SIKU MOJA KABLA YA NDOA YANGU PART 06 💞 Love Story

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 377

  • @user-jj4id8vq2d
    @user-jj4id8vq2d 23 дні тому +91

    Kama unahurumia kelvi drop your like apa❤❤❤from i am KENYA

  • @RoziPeter
    @RoziPeter 23 дні тому +52

    Ila napenda mnavyoigiza jamn sitak hata like zenu embu tuwapongeze Hawa wanavyoigiza

  • @haluarahma3071
    @haluarahma3071 23 дні тому +26

    Pole kaka kelvin na mchumba wako ni chakula Cha wote am from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tujuwane aki kwa like.

  • @puritynzilaniofficial
    @puritynzilaniofficial 23 дні тому +37

    Wakenya kusanyikeni hapa🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @JabanFranklin
    @JabanFranklin 23 дні тому +22

    Jaman team Kevin 🇺🇬🇺🇬🇺🇬 weken hapa like za donta tv

  • @JudithGeorge-mw7fe
    @JudithGeorge-mw7fe 23 дні тому +6

    Ivi huyu Vai na boss mbn wanafanana

  • @perpetuaakoth
    @perpetuaakoth 23 дні тому +16

    So painful 😢😢😢😢 but take heart my dear sister hivo ndivyo mambo yalivyo unaye mpenda naye anampenda mtu mwingine ❤ kelvin ❤️❤️❤️❤️❤️kazi nzuri sana ACHA mungu akubariki wewe pamoja na familia Yako

  • @allymwashambwa5920
    @allymwashambwa5920 23 дні тому +23

    Mimi nawakubali kinoma kwani mafunzo yenu Kwa jamii ni makubwa sana japo kasoro yenu moja ni pale mnapochelewesha kazi ila tunawasamehe ktk hilo

  • @lydiahnyamokami5058
    @lydiahnyamokami5058 23 дні тому +10

    Pole kelvin bora upite na boss maana wife mtarajiwa saahii anapepewa hewa na mzee mzeekaa.pole na ongera kwa kazi nzuri na team yko yte🎉🎉❤❤❤

  • @judithpendo9985
    @judithpendo9985 23 дні тому +82

    Km wafuatilia siku moja kabla ya ndoa like apa nawapenda saaana Wana hamamu 🇸🇦🇰🇪🥵💞💞♥️♥️

  • @user-on3fy9yo4u
    @user-on3fy9yo4u 23 дні тому +7

    Mimi kutoka Burundi.ninapenda movie zako Wewe n'a timu Yako kwasababu movi zako zinamafunzo kwa mtu yeyote Mungu awabariki muendelee kuwa n'a mafanikio katika kazi zenu 🎉🎉🎉

  • @japhethmutumwa
    @japhethmutumwa 23 дні тому +27

    Mm wa kwaza nipeni like zagu nikiwa kenya garissa county

  • @petersiengo8040
    @petersiengo8040 23 дні тому +17

    Jaman leo wa kwanza nipe like zangu kwa team ndota tv

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 23 дні тому +9

    Mutoto wa boss atakufa n'a presha ya wivu kwa Kelvin pole sana binti

  • @chunaabdullah1333
    @chunaabdullah1333 23 дні тому +16

    Mshangazi oyeee😂😂😂😂pole Tina ndio titi kwa tati watwaa pesa kwa James wapeleka kwa lachidi haya ona ss lachidi atoka na shemegie 😂😂😂

    • @SakinaHassani-xm7ti
      @SakinaHassani-xm7ti 23 дні тому +3

      Jemsi nae anatoa pesa kwa mshangaz 😂😂😂 mapenz haya mmh , hapana

    • @rukiahassan7001
      @rukiahassan7001 23 дні тому +2

      Na huyo James nae anaongwa ni nani hizo pesa ama ni 😂😂zake

    • @user-dn3sn2fk9v
      @user-dn3sn2fk9v 23 дні тому

      ​@@rukiahassan7001yan wanachanganyana ad siyo pw mshangazi ananibamba kweliii❤😂😂😂😂😂

    • @ZeitunMohamed-cc2ym
      @ZeitunMohamed-cc2ym 14 днів тому

      @@user-dn3sn2fk9v pesa zinarudi tuh kwa rashidi na kelvin

  • @user-er3cb9mb9m
    @user-er3cb9mb9m 23 дні тому +28

    Wapi like za kelivin much love from Kenya guys like back❤❤

  • @methodnkundumukiza6367
    @methodnkundumukiza6367 23 дні тому +7

    Yan huyo Maman ni noma sana🤣🤣🤣ana moto weeeeee!!

  • @nusibamohammed3995
    @nusibamohammed3995 23 дні тому +6

    Toka nianze kufuatilia donta cjawah kujutia nawapenda san❤🎉😊

  • @Dianaf774
    @Dianaf774 23 дні тому +8

    Kazi nzuri donta family najifunza sana kutoka kwenu ila nampenda sana daa tina❤❤

  • @MarryIrunde-fk1bw
    @MarryIrunde-fk1bw 23 дні тому +5

    Ivi uyo madam na mfanyakazi wake mapacha au mbon wanafanana sana

  • @joycemuenimutua4506
    @joycemuenimutua4506 23 дні тому +7

    Congratulations boss kwa kufaa sura ya kazi 😂😂😂❤tunawapenda sana 🇰🇪

  • @perpetuaakoth
    @perpetuaakoth 23 дні тому +10

    😂😂😂😂😂huku kila mtu ni WA kwanza jamani mwanifurahisha sana

    • @user-dn3sn2fk9v
      @user-dn3sn2fk9v 23 дні тому

      Nakwamby na kuomba like kama chakula 😂😂😂😂😂

  • @bahatiomar5297
    @bahatiomar5297 7 днів тому +2

    Leo nina furaha sana najua ukweli utaumbuka tu ka Rashid jipange 😅😅 nawapenda Bure team donta

  • @AzizaQueen-lr8oz
    @AzizaQueen-lr8oz 23 дні тому +7

    Jamani kazi nzuri sana ongezeni juudi wakubwa zangu nawapenda sana ❤❤ mupewe mauwa yenu🎉🎉🎉🎉

  • @user-tq7gp3ue7g
    @user-tq7gp3ue7g 23 дні тому +8

    Sijachelew san jmn nawapend nyote mnaofatilia donta tv ❤

  • @saidiabdalahshabani941
    @saidiabdalahshabani941 23 дні тому +6

    Uyo mshangaz unajua kupet pet 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ila Kevin pole kwahayo yanayokukuta😢

  • @user-pp2xh5cg1m
    @user-pp2xh5cg1m 23 дні тому +4

    James Leo nakupa maua 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 pokea watching from saudi Arabia team hammam vip

  • @DamarisDammie
    @DamarisDammie 23 дні тому +7

    Good job 👍👍 bro alafu hii movie ingeitwa tu usaliti 😢

  • @user-pp3vo8rw5j
    @user-pp3vo8rw5j 23 дні тому +5

    Me hua nasema Kelvin hua unanifunza sana kupitia hizi move zako ila tina amemfokea sana nely much love from saudi but ninatokea kenya ❤❤❤

  • @ZidoJr
    @ZidoJr 23 дні тому +7

    Huyu mtu anajua sanaa aiseee

  • @lucasmachibya6551
    @lucasmachibya6551 23 дні тому +5

    Mngeandika wiki kabla ya ndoa sio siku moja

  • @user-wk5yv4um4m
    @user-wk5yv4um4m 23 дні тому +12

    Mimi wakwanza Leo nipeni like zangu jameni❤❤❤❤❤❤❤

  • @marymaina7989
    @marymaina7989 23 дні тому +6

    Kwani hawa wanaume huwa wanataka nn jamani likes zangu wapedwa

  • @BarakaAloice
    @BarakaAloice 23 дні тому +7

    Wanaume mko kazi kwel sahi hamtucheleweshi

  • @user-wz8vt6xl2l
    @user-wz8vt6xl2l 23 дні тому +4

    Watu wa Burundi njoni hapa tumupongeze Kevin dunga link hapa

  • @BarakaAloice
    @BarakaAloice 23 дні тому +8

    Kunambi umenichekesha san 😅😅😅😅😅😅😅😅😊😊😊😊

  • @user-lz8kb9ds8k
    @user-lz8kb9ds8k 23 дні тому +2

    Mm si wa kwanza laminitis naomba likes za wana donta tv❤❤❤❤❤from 🇰🇪

  • @user-uo4gu1kk2z
    @user-uo4gu1kk2z 23 дні тому +2

    James ananichekesha eti wanawake Wana vituko wakiwapamoja anamwambia ni mrefu kama lingoti wakiachana anamwambia ni mfupi kama nyundo 😂😂😂😂😂James na huyo mapenzi wako😂😂😂

  • @user-be9zz3yg1f
    @user-be9zz3yg1f 23 дні тому +6

    Mtu jiangali kwanz dipo ufanye jambo huyo demu asituvalie kipini jman hajaprndez kabisa

  • @AnnaDaudi-ol9gd
    @AnnaDaudi-ol9gd 23 дні тому +3

    Tina Tinaa umemuua mjomba ako kisa rashidi 😂😂 umetisha mapenzi kiboko😂😂😂

  • @joynjeri1761
    @joynjeri1761 23 дні тому +3

    Am the fast. One today like at a tatu

  • @user-in4ok1se7l
    @user-in4ok1se7l 23 дні тому +9

    Kelvin ujambo naulizia yule kijana muokota makopo na yule Mschana nimewasahau njina wako wapi naomba walete tuwaone plz

  • @JanetRiziki-ut2is
    @JanetRiziki-ut2is 23 дні тому +3

    Hongera sana kwa move yenu nzuri mungu awabariki ❤❤❤❤

  • @user-ho7mo9zg6g
    @user-ho7mo9zg6g 22 дні тому +1

    Neeelllyyyy,,kwema kabisa kazini,,, hahahaha. Hongereni San Donta Family kwa kazi nzuri.

  • @LucyLucy-me5ge
    @LucyLucy-me5ge 23 дні тому +3

    Waliotamani kumwona Vicki na episode ya Leo na hatukufanikiwa tujuaane

  • @eunicekariuki1646
    @eunicekariuki1646 23 дні тому +5

    Leo nipeeni likes nimefika mapema kidogo🇸🇦🇰🇪

  • @kitambalarozaka1329
    @kitambalarozaka1329 23 дні тому +5

    Number one

  • @user-rz9uf2xx1x
    @user-rz9uf2xx1x 23 дні тому +7

    Wanaume wa siku hizi hawashukulu Rashid nikupe nn wewe 😢nguo nanunua mm kila kitu lashidi 😢😢😢😢😢😢😢😢ila wanaume kweri mwaudhi pigeni mawe 😂😂😂

  • @BelterGervas-br5mb
    @BelterGervas-br5mb 23 дні тому +2

    Ila boss yk vizur n majibu yak ya kukera👍

  • @user-rm7hn2jk5z
    @user-rm7hn2jk5z 23 дні тому +2

    Safin sana tuu hendele hivo hivo episodes 7

  • @mohdmassoud3052
    @mohdmassoud3052 23 дні тому +5

    Najiona kabisa tabia zangu na za Rashidi hatuna tofauti maan hata mm shem akikaa vibaya kumla ni kawaida yangu😂😂

  • @user-dc9he2mk7g
    @user-dc9he2mk7g 7 днів тому +1

    Wakenya in saudi arabia mko wapi nipeni likes zenyu

  • @VictoriaNzyela-ud4vv
    @VictoriaNzyela-ud4vv 23 дні тому +3

    Tina nyamaza yametukuta wengi

  • @kimoyoleteipa81
    @kimoyoleteipa81 23 дні тому +2

    Nakuru county nipeni likes zenu,moto unawaka jamani 😄

  • @user-cu9bd6pr4i
    @user-cu9bd6pr4i 23 дні тому +2

    Jamani wangap wanaona mama anavyojua kuigiza hapanaua yake 🎉🎉🎉🎉

  • @pilselman2955
    @pilselman2955 23 дні тому +4

    Kelv tunamtak loveness na nasra tuwaon umu

  • @RAMSABOYTZ
    @RAMSABOYTZ 23 дні тому +1

    dah kelvin hii muvi ni balaa sana maana navyoona ni Kali sana ila kaka ukijua Rashid anatembea mke wakonmtarajiwa sijui itakuaje haya ngoja tuo.nice job kaka

  • @milli33-wn6ns
    @milli33-wn6ns 23 дні тому +3

    Kazi nzuri sana ❤❤❤

  • @halemamoon1782
    @halemamoon1782 23 дні тому +2

    Sasa madam boss s uende tu moja kwa moja kuliko kumwimbia nyimbo ndeefu Kelvin wetu

  • @user-iu1qj8uu1t
    @user-iu1qj8uu1t 23 дні тому +4

    Jishangazi kwa kudeka sasa

  • @user-xo7ns7bc8c
    @user-xo7ns7bc8c 23 дні тому +2

    Ww boss nawe unamatatizo makubwa sana hata kama mtu unampenda kwa ukali huo na kibur atakukubali

  • @FlowinGawile
    @FlowinGawile 23 дні тому +1

    Kila unaempenda nae anae wake anampenda had raha 😂

  • @AshuraAmisi-ey4mj
    @AshuraAmisi-ey4mj 23 дні тому +4

    Nipeni liké zangu jamani sija chelewa sana

  • @MaSuzy-zf8ol
    @MaSuzy-zf8ol 23 дні тому +2

    Jamani haya mapenzi shikamo mapenzi

  • @aminah9557
    @aminah9557 23 дні тому +2

    Yaani mm namuonea sana huruma kelvin

  • @vailethkalinga6504
    @vailethkalinga6504 23 дні тому +2

    Mko vizuri sana

  • @user-ni9pm3iu8d
    @user-ni9pm3iu8d 23 дні тому +2

    Heshima kwa Kelvin ❤ twa kupenda saaana

  • @BarakaAloice
    @BarakaAloice 23 дні тому +2

    Wakwanza leo naomba like zangu

  • @user-pp2xh5cg1m
    @user-pp2xh5cg1m 23 дні тому +1

    Vai uko sawa hongera sana

  • @japhethmutumwa
    @japhethmutumwa 23 дні тому +4

    Nipeni likes zagu nikiwa garissa kenya

    • @zainabadams-cp8ll
      @zainabadams-cp8ll 23 дні тому

      Jmn boss wake kelvin sikuelewi mbona unawiv sana au unapenda kelvin maana unakuwa mkali kwa kila mtu jmn ambaye ameliona hili jambo gonga like

  • @ZIGTVCHANNEL
    @ZIGTVCHANNEL 23 дні тому +2

    Wakwanza Leo nipen like zangu

  • @sikudhanimohammad7692
    @sikudhanimohammad7692 23 дні тому +1

    Kelvin mwambie sawa naacha kazi uone kama hatakubembeleza

  • @user-vt2gi2ku3i
    @user-vt2gi2ku3i 23 дні тому +2

    🎉🎉🎉nmejalibu leo

  • @OmanJalan-xc8nx
    @OmanJalan-xc8nx 23 дні тому +1

    Nawapenda mamake lihna na kibebenteni wake😂😂😂 wanajua kucheza part

  • @Yusudav
    @Yusudav 23 дні тому +4

    JAMANI NA MM NIPO..nipeni like🤜

  • @aishalovesesibe
    @aishalovesesibe 23 дні тому +1

    Nimekuwa ni mewamiss jameni izi kazi zawarabu nazo nihatari kbs

  • @mwanasitizuma
    @mwanasitizuma 23 дні тому +2

    jamani nimewahileo nipeni like hata 5

  • @Phoebenafula
    @Phoebenafula 23 дні тому +1

    Vicky acha kumtesa kevin anakupenda ns wewe unamchezea tu

  • @silviaamakweliukweliutajul8395
    @silviaamakweliukweliutajul8395 23 дні тому +3

    Tina leo analia mapenz shikamoo

  • @user-pe8gw4ov8b
    @user-pe8gw4ov8b 11 днів тому

    Mshangaz anajua kuigiza jmn 😂😂 n kibenten wake wananifuraisha❤️❤️

  • @Emmyprinces
    @Emmyprinces 22 дні тому +1

    Wakutane kp na kelvin kwenye tamthilia moja

  • @AlineKavugho
    @AlineKavugho 22 дні тому

    Kazi hiii naomba iku bariki kama inavyo ni bariki, kazi hiyi ina muzunguko wa waume nama bibi, uki itazama kwaku kupendeza itakunza umalaya ao iukutowe katika hali ya umalaya.🙏

  • @DgbekaMkaliwao
    @DgbekaMkaliwao 11 днів тому

    Doctor Calvin inatisha my Braza God bless you

  • @user-bc9bn5fy9k
    @user-bc9bn5fy9k 23 дні тому +1

    Haya mshangazi upo

  • @user-xr6xk9lb5c
    @user-xr6xk9lb5c 23 дні тому +1

    Bwana Smith hii camera umetumia kwa hii episode siyo. Inaonekena sio clear

  • @richardelieza1001
    @richardelieza1001 18 днів тому

    😀😀😀😀😀😂😂 Bosss na Kevin kimeumana + ndoa yaaaaniiii mmmh!
    Ila tuko pamoja sako kwa bako kama tigo na bando

  • @joanitainancioestevao3987
    @joanitainancioestevao3987 23 дні тому

    Tina natamani ufikishe ujumbe tena kwa haraka sana nakupenda bure ❤️❤️

  • @monicahjoseph2528
    @monicahjoseph2528 23 дні тому +1

    Kevin hanaga baht ya mapen aki

  • @user-vc3fy9fb8p
    @user-vc3fy9fb8p 23 дні тому +1

    Toa kila siku broo

  • @user-xr6xk9lb5c
    @user-xr6xk9lb5c 23 дні тому +1

    Kenya Watching, twapenda

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg 23 дні тому +1

    Boss wa hii movie n wa moto sana,

  • @MagdalenaBajuta
    @MagdalenaBajuta 23 дні тому +1

    Boss una wivu balaa wala hata hupendwii

  • @celinendikiminwe6053
    @celinendikiminwe6053 23 дні тому +1

    ,,😂jamani story nzuli

  • @basimisemusafiri4856
    @basimisemusafiri4856 23 дні тому +1

    Tunawapeda sana Tunataka party 7

  • @okshindo8681
    @okshindo8681 21 день тому

    Tina nlikuona mtu poa umetulia sio kama Lina mwenye tamaa na udanganyifu mwingi kumbe tofauti yenu ni herifu ya kwanza ya majina yenu ila tabia ni zile zile😊😊, naenjoy sana hii series mwanzo mwisho Kenya 🇰🇪 iko locked

  • @SayimcheleSayimche-mq5wv
    @SayimcheleSayimche-mq5wv 23 дні тому +1

    Kaka naona kaz inaedelea vzr, God bless

  • @JohnjoaquimKapembe
    @JohnjoaquimKapembe 23 дні тому +1

    ❤🎉🎉Deus abençoe está familia🎉🎉🎉

  • @LucasMagukuru-hc9kr
    @LucasMagukuru-hc9kr 23 дні тому +1

    Mpak apo kila mtu ana wawailiwawil,hayaa

  • @SikuJuma
    @SikuJuma 23 дні тому +1

    Nawapenda sana

  • @user-op9ip8om6t
    @user-op9ip8om6t 23 дні тому +1

    Nimewah Leo jaman cjawah