UCHAMBUZI: SABABU ZA BASHUNGWA KUHAMISHWA WIZARA MARA KWA MARA - "MIAKA 4 WIZARA 5 TOFAUTI"
Вставка
- Опубліковано 13 вер 2024
- UCHAMBUZI: SABABU ZA BASHUNGWA KUHAMISHWA WIZARA MARA KWA MARA - "MIAKA 4 WIZARA 5 TOFAUTI"
MTANGAZAJI wa kipindi cha Good Morning na Msumari wa Moto, Charles William ambaye pia ni mchambuzi wa masuala ya kisiasa amezungumza na mwandishi wetu, Suma Isack juu ya uteuzi wa Mawaziri watatu (Stegomena Tax, Angellah Kairuki na Innocent Bashungwa)
Charles William ametoa mtazamo wako kuhusu sababu zinazopelekea Waziri Bashungwa kuhamishwa wizara mbali mbali tangu awamu ya Hayati Magufuli mpaka sasa kwa Rais Samia...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
When Charles speak we sit down and listen🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mungu Akubariki.MHE. INNO. BASHUNGWA.UKO VIZURI N A UMETULIA.UNAWEZA SANA.KILA LA HE R I.
Baba alimjua mapema,alikuwa akimwandaa kuwa kiongozi bora.Bashungwa yko vzri anautulivu wamaneno,anahekmaanajitambua,naamamuzi yke niyataratibu lakini yanamashiko
Mungu yu mwema mh Bashungwa hana mihemuko katulia na very smart.
Mungu akusaidie sana ufunikwe na damu ya Yesu🙏🏼🙏🏼
Kweli yuko vizuri bashungwa mbunge wangu.
Tanzania inakadiriwa kutwa na watu milioni sitini ina maana yeye ndiye anafaa sana kuliko watanzania wote mpaka kahamishwa hamishwa kwenye wizara zote hizo? Marehemu magufuri alimpa uwaziri kutokana na ukanda na si kwa uwezo wake na mama samia anafuata nyayo hizo
Bashungwa anafaa kuwa waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa tanzania kabisa
The guy is smart and intelligent
It's open in my heart, l say "Rais wetu" ni potential kwa Taifa letu baada ya mama Samia kumaliza miaka yake 10. Twende pamoja, mtanitafuta...l will tell you "why"
Kijana huyu kweli ni potential. Mpitisheni wizara zote azijue ili hatimaye aandaliwe kuwa waziri mkuu.
2.Kwa upande wa Anjela Kairuki nadhani hapo tyna bebana, kwani nina imani kwamba kwa vile ameisha wahi tutumikia basi tungeroa nafasi kwa watu wengine.
Dhana ya kubebana hapo inajidhihirisha. Kuongezea watu kama kina January Makamba, Ridhiwan Kikwete, kina Pinda n.k. Hao wamebebwa na majina ya baba zao jambo ambalo halina tija.
Jamenii sikukuu hatuma mipagoo malumuu mama sulubuu mim nimechapa sinakitu plzz mum naombaa unitumiye kitu mum plzzz
Kweli wanawake tunaweza ila tukiwa wengi sehemu moja mzaha mwingi tunafeli
Mtulivu, hakurupuki, hana jazba, anatumia akili kuliko mihemko, si mnyanyasaji
Ni vizuri!
Wekeni watu wenye uwezo mahala husika! Huu u-jinsi sawa lkn hebu tuangalieni uwezo wa mtu! Siyo usawa usawa tu wa me/ke.
Cha msingi ni nani anayeweza mahala pale au sekta fulani basi!
Huu usawa huu wakat mwingine unatupoteza tu! Mtu anawekwa sehemu kwa jinsi yake ila cyo kwa uwezo wake!!!!!
Kweli tatizo kila jambo linafanyiwa uigizaji
well said Charz.your are expressive
MUNGU mjalie rais wetu wa miaka ijayo Bashungwa na sisi Kagera tutawale. Amen in the name of Jesus.......
Is true
I respect your opinions
Mh Bashingwa anafaa Sana kwa Uturivu wake na masomo yake zaidi
Hongera xn Bashungwa we kafanye kazi
Kwa unyeti wa Wizara hyo Mi naona bd Hana uwezo huo . Wizara hyo inataka mtu serious Sana . Ni Mwinyi ndo aliipatia
Mpe kwanza nafasi tuone.
Kama watu 98 wamemkubali bashungwa halafu ninyi 2 mnamkataa hebu jitathimini kidogo
Ajui kitu anabenwa tu ndio mana anajalibiwa kila wizara labda ipo atakayo iweza lkn wap
Kinacho nishangaza kupoteza umarufu kwa selikari comentj ndogo Sana🇹🇿🇹🇿🤣🤣🤣🤣
Ahaaaa🤣🤣🤣
Kabisaa ndugu zangu hasa hii Tanzamitozo 🤣🤣🏃🏃RIP mzee baba Magufuli 🙏
Hamna baraza hapo ina maana hamna watu wengine wenye uwezo wa kuongoza hizo wizara? Kanin kula siku panga pangua, mh. Hatukuelewi.
Raisi? Mmewasshau wale majamaa vigogo?
Maandalizi 2030 ndo raisi ajae mtanambia nmeshamaliza kutabiri
Rudi tena Kwa alokufundisha kutabir
Pakinamimi
Wizara ya ulinzi unampa MTU hata Hana historia ya kutumikia chombo chochote cha ulinzi na Usalama?
Hao waliokuwa na Historia walifanya Nini..?au unaropokwa tu
Wajina Mungu akuongoze uwe imara zaid
inocent itakuwa kiungo muhmu xn, cc raia wa kawaida hatuwez jua
Wazir mkuu ajaye
Kweli kabisa very son
Raisi Samia Yuko sawa ino anafaa sana,make ino ana makuu.ira Yuko makini sana
Ewe mulamula 😁😁😁 jina tu
Anafaa, big up.
BASHUNGWA ANAANDALIWA KUWA RAISI WA TANZANIAN NA KWA MTAZAMO WANGU BASHUGWA.ANAFAA SANA KUWA RAISI WETU.PIA ANAFAA SANA SANA
Future president...🙏
Take this.
May God bless him a lot 🙏
Yupo vizuri
🤣🤣🤣🙈
😂😂😂😂😂🚣🚣🚣
Bashungwa yupo smart, wizara inamfaa sana. May the steps be preparation for the fututure nominee to him.
Wazir kiraka
Aya nayo ni mawazo
The state is full of Tecnowhom
Mwandishi hiyo miwani sasa 🤣🤣🤣
Yaani wewe akili yako🤣🤣🤣🤣
Bado mambo yake yanameremeta Yaani rizki yake bado lakini Kama kuzungumza hana sifa hiyo uloitaja na waziri ktk ulinzi yataka mtu mkali lakini na hikma zaidi. Maoni yangu Huyu afaa ktk wizara ya utamaduni.
Huyu ni mtu bomba sana kilapahala anapowemwa anafanya vizuri ana kipaji
Tunamwita Kilaka anatosha anaupiga mwingi hapa kazi tu
Bashungwa ana jipya atuache tu
Una matatizo weweee
Huyo bashungwa ndie rais 2030
'gulu & 'nuary watakusikia, ohoo!
Ni muhaya atumpii
Uko mbixoni kutoka nje
Amezid
Yajayo yanafulaisha
kwann anashindwa kumtoa mwigulu
Futur
Pia ni mtiifu
Ni mtulivu na anafanya kazi
Namuona huyu kijana kuwa rais mbele
Hapo ndiyo mnafeli sana wananchi kuamini kuwa hamuwezi kuongozwa na watu nje ya CCM
Raisi kaogopa alivyoiona post ya mkuu wa polisi uganda kuvamia kenya, mpaka ameshindwa kuzindua maonesho Geita
Gg
Hana uwezo sema anabebwa tu
Uc mdhihaki ucyemjua,muombee. Mungu anamakusudi🙏🙏🙏🙏
Kweli bro
Mungu awabariki
Hakuna kubebwa..ni uwezo.. ametulia,hana madharau..
@@josephlorri431 mm nilidhani anaweza kufanana na mwiguru kumbe yuko safi ee??
anabebwa nonsense
Habebwi Jamaa yuko vizuri kichwani tangu akiwa Chuo. Sema hakuzaliwa familia yenye fedha au yenye sifa.
@@gibsonjosephat6352 well daid👍
@@gibsonjosephat6352 ULIKUWA NAYE CHUO GANI?
inasemekana huyo ni mtarajiwa.Yupo katika maandalizi.Na ukizingatia anatokana na RC.
Waziri Bashungwa kwa kifupi ni mtendaji mzuri sana na ni muadilifu mchapa kazi ndio sababu kubwa ya kuwekwa popote pale sababu anafiti popote na sio nafasi gani ikitokea popote pana pengo basi Bashungwa anaweza kulisimamia mpaka litakapofika ni mtendaji makini pande zote yupo tayari tu kulitumikia taifa hongera sana kwake MUNGU ampe wepesi katika shughuli zake kazi iendelee 🙏🙏
Kailuki fresh sana
Bashungwa Hana uwezo anatakiwa atolewe
Uwezo upi
@@hijazhija316 hakuna wizara ambayo alifanya maabadiliko Tamisem imemshinda
semeni tu
Unategeme maajabu kutoka kwa hawa
Ucmdharau ucyemjua
uyu jamaaa anapewa nchi mda so mlefu
Ajui kitu anabenwa tu ndio mana anajalibiwa kila wizara labda ipo atakayo iweza lkn wap