TAHARUKI ILIYOBUKA MTANDAONI BASHUNGWA AWA MBOGO ATOA TAMKO "SIO UPIGAJI"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лип 2024

КОМЕНТАРІ • 10

  • @EmmanuelNyinyigwa
    @EmmanuelNyinyigwa 14 днів тому

    Taarifa ya kitambo sana kipindi kile Cha hanang. Kule kigoma

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 14 днів тому

    Yan Bashungwa hana wizara hata moja amabayo ameiweza yan nmizigo kwa nchi

  • @kiliantereba6502
    @kiliantereba6502 14 днів тому +1

    Tunataka na bandari kavu aliyoanzisha JPM imaliziwe, mbona mmeitelekeza. Hizo barabara zenyewe zitawaumbua mwaka wa uchaguzi

  • @mohamednyenyema997
    @mohamednyenyema997 14 днів тому

    Kigambon muda si mrefu tutakua hatuvuki na vyombo mpaka sasa kivuko kimoja tu

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 14 днів тому

    Huyu bashungwa ni mzigo san sijui kwann mama hataki kumtumbua

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 14 днів тому +1

    Waziri umeelezea vizuri ila kutaja ilani ya ccm na rais ndio

  • @majaliwabwitonde6900
    @majaliwabwitonde6900 14 днів тому

    Huyu Regional manager anaharibu sura ya mji kwa kujenga barabara za Kigoma, hasa zinazoingia mjini bila umahiri. Barabara njia mbili, moja iko juu nyingine chini, kwa nini

  • @kiliantereba6502
    @kiliantereba6502 14 днів тому +1

    Hizo barabara mnatudanganya. Hamuwasimamii wajenzi, wanatujengea vitu fake halafu mnalindana eti siyo upigaji. Ni upigaji tu.