JUNIOR KIBONDE - ''Miezi 6, Maisha Ya Bila MAMA Wala BABA, Wadogo Zangu na Maisha Yangu''
Вставка
- Опубліковано 18 вер 2024
- JUNIOR KIBONDE - ''Miezi 6, Maisha Ya Bila MAMA Wala BABA, Wadogo Zangu na Maisha Yangu''
Ikiwa ni miezi sita tangu aliyekuwa Mtangazaji wa kipindi cha Jahazi cha Clouds FM, Ephraim Kibonde, afariki dunia na kuacha watoto watatu wakiwa yatima, Global TV imewatembelea watoto hao nyumbani kwao wanapoishi maeneo ya Mbezi Beach na kuzungumza na mtoto wake wa kwanza kuhusiana na maisha yao baada ya vifo vya wazazi wao wote wawili.
Install GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
Yaan Junior ni kichwa, umri wake bado mdogo lakin kichwan yupo vzr
Hakika
I like how he said nina mabinti wala sio nina wadogo zangu,l like that spirit of confident and maturity may God bless you and your little sisters
Mdogo wangu Mungu wetu ni Baba wa yatima jipeni moyo Mungu wetu hawezi kukuwaacha,tutazidi kuwaombea mtaimarika pendaneni na mshikamane kwa kila jambo na Mungu atawaogoza,poleni sana na Mungu akusimamie kama kichwa cha familia
Watu wazima hapa tz wanahojiwa wanaongea utumbo,lakini huyu kijana mdogo anaongea kwa busara na hekima ya hali ya juu....Mungu akubariki Junior
Kwa kweli yaan
Can't stop tears!! World is not fair at all, but GOD is still GOD forever
Mtoto yupo vizuri hongera ndio uzuri wa kushirikisha watoto anajiamini sana na anaweza akawa kibonde muda si murefu
Pole sana
Mtegemee Mungu junior yeye ni baba wa yatima. Mungu awatete na kuwafanikisha ktk mipango yenu
Huyu kijana ana busara sana mashaAllah
Huyu dogo ana k2 chakitofauti ndani yake😭 imshaallah Walee wadogo zako salama pole sana imeniuma mno
Nimejikuta nalia Tu, very smart boy junior. Mungu akuongoze vyema uleee wadogo zako son.
Na mm jmn dahaaa
Nimejikuta tu na lia 😭 pole Allah yupamoja nanyi anawaona kwa jicho la yatima mungu akupe busara iyo iyo walale pema wazee wko amen
Ammyn in shaa Allah
Rip... Kibonde Jahazin tumekumis mzee.. Wa mastory ya Town.. Pole Sana chaliangu maisha lazima yaendelee japo sijuh maumiv ulo nayo ilanpole saana
Mungu ni baba wa yatima mi naamini Mungu atakuwa nanyi kwakila jambo
Zakira Zakira poleni
Namshukuru Mungu kwa kuwalinda watoto hawa.Nawaombea furaha na Amani na moyo mkuu siyo jambo jepesi hata kidogo .Amen
Amin
Huyu mtoto anaakili kuliko kawaida ndo maana Mungu akutanguliza uwe first born....ana moyo mkuu sana
"Hata kama kuna magumu amamazuri unayapitia sasa, usiyasusie maisha kwa sababu kuna watu pembeni yako ama mbali nawe wanaosogea mbele kwa sababu ya uwepo wako!"
Ya are brave, Jr.
Pole sanaaa Dogo,Aisee Mungu awatunze (Kichwa kizuri sanaaa dogo)
Poleni sana mungu Azidi kuwatia nguvu Amina
Poleni wanangu najikuta Malia😭😭 mungu zaidi kuwatia nguvu na wadogo zako
Nimefiwa na baba angu juz tu ndo nimeonja uchungu wa kufiwa usikie tu kwa mwenzako😥😥😥
Mungu akupe Faraja
Pole mpendwa
Pole sana
Pole wajina wangu
Agatha Nyondo kwa kwel kufiwa sikia tu kwa kwel mm nina miez sita na mtoto najua maumiv ya kufiwa
Allah awape subra na uvumilivu uwalee wadogo xako
POLE SANA BRO...MAY GOD BE WITH YOU IN EVERY WAY. JUST KEEP BELIEVING IN HIM.
yaani mimi nimekuwa tofauti sana. asante Junior. na mimi namuombea Junior wangu. hakika umekuwa. na ulikuwa unamsikiliza sana baba ako.. unabusara na hekima. umkumbuke Mungu katika kila hatua. yaani naamini wazazi wako wanajivunia wewe walipo na wanaamani. Mungu akubariki akuongoze akulinde wewe na ndugu zako.
pole sana junior mungu akupe nguvu yaku walea wadogo zako.
Jikaze kaka angu Allah akupe nguvu mungu azilaze roho zao mahala peponi inshallah
Kijana anajielewa nani kijana mwenye busara anazungmza vizur anahekima nimdogo kiumri lakin kiakili na kimawazo yupo vizur mungu awazidishie neema baraka na upendo mzidi kupendana.pumziken kwa a man watanzania wenzetu Mr /Mrs kibonde.
Mungu azidi kuwalinda na awape Afya njema wewe na wadogo zako Amina
Kama umetoa machozi kama Mimi gonga like
Mungu ni mwema inauma lakini mtakaa sawa vry painfull..mm nilifiwa na wazazi mapema mno na tuliachwa 6 lakini leo wote tupo ok na tuliangaika mnoo sana lakini Mungu anasimamaa
Mashallah mwenyezi mungu akuzidishie maarifa akili upendo uweze kuwalea wadogo zako mwanga wa milele uwaangazie kaka kibonde na mkewake ameen
Kwa watoto wa kizazi hiki kupokea maagizo ya mzazi, kuyatafakari, kujaribu kuyafata na kufanyia kazi! Ni ngumu sana maana watoto wetu walio wengi ujuaji umewazidi.
Nionacho mimi Junior ni mtulivu, sio mjuaji, amapokea maagizo na kuyachambua na kujaribu kutekeleza anachoona kinafaa. Hii ni bahati kubwa kwako. Mungu azidi kukupa ufahamu.
Pia mshukuru sana baba yako kwa kukushirikisha na kuwa muwazi kwenye shughuli zake. Maana wazazi wengi tumekuwa na usiri wa kazi zetu kwa watoto pia kuona watoto bado hawajakuwa, ili si sahihi. Tujifunze kuwashirikisha miradi ya familia ili kuwajengea kujiamini na kupata uzoefu.
Mungu azidi kukutunza pamoja na wadogo zako. Amina.
Am 24 but am imagine jinsi nitawalea watoto wangu wawe strong na wenye busara km hizi
He’s very matured
Pole sana.Mungu akupe ujasiri siku zote na akujali afya ya akili , mwili na roho.
Pole sana hakika umekuwa na Mungu azidi kukukuza uwasaidie zaidi wadogo zako mipango ya Mungu japo inauma sana kuondokewa na wazazi wrote. Mungu akupe nguvu
You're really strong 💪
Mungu awakuze vizur watoto wazuri, watanzania tunawapenda sana
Mtegemeee mungu atakusimamieni
Pole sana
Asante mtangazaji, vitu kama hivi ndio inafaa mutulete sio kila siku Tanasha amevaa nn, Wema amekonda
😂😂
😁😁tumewachoka sio.
Kweli kabisa mara Nabii tito mara Amber Ruty ili mradi kero tu!
@@lilyrose4066 Hahaha
@@rehemasalim513 Yaani wanaboa hatari!
Mashaalah, very impressive personality and a brave young man, wallahi Kibonde kazaa na kajua kulea. mungu akubarik mwanangu, azidi kukupa nguvu na uwezo wakujijenga na kulea wadogo wako. you are one of the brilliant and smartest young man ive ever heard of.
God is father to the fatherless an immediate help in times of trouble.
Pole sana mdogo wangu Inshaallah Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi ww na wadogo zako.
Mungu yupo na atakujalia neema,baraka na ujasiri dogo songa mbele maisha yaendelee
Mungu awalinde na kuwatunza watoto wazuri wapendwao na Mungu. Mungu ndio kila kitu kwenu.
Rest in paradise Kibonde aisee inauma Sana 😭😭
Jamen huyu kibonde ananiuma hadi kesho😭😭
..hili lishetani nalo bila lenyew tusingukua tunakufa wala kuzeeka,,lipumbavu likatudanganya tukala tunda😭😦la sivyo tungeishi milele daima,
Ulikula tunda wapi huko
@@belamicheal3353 muulize shetwani.
@@belamicheal3353 kule busatani ya edeni 😂
Ipo siku kifo hakitakuwepo tutaishi kwa furaha na amani nataman saaana hiyo cku
Kwani shetani alijiumba? Angalia usije kufulu!
Pole Sana
Pole Sana kk
Mungu akujaze ujasiri zaidi boy
Mungu azidi kukupa hekima na busara zaidi mwanangu.
Daaaah umenifanya kulia upya asee,Mungu akusimamie ktk Kila Jambo mdogo anguu
Amina bro...Mungu yu pamoja nanyi
Rais ajaye huyu kwa Uwezo wa Mungu
Allah uwasamehe kibonde n mkewe mazambi yao yarrabi, nilikuw napenda cn kucikiliz jahazi kwa ssb y vituko vya kibonde, yn ikifik tu muda wa jahaz nawasha radio, jmn allah amrehem kubonde, yn alikuw mcheshi mpk bc.
pole sana
May God give you direction and strength, parents should always prepare their kids to be responsible, teach them how to live, and things to do and those they should not do, in case of anything, God bless your family
Mungu azidi kukutia nguvu kijana upo vizuri sana
A very wise young Man
Mungu akipe nguvu
Jamani mtoto wa mwaka 1998, lakini anamwaga madini balaaa!
Mungu azidi kukupa ujasiri na usitetereke na lolote ili uweze kuwatunza wadogo zako. Mbarikiwe sana🙏
daaah pole sana mdogo wangu mimi naweza kusema kuwa kibonde aliye baki sasa ni wewe maana kuongea mpaka sura ni baba ako kabsa ila pole sana dogo
May God bless him and his family
Pole sana kabisa uruma kabisa.
Mungu atakupa nguvu uwalee ndugu zako na unawezo uko brave junior Mungu hamtupi mja wake
I just thank &salute your late parents.they left you their legacy & l believe you have to start from where they left though its not easy but PRAYER Jr will be the answer to all mountains &dark clouds. Boy keep it up
Congratulations young boy,,,GOD bless you be strong
sorry my brother....
Mwenyezi Mungu akupe nguvu na akusimamie junior na akupe moyo huo huo na ujasiri uwalee wadogo zako Amiin
Waheshimu Bibi na Babu watawafikisheni mahala pazuri,mungu atawatunza.
pole sana Mungu akufanyie wepesi
Kibonde na mkewe walifanya kazi nzuri kuwalea watoto, kijana anahekima sana pole sana Jonior na wadogo zako Mungu ataendelea kuwatetea na atawafanikisha
Mungu akuongoze ndugu yangu.
Pole Sana Mungu awatie nguvu
Pole mwanangu pole sana mungu atasimama nawewe Walee wadogo zako mwanangu
May God give you strength uwalee wadogo zako vizur
Nimejikuta nalia tena duuh pole mdogo wangu jikaze ww mtoto wakiume
Usilie! 🙂 Angalia Movie Kali zilizotafsiriwa kwa lugha ya kiswahili.
Dada siwema siyo wewe tu mm sipedi hata kutizama maana inahuzunisha sanatena
@@Filamuu Aaaah!
Baba na Mama angu huko mliko pumzikeni kwa Amani.
@@janethnzali5746 pole sana
Pole sana...God awasaidie
Mungu atawasimamia pole sana
Mungu ni mkuu atawasimamia
Allah awape subra sana polen kwa mengi waliyo wakuta
Asikuambie mtu wazazi ni wazazi tu lkn hata ukimtazama anailazimisha sn furaha huyu mtt. Mungu awalinde sn yatima huyu kaachwa maisha bora na anakosa furaha je wale walioachwa bila chochote
Mungu awape faraja mayatima wote, Amiin
Umenena ndugu
Hata usoni kapungua pole sana kijana Mungu akupe ujasili zaidi na malezi ya wazazi yalikuwa bora na kimjenga kuwa jasili
Uzuni jmn namkumbuka kibonde Mungu amtie kijana ujasirii zaidii
Mungu awatie nguvu na awape tumaini jipya ndani ya mioyo yenu
Uyu dgo km akutakuja kutokea wapigaji kwny familia yao walai atakuja kusimama km mzee wake nawala ato yumba maake naona confidence alio nayo sio yakitoto
Wapigaji wakat uyo ni mtu mzima kbs
Pole Sana junio, munguazidi kukutia nguvu
Huyu kweli kibonde junior, mungu akuongoze kwenye maisha yako na wadogo zako, azidi kukupa faraja
Pole sana Mola A kupe wepes kuwalea wadogo zako
Mungu ni baba wa yatima mkimtanguliza katika mambo yenu mtafanikiwa maana hakuna lisilowezekana kwa Mungu.amina
Upo vizuti mdogo wangu, MUNGU BABA aliyekuumba umfanye awe wa kwanza kwenye kila kitu wewe na wadogo zako ishi maisha ya kumpendeza MUNGU BABA, UWE NA HOFU YA KUMCHA YEYE, MAKUNDI MABAYA IPUKA NAYO, UTAVUKA TU!!
Daah aise Mungu akutie nguvu uwalee wadogo zako inauma sana Moyo unaniuma kupita maelezo Jikaze mungu yupo
Merry Eduward mungu atampa nguvu maskin badomdogo
Huyu Kijana Mungu amtangulie, anaukomavu
Pole Sana inauma Sana jaman
Very smart talented
mungu azidi kuwatetea sana,Amen.
Mungu yuko pamoja n nyinyi atawapa subra n nguvu za kuwalea wadogo zako
Maskin Junior amekonda! Mungu akutie nguvu,subira na ujasiri
May GOD bless you and your family.
Daah..aiseeee'poleni sana.. Mwenyezi Mungu awatunze..naelewa kiatu chako
Mungu akutangulie sana na wadogo zako
Pole
Pole sana junior
pole sana
Mungu atafanya mdogo wangu usiogope songa mbele
Amen@Tusajigwe Mathias
Pole sana yupo Baba wa Yatima atakusaidia atakutia nguvu na utazidi kusonga mbere
pole sana mdogo wangu