Mwinyi Juma amjibu Hamad Masoud asema anawadhalilisha wasomi
Вставка
- Опубліковано 24 лип 2022
- Baada ya Katibu Mkuu wa CUF Hamad Masoud kusema kuwa kazuiwa kuingia kwenye kaburi la Maalim Seif na pia kusema kuwa kavuna wananchama wengi wa ACT Wazalendo, Mwinyi Juma aibuka na kujibu hoja. Tazama video umsikie.
Mazali Ulafi umewajaa Zanzibar haipatkan ngo
Hata tarehe huijui maskini
Nyie wote washirikina wana siasa na viongozi wenu hao CCM na ACT CUF nyie wote wezi porojo tu njaa kali
Mwinyi Hana kwere kwa kujirikodi migombani
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Atafuta ao nyoka na vinyonga 🤣
Sawaaa tumekuelewa
Aachwe Hamad wetu jman mwanzo mzur cuf lzm irud
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌️
Hamadi massoud Kesha kabisa.
Huyu hamad masoud hana tofauti na manara
Sasa ilikuaje ukamsaliti? Kamuombee dua baba yako kwanza. Maalim huna imani nae muongo mkubwa.
Na nyie hamna kazi? Mnapoteza muda wenu kwa kumjibu mtu anaecheza na kivuli chake?
Hamadi masudi siasa kaifanya dili ya kupatia kipato. Sio anaelekea kubaya bali tayari keshaelekea tena kaoza.
Nyie wote washezi porojo tu na mukipata nafasi ndio yale yale njaa kali Tu na ujanja wa maneno kama kumdoweya mwanamke ukimpata Tu kumvua nguo basi huna haja nae tena ndio kama nyie.
Siku zote nikiona clips zako nilikuwa nakuona wa maana sana kwa hoja zako nzuri pamoja na kuwa tumetofautiana vyama.
Lakini kwenye hili leo umenishangaza sana.
Ukizungumzia kitu sema kweli tu usiseme uongo ili kuwafurahisha watu. Na kama hujui uliza kwa wanaojua kwanza utafaidika.
Kwani kama hujui kuna tatizo gani kukaa kimya kuliko kusema uwongo?
Kwa kweli leo Mwinyi umenivunja moyo sana na unanifanya sasa niyatilie mashaka uliyoyasema katika clips zako zote zilizopiita
Usiseme uongo kuzua eti katumwa mchanga wa maalim acheni o
Mtihani kwa kweli
Wewe ulokuwa mkweli toka useme hayo kama alivyotoka yeye na wewe pia acha uwongo
@@w4058 😄 Khatari
Twambie huo ukweli ni upi? Au hamadi ana mapenzi gani na Maalim seif? Ndugu zangu wa cuf msiwe wajinga hamadi masudi anaendeleza yalomshinda Lipumba na keshakula fedha za ccm. Hana jipya hata moja zaidi ya tamas zake binafsi za cheo baaas. Rudini huko act mkaungane na wenzenu mpapatue nchi yenu. Mie nakula bata huku Ulayaa.
Hao walochukua kadi wako wapi?
Na nyie hamna kazi? Mnapoteza muda wenu kwa kumjibu mtu anaecheza na kivuli chake?
Hamadi masudi siasa kaifanya dili ya kupatia kipato. Sio anaelekea kubaya bali tayari keshaelekea tena kaoza.