Sabra Mchano - Maisha Yangu | Maisha Magic Bongo
Вставка
- Опубліковано 17 бер 2020
- Sabra Mchano ni hakika malkia wa nguvu. Ni mwanamke wa kuigwa aliyependa sana maendeleo. Amejitwalia tuzo mbali mbali za kuheshimika kote Tanzania bara na visiwani.
---
Endelea kutizama DStv chaneli 160
Official Website: maishamagicbongo.dstv.com/
Watch more series and movies on Showmax, start your 14 day free trial here: bit.ly/36PFSr0
Instagram: / maishamagicbongo
Twitter: / maishamagictz
Facebook: / maishamagicbongo - Розваги
Nimeptia coment wengi wenu mnachoyo na napsi chafu taften pesa mupunguze roh mbya da sabra allah akusimamie kweny mausha yko te
Uje kuwa Rais wetu Amina🤲
Past, Present & Future.... Endelea kuzikataa Chps Chafu ( Na hayo ndo maisha yako)
Allah azidi kukusimamia na kukulinda na shari za alivoviumba
Let wait....
MashaAllah
Kuna sehem Allah amemuandalia huyu dada lazima Allah akujarib akisha akupe kile anacho taka yy Allah kukupaa
Hongera Sana wewe ni mpambanaji utaysshinda majaribu
Amina amina
Nimefurahi sana raisi wetu anafanya kazi nzuri kuwatumbuwa hawa wasaka tange alafu wanajifanya wao wazalenda uchwara hawafai
Ulikuwa sifa sana Sabra na ndio mana hukupewa pole yalipokukuta,Wazanzibar wengi walifurahi kuliko waliokupa Pole.Jifunze Dada jinsi ya kuishi na Watu vizur
Kwanza arudishe pesa alizoiba ZSSF na nyumba ya Chukwani waliomjengea machina kwa hongo ipigwe mnada na pesa zirudi serikalini
nimeipenda ile haji kanitaftie japo chipsi chafu. 😃😅😄 hata kama umedokoa sabra ila na kazi umetenda kwa kweli.
Hatupend kutoa maneno mabovu, ila huu upuuz kazi gan mtu mwizii...
Sabra iron lady,mwanamke mwenye uwezo uthubutu na kujiamini.
Ni mfano kw w/ke wakizanzibar.
Should i say mashaAllah.
Kupata kukosa yote ni majaaliwa.kila kitu na time yake.
Kwanza arudishe pesa alizoiba ZSSF na nyumba ya Chukwani waliomjengea machina kwa hongo ipigwe mnada na pesa zirudi serikalini.
@@alivideos4155
Acha ufala ww mtoto wakiume au ndo ivo watu wanakula kitumbua icho !
Arudishe pesa qani ,au we ulikuwapo na ukashuhdia.
Mind your own bussines
Usishadidie mambo ya tuhuma na yasiokuhusu.
Yetu macho
Siamini Kama ilikuwa Bora zaidi ya wale waliobora Ila Mshukuru Mungu tu alikuona
Chipsi chafu. Kiukweli nampenda Rais Hussein 😃
Hi
Vipi dada, naona Rais leo kakutumbua. Pamoja na madigree na ma masters yote uliyonayo hayo. Mwaka huu tutaona mengi.
Mwizi wa pesa za ZSSF huyu.
Not longer it easy
Hahahhha wapiiii hashuo
Leo VP naona umetumbuliwa, ufi S mtupu
MWIZI ANASIFIWA
Naam mwizi wa ZSSF
🤭 Hajj niletee chipsi chafu 🤣🤣 DR Husein 🙌🏽 mwamba hasa km mzee Magu hakika ss maendeleo yatasonga
Ah we shery unalsifia bwana ako
Ww mwizi
Mmh kamatiii itaamua
Hhahaha sheni weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
🤣🤣😜😜 haj
Sh sheni unasifia tu unayemsifia ni aibu mtihani huu
Hahaha, sheni wee
Tokaa mwizi ww Bibi ww
Iloo Machano ww lime tumbuliwa
Halaf Bibi ww unazarau chipsi chafu ni ww Michuchu ww
Hqbar yk hujambo Nitumie namba yk mrembo
Heheheee anayajua anayaweza basi wala hafatilii nsionana aliitwa babuali
Hongera sanaaa
Sheni kafuga majizi
@@shemsakhamis1538 Sana tena sana.
sijui kama kuna kiongozi wa serikali msafi
Hongera sana huyu mwizi?
Mmm,
Subri afee alafu ajue kama mungu hadanganywi
Degree ya bangi hiyo
Huyo mwiz tu
Ila inaonekana ktk serikali ya Babuali ufisadi ulikuwa mwingi sasa waondoke ili wapishe wenzao washapata
Za arubaini zimefika pamoja na sifa zote unazojisifiya subiri usifiwe usijisifiye mwenyewe
Mwizi asifiwe na nani?
Kwanza rudisha pesa ulizoiba ZSSF na nyumba ya Chukwani waliokujengea machina kwa hongo ipigwe mnada na pesa zirudi serikalini.
Jaman muelew huyu sio mwiz kachukua chake mapema mbon wapo weng waliochukua chao munamuona yy tu
Shenz zako
kawaida ya binaadamu akifanikiwa kutoa historia yake 😆😆
Kafanikiwa kwa wizi wa pesa za ZSSF
Kumbe ulikua huna adabu tokea zamani
Ww fisadi uliye ifilisi Zanzibar yetu cha kwanza uchunguzwe hizo mali zote umezitowa wp? Ukishabainika mahakama ifanye jambo lake, na huyu Juma iddi nae achunguzwe majumba 30 kayatowa wp tena ya kifahari huyu ndie fisadi nomber 1, Kwa Zanzibar
⚖👍
Big Up Sabra. Watu wengi hasa huko Unguja hawajazoea mwanamke kuwa mtendaji mkuu wa Taasisi. Mbona hata hao wanaume wamekosea hapa na paleeee! Ume achieve sana. Kukupachika majina hiyo kawaida kwa hardworking ladies. Tumeitwa majina mengi. Kikubwa ku deliver mwisho wa siku.❤
Wewe uzanzibar umeutoa wapi mluguru?
Sabra ni mwanamke wa shoka yupo vzr na yupo sawa. Na atapanda zaidi coz Sabra ni msomi.
Duh umevuruga hela za watu bila ya huruma duuu
Kaziiba ziko benki.
Mwizi mkubwa we!!!
Una ushahidi??
🤣🤣
Mimi sabra sijakuona mjinga wakati umepewa fupa aaabibiweee na we lingongone wangapi wanangongona mafupa yeye sio wamwazo et walopita wamengngona mafupa weeehadi sasa wengine wanapolio hawaoni wamepofua wanasukari chumvi kila balaa
Taasisi aliokuwa anasimamia ilipata upotevu wa mamilion ndio chanzo kilipo anza
uletetewe ata chips chafu!!!!
Hivi miaka 32 bado ni umri mdogo?
Sana tena
kashaiba pesa viongozi zanzibar wamelala
Fisadi mkubwa ilitakiwa UE kinua mi miguu wewe
Hunaishu mwizitu
Chipc chafu
Mwizi mkubwa wewe
Una ushahidi?
@@jumakapilima5674 😀😀😀
@@fathiyaaly9063 mimi naona ni mtu aliyetumiwa na hao aliowataja kwa manufaa yao. Angelifanya nini wakati huu ndio mtindo endelevu. Baada ya miaka mitano ya Dr. Shein, miaka mitano iliofuata ilikuwa ni wizi tu. Wameibia mpaka wapika supu.
@@fathiyaaly9063 una ushahidi kuwa ameiba?
Huyu sheni walikuwa watu wakiba yeye anatetea hata ile mapinduzi 2 alisema meli mpya hakuna ub add dhirifu alipokuja mwinyi alikiri meli bovu liuzwe crepa huyo sabra wenu mnayo mpamba mbabaishaji mwenye kutaka sifa ambazo hana mwacheni achezeshe upatu
Rais achunguze mali zake pia
Anhaa wewe ndo chipsi chaaaaafuuu.
No story hahahaha
Fisi mkubwa weeee! Kazi kujisifia tuu, ulimbukeni uwo! Shame on you!!!
Degree na diploma ya wizi mzushi mmmmmoja
Sein yeye alikuwa kazi yake kusifia tu hana kuhoji na kufanya tadhmini na anachoambiwa kweli kinaingia akili au kunaudanganyifu hapa na kuzibwa macho .yeye hana hilo Sifia sifia tu huku watu wanaiba fedha tena nyingi sio mchezo.
Tunachotaka ni maendeleo piga kazi mwinyi hongr zote kwa muheshimiw magufuli
Kukosea mara 1. Upo uwezekano wa kujirekebisha.
Apewe majukumu mengine awe mbali na vishawishi kama pesa nk.
Msimtusi kama kakosea hatorudia tena.
Mwiiiiiziiiiiii 😂😂😂😂😂😂