Mbunge wa Starehe 'Jaguar' akamatwa

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 515

  • @buharimwanga284
    @buharimwanga284 5 років тому +2

    Mi ni mTz huyu mbunge muangalie akimaliza muda wake msimpe kura ataharibu uhusiano wetu wa kindugu baina ya nchi zetu,tunawakenya wengi sana tz habaguliwi mtu no matter they do we considered them as Tanzanian,tunawapenda sana.

  • @icetruth
    @icetruth 5 років тому +12

    He should resign, and continue singing, kigeugeu, leave us in peace with our neighbors, wewe jagua jagua love thy neighbor

  • @shambebro382
    @shambebro382 5 років тому +113

    Good job Matiagi👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏 may God protect Kenya from stupid empty headed Politicians....

  • @malkoashaali5430
    @malkoashaali5430 5 років тому

    YES YES KENYA IS FREE OF ALL WELLCAME TO KENYA ANYONE WHO WHATS TO CAME KENYA IS PEACE 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪☝️☝️☝️☝️✌✌✌✌

  • @ayoubchacha9090
    @ayoubchacha9090 5 років тому +3

    Sisi watanzania tunawapeda wakenya wrote, Hugo jaguar pumbavu sana

    • @sospeteranyango6274
      @sospeteranyango6274 5 років тому +1

      Ayub huu uhusiano ni wa milele na hautatikiswa na watu vigeugeu

  • @nestorycyprian4112
    @nestorycyprian4112 5 років тому +14

    He learnt only being musician but he knows nothing about international relation policy , it is nestory from tz

  • @osodeswagg651
    @osodeswagg651 5 років тому +5

    Sukuma ndani....km umekubali like.plz

  • @amiinaishmail4788
    @amiinaishmail4788 5 років тому +6

    How many Kenyans are out there working in different countries.........don't destroy our image out here ....

    • @alimonja1739
      @alimonja1739 5 років тому

      YEESS good question !! even here zanzibar we have many kenya in our hotels but we lives together like sister and brother why he say that i think he is crazy

  • @khadijahtumna2016
    @khadijahtumna2016 5 років тому +4

    The comedy In Kenya is in high level!..... Ataachiliwa tu

  • @bakariluhala7332
    @bakariluhala7332 5 років тому +102

    Mahusiano ya Tanzania na Kenya ni makubwa kuliko huyo mpuuzi mmoja tu.

  • @vivianwanini5906
    @vivianwanini5906 5 років тому +1

    Yes.. Kenya we love people, Kenya we are not like middle East ama South Africa... Kenya knows God.

  • @ezekielmwadomba4675
    @ezekielmwadomba4675 5 років тому

    WE TANZANIANS WE HAVE MANY FRIENDS FROM KENYA, WE WERE VERY SAD TO HEAR THIS GUY SAYING THAT, AND WE BEGAN TO MISS OUR GOOD FRIENDS ACORDING HIS WORDS.WE THANK THE GOVERNMENT OF KENYA FOR WHAT HAS DONE.GOS IS GOOD! NOW AGAIN WE STILL HAVE OUR GOOD NEIGHBORS OF KENYA! WE WELCOME YOU TO OUR COUTRY AGAIN.THANK YOU!! GOD BLESS KENYATA! AND THE CITIZENS OF KENYA!!!

  • @miriamotundo6479
    @miriamotundo6479 5 років тому +17

    Kwani they needed a whole police unit to arrest one person? Kenya jamani....drama nayo 😂😂😂😂😂

  • @yusuphharuna1476
    @yusuphharuna1476 5 років тому +1

    Bora mm mungu aliniachisha bangi na pombe sasa namtumikia

  • @hammerQ954
    @hammerQ954 5 років тому

    Jaguar karibu sana zanzibar uje uone tunavyoishi na wakenya ni kama tumezaliwa tumbo moja . Kuwa makini sana na ulimi wako .... wakenya karibuni zanzibar 🙌🙌🙌🙌

  • @joankioko5203
    @joankioko5203 5 років тому +1

    So many Kenyans work outside kenya what a statement is this?what if all other countries talk like him God grant wisdom to this leader's

    • @afropages2322
      @afropages2322 5 років тому

      This guys will never have wisdom. For him to even conceive the idea!!!

  • @ssamamc3465
    @ssamamc3465 5 років тому +39

    MWANASIASA KIGEUGEU! Amesahau wimbo wake haraka sana! Such a let down;

    • @johnnzayiramya9339
      @johnnzayiramya9339 5 років тому +2

      YEYE SASA AMEKUWA KIGEUGEU

    • @ssamamc3465
      @ssamamc3465 5 років тому +2

      @@johnnzayiramya9339 Alikuwa na piont lakini matamshi yake ni Xenophobic. Angefikiria sana kabla ya kuongea, aibu kubwa!

    • @justelena4517
      @justelena4517 5 років тому +1

      😂😂😂😂

    • @haweyaabdillahiadhan7621
      @haweyaabdillahiadhan7621 5 років тому +1

      Hahaha lakini mimi si kigeugeu my dear

    • @ssamamc3465
      @ssamamc3465 5 років тому

      @@haweyaabdillahiadhan7621 Lol, nimekuamini!

  • @saidahj2543
    @saidahj2543 5 років тому +1

    Welldone heshima ifanye kazi..hawajui wakenya wangapi tuko nje ya nchi struggling to make life..wanadhani kila mtu anakulia kwa golden plate kama hao...kamata wote

  • @africanchief3523
    @africanchief3523 5 років тому

    Wanasiasa vigeugeu 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @oyay2821
    @oyay2821 5 років тому +1

    Watanzania Huwa wanatubagua Lakini kauli ya Jaguar ilikuwa mbaya kiasi

  • @blizzokassim6495
    @blizzokassim6495 5 років тому

    Kenya we love u....na bora mlivyokanusha hyo kauli mana nadhani Wabongo mnatuelewa vizuri tutavuruga nchi yenu jumla jumla...Kama Alshababu tuu wanawashindwa msiitest Tz kumalamamake

  • @trendingupdatechannel7757
    @trendingupdatechannel7757 5 років тому

    Just love my country

  • @denyoshfitness4394
    @denyoshfitness4394 5 років тому

    Team Jaguar

  • @ben-kings8954
    @ben-kings8954 5 років тому +6

    The government should be tight on this...we have to consider our kenyans in foreign countries

    • @SA-xj8hc
      @SA-xj8hc 5 років тому +1

      Benjamin Nyangena come to Zanzibar to see the influx of Kenyans who sell their bodies to “Muzungu”

    • @kosalbai
      @kosalbai 5 років тому +1

      Suleiman Abdallah umalaya sio geni duniani. It’s the oldest profession. Are there no Tanzanian or Zanzibari whores?

    • @jj7520
      @jj7520 5 років тому

      @@SA-xj8hc Yani una andika matako/akuna Manufaktur inkine kwenu?weka eshima kidogo man!

    • @user-nw8lm1qb8u
      @user-nw8lm1qb8u 5 років тому

      @@SA-xj8hc umetumaliza waaaaaaa

  • @djatm1319
    @djatm1319 5 років тому +22

    Kukamata mwasiasa Kenya ni kama kutafutia kura juu ataachiliwa na aendewe na wafuasi wake....

    • @susankaburu140
      @susankaburu140 5 років тому +1

      Hii ni business iko kenya atawachiliwa bail ya 250 atakosa kweli

    • @djatm1319
      @djatm1319 5 років тому

      @@susankaburu140 sure

  • @stephenlankai5411
    @stephenlankai5411 5 років тому

    Kazi nzuri sana , ...kukamatwa kwa m chochezi

  • @phylliswanjiku7719
    @phylliswanjiku7719 5 років тому +7

    we salute you honorable Moses kuria and Korir for speaking for the business men and women

    • @sospeteranyango6274
      @sospeteranyango6274 5 років тому +1

      Wanjiku go to Tanzania & Kampala or even Juba & find out who is selling newspapers if not Kamau or Njuguna wake up

    • @sospeteranyango6274
      @sospeteranyango6274 5 років тому

      I can see team tangatanga hand in this.The fools being used don't know that after the completion of expelling foreigners their paymaster may well use the same medicine against their folks.2007/8 is again a likelihood !

  • @kalulu44
    @kalulu44 5 років тому +2

    Jaguar has a point. DIAMOND IS SELLING MORE RECORDS IN KENYA THAN HIM

  • @consolataakwabi7321
    @consolataakwabi7321 5 років тому +66

    Hahaa...alidhani yy ni nani...kamatwa kabisa.......anajuwa ni wakenya wangapi wako outs8de KENYA.....

    • @unclemusaa6188
      @unclemusaa6188 5 років тому

      Shinda apo

    • @rachealimoli4653
      @rachealimoli4653 5 років тому +6

      Hajui ,asituharibie sisi wenye tuko mbali coz atatusaidia.

    • @janetkerubo7643
      @janetkerubo7643 5 років тому +1

      @@rachealimoli4653 aki

    • @chayogasperi9783
      @chayogasperi9783 5 років тому +5

      Consolata Akwabi Hajui , anaamka tu na kuanza kuropoka , hajui atasababisha wakenya wangapi kupata shida nje ya kenya , anaangalia tumbo lake tu .

    • @chayogasperi9783
      @chayogasperi9783 5 років тому +3

      Consolata Akwabi Atulie , ajifunze masuala ya kidiplomasia , shida na majirani si nzuri .
      Angeshauri serikali ya Kenya kukaa na serikali jirani kuangalia a best way kuhusu biashara za wananchi wao wakiwa nchi jirani .

  • @davisamark8515
    @davisamark8515 5 років тому +1

    Anaharibu siasa za kenya na mahusiano ya nchi rafiki na kenya

  • @aloycekiwia8613
    @aloycekiwia8613 5 років тому +2

    Huyo Mbunge BWEGE kweli...!!?? Tanzania wafanya biashara number moja Ni Wakenya . Hivi UBAGUZI mtaacha lini ndugu zetu.!!??

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 5 років тому +1

    Good job East Africsn community parliament for discussing this . Otherwise Serikali ya Kenya sidhani wange hangaika because ange shikwa mara tu baada yaku ropoka maneno yale. But hadi bunge la East Africa na Tanzania kuingilia kati ndio ana shikwa leo

  • @francisjkidua8303
    @francisjkidua8303 5 років тому

    Well done

  • @deusgabri
    @deusgabri 5 років тому +2

    Msingemkamata ningeshangaa sana.....huyu ni mbunge mjinga sana....WANANCHI WANATAKA EAST AFRICA yeye anachochea ubaguzi.....

  • @clarionphilips2556
    @clarionphilips2556 5 років тому +1

    Matiang'i you are our next president, kamata wakora wote! No peace for criminals like jaguar, funzo kwa politicians corrupt! Jaguar ni msanii sio minister, arudi kutunga nyimbo

  • @hajiismaily3401
    @hajiismaily3401 5 років тому +26

    Acha akamatwe mahusiano yetu yalikuwa tangia zama hizo yeyeniwajuzi tu

  • @oduorevans3493
    @oduorevans3493 5 років тому +3

    Mad leader

  • @kamaumuritu4713
    @kamaumuritu4713 5 років тому

    Make kenya great again.

  • @shadadiabdul6689
    @shadadiabdul6689 5 років тому +2

    Huyo jamaa alikua amelewa.Ukiona Watanzania wako Kenya basi ujue kuna Wakenya wapo Tanzania. Tumemsamehe ajifunze kuheshimu uhai wa Binadamu na utu.

  • @nassibnassib4845
    @nassibnassib4845 5 років тому +3

    Citizen.. Mgepiga ile ngoma yake ya Kigeugeu.

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 5 років тому

    Huyu Mbunge ni Jipu, hakuna maendeleo mkibaki wenyewe, ajifunze kutoka mataifa Makubwa yote yana wahamiaji, ninachoshukuru Serikali ya Kenya iko makini na wameshatoa tamko. Salam kutoka Dar es salaam

  • @sylvestermatinde7527
    @sylvestermatinde7527 5 років тому +1

    We are here 4revalution,si fitina wote east Africa why jaguar aanze bifu za kisenge na ye juzi tu hapa ndio kapata ubunge, aache nyodo mbio zake zitaishia ukingoni.

  • @twalibbakari4338
    @twalibbakari4338 5 років тому

    huyu Jaguar ni mjinga hajui sana sasa hivi watu wafikiria kufanya kazi na biashara kwa pamoja yy afikiria ugomvi

  • @joyann985
    @joyann985 5 років тому +1

    Let me look where Hon. Babu Owini is🙌🙌💃💃💃

    • @tutasorthiostory
      @tutasorthiostory 5 років тому

      He’s working for his people , check him out !

  • @kassimjuma8713
    @kassimjuma8713 5 років тому +13

    Mimi ni mtz. lakini nafanya kazi na wakenya hapa tz. na ninawapenda maana wanajituma xana na wako na bidii ktk kazi

  • @shirowdestinys5775
    @shirowdestinys5775 5 років тому

    Hapo sawa

  • @masachihorticultureunitcol711
    @masachihorticultureunitcol711 5 років тому +1

    Kitu kibaya ni kuwasema vibaya watanzania na waganda. Hajui kuna wakenya wengi wapo wanaishi Tanzania. Kuna wakenya wengi pia wapo Tanzania pia wakenya na watanzania wameoana sana.

  • @mgemawilliam4105
    @mgemawilliam4105 5 років тому

    Kweli serikali ya Kenya mko vizuri, maana kama mngemuacha huyo mpuuzi akaendelea kupayukapayuka hovyo, angewaharibia mahusiano na nchi jirani hasa sisi ndugu zenu wakaribu na wakihistoria Tanzania. Tunawapenda sana Wakenya

  • @hassantnikweliameir1233
    @hassantnikweliameir1233 5 років тому +1

    wakenya wamechukua ajira zetu katika sekta utalii hapa Zanzibar je huyu Jaguar anasemaje?

  • @imaniseverini1538
    @imaniseverini1538 5 років тому +2

    Me mtanzania .. Hatujui tumemfanyia nini huyo mbunge

  • @njengakamau1058
    @njengakamau1058 5 років тому +8

    Acha iwe funzo kwa wengine wote....uhusiano wa Kenya na Tanzania ni mkubwa kuliko jaguar

  • @evalenad6256
    @evalenad6256 5 років тому

    Safi sana safi sanaaa🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾akafungiwe mbali huko

  • @jerryomish4581
    @jerryomish4581 5 років тому +5

    Huyu aende aozee kamiti . How many jobs has he offered to the youths

  • @wisdomband8677
    @wisdomband8677 5 років тому

    Dah tz tupo vizuri Kenya siji tena

  • @reubenfavour
    @reubenfavour 5 років тому +1

    That Was A Reckless Statement From JAGUAH.....
    KWENDA KABISA

  • @isayamwidete6420
    @isayamwidete6420 5 років тому +7

    Its where i get the dought, to choose youth speciffically to MARIJUANA SMOKERS,to hold heavy position!!!!shame on you JAGUAR!!!We are waiting to see you hr in TANZANIA!!🇹🇿🇹🇿🇹🇿after all your foolish announce!!!!!!

  • @reginakaloki6590
    @reginakaloki6590 5 років тому +1

    The singer kigeugeu. Ndani sasa may be he never knew about kigeugeu

  • @wizydeko1496
    @wizydeko1496 5 років тому +3

    Niko na rafiki yangu kutoka Kenya tuncheka tu ili boya linavyokamatwa pumbafuu

  • @mahbubdawood2909
    @mahbubdawood2909 5 років тому +1

    Sio wote watu wa nje ni wabaya kuna wenghine wanatakia Kenya mafanikiyo na mtu kama huyu Jaguar ni adui wa uhusiano zakuleta maendeleo katika inchi wacha akakule sembhe ya bure

  • @madamcolethaa641
    @madamcolethaa641 5 років тому +2

    Huyo anampango wakuvuruga amani yawakenya mkemeeni hafai ikibidi na Ubunge avuliwe hanasifa yauongozi

  • @zachgodfst7421
    @zachgodfst7421 5 років тому +20

    Payukeni 2,,,,,,,,,, kuku zetu ?? Cow zetu??? 🏃‍♂🏃‍♀🏃‍♂🏃‍♂🏃‍♀ ......🏋‍♂🏋‍♀🏹🏹

    • @margaret8940
      @margaret8940 5 років тому +3

      Ebu watuambie. Wamejaa hapa wanapayuka payuka. Mbona hawakupayuka wakati kuku na ngombe zetu ziliangamizwa. Kenyans wamechoka na wameamua.

    • @dutchsafari7562
      @dutchsafari7562 5 років тому +2

      Waliingia illegally bila kufwata utaratibu wa boarders

    • @sylvestermatinde7527
      @sylvestermatinde7527 5 років тому +1

      Acheni fitina nchi haijengeki bila wageni,Tz wanalisha Kenya kW njia nyingi,kazi nzuri kwa waziri Wa ulinzi ,Sikh zote mkikuyu ana fitina ya kijinga bila kujua kidole kimoja hakivunji njawa.

    • @stonecold4630
      @stonecold4630 5 років тому +1

      Sylvester Matinde .acha ukabila mkikuyu anatokezea wapi? Kwani nyinyi wa bongo pia mumeambukizwa ugonjwa wa ukabila na chuki dhidi ya wakikuyu? Jua wakikuyu ni wateule

    • @mrope348
      @mrope348 5 років тому

      @@stonecold4630 mna uteule gani nyie chuki na choyo zimewajaa tele

  • @joethige
    @joethige 5 років тому +2

    No one is above the law. Let him pay for his sins

  • @shabanborondi6526
    @shabanborondi6526 5 років тому +4

    Amewaongelia wa TZ tu?...mbona kuna wakenya kibao wanafanya biashara hapa Bongo...huyo jamaa was just having a bad day he didn't mean what he said

  • @mercypedha5519
    @mercypedha5519 5 років тому +8

    I hope hii ni ukweli na anepekekwa Polisi na Sio kwa Hoteli kufumba watu Macho😏 wapi Matiang'i he need ku pinch mapua ya Jaguar

    • @jayramadhan4584
      @jayramadhan4584 5 років тому +1

      Kumtioa bunge haiwezekani cz ame changuliwa na wanchi sio serekali.

    • @banshbansh2329
      @banshbansh2329 5 років тому

      @@jayramadhan4584 😅😅😅

  • @Bitlontravels555
    @Bitlontravels555 5 років тому +3

    Great job Fred Matiang'i. We are proud of you. These empty headed politicians should face the music

  • @derickwambu6246
    @derickwambu6246 5 років тому

    Msenge sana uyu fala

  • @marygaspar6429
    @marygaspar6429 5 років тому +2

    Wanasiasa vigegeu! kawa kigeugeu mwenyewe, hivi tukimuweka Diamond bungeni yatakuwa haya haya? maana huyu alikuwa mwanamuziki kama Diamond!

  • @Ita_Martin
    @Ita_Martin 5 років тому +6

    Kenya hatuna chuki na Watanzania...karibuni...matamshi ya Jaguar hayaambatani na msimamo wa wakenya..🇰🇪

    • @isayajilala1645
      @isayajilala1645 5 років тому +4

      Martin K. yameisha joh hata sisi tz hatuna noma na nyie

    • @johnmohblaxta
      @johnmohblaxta 5 років тому

      hope pia Tz watatukaribisha vile unawakaribisha huku

  • @peterolal249
    @peterolal249 5 років тому +37

    Vijana ambao wameingia bunge wakijifikiria na kujijaza na chuki isiyifaa. Let him face the law and be answerable to his words. Am just requesting top leaders to keep off from this.

    • @rehemadani3600
      @rehemadani3600 5 років тому

      Mimi naomba anyongwe nikama muuaji vile, kinachomchanganya nimbunge mfanya biashara ndiyo Maana anakulupuka kuzungumza

    • @lilamhanzi1929
      @lilamhanzi1929 5 років тому

      Use the link to get the app for "free top up"

  • @timelessbeauty5677
    @timelessbeauty5677 5 років тому

    Juzi tu mwanamke alikuwa analia jinai ambavyo jagua amemu abandon na watoi ...we asked him to pray God to take over from her ...now look at machozi ya mwanamke what it does, this is the beginning....

  • @janenana9579
    @janenana9579 5 років тому +1

    Hiyo ni kufungwa macho kwa raia maskini, Ole wenu amepelekwa 5 Star Hotel.Sisi raia wanyonge jela imejengewa wanyonge. 5 Star PAP.

  • @mahbubdawood2909
    @mahbubdawood2909 5 років тому

    Yule Ambassador wa China hapa Kenya hivi majuzi alizunghumza vizuri na kutengheneza uhusiano kati ya nchi mbhili so kwani huyu Jaguar angheminghilia huyu Ambassador pia?

  • @Prisca.W
    @Prisca.W 5 років тому

    "Anafululizwa sijui anapelekwa wapi"😂😂😂😂😂

  • @ednacharles524
    @ednacharles524 5 років тому +9

    alifanya vibaya Sana, kusema watawafukuza na wachape hao wachina, lakini jaquar anafaa ajue pia kuna wakenya wengi wako inje ya nchi na tuko free sana

    • @peterirungu2904
      @peterirungu2904 5 років тому

      Weh kwenda you don't know what you're saying,.tembea middle east ujione who kenya treaded

  • @jumahili8121
    @jumahili8121 5 років тому +1

    Mimi ni mtanzania. Nilikuwa mshabiki wa song za Jaguar. Kumbe ni pumbavu kabisa. Sisi siku zote tunashirikiana. Kuna wakenya wengi Tz. Benki ya KCB iko hapa, kuna viwanda, magari na biashara nyingi za wakenya. Lazma tujifunze kuvumiliana.

  • @starlight_channel
    @starlight_channel 5 років тому +22

    Tukipiga Tz kesho kwa Afcon watanzania wako kenya warudi kwao,wakitushinda tuitishe marathon, wakitushinda tuitishe collabo ya OG na Simba,wakitushinda tuitishe magufuli 🔒tuwafungie huku Kenya.

    • @kacherosimba5762
      @kacherosimba5762 5 років тому +3

      Hahhahaha huyu mlevi wenu jagua mwambieni akome tukilianzisha huku mtatafutana ako magu hataki utani na raiya wake

    • @jj7520
      @jj7520 5 років тому +1

      Heee 😂😂😂😂waaa kenya 😎

    • @mbarukgude5335
      @mbarukgude5335 5 років тому +2

      Stupid politician, mbona huyu mtu ni falaa wa ina gani? Hajui kwani wakenya wangapi wako worldwide wafanya maendeleo ya kenya huyu akiwachwa asijaribu kuibisha kenya ..akifanya hivyo alivyo sema basi abiria tutamfunzaa adabu mjinga

    • @sospeteranyango6274
      @sospeteranyango6274 5 років тому +2

      Utashangaa Kenya ikinyolewa bila wembe

    • @starlight_channel
      @starlight_channel 5 років тому

      @@sospeteranyango6274 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @zimaxmedia
    @zimaxmedia 5 років тому +2

    I see Mang'u and Alliance high school students at the background... Just a keen look though😀😀😀
    Meanwhile, jaguar kigeugeu tena??

  • @simonmburu3029
    @simonmburu3029 5 років тому +1

    Akamatwe twe twe twe....he is so reckless

  • @eliudijastini8372
    @eliudijastini8372 5 років тому

    Kalewa uyoo bwege maisha hayaendi ivoo na watu hawaishi ivoo

  • @alvismumkaranja3360
    @alvismumkaranja3360 5 років тому +1

    Basi na sisi tutafukuzwa kwao

  • @robertomae2341
    @robertomae2341 5 років тому

    Matiangi good job

  • @lydiaaruba6670
    @lydiaaruba6670 5 років тому +3

    Matiang'i raised this isue no one touched him...there is somthing behind..wot goes around comes around

    • @unclemusaa6188
      @unclemusaa6188 5 років тому +2

      @@evelynokoth1246 but the point is the same

    • @sospeteranyango6274
      @sospeteranyango6274 5 років тому

      Waitangi was talking of gambling machines etc & the ppl behind them

    • @sospeteranyango6274
      @sospeteranyango6274 5 років тому

      Not Tanzanians & Ugandans feeding us

  • @semanasitv8303
    @semanasitv8303 5 років тому +6

    wakati mataifa makubwa wakiungana kumpiga mnyonge mataifa fukara wanabaguana waafrika tunanongwa kweli kweli

    • @franga7870
      @franga7870 5 років тому

      Sasa mtu mmoja amekuwa taifa?duh!

  • @Josethekenyan
    @Josethekenyan 5 років тому

    release jaguar

  • @abdyaly2413
    @abdyaly2413 5 років тому +1

    Matiangi ameifanya kazi nzuri..
    Manake huyu jaguar anatuebisha sana, chuki si kitu kizuri, maneno zake za jana zilikua na ujinga mengi..

  • @jumahili8121
    @jumahili8121 5 років тому +2

    We must learn on how to compete. Not sleeping and complaining. Rais Uhuru mwenyewe alisema anaalika wageni waje ku invest kenya.

  • @nimky1422
    @nimky1422 5 років тому

    Enyewe vle Aliongea sio poa lakini Kenyans we must wake up and protect our small business men and women

    • @sospeteranyango6274
      @sospeteranyango6274 5 років тому +1

      Protect what has any of them hindered u 4m putting up your mahindi choma jiko.Hawa watu wanajituma.Wao sio serikali saidia.

  • @kelvinmbugua3502
    @kelvinmbugua3502 5 років тому +11

    its okey, but I think he was saying that some foreigners are taking Kenyan jobs and yet people are jobless, he could have given the message in a good way not deportation of foreigners

    • @mosesnyamhanga449
      @mosesnyamhanga449 5 років тому +1

      Umewai kufika Tanzania ? Fika kwanza afu utembee mikoa yote especially arusha ,dar,Mara utapata jibu LA maswali yako Tanzania ndio nchi pekee ambayo wakenya wengi wanajipatia ridhiki yao yakimaisha na tukisema tuwafukuze wako wengi sana na mtasota kabisa ndug yangu!

    • @SA-xj8hc
      @SA-xj8hc 5 років тому +1

      So many Kenyans work in tourism industry in Zanzibar .

    • @exvariensolmon9511
      @exvariensolmon9511 5 років тому

      And what about beating them?

    • @isayamwidete6420
      @isayamwidete6420 5 років тому +1

      dont you know how many kenyans works in tourism industries and educational wise as well????say stop to such stupid legacy!!

    • @abdallahabdallahmkaona9611
      @abdallahabdallahmkaona9611 5 років тому

      @@isayamwidete6420 we?sifara njoo tz uond

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 5 років тому +1

    MUSI PUMNAZE WATU AKILI WASIO KUWA NA PESA NDIO HUKAMATWA NA WAOZEE JELA WENYE HELA NI KUTUFUNGA MACHO TU JU ATATOKA HAKUNA KITU HAPO

  • @sarahhamisi2070
    @sarahhamisi2070 5 років тому +1

    tz Kenya mbona ni ndugu

  • @bonnybonny8337
    @bonnybonny8337 5 років тому +2

    How about Kenyans who get harassed by Tanzanian authorities everyday? What is Uhuru's PR govt doing about that?

    • @ssamamc3465
      @ssamamc3465 5 років тому +1

      Jaguar's remarks are Xenophobic but I remember Tanzania burnt our live chiks and took cattle yet it wasn't such a big deal to them.

  • @isaacsimon3580
    @isaacsimon3580 5 років тому +1

    Jaguar amesahau kuwa yeye Kazi yake kubwa ni music, ubunge unapita. Atafanyeje music wake kwenye nchi zingine kama mbaguzi hivyo? Kachemka sana huyo mbwa

  • @adhiambonyasuna4043
    @adhiambonyasuna4043 5 років тому

    Jaguar is not apolitician,akuje polepole,ama aende aimbe.these young Kenyan politicians are giving us headache.kupayuka

  • @honestdude70
    @honestdude70 5 років тому

    Good job matiangi

  • @thisislynn3425
    @thisislynn3425 5 років тому +2

    That's ok there international business policy

  • @mumblessed001
    @mumblessed001 5 років тому +1

    Jaguar umefudishwa kuongea matope na kina kuria acheni za ovyo hio ckazi yako mehemehe majirani wetu wameishi kufanya biashara na pia wakenya hufanya biashara Tz acheni upuzi mumekula mkajza matumbo sasa mtukosanishe na majirani bure kabisa

  • @Dymitri-Babushka.
    @Dymitri-Babushka. 5 років тому +2

    Sukuma ndani huyu NGURUWE

  • @sheegitonga8836
    @sheegitonga8836 5 років тому

    Waaah.... cogratulation acha alale ndani....kwani Kuna Nini....Hawa wamechizikah hawana adabu

  • @isaackitogo5043
    @isaackitogo5043 5 років тому +1

    Kauli ya Jaguar ni mbaya sana kwa jamii zetu ambazo si nchi jirani tu bali wananchi wa nchi hizi ni ndugu.
    Kauli hii pia ni mbaya kiuchumi, inaweza kuharibu mahusiano ya kiuchumi hasa baina ya Kenya na Uganda.
    Tumkemee kwa nguvu zote.

  • @ratifashaibu5871
    @ratifashaibu5871 5 років тому +1

    Saf sana