Nasema mwanangu tafuta mishe hapa mjini mishe kibao tu lakin sio kwa huu usenge wa kuwagombanisha dada za watu oya bab hata mungu hapend kabisa na nahisi huna maisha marefu na hiyo kazi
Ndo maana kina SUD wanaficha sura Kwasababu za kiusalama haya mambo sisi watazamaji tunaenjoy na kuona kama refreshment lakini wapo wanaoguswa kitofauti kwahiyo chuki na bifu inajengwa
Sasa kumshika shika mashavu huyu mtoto na kumuwekea mkono begani ndo nini Sasa? Ndomana mnapigwa ivyo. Mwenzio kiredio anaugulia huko😂. Kuweni Makini na kazi yenu boss. Kumbuka hao mnaowa challenge pia Wana watu wao. Punguzeni uromantic kwa Mademu zawatu mzee
shoga wa salma ni kufa na kuzikana
Ila Mr uk mi nakwambia mbingu huioni 😂😂😂😂
Huy rafik ake salma nmempenda
Daaaah huy Dada ana roho ya chui etty rafiki au mnafiki
Yaan urafiki kwa wadada ni changamoto ❤😂😂😂😂
Daah mapenzi mmmh mtihani sna ila bola amejua ukweli
Mr uky hufike huku nilipo yani napenda sana kipindi chako huko vizuri sana mm nipo moza
Nasema mwanangu tafuta mishe hapa mjini mishe kibao tu lakin sio kwa huu usenge wa kuwagombanisha dada za watu oya bab hata mungu hapend kabisa na nahisi huna maisha marefu na hiyo kazi
Acha usinge
Jamani mtihani😢😢😢 huu ndio maana sipendagi marafiki
Na ijua hiyo...😅😅😅ndio maaana sina hamu na mashoga loogh😅😅😅
Mi ndo maan sina rafiki rafiki angu ndg zangu bas imeisha
Mmmmh!! Kweli
I don't know well kiswahili but Jack Ana usela 😂😂😂😂
Mr Uky umemganda Jack
Jack weeeeee pole sana
Shoga angu mama angu hawa mbwaaa nyokooo
Uyo rafiki mwengine mbona kama alikua anachat na mtu kabla rafiki yake hajapigiwa simu basi ni wazi kampanga kabla hawajapiga
Inawezekana huyo dada kweli ni changamoto..maana rafiki ndio anakujua vizuri
Daah mwanang umewagombanisha wenzio af unasema hio imeisha
😂😂😂😂
Alooh Dada kajichoma alaf na jack kashuhudia
Dah🙆🏼♀️
Ila we mkaka😂😂😂 haya bhan
Wanawake banaaa
Tena na pole juuuu😂😅😅😅😊😊
Ila wadada😂😂
Duh! Kiredio sio pw hyo
Ndomana cpnd mrfk wakike😂
Salma mzuri MA SHA ALLAH.
Marafiki ni nyoka 😢
Hii ni mbaya mno kiredio japo ni Challenge ila huku ni kubaya sana mahusiano yana vitu vingi
Badilishen hiz mambo zitawacost bor kiredio leo kapigwa nawatu asio wajuwa hatujajuwa kesho Allah awasimamie
Ndo maana kina SUD wanaficha sura Kwasababu za kiusalama haya mambo sisi watazamaji tunaenjoy na kuona kama refreshment lakini wapo wanaoguswa kitofauti kwahiyo chuki na bifu inajengwa
😂😂😂😂😂jaman atareee
Sasa kumshika shika mashavu huyu mtoto na kumuwekea mkono begani ndo nini Sasa? Ndomana mnapigwa ivyo. Mwenzio kiredio anaugulia huko😂. Kuweni Makini na kazi yenu boss. Kumbuka hao mnaowa challenge pia Wana watu wao. Punguzeni uromantic kwa Mademu zawatu mzee
I don't know Swahili but Salma ako na rafiki wa kweli😅😅😅😅
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wakina hawa n wanafki sana 😂😂😂
Hahahhaa kajimaliza kinyama hahah😂
Udugu kz ushoga heka heka😂😂
Ndio maana sitaki marafiki 😅😅😅😅
Shoga wa salma ndo rafik huy
Dah huu uchonganishi😂😂
Loooh huyo mdada jamani
Mwalifiko ndio nn pumbavu
Mungu wangu
Hawa hawa hawa😅
Daaa😂😂
Bora nisiwe na rafiki
Apana sio kwamba wote wapo hivyo
Mwalafiki 😂
Uky mbona umemkumbatia saana Jacky. Unanitia wac wac.
Urafik wa kinafk😢😢😢
ivi izi mambo ni zakwel au ni kuigiza tu😂😂😂
Huu n ukwel
Salma alishampang rafk ake ktmbo apo kwny txt
Apana huyo kaka hapo ujaona kasoma mesj zake😅
Ila huyo shoga ake jaman cjui aanqmwonea wivu kibonge wa watu
huyo dada ni mnafki rfk wa jack
Kwann mm jmn😂😂😂😂😂
1:31 yani marafiki hapana
Sijajua kama ni kweli ila inaonekana direct hii ni imepangwa. They don’t know how to act
Nope is really..not scripted 😢
rafiki yako ana rafiki yake 😂😂😂😂😂
Rafiki ako ndie adui yakoo
Rafiki gani huyu😢
Huo ni ugombanishi ipo siku kazi hii utaacha au utapunguza kugombanisha watu
Cy poh mnavy fny. Yn kugombansha watu 😕
Ila aanawake
Zambiiii😂😂😂
Mm sinashoga wakike na haitatokea
Km salma kachat na rafk ake mbn kamwambia
Atamwambia
Ila nyiee nyiee nyiee
Nlicho gundua nikwamba huyu chibonge kweli Miyeyusho mieyusho huyuuu
Jamani jamani jamani wee dadawe 😢😢mi mwenyewe nko APA nasikia jamani 😢😢😢
Kiukweli natamani hii kitu namie siku moja
😢me na rafiki yangu anaitwa salma kufa kuzikana
Hataingia pasipoinglika2
Tabia chafu unawaachia msala mwenzio
Mchongo uyo Salma kaupanga
Salma amempanga rafiki take
Unagombanisha watu kaka tambua hao hawatokaa tena kua marafiki. Uwe unabuni masuala mengine au hayo ya men zao pia poa ila hayo umezingua
marafiki wengine jaman
Ila wanawake
Rafik mbya
Sasa huko nikoseshana aman ungekuwa unayamaliza kabisa kabla ya wenyewe kukutana utaleta shida siku moja.
😢uyoo salmaa ameahampangaa uyoo dad ten anavyoongea kwa hasira Kama hatakii😊
Bro hapa umegombanisha 😢😢😢
Ila ndovizuri kajua aina yamarafiki alio nao
Weee mshikaji Kwan lazma uwawekee mikono madem ? Yaan umewaganda utazan ww ndo mshkaj wake
Naiomba serikali y tz ifungie vpind vya hovyo kama iv wanagombanisha watu alaf wanasepa wao wanapga hela fuck up..😮😮
Salma kampanga rafk ake
Ila kama Salma kashatuma sms kwa rafiki kwa kumshtua kama hujagundua Mr UK
Hizi challenge zinafanya nione wanachuo wanapesa sana😂😅😅..kila anaempata anasalio😂😂
😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jmn jmn Jack n kweli?😂
Yatakukuta ya Kiredio jiadhali
Jack mwenywe sasa
😂😂😂😂😂😂
Mbona wamevaa kofia zinafanana na mr uk?😄
Wewe utafanya watu washindane
Mh huyo salma nahis anachati na huyo rafiki yake Jack huyo
Acheni na maisha yawatu unatenganisha marafiki Mungu hapendi iyo tabia
Sasa rafiki mnafiki wann jmni
Hahaha😂😂😂😂😂
Nyoro
hiiii challange sijaipends aiseee italeta mpasuko kwa marafiki
Ila amemjua yuko na rafiki gan
Salma wa kwel eti
Aiseeee😅😢
This is too much
Alafu unajitoa
Mmmmmh
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂