GARDNER: KIBONDE ALIUGUA GHAFLA, ALIDAI TUMBO, TULIKOSA DAWA / ALIMKUMBUKA MKE WAKE!
Вставка
- Опубліковано 18 вер 2024
- Mtangazaji Gardner G. Habash, rafiki wa karibu na mfanyakazi mwenza wa marehemu #Kibonde amezungumza nasi kuugua hadi kufariki kwa Ephraim Kibonde alfajiri ya leo.
Daaah Gardner unaonekana umelia sn kaka!!
Pole sn
Pole sana gadna G abash pole na familia pia,mwenyezi mungu ndiye mtoaji kumlaumu atuwezi pumzika Kwa amani Ephraim kibonde😭😭🙏🙏
Inah lillah raijuin poleni Sana Ni msiba wetu wote mungu atupe subra Amen.
Na ampumzishe salama peponi Amen
pole bro.Gadner kwa kupoteza swahiba wako .Mungu kampenda zaidi
Polen wafiwa wote jaman clouds mmetoka kumzika boss wenu leo mfanya kz mwenzenu daa 😥 ata machungu hayajaisha polen wafiwa wote
Simanzi is deadly. Maybe he didn't eat for a while which triggered his gastric issue further. But kusema hakuna dawa,the government should have some chemist working 24/7.
Poleni sana. It shall be well.
poleni sana kazi ya Allah aina makosa
hayo maswali "alikuwa ni mtu Wa aina gani " ,muwe mnauliza Kabla MTU hajafa ili naye ajue , unafiki na umama mwing sana waandish
Pole nying kwako Bro @ George bantu Mungu akutie nguvu kwa kuondokewa na swahiba wako
Polen sana clouds na ndugu na jamaa wa kaka yetu kibonde, na upumzike kwa aman
Kweli inauma sana pollen sana
Pole sana
Pole da umelia jmn alikuwa Rafiki yako wa kweli kabisa utapooza Sana gadinner da
Dah ww mungu ndo unajua watoto hawa wataishi vp maana ww ni baba wa yatima. poleni sana familia kwa ujumla. pumzika kwa amani kaka kibonde
poleni sana kaka
Poleni mungu awape nguvu
Pole sana kaka mungu awatie nguvu
Pole WATZ.
Poleni saaaaaaana ndugu, jamaaa na marafiki.
Inauma sana jaman poleni sana familia na wana CMG.
Pole sana kaka
Pole mingi pia kwako@Gadna
Gardner pole sana kwa kumpoteza FM kabadigidajabadiggggidaaaaaa tutamkumbuka
Polen sana wafiwa , nasi tumeguswa maana imekua pigo kubwa kweli
poleni sana familia ya marehemu na clouds kwa ujumla rest in peace kibonde 👫👪😫😭😱😰
Daaaa kama aligoma kuondoka mwanza huo muda naona alishaisi kitu flan ase inaumaaa
Daa r.i.p kibonde
kwa hakika nimeumia
Poleni sana rip baba kibs
cc tulimpenda ila mungu amempenda zaid
Dahh yani kama Rafiki yake Ruge ameenda nje ya Dar na Miguu yake anarudishwa ndani ya Dar akiwa ndanj ya Ndege Maiti... so sad wallah😢😢😢💔💔💔
Polen xana kwa familia ya marehem na clouds lkn tunaomba serikali liangalie hili swala la dawa mahospitalin haswa mikoan kiukwel dawa n shida xana asilimia kubwa wafarki kwa kkoxa dawa
Life is Nothing!!!
HAYA YOTE MAISHA UIIIII🙆🏾♀️🙆🏿♂️
Kindly take care of is young kids
Rip ndg yetu kibonde
Rip kbonde
Kwahiyo kumbe angepata hizo dawa bas asingekufa ee Mungu tusaidie,Tanzania hii dawa muhimu hakuna
Alipata mshtuko maskini
jamani hospl hizi
Alikua anaumwa tumbo nanini nanini ndo nini sasa yani hata ww akili yako kuna mtu anaumwa nananini hv hawa wabongo vp yani mtu kafa gafla namna hio alafu unasema alikua anaumwa tumbo nanini nanini km hujui sema hujui yani watu wanachezea kifo cha mtu alafu apo apo anasema amehuzunika
Alo watu wanafiki apa tz ni atari au ni anti book,, kwa sababu mtu uwezi kujib tumbo nanini nanini ndo nini sasa ndo ugonjwa gn??
MTU PEKEE WA KUCHUKUA NAFASI YA JAHAZI NI KABWANGA . R.I.P KIBONDE
R.I.P Ephraim kibonde nimeguswa
Gadna pole manake jahazi sasa limeyumba
Mi nilijua kafa kwenye ile ajali daaa
Kwahiyo hakupata matibabu bukoba? Au nimesikia vibaya