MARIA ROZA ATELEKEZA MTOTO MCHANGA MIEZI 7 - AKUTWA AKISTAREHE kwa BWANA'KE - APIGWA VIBOKO na RAIA
Вставка
- Опубліковано 16 вер 2024
- MARIA ROZA ATELEKEZA MTOTO MCHANGA MIEZI 7 - AKUTWA AKISTAREHE kwa BWANA'KE - APIGWA VIBOKO na RAIA
💪💯JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV🔥🔥 chat.whatsapp....
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ0bE75nzavlm
Majirani hongereni sana Mungu atawalipa kwa kuwasaidia hao watoto 💖💕uyo maria roza apigwe viboko vya kutosha ili asiludie tena ujinga wake
Unajua anayoyapitia au unangangania apigwe tu 😢kua na huruma maisha yana siri kubwa depression inaweza kukufanya ukafanya chochote kile 😢
Mumefanya vizuri sana majirani, ndiyo inatakiwa hivi kila sikuu👏👏💐
Majirani wamefanya vizuri mpigeni sana
@@ladyr.hamsini2311 ila cjui ni tumechoshwa na maisha au cjui hatuna matumain ya maisha au ni iman na upendo ndo zero??? cjui kwa kwl manake wengi tunasema apigwe tu afu nn kitafata atanyooka ama!? nawaza tu
Daah 💔
Watoto wanaumia jaman wanawaza mengi mda mwingi Wana kuwa wapweke 😭
Mdada mzuri lakini kichwani Amna kitu
Huyo anaweza kuwauwa mwema
Umeonaee @@SaudaMahmoud-yf4zb
Kila mtoto ana haki ya kuwa na mzazi ila sio kila mzaz ana stahili kuwa na watoto 😢
Very true
Kwwli kuzaaa cikupata mungu anakup jitoto pumbavu kam hilo niaibu kubwa cijawah on mnyam mwwnyew akilea haachi mwanae sembes ww binadamu
Sasa siatambemenda huyo mdogo jamani
Jamani msimuachie hao watoto wapelekeni hata kituo cha kilala watoto atakuja kuwaua 😢😢😢
Wanaweza kubakwa pia na hao watu anaokotana nao kwenye pombe, hatari sana
Sasa hapo asipo agalia atapata ujauzito tena na watoto wachangaa bado hawajakua!!
🎉🎉🎉
Ndio unakuja unakuta watoto wamefanyiwa vitendo vibaya , kwa dunia hii na haya matukio sio salama kabisa jamani wazaziiii😢
😢
Msimpige jamanii hyo Dada yawezekana anaptya Magumu na Msongo wa Mawazo Msaidieni tu jamanii Ina uma sana kwakweli Wanawake tunapitya Mengi kwenye majumba 😢 Ukiona Mwanamke mwemzyo Amevuliwa nguo msitri na usishadadie et kwavile kwako kuko salama 😢Ombea sana boma yako😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Ata me naisi ivo eti lakin wao wanakazana kimchapa mwisho wa siku wa muue😢😢😢
Ndio shida ya sisi mashabiki,huyo lazima ana matatizo ya kiakili, depression au Kuna shida katika ulimwengu wa roho,anahitaji msaada,aombewe
Ushasikia alitukana wazazi wake ndio shida zaidi hio maana ujana maji ya moto
Siwezi acha wanangu hata. Kama napitia magumu kias gani
Ugumu wa maisha huku analewa yani huyu ni wakuchapa mpaka ajinyeee ss aliwazaa wanini
Duuuuuuh halafu mnasema mzazi hakosei 😢kwa staily hii aisee baadhi ya wazaz wanakosea vibaya mno
Mama Gwajima weka ndani hyo mbwa
😅😅😅😅tena Ningekuwa mmi ningembutua
Subhanna Allah huyo bwana wenyewe mtoto kbs
Na cjui kama ata ela anampa uyu dada😭😭
@@verobecamfipa8655 kuchezewa tu basi katoto kama hako kapatie wap pesa hali ilivyo kuwa ngumu hv labda kawe kibaka
Eee mwenyeezimungu natamani hata anipe hako kamalaika nikaleee Jamani 😢😢😢
Ana msongo wa mawazo asaidiwe kulea watoto
@@annaurassa9231 Huo msongo wa mawazo kwenye kulea watt ila kwenye dudu hana msongo wa mawazo😂
Nipo bukoba ila natamani anipe hao watt niwalee jmn😢😢maan huyu ni kiburi na kawa mlevi na mzinzi hakna cha stress za kuacha watt kukumbuka mwanaume yaan na bado ànamtete😏😭
Jamani!! Msimpige ongeeni nae ana msongo wa mawazo anaitaji msaada
Tena sana 😢 😢
Mongo wa mawazo?siyo bwana kijiendekeza tuu
Apigwe hasaaa
Msongo WA mawazo anapata muda WA kwenda kuikalia huko hajui watoto wakoje 😮
msongo wa mawazo ndio aache watoto pekee yao.
Mwanamke kula pombe ya kazi gan sibora utulie nawanao ayo maish ya pombe y kaz gan
Mpelekeni police hana akili timamu huyo?
Kwaiyo mtu ukiwa una akili unapelekwa mahakamani kumbe 😢😢
Aniletee mm jaman ninashd ya watoto
Malaya tu huyoo
Mama Gwajima aiguille kati 😢😢
Badala mumchangie Hela mnamchapa😂😂😂
Kung'uta kabisa huy malaya
Ugumu wa maisha anaweke mpaka nywele dawa,huyo ni mwongo bhana
Hapo hapo. Halafu wanamsikiliza nakupiga nae story. Huyu niwa kiboko mwanzo mwisho mpaka ashindwe kupumua. Watoto kapikia sasa huyo wa miezi 6 anajua kula?
Uyu dada ana stress wallah😢 hayuko sawa 😢😢😢😢jaribun kumuongelesha kiupole labda atawaelzea
Stress ndio Imfanye awafungie watoto ndani peke yao
Mtoto mchanga kumwachia Mtoto wa Nursery?ukatoka ukaenda kunywa na kuwafungia?hali hii ya watoto kuibiwa na kufanyiwa ukatili wa kila aina na ukatoka usiku?hakika kuna shida kubwa ndani yake...
Ulevi ni kama uraibu mwengine tuu ,kwakweli huu ni ujinga uliopitiliza,anafanya makosa yasiyokua na sababu za kimsingi kabisaa...Inahuzunisha sana
Yuko sawa sana mbona hasahau dudu la yuyu
Hana stress ,anamuonekano mzuri kabisa kwanini atafute wanaume wengine?wakimzalisha tena,alale huko huko,arudi tena aendelee kulala na huyo mwanaume ndani,je atakae mzaa atamlea, anaendelea kuongeza idadi ya watoto,mbona Kuna wanawake ni wapambanaji kuliko wanaume,na ni ma single mother,shida inamfanya mtu awe mchapa kazi lakini huyu mwenzetu ni uzembe
Hao watoto asiachiwe, atawauwa nakwahivi wamemuwamba fimbo, ndo atawachukia kabisa
Mjumbeee mi napigwaaaa😂😂
Atawauwa watoto wanaitaji msaada
Safi sana mfano wa kuigwa majirani😂
Mwandishi pelekeni police huyo muuwaji
Mtihani huu kwa kweli hajielewi uyo dada
Huyu dada hana akili maskini km anazo basi anamsongo wa mawazo na umempelekekea tatizo la afya ya akili.
Mtapiga muue watoto wachukuliwe atakuja kuwaua jamani uwiiiii
Sikia kua analaana ya wazazi wake ila aliwatukkana kwahiyo huyo katika maisha yake hakuja kua sawa abadani labda akawaombe mshamaha wazazi wake
Ss kwann ana beba mimba hyo mjinga km maisha magumu😢
Ndo ushangae na njia za uzazi wa mpango zipo za kutosha😢😢
Unazalia nn sas mbwa ww mshenzi kbsaa wangemchapa na mkia wa taaa au mkanda mpuuzi kbsaa huyo miaka 6 unamuachia mtt wa miezi 7 kweli bila hata huruma mpuuzi wa mwisho ww dada
Chapa kabisa mjinga kabisa,chapa iwe fundisho kwa wengine
Wako saii ira naona awajamupiga ata awajazimia
Asaiv matukio mengi hiv unaanzaje kuacha watoto jamn??? 😢
Wapelekwe ustawi watoto please hana adabu uyo dada
Ustawi wa Jamii
Kazi yao hiyo
Msimwachie wtt
Wataumizwa hao
Linapenda ngono jinga hilo mxiiiiweee
Angetandikwa vizuri
Jamani labda ana depression au uggumu wa maisha kaenda kutafuta pesa😢😢
Hongeleni sanaa majilani ivi ndivyo inatakiwa kuwa na umoja tena mkuguteni uyoo mpaka ashindwe kutembea akome umalaya tu umemjaa😢😢😢😢
Wamchape kabisaa hana akil yan mtt wa miez saba anamuacha yy anaendekeza dudu
😂😂😂mbona dudu lakin
@@Njeriii536 😂😂😂😂
Safi Sana hao ndo wanasababisha watoto kutupwa
❤❤kazi mzur sana
Miez 6 mm wangu anamiez 9 na hata kutoka sitok mbali na mtt wangu jmn unafanya umalaya mtt wa miez 6 kweli?
Tulaumuni sisi wanaume kwa kweli kuna baadhi hatuna huruma
Hao watoto hakuwazaa.
Safiiiiii majirani kwa bakola
Aliempa hao watoto yupo wapi
😂😂😂 makubwa jaman dada tulia lea watoto wako😢
Heeee M/Mungu anisamee ana wapa uzazi watu ambayo hawana shida na watoto wengine Wana taabika wanatafuta watoto lakin wanakosa yy napata bahati yauzazi ana chezea watoto jamn😢😢
yaan kama ingekua hvi kwa wote ingependeza sana hongereni sana akina mama kwasabab hatakama anaptia magumu si bora aombe usaidz, Sasa si aibu hyo jaman duuu hatar
Achapwe vxr!
Wanaume mkiwa hamuhitaji watoto msiwape mimba wadada wawezenu kutupa kichwaa ili watoto wapate chakula hapo maombi yanahitajika na msaada wa kipesa unahitajika huyo maisha yanamchanganya
Uyu maisha ndo yanamsumbua.muzesheni kimaisha asee😢😢
Mwacheni huyo mama aongee nae huyo naona ana busara anaweza akajifunza kitu wengine punguzeni hasira
Hupo sehemu gani aje anipe huyo mtoto mchanga
Saf san majiran
Ana umwa akili huyo.asiachiwe watoto
Nyie afu katoka kukurupushwa na mwanamme afu anaenda anataka kumbeba mtoto hajaoga na hajali
Ila huyu lazima anachangamoto lazima... Ila angeangalia namna ya kuwalea watt wake bado n wadogo sana jmn ukiangalia n hay matukio ya sasa ni stress tupu asaidiwe tuu kivyovyote vile 😢😢😢😢😢
Jaman jaman jaman mtoto wangu dk 5 sijamuongelesha naenda kumbusu yaañ nataman kumla akae tumbon kwangu kwel unatelekeza watoto jaman dah nyie majiran chapa viboko bora angekuwa anauza hâta Maji ya kunywa apate kula Ila pombe shenzi kabisa
Duh mtihan
Kumbe anastahili kuchapwa maana anaacha watoto,anatafuta wanaume wengine ,wakimzalisha tena ?wenzie wanapambana ili walee watoto jamani Mungu atusaidie.
Jmn wachukueni hao watoto wapelekeni kituo Cha kulelea watoto, siku atawauwa 😭😭 msaidieni tu jmn huyu hawezi kulea watoto jmn
Hiyo mtoto wa nasari achukuliwe maana hasira mama Ake atamalizia hasira hapo
Kuzaa tu kulea aaaanh
Jamani sasa huyu ni mume 😢au mtoto anaonesha bado yuko kwao ati mume😢😢kujifhalilisha😢😢
Yaani watoto kama huwezi kuwalea usizae tu sasa kijana huyo mdogo anakupotosha hadi kusahau familia yako,majirani endeleeni kuwaadhibu watu kama hao akili iwasogee,hawajui dawa za majira zilipo🤔🤔🤔🤔
Uyu mama muaji
Hiyomtoto nipeni mm nimlee jamani sisi tunashida nawatoto wao wanawafanyahivi
Huyu dada kwaharaka haraka nilivomtizama nakuskia namna anavongea imenipa picha kua kuna jambo kubwa sana kichwan kwake
Hivyo anahitaji wtu wabusara mno kukaa nae nakumchimba kwakina
Ana mambo mengi sana kichwani huyu dada
Anahitaji msaada mkubwa sana naomba na kuwashauri wa tanzania wenzangu msimpige kaeni nae mtajua mengi sana kumuhusu
Peleken polisi uwo mshenzi
Hichi kichanga kama ni chakiume nipeni Mimi jamani
Sàsa kama ní úgumú wa maisha mbóna kapeñdezà?
Atawanyonga huyo msimpatie watoto
Huko chini kwako huchoki kuchezewa umezaa juzi tu mtt miezi 7 uso kama mbwa mwitu dunia imeharibika huoni au husikii weye watt wanabakwa wanauliwa uko kwichi tu mda wote unawashwa heee
Ukishangaa ya kutekwa utashangaa ya mariya rosa😢
Chukuweni mtoto mdogo atamuuwa
Kwanini anakubali kutobwa hajui km ataxaa
Yaan anashindwa hata kufanya kazi za kufua mbona wapo wanaishi na kulea watoto Kwa kazi ndogondogo za kujituma jaman duuh dada unakosea sana hao watoto watakulaani hao wanaume watakuwa mimba uzae Tena uendelee kuwtelekeza fanya kazi Acha uvivu huo ndo unakuponza imeniuma sana jaman mtoto wa miez Saba unamuacha na mtoto wa chekechea jaman😢
Uhuni nao unachangia hivyo maombi yanahitajika
Tunawaona wanawake wanahangaika kuuza hata mbogamboga na watoto wao mgongoni ww unakwama wap mchapeni kabsa huyo ni mjinga mmoja anatuaibisha kbs
Huyu apgwe ka sababu anamuachaje mtoto wa miez saba kwa nn asiende nae huko anakoenda achapwe sana akl imkae sana mchapen sana
Anatolia wapi nguvu za ku kusutana uyo kibanteni
Watoto wachukuliwe,atawaua huyo SI mlezi,jeuri tele.atakua na kisasi na huyo wa miaka 6
Naumia sana kusikia wazazi wanawafanyia hivyo watoto, kwann mnabeba mimba lakin had nimelia, wapeleken kwenye vituo vya kulelea watoto
Isikute ana laana 😮😮
Huyu hayupo sawa kuna changamoto za kiakili anapitia iwe msongo wa kupitiliza ama alisha pataga changamoto ya afya ya akili
Au laana !!!! Anatakiwa uangalizi wa karibu sana apate ushauri wa kisaikolojia sidhan kama yeye anapenda hayo!!! She is not normal .mpelekeni taratibu mkimpeleka kihivyo atajikuta analokota makopo ama anajidhuru yeye ama watoto wake .kama wazazi wake wapo hebu wamchukie wakae nae wamsaide isikute hata hajielewi hapo.duh😢😢
Kama awez kuwaley anabeba mimba za nini mbwa uwo
Jamani maisha msaidieni
Zina huenda zina mpk motoni
Kuna wanaume walevi na wanawake walevi wote ni walevi sema kwasababu wanaume hawalei huyo mlevi. Mlevi hajali chochote zaidi ya pombe
Mbutueni tu anachanua tu k yake kwanni asiweke vipandikizi 😏😏😏
Mtaani kwetu pia yupo wa hivi tena yy anawatt watano, anawaacha hata wiki majirani tunaleatu na akija kalewa anatukana mpaka aibu. Kapigwa mpaka watu wanahisi atafia mikononi mwa wananzengo. Walikuja wa ustawi akawafukuza na panga.
@@israeluronu9958 😂😂😂wangempeleka jela
@@fathiyahmuzney7367 alipelekwa dya watoto wakagawana nyumba za kula kama kawaida na siku ya mahakamani akapandishwa kujibu shtaka la kumshambulia mwenye nyumba wake akavua nguo zote kuinesha na yy alivyopigwa😂. Nikamuona tena kaachiwa
😂😂😂😂😂
@israeluronu9958 😂🤣😂ah jamani.
Uyu dada anastasia msaada