Tanzania bhaaana mimi binafsi binafsi nitafurahi kama waziri wa ardhi atafuatilia na mambo yote yatakuwa sawa watu wasirumbane

  • @lilianhoney5744
    @lilianhoney5744 Рік тому +2

    Safi sana Nancy pambana mpaka kieleweke

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 Рік тому +3

    Yn kiukwer ww ridhiwani leo ndo meaza kukupenda safi sana tena sana

  • @nujakaluhende9428
    @nujakaluhende9428 Рік тому +8

    Ridhiwani si ndivyo ninavyomjua Kweli ni kiongozi

  • @patrickmunishi2277
    @patrickmunishi2277 Рік тому +6

    Aridhiwani maliza huo mgogoro, kuna faida gani kufika hapo, ukaacha mgogoro kwa wausika, hapo nooo

    • @simonpure109
      @simonpure109 Рік тому

      Migogoro ya ardhi inangazi mahakama ndio mwisho...

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 Рік тому +2

    Ha ha ha hv mtu anapewa hekali.1000
    Wakati kuna watoto wanazaliwa. Sheria ibadiliike

  • @yunislemnge5558
    @yunislemnge5558 Рік тому +4

    Maandiko yanasema anayependa mali hatosheki na mali.anayependa pesa hatosheki na pesa.sasa mbunge si anaviwanja vingi.

  • @kurthumkamru5435
    @kurthumkamru5435 Рік тому +5

    Safi Sana Waziri

  • @aahasaidi1977
    @aahasaidi1977 Рік тому +4

    safi sana nsibu waziri, umeongea busara sana

  • @levidavid1156
    @levidavid1156 Рік тому +2

    mhe ana masilahi nahuyu binti wanataka kuuza ardhi ya wamasai. hii mbaya sana we need to stand together against impeliarism

  • @jeffmwinyi365
    @jeffmwinyi365 Рік тому

    Definition of a great leadership!

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 3 місяці тому

    Huyu dada anaonekana anatoa ushaidi wa uongo hata usoni anaonekana kama wale waliomsaliti yesu shahidi wa uongo pelekeni shauli mahakamani mtaujua ukweli wewe lidhiwani mungu akupe hekima kujua huyo dada mwongo

  • @geraldlyimo2859
    @geraldlyimo2859 Рік тому +2

    Mtt ana maneno matam km baba aisee hongera kwa hekima zako

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere1962 Рік тому +5

    Liziwani unafaa kuliko January makamba

  • @neemareuben311
    @neemareuben311 Рік тому +2

    Zulma mbaya sana we ole macho yanakusutaaa kbsaaa bint huyo sio mjingaaaaaa aisee

  • @nelsonmtaturu5298
    @nelsonmtaturu5298 Рік тому +3

    Eti hakuna nyumba na nyumba imeonekana wanataka kuwatapeli watoto Mali zao hizo

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Рік тому +4

    Mh ole sendeka mbona anajing'ata ng'ata Kuna Nini hapo kati au nyuma ya pazia????

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 Рік тому +2

    Seee uy tapeli uy mzeee daaa atari kwer jamani

  • @patrickmunishi2277
    @patrickmunishi2277 Рік тому +2

    WAMASAI NDIVYO WALIVYO NI WAONEZI KUPITA KAWAIDA

  • @fatumasukwaju226
    @fatumasukwaju226 Рік тому +2

    Waziri Yamalize kabisa.ukisema wakae mezani.Maamuzi yatakuwa vinginevyo.Sendeka anachotaka ardhi

  • @danielhumble4292
    @danielhumble4292 Рік тому +3

    Ole sendeka ni tapeli wa kiwango

  • @neema_mollel
    @neema_mollel Рік тому +4

    Bint shujaa👏👏👏

  • @ramadhanimbulu4941
    @ramadhanimbulu4941 Рік тому +3

    Viongozi wa Tanzania hawatosheki...!!

  • @yusufsong7993
    @yusufsong7993 Рік тому +2

    Anauliza kujenga uku mbona alipo kuwa hai akujenga kati

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 Рік тому

    Kikwete ana interest hapa. Yuko upande mmoja. Je ana mahusisno na huyu dada? Yuko upande mmoja.

  • @josephusimbanilo9500
    @josephusimbanilo9500 Рік тому +4

    Kumbe ridhiwani ana akiri 😕🙌

    • @Dantaata
      @Dantaata Рік тому +1

      mi pia nimeshangaa wallah, sikutegemea

  • @gilbertkalanda9354
    @gilbertkalanda9354 3 місяці тому

    Kuna Mikoa kumiliki ardhi mitihani, jamii za wenyeji na Viongozi wao huungana dhidi ya wageni, Manyara and maasai are some of them

  • @Nyamko-christmas
    @Nyamko-christmas Рік тому +2

    Habari yenyewe ilivyoandikwa inabase upande mmoja soma shamba limeandikwa la nani??

  • @geraldtarimo3210
    @geraldtarimo3210 Рік тому +3

    Olesendeka tapeli

  • @johnkyara8655
    @johnkyara8655 Рік тому +1

    Huyu Mzee mpaka Leo hapumziki ole sendeka

  • @zawadichalale4047
    @zawadichalale4047 Рік тому +1

    Ole sendeka huwaga ni tapeli itamsaidia nini hiyo ss? Aache tu haki ya watoto wa watu

  • @nelsonmtaturu5298
    @nelsonmtaturu5298 Рік тому +1

    Kweli magufuli tutamkumbka na mbaya zaidi alikuwa awapendi watu wenye matumbo Kama huyu mzee mnataka kutumua ubaba kwa sababu mzazi wake hayupo

  • @J4UPro
    @J4UPro Рік тому

    Nimependa sana naibu waziri

  • @janethjonas1700
    @janethjonas1700 Рік тому +1

    Changamoto ya maeneo kwa kwetu wamasai lipo sana na hawa ndugu zangu wanaroho mbaya sanaaa...nilipatana na changamoto kama hii lakini Mungu alinisaidia..tena kwa mtoto wa kike???Mungu mtetee

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Рік тому +2

    Si ni swala la kwenda kuangalia nyumba ipo haipo basi

  • @Abduliazizi-zu1wh
    @Abduliazizi-zu1wh Рік тому

    Rizawani apo nimekukubali umetiririka vzr sana

  • @geraldtarimo3210
    @geraldtarimo3210 Рік тому +2

    Mzee sendeka tapeli

  • @musaguga
    @musaguga Рік тому +2

    Ridhiwaniiiiiiiiiiii

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 Рік тому +1

    Huyu Kikwete vipi? Madhshidi wote wanasema kulikuwa hakuna nyumba. Wakikusmbia hakuna nyumba hakuna nyumba. Kikwete inaonekana anspendelea upande mmoja.

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 Рік тому +4

    Huyu sendeka ni mbwa kabisa tamaa nyingi tumbo kubwa mjinga kabisa

  • @HealingjoyKirenga
    @HealingjoyKirenga 3 місяці тому

    Huyu Mzee muongo sana

  • @mwailubikamongo9774
    @mwailubikamongo9774 Рік тому +1

    Kama unafanya hivo waziri uko sawa

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 11 місяців тому +1

    riziwani naanza kukuerewa watototo nieneo lao kabisa sendeka tapeli ashtakiwe eneo sio lake sendeka

  • @mshikamanojames7610
    @mshikamanojames7610 Рік тому +1

    Hapo waziri kaogoka sendeka ni baba yake mlezi picha ishaeleweka

  • @devotaijumba8332
    @devotaijumba8332 Рік тому +1

    Waziri maliza mgogoro huo.sasa ulienda kufanya nini kama Waziri????

  • @stellacosmacy4785
    @stellacosmacy4785 3 місяці тому

    Hao masai matapeli wanataka pa kuchungia hawa atapeli

  • @directoreydonation9939
    @directoreydonation9939 Рік тому +2

    Kama sample ya nyumba imeonekana ilo eneo la yese😄😄😄 sema ridhiwani ana akili

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Рік тому +1

    Wamasai wezi sana wa ardhi wamezidi

  • @anatholypole2889
    @anatholypole2889 3 місяці тому

    Mh. Mbona wazawa wa hapo Kuna mtu mmoja ni tapeli mabint siku hizi niwatapeli fungueni macho.

  • @magejuliani5293
    @magejuliani5293 Рік тому

    Mmmh! Chonde chonde km eneo ni la watoto Hao waachieeni eneo lao! Hii dhambi itawatafuna! Watoto msikubali Hadi kieleweke

  • @fatumasukwaju226
    @fatumasukwaju226 Рік тому +2

    Tutatosheka na mchanga wa kaburi tu

  • @user-sp4xo9rm8l
    @user-sp4xo9rm8l 3 місяці тому

    Kuwambia wamalizane wenyewe wakati wameshashindana si sahihi hata kidogo,au kuna mtu unamlinda?

  • @ezekielmwakyagi9330
    @ezekielmwakyagi9330 Рік тому +2

    sheria ifate mkondio sio busara

  • @fadhilimwaitete3692
    @fadhilimwaitete3692 10 місяців тому

    Mtoto WA kikwete waziri mama mbunge jamani tunatawarIwa na familia na maswaiba

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 3 місяці тому

    Hizo mahakama bubu mtawadhulumu watu ina maana mahakama haziwezi kutatua matatizo ya ardhi

  • @jovinkiboko3558
    @jovinkiboko3558 Рік тому

    Yaani hawa watu...hawaridhiki hata kidogo. Pesa wanazo, majumba, magari, mabiashara....eeh Mungu!!!

  • @GidionSimon-cs7qq
    @GidionSimon-cs7qq 10 місяців тому

    Hiyo ni sawa waziri wa ardhi

  • @jumamkwanda8031
    @jumamkwanda8031 Рік тому +2

    Ridhiwan umeyumba hapo ulitakiwa kuamua wewe kama Naibu wa Ardhi mpaka unafika wewe kwenye hilo eneo ina maana Ngazi za chini zimeshindawa...kna alafu ya huyo Dada kudhulumia Ardhi

    • @michaelfrenkline3429
      @michaelfrenkline3429 Рік тому +1

      Nimemuelewa vizuri Riziwan.
      Sio kwamba hatofwatilia Tena hapana, kafanya ivyo kuepusha mengi.

    • @sudyslaa8278
      @sudyslaa8278 Рік тому +1

      Akiamua haraka hapo mambo ya ardhi wanaweza kupigana

  • @user-mn3yd7jg3q
    @user-mn3yd7jg3q 3 місяці тому

    Uyo mbunge kawaida yake iyo kunyanganya watu maeneo yao

  • @georgekimasaofficial1629
    @georgekimasaofficial1629 Рік тому

    Haya mlikuwa mnamlaumu magufuli kutatuwa migogoro Kwa namna hii Leo mnashangilia dah watanzania bhana 🤣🤣🤣🤣

  • @KiandeMollel
    @KiandeMollel 4 місяці тому

    Achaa thuluma wew mzee hao watima

  • @fathiyaomar9009
    @fathiyaomar9009 Рік тому +1

    Yani na znz wangekuwa wanafanya kama hivi wallah na sisi tungepata haki zetu lakini leo mume wangu kadhulumiwa na mpka kesho anashindwa kupewa hati hata ya nyumba yake katika ilo shamba jamaa zake wamesema kwao yani mtihani mkubwa tunakaa kwa wasiwasi yani babayao akifa saivi basi tunatolewa kwenye nyumba dah vilio vya watu wsngi hivi

    • @simonpure109
      @simonpure109 Рік тому

      Nasikia mwinyi msikivu,je haliwezi hapo mzazi mmoja

  • @sadiqdeshaggy1869
    @sadiqdeshaggy1869 4 місяці тому

    Uyu binti yupo kwenye haki hao wengine wezi

  • @mashannapapaaa9582
    @mashannapapaaa9582 Рік тому

    Liziwa nilikuwabnakuchukiasana nilijua kuwa nyinyi nimojawapomyliosababishaaisha magumu kwawatanzania kumbe wewenikiongozi muhimu kwenye alizi

  • @vanderjoe2551
    @vanderjoe2551 Рік тому +1

    Mmh

  • @stellacosmacy4785
    @stellacosmacy4785 3 місяці тому

    Hiyu mbunge mjanja, mbona nyumba ipo , hao masai wanasema uwongo nyumba pagale hiloo

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 Рік тому +1

    huyu sendeka nmkabila hafai mm ninamjua mno hyo alishammaliza mwenzake supuko hafai

    • @Abduliazizi-zu1wh
      @Abduliazizi-zu1wh Рік тому

      Apo riziwan maliza iyo kesi isiwe kujuwana yese alikuwa tajiri watetee hao watoto wapate haki ya baba yao, sendeka aio mtu mziri nahao wapambe, ukweli aukaliwi juu ya uongo haki niyahao watoto kiukweli

  • @akimu-gl7zp
    @akimu-gl7zp 11 місяців тому

    Hilo lizee niliizi litakua limegawa pesa kwahao vijana

  • @mussamisinzo4934
    @mussamisinzo4934 3 місяці тому

    Mh rizi one naibu waziri!

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 10 місяців тому

    Hivi waziri unafahamu maana y nyumba vibanda nk simmesoma Sheria

  • @ruwaichijoseph5946
    @ruwaichijoseph5946 10 місяців тому

    Hizo ni mchongo za kutengeneza

  • @shijandoya1780
    @shijandoya1780 Рік тому

    Kwani hapo nimahakani waende mahakamni bwana

  • @uwesuabdallah4053
    @uwesuabdallah4053 3 місяці тому

    mje huku Mtwara kuna naeneo
    mengi mno pia bei nafuu mno

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 Рік тому

    Kiongozi migogoro ya.kifamilia. rafiki wa baba rafiki wa mama basi ndio maana wamekutunbua

  • @kennysabai5695
    @kennysabai5695 Рік тому

    Huyu kijana wakikwete anajielewa sana

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya4286 3 місяці тому

    Mbona mawaziri mnafanya kazi za mahakama?

  • @tonyjames6658
    @tonyjames6658 Рік тому

    Mkuu wa mkoa hataki shida kanyamaza kimyaaa!!!!🤣🤣🤣

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk Рік тому +1

    Busaea ndio nini? Mnakimbizwa

  • @omarycheyo5534
    @omarycheyo5534 Рік тому

    KTK NCHI HII HUWE MSHITAKI KIONGOZI HIVI HUYU DADA ANAWEZA MSHITAKI OLE SENDEKA AKAPATA HAKI YAKE?

  • @delekalxon7221
    @delekalxon7221 Рік тому +1

    Fungua kesi mahakamani

  • @gaspermalyatabu1813
    @gaspermalyatabu1813 Рік тому

    Msizulumu ata kama mnanguvu

  • @mashannapapaaa9582
    @mashannapapaaa9582 Рік тому

    Ilasendeka nimwizi analoho mbaya

  • @abuuchaula6961
    @abuuchaula6961 Рік тому +2

    Nchi hii hakuna marofa Tena watu akili n mingi mno

  • @joshjoackimjacksonkisoso2914

    Ridhiwan ameiva

  • @ibnomar8144
    @ibnomar8144 Рік тому

    Warithi wamagu hao aliyo acha

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 Рік тому

    Watu wa ccmm

  • @nikemsongo6931
    @nikemsongo6931 Рік тому +1

    Huyu Mzee kazeeka bado anagombania tu ardhi...ya kazi gani?

  • @dunstangeorge3263
    @dunstangeorge3263 Рік тому

    Ole tapeliii na fisadi mkubwaaaa

  • @azimiomgongolwa6668
    @azimiomgongolwa6668 3 місяці тому

    Hu

  • @yunislemnge5558
    @yunislemnge5558 Рік тому

    Wanatesa waziri bure kwenye mapori.

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 Рік тому

    Dogo kaua.

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 Рік тому +5

    sendeka nitapeli yese alikuwa anamaekari ya shamba sendeka nimwizi mnafiki oamoja na Jao kina baraka wezi mno

  • @amoslucas1247
    @amoslucas1247 Рік тому +1

    Bora waende mahakama ya ardhi maana Naona kama naibu wazir anakwepa lawama