@@annndunda3953 labda dem mwenyewe ako sawa umesikia amesema boss wake Ni mzuri mama akikuja na huku saudia weeeuh wanachonyonga watu but ukipata boss anakupenda kula kitu iko nayo shukuru dressing ni ww mwenyewe
Nimeamini sisi watanzania ni wanafiki sana jmn kwanza amjui anaishi vp akuna ambae kashawai kwenda kwa nandy ebu tuache kushabikia mambo tusiyo yajua bhn jmn yan sisi wabongo ni sawa na bendela fata upepo ukivumia uku tupo ukirudi uku tupo ndo maana tunakufa masikini
Iv watu kwann mnapenda kufatilia maisha ya watu na wakat wewe unaesema nandy anaroho mbay je wewe unaroho ya aina gani kikubwa ni kuombeana tu hii dunia ya Sasa usimhukum mtu usije hukumiwa
Yaani TZ msichana wa kazi kukijuwa kingereza jambo la kuingelewa kiasi hiki...ilihali huku kenya that is every requirement for any house help who has to deal with kids...😂❤
@@Pili-n3lhapo ndo ulipo haribu kwann useme wa zenji huo ndo ubaguzi tunao usema mbona hata bara kuna watu wenye roho kama hiyo au kwa sababu zuchu katoa mbele ya public acheni ushamba, kutoa au roho nzur ni moyo wa mtu ila siyo utaifa au mkoa fulani ni moyo, hata mimi nimependa alicho fanya zuuu ila ungemkosoa nandy kivyake👌👌👌😏😏😏😏😏
Hujaulizwa kujua kii ngereza umeulizwa kuwa hamumtunzi k wahiyo ni vitu viwili tofauti jibu swali kwanini hamumtun zi Dada wa kazi huja ulizwa kuwa anajua kiingereza au hajui jibu swali mbona ha mumtunzi bint wa kazi
Wadada wakazi nimeishi nao wengi lakini unakuta wazazi wanachukua mshahara wote ,na wengine wakisha pendeza wananiona kama bosi .bora apewe mshara wake tu basi nihatari
Unaroho mbaya, cku ya birthday party ya mwanao ulipendeza sana ila dada wa watu ulimvalisha maronyaronya,na wakt kutwa nzima unazurura na yeye ndio anamzingatia mtt,so my dear tunakupenda sana ila acha ROHO MBAYA kwa herufi kubwa.
Ukweli usemwe alivaa kama kadama wa saudii😂😂😂 na nandy mwenyewe kavaa vizuri minywele kama chizi yeye haezi kukuongea vibaya juu wewe niboss wake so kunakitu anajaribu kukuheshimu😏
Issue iliyokuwa inajadiliwa sio kingereza ni muonekano wa mavazi mabaya aliyovaa kwenye party ule mtisheti mweusi wa Daaah hapana kwakweli. Sijapentraaa
Kubali2 kimekuramba ukweli mchungu ila kidonge chako ushapewa😂😂utameza, utatema, habari ndy hiyo na hope utajirekebisha alfu kuzumgumza kingoso sio jambo jimya kwanza kizungu chenyewe hakina royko,karafuu, iliki😂😂so acha kutusifia na kizungu chako mtunze dada wa kazi
Ukweli unauma k2 kidogo2,,kimekushusha hdh,,, dada wa kazi ilitakiwa apendeze kama naya tena ungewavisha sale🔥 ungeonekana wa maana lakini pia itakuwa fundisho na kwa wengine
Kupendeza inatakiwa uwe tayali mwenyewe kaz anayo mshahara analipwa mzuri ajataka kusuka uyo sio kila kitu mpaka nandi uyo bint anamarengo na pesa zake ajiweki kimjin
sasa unakuta Mt anasemwa mfanyakadhi akupendeza sasa kama mnauluma singeombanamba zake ilimumtumie ela iliapendeze kama mnaona anakosewa jaman embu muache makasiliko jaman sio pw
Muxenge tu mekapu ushukulu inakuxaidia huna sura shingo Nene Kama dume roho yako mbaya Kama ulivyo ww pumbafu muache zuchu wetu ndo maana umezaa mtoto mwenye komwe
Ssa jamani kigareza nikitu cha muim kweli adi unasema nilimpeleka sijuwi wapi yuwa jua kigereza ssi uku kwetu icho kigereza tunakikunywa na Chai usubui mamaa Nandi wwe ukiwa na mfanya kazi majukum ya mfanaya kazi ni yako kumbe masikini akipata matako ulia ngwata kumbe Nandi umekua kama warabu iiiih
Kujua kingereza sio ishu ishu nikwamba kwanin wewe na mwanao mpendeze alf yeye mchafu vile umeshindwa ata kumnunulia gauni yaelf 20 tu na nywele yaelf kumi tu unatia aibu mpare wew hata kama unamlipa ungemuelekeza avae vizur ata unfemsimamia
Hasa kumsomesha hiyo English course na kuwa na mwonekano mzuri vinahusianaje siku ile ya shughuri ya mwanao na yeye ndo anakuwa naye muda wote ilifaa apendeze hata ungempa ka laki tu ajifa yie maandalizi ya kigauni hata cha 25, vinywele vya 30 ilimradi avutie bado tu hukumjali course ni dada
Nandi sio wa kulaumiwa jamani kuna baadhi ya wadada wa kazi hata awe na nguo nzuri kias gani kuvaa vibaya ni alivyozoea so huenda dada wa nandi kazoea kuvaa vile
Kama Mimi wa kwangu imefika hatua namuangalia kama alivyo.....hata umnunulie Nguo ya gharama vipi Hawezi tunza......umsuke msuko wa gharama kiasi gani siku mbili ahafumua kasuka mabutu mpaka nmemkatia tamaa
So is that English nandy is bragging??. In kenya even our grandmothers , mama mboga , boda boda etc everyone can speak English. Ofcoz shes not stupid to admit tht her boss undermines her
Ata hajui aseme nn 😢😢😢😢sijui kwann wafanyikazi tunadharaulika😢😢
Congrat nandy kudress ni yy angedress vizuri sio mdogo ..haswa angekua majuu angedress hvio imagine nakupendaaaa sanaaa much love from kenyaaa
Kulingana na vile anaongea she's not a good boss, ni wale WA kupimia MTU hewa
@@annndunda3953 labda dem mwenyewe ako sawa umesikia amesema boss wake Ni mzuri mama akikuja na huku saudia weeeuh wanachonyonga watu but ukipata boss anakupenda kula kitu iko nayo shukuru dressing ni ww mwenyewe
Mungu ampe zuchu maisha marefu maana yy ndo mwenye roho zuri
Ila kumkosesha raha kwenye Midian hawaachi zuchu ni mtu kabisaaa
❤❤❤❤
❤❤❤❤❤
As zuchu anakujaje hapooo jaman akin
Kweli zuu apewe maua yake
She can’t do it for her house keeper because house keeper she’s very beautiful than her ❤❤❤❤
Yes u are right
Nandi umekosea sana dada wakazi kujuwa kingereza siyo tatizo ilitakiwa apendeze sana kuliko wewe siku ya happy birthday ya mwanao
Ss nyinyi mkoje mnataka apendeze kupitiliza apendezaje khaaa
Kabsa
wako anapendeza kuliko wew??
@@aboudijaaboudijahapo sasa vitu vingine vya kijinga kweli yaan,kila mtu anapendeza kwa viwango vyake jmn hebu tuweni wakweli looh
@@aboudijaaboudijahilo nalo neno tena hata aibu haoni
Nandy atausitetereke mwaya achana na hao watu wanao fatilia maisha ya watu yao yamewashinda
Mwambieni huyo Nandy wenu akikosea
💯
Kingereza ndo nn watu tupo na nywele acha roho mbaya kama huwezi jifunze kwa wenzako nywele kam mfanyakazi wa uarabuni🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂watu tupo na nywele😅
Tumefanyaje wa uarabuni hapo jmn😂😂😂😂
@@Zanha582miaka miwili hujawai suka 😂😂😂 unacheza nipo Kama mwehu
Umejuaje kuwa wadada wa waarubuni hawasuki nywele 😅😅😅😅😅😅
@@rehemaomary3493 ananichosha 🤣🤣
Wasanii wetu na watu wa media kwenye kingereza bado sanaa jmn heee😂😂😂😂😂😂😂
Kiufupi boss na mfanyakazi wake wote hamjui english 😢
Umeona😂😂😂😂 wanaongea kama watoto wa pipi one alafu anasema ajui kiswaili na English niyakuangaika😅😅😅
Nandy hajui kingereza😅😅😅😅😅😅😅 Ina roho mbaya
Nimeamini sisi watanzania ni wanafiki sana jmn kwanza amjui anaishi vp akuna ambae kashawai kwenda kwa nandy ebu tuache kushabikia mambo tusiyo yajua bhn jmn yan sisi wabongo ni sawa na bendela fata upepo ukivumia uku tupo ukirudi uku tupo ndo maana tunakufa masikini
Umeongea kama watu mia
Una robo mbaya Kama binamu yangu flani hivi
Yaani watanzania sisi tunahangaika sana na maisha ya watu,kwani mavazi ndio nini,watu tunaangalia maisha sio kuvaa.
💯
Mbona kama alikuwa anateteleka 😂😂😂😂 IGENI KWA ZUCHU NENDA UKAMUULIZE ALICHO MFANYIA ANJERA, ZUCHU 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Zuchu ni mzanzibar yule wanzanzibar sio wa choyo wanaweza kutoa kitu cha thamani usifananishe na wabongo roho mbaya na choyo
@@sameraakhf5605😢😢😢
Kweli kabisaaaa mwaya
Ila kweli yule mtot alionekan ovyo😂😂😂😂
Tena ovyoovyo 😂😂😂kingeleza wote tunajua
😂😂😂😂
@@HappyFania-ry2ch😂😂😂😂😂😂
Nandy you are a beautiful soul, unaonekana una roho nzuri na ni mtu wa upendo full time. Peace girl
Hatari
Kunawatu wanaishi na wadada wa kazi ovyo mnooo, ni vile tu kwasababu si kioo cha jamii hebu acheni maisha ya wenzenu
Una maajabu unaroho mbaya😂😂😂 jmn
Nandy ni mpare na wapare ni Wachoyo Sana yan adi kula wanamaind yan
😂😂😂😂
Anii balaaa 😂🎉
Huna lolote acha kutusema wapare chizi ww
Acha uongo
Nikamzozo
Yan kashikwa Na aibu mpak kuongea Nishida duuh🤣🤣
Kwel aibu san
Bora ww umeona hilo😂😂😂😂😂😂 yn hana chakusema
@@zeynabmohamedzeynab4753 Yan kabaki kusema Kwanza hajui Kiswahili 😂🤣
@@PreciousWatson-kc2xs Yan limemshuka juso hatar
😂😂Yani Nandi ,dada wa kazi na wanahabari nyote hamjui kiingeleza
We nawe hata kuandika kiingereza huwezi unaita "kingeleza" tukueleweje?😢
Kingereza chenyewe kama Cha yule bibi nakachanganyikiwa mjukuu wangu I'm oves
😂😂😂😂 watu si mna maneno
Angalau kaongea
Hatukuelewi tatizo Muonekano wake Mavazi mpaka Nwele la3 hana Furaha kwisha tueleze kuhusu hayo tupo kwenye kikao kukujadili sijui unatuelewa!
Acha kujitetea roho mbayaaa😢😢😢
Yesuuu hicho kiingereza mweee
Hajui hata asemeje ameaibika
Iv watu kwann mnapenda kufatilia maisha ya watu na wakat wewe unaesema nandy anaroho mbay je wewe unaroho ya aina gani kikubwa ni kuombeana tu hii dunia ya Sasa usimhukum mtu usije hukumiwa
Wafanya kazi wa ndani wa uhakika wengi kuwafanya wawe smart mtihani sana....... Leo unamgharamia kesho unatamani hata hela yako ungelia chips
dad nakubali
Yaani TZ msichana wa kazi kukijuwa kingereza jambo la kuingelewa kiasi hiki...ilihali huku kenya that is every requirement for any house help who has to deal with kids...😂❤
Mbona birthday girl mwenyewe hakusuka,acheni unaa bhana ,nandy pambana mdogo wangu
Katika wasanii wote duniani mwenye roho nzuri na nitakae muombea cku zote afanikiwe ni zuchu tu
Ww ulishaskia wa zenji tuna roho mbaya
Baaaaas umefunga mchezo
Mnazo ,,hampendani wenyew kwa wenyew,, roho mbaya kurogana ,,na ndiyo maaana hamuendelei mko hapo hapo @@Pili-n3l
@@Pili-n3lhapo ndo ulipo haribu kwann useme wa zenji huo ndo ubaguzi tunao usema mbona hata bara kuna watu wenye roho kama hiyo au kwa sababu zuchu katoa mbele ya public acheni ushamba, kutoa au roho nzur ni moyo wa mtu ila siyo utaifa au mkoa fulani ni moyo, hata mimi nimependa alicho fanya zuuu ila ungemkosoa nandy kivyake👌👌👌😏😏😏😏😏
@@LisaDequte wabara wa naongoza kwa roho chafu makatili sana
Ukweli unauma sn 😅😂wanazungumzia kuusu kufaa na nyele😅😂siyo kingerez hahaaaaa rohooo mbayaa aibu
😅😅😅😅Yani kaona abu sana aisee
Sory aibu hiyo 😅😅 anasema na macho anayatoa 😅😅😅 kwa jins alivyojisikia vibaya
Mdada sauti ya unyonge duuuh!! Umempanga toka hapa😅😅😅 na yeye maskin anaogopa kukosa ka rizq kake😅😅
Tena aibu kubwa yeye anavaa mawigi ya galama alafu anaemtunzia mtoto hampi hata ya kusuka
Hamna lolote mpe hela binti apendeze kama wewe 😂😂😂😂
Hujaulizwa kujua kii ngereza umeulizwa kuwa hamumtunzi k wahiyo ni vitu viwili tofauti jibu swali kwanini hamumtun zi Dada wa kazi huja ulizwa kuwa anajua kiingereza au hajui jibu swali mbona ha mumtunzi bint wa kazi
Kwani si analipwa jamn 😢.mbona mnakuwa namakasiliko
Wadada wakazi nimeishi nao wengi lakini unakuta wazazi wanachukua mshahara wote ,na wengine wakisha pendeza wananiona kama bosi .bora apewe mshara wake tu basi nihatari
Kabisaaa
Maisha marefu kwako dada angu kipenzii❤
Watu huvaa vile wanataka sio lazima kwambia vile atavaa nandy muwacane nayeye
Kwani. Tanzania issue ya kingereza ni kubwa Sana kwenu
Unaroho mbaya, cku ya birthday party ya mwanao ulipendeza sana ila dada wa watu ulimvalisha maronyaronya,na wakt kutwa nzima unazurura na yeye ndio anamzingatia mtt,so my dear tunakupenda sana ila acha ROHO MBAYA kwa herufi kubwa.
Nandi nae yuko na maringo sana
Ukweli usemwe alivaa kama kadama wa saudii😂😂😂 na nandy mwenyewe kavaa vizuri minywele kama chizi yeye haezi kukuongea vibaya juu wewe niboss wake so kunakitu anajaribu kukuheshimu😏
Issue iliyokuwa inajadiliwa sio kingereza ni muonekano wa mavazi mabaya aliyovaa kwenye party ule mtisheti mweusi wa Daaah hapana kwakweli. Sijapentraaa
Nandi mwenyewe hajui kingereza
Umekuma bna ndoo mana amekuma ukweli
Wambea washenzi hao ndo wanasababisha wadada wetu wa kaz wawe wanakimbia kisa midomo ya majiran, umewajibu good sana
Kujua kingereza c tija bhana nandy hukufanya vyema kwa mfanyakazi wako ilibidi apendeze hata kidogo jaman
Una loho mbaya acha unafiki unalelewa Mtoto guo tuu umeshindwa kununulia achakuji safisha
Kubali2 kimekuramba ukweli mchungu ila kidonge chako ushapewa😂😂utameza, utatema, habari ndy hiyo na hope utajirekebisha alfu kuzumgumza kingoso sio jambo jimya kwanza kizungu chenyewe hakina royko,karafuu, iliki😂😂so acha kutusifia na kizungu chako mtunze dada wa kazi
Acha izo nandy inamaana unataka kutuambiwa kwamba English cous ndo imemfanya asahau kiwahili duuuh hahahahahh we. Dada usijitetee jamani
ivi mbona wewe unajua kingereza na ulikuwa uko vizuri nandy umekosea sana
Ukweli unauma k2 kidogo2,,kimekushusha hdh,,, dada wa kazi ilitakiwa apendeze kama naya tena ungewavisha sale🔥 ungeonekana wa maana lakini pia itakuwa fundisho na kwa wengine
😂😂😂😂 pole nandy tunaijua hyo
Kupendeza inatakiwa uwe tayali mwenyewe kaz anayo mshahara analipwa mzuri ajataka kusuka uyo sio kila kitu mpaka nandi uyo bint anamarengo na pesa zake ajiweki kimjin
Muwache roho mbaya maboss ww unajipenda Ila dada wakazi umemfanya kinyago ww umemsomesha ili aje kumsomesha mwanao akirudi shule mshenzi
Uyo dada Mozambiquekiani siyo mbongo wasidunganye
Kweli kaa na mtu ujue tabia yake kwani alikosa kumurembesha mufanyi kazi wake roho mbaya sana
Kumbe Nandy mshamba etii English ndio unajaribu kuonyesha Nini lugha ndio inalea mpuuzi Sana
Hivi kwani Zuchu ndio aliemsema huyo dada hata ampige dongo au Zuchu ana mfanyakazi wa kumlelea sijafahamu hapa kichwa cha habari ukaandika hivyo.
Sio kweli usemwe ili iwe nn roho mbaya haijifichi
sasa unakuta Mt anasemwa mfanyakadhi akupendeza sasa kama mnauluma singeombanamba zake ilimumtumie ela iliapendeze kama mnaona anakosewa jaman embu muache makasiliko jaman sio pw
Jamn me sion kama ni ajabu hat hivy anafundishwa maisha kukaa na watu tofauti tofauti ni kujifunza walimwengu walivy ili ajue jinsi ya kuishi nao
Nampenda zuchu ana roho nzuri, huyo house girl angekua wa zuchu angemnunulia hadi gari
You will explain until you get tired. Your nanny was shaggy in your event period
Muxenge tu mekapu ushukulu inakuxaidia huna sura shingo Nene Kama dume roho yako mbaya Kama ulivyo ww pumbafu muache zuchu wetu ndo maana umezaa mtoto mwenye komwe
Kingereza ata vijijini watu wanaongea kingereza hakimusaidii chochote tunaitaji vitu vya kumsaidia kwenye maisha yake pumbavu kabisa
Mimi nimesoma mwisho f4 ila mzungu akiongea sielewi labda aandike nisome😢 leo nandy kaongea nimemwelewa vizuriii sijui nini hii😅
Ssa jamani kigareza nikitu cha muim kweli adi unasema nilimpeleka sijuwi wapi yuwa jua kigereza ssi uku kwetu icho kigereza tunakikunywa na Chai usubui mamaa Nandi wwe ukiwa na mfanya kazi majukum ya mfanaya kazi ni yako kumbe masikini akipata matako ulia ngwata kumbe Nandi umekua kama warabu iiiih
Na t-shirt yake ya Daah ya mwez wa nne huko😢
😂😂😂
Et ya daah 😂😂itakua wanalipiza ile iphone alipewaga n billnass😂😂
unaulizwa kuhusu mavazi,unajibu anajua kingereza.Hujajibu swali
Kujua kiengereza angevaa vizuri pia sio kujua lugha tu ww ni Star lazima na yy angependeza
Nandy achana na hao Wambea, Kama dada Yuko sawa na Wewe, na anampenda mtoto, hakuna haja ya Mambo mengi. TZ wambea sn.
Roho mbaya iyo acha
Watu katika maoni haya hawajui chochote kingine cha kusema au nini roho mbaya roho mbaya roho mbaya Nyie hata mioyo yenu ikoje 🙄
Nandi si mpare huyo ivi hamuwajui wapare ee niwa binafsi balaa
Wachoyo!!!! Sisi wa Kenya huwaita hivyo
Kwel
Sio wote jamani
Kweli ni wabahiri na wachoyo
@@BarbaraPatience-qt9cc surely aki
❤❤❤❤
Kujua kingereza sio ishu ishu nikwamba kwanin wewe na mwanao mpendeze alf yeye mchafu vile umeshindwa ata kumnunulia gauni yaelf 20 tu na nywele yaelf kumi tu unatia aibu mpare wew hata kama unamlipa ungemuelekeza avae vizur ata unfemsimamia
Zuchu anaroho nzuri sana nawashangaa wabongo wanakusifia et nandy mzuri me sijaona uzuri wa nandy jaman kitu zuchu ndo namuelewa mno sio nandy
Naya his olead sleeping 😂😂😂😂😂 au mim nme skia vibaya 😅
ⁿᵃʸᵃ ⁱˢ ᵒˡᵉⁱᵈ ˢˡᵉᵖᵘᵘ😂😂😂
Ako najinsia mbili labda that's why she could he
Kujua kingereza sio ishu sisi tuko huku dubei tunalipwa milion tuna
Vaa vizuri
Mmmmhh ila bandit hiyo loo mbayA a ha mvishe huyo binti kingelezasio shidaaaaaa mmmhh wapale awapo hivyooo😜😜😜😜😜😜
Mnasikia mwaktalema lakn😂❤
kiengereza wakenya wanaongea hata waokota makopo sio issue kubwa kuongea kiengereza😂😂😂
Asaili mia 70%ya mabosi hapendi mfanya kazi apendeze anahisi atamzidi uzuri😢😢
Nandy English eeeemmhhh 😂😂
😂😂😂
Jaman madasio kingereza mada ninywere nauvaaji hunarorote unaona haibu rohombaya mim naona hatachakura anapimiwa
Ukonaroho mbaya tena umeambilika kwani kiengereza ulimfunza wew
Nand kiufupi humtunz mfanyakazi wako tena usisahau ni mlezi wa mtoto wako una haki hata umjee nyumba ila si kwa choyo icho
Anashindwa hata kujieleza
Luhga imetokea wapi tena watu wanataka kujua mbona hajamvalisha vizuri maneno mengi 😅😅😅
Jemen hivi huwezi kumtengenezea nywele yan anakaa kama mfanya kazi wa gulf jemen
Hasa kumsomesha hiyo English course na kuwa na mwonekano mzuri vinahusianaje siku ile ya shughuri ya mwanao na yeye ndo anakuwa naye muda wote ilifaa apendeze hata ungempa ka laki tu ajifa yie maandalizi ya kigauni hata cha 25, vinywele vya 30 ilimradi avutie bado tu hukumjali course ni dada
Acha hzo mnunulie dada nguo apendeze kinge is not an issues
Nandi sio wa kulaumiwa jamani kuna baadhi ya wadada wa kazi hata awe na nguo nzuri kias gani kuvaa vibaya ni alivyozoea so huenda dada wa nandi kazoea kuvaa vile
Kama Mimi wa kwangu imefika hatua namuangalia kama alivyo.....hata umnunulie Nguo ya gharama vipi Hawezi tunza......umsuke msuko wa gharama kiasi gani siku mbili ahafumua kasuka mabutu mpaka nmemkatia tamaa
Hatuna hakika kama ume msomesha wew huenda ana fanya kazi anatafuta ada ajiendelezee kigeleza nini geli kila mtu ana ogea
So is that English nandy is bragging??. In kenya even our grandmothers , mama mboga , boda boda etc everyone can speak English. Ofcoz shes not stupid to admit tht her boss undermines her
Hajajibu swali bhanaa
Waty wambea Sana nandy fanya yako nkupnda Sana awooo waty waache waongeee
😂😂😂😂😂😂😂😂 sijaelewa hii kizungu ya nandy kabisa yan..??
😂😂😂😂😂yaani urembo wote hajui kingereza?????
😂😂😂😂