@@gladnessMbuja dah,yaan kwenye dunia tuna vita sana,vita zingine hatujaziazisha ss bali,mwenendo wa maisha ndio inayo tuinulia madui. But kwa kua Mungu ni mweza wa yote tumtegemee sana.
Alhamdulillah! Wewe Uliebarikiwa Kuiona Siku Ya Leo Nakuomba Chukua Muda wako Kumshukuru Mungu, Kama Unaamini Mungu Amekufanya Kuwa Hapa Leo Gonga Like 🙏🙏🙏
@@KhadijaMuhammedi-r5u sasa wale si wanaigiza uchawi na manyoka yani maisha ambayo si halisi ,wanaigiza vitu vya kufikirika ila manyanya anazungumzia uhalisia wa maisha ya Mtanzania
Dunia ni movie hatar sana nawakaribisha wote wanaoamuni kuwa Hawa characters walioigiza hii movie ya Dunia Wana kipaji Cha kutosha na watafika mbali sana walike hapa🎉🎉🎉 ❤❤❤
Yaan uyu vai mwanzo alipendwa sana ila tu kaanza kiwaskiliza wale wamama kahaba na ndo kinamtesa ad saiv, na hii ndo ndoto ya wanawake wengi wapuuzi kutaka kuwamiliki wanaume, namwonea saa huruma vai mana vita ndo kwanza inaaanza@roxvico5002
Ndondo kabu😂😂 Kuna siku mwanamkewangu ananipiga biti akafungasha kila kitu anasema anasepa asee nilifrai nikalala zangu kwenye kochi nismbugzi apenge nguo zake fresh asubui nikatoka sa 11 ili nikirud jion nikute funguo zangu mlangoni Jioni narudi nilapitia kiepekuku nina raha na soda😅😅😅😅 Nikishangaa namkuta 😂😂😂 kapanga nguo zake kwenye kabati kapika chips zang tukala wote tena
Kama mashabiki tuko pamoja nanyi tamthiliya ya dunia mwanzo mpaka mwisho....Anayeamini cathy atamchongea maty kwa kumleta mke wa manyanya katika fumanizi zito agonge like usiku huu.
Yanihawa watu wamkopo wapuuzi kweri kukukopesha wana kubembeleza sikuyakudai utajuta ndanipenyewe mama hamna kituchathamani watakuja wabebe hadi pichuu😢😢
Hii movie ibebe tuzo zote kuanzia 1 director 2 story 3 waigizaji Duuuuh Mungu awa bariki san Jaman naomba na mimi muni follow ni mwimbaji wa nyimbo za injili 🤗🤗🤗🙏🙏🙏🙏
Sasa Vai mwenyewe awezi jiuliza juu ikiwa washauri wake ndio hao mshangazi wanapigania vibenteni😂😂 mshauri nikama dadake yule niambie kama atagundua yeye ndio mwenye makosa😂😂🔥
Napenda sana maneno ya Manyanya kwenye hii movie.Anawezakua mshauri bora international❤❤❤Awe mshauri international online...Ukweli ananisaidia mengi kwenye ndoa yangu.Ananigusa
Mimi naona tuunde group la Whatsapp tue tuna share mambo mbali mbali kuhusu hii movie sometimes ata kukumbushana pale inapo kua imetoka Ni wazo tu hili🙏
Tunao angalia Dunia tukiwa kitandani tujuane😂😂
😂😂😂umejuaje
@hellenahenry1629 ni mida yetuu hiii ya kubembea vitandani🤣🤣🤣🤣
@@babynaashna Mosquito net hatujashusha🤣🤣
Niko hapa ❤😂
😂😂😂😂😂 yaani Kama ulikuepo
Kumbe mtu akikuroga akaushindwa anakuita mchawi 😅😅😅😅pole diha. Hongera mat
Ndy hvy😂😂😂
Kabisa😂😂😂
😂😂😂😂😂
jamani valeti yukobize sana nabithine kuriko ndoa jamani wadad kuwamaki ni nakiarichawatoa nyumban
Siku zote mchawi akikushindwa anaanza kukuita wewe mchawi looo nimeamini Yani cathe nakuchukia sana tunao mpenda Matty tujuane ❤❤❤
Aya Joyce by
@gladnessMbuja pwpw
@@gladnessMbuja dah,yaan kwenye dunia tuna vita sana,vita zingine hatujaziazisha ss bali,mwenendo wa maisha ndio inayo tuinulia madui. But kwa kua Mungu ni mweza wa yote tumtegemee sana.
Tunao mpenda. Mungu kwa kutupatia afya njema like apa
Kama unamupenda Mungu kuliko iyi série ya DUNIA nipeni like basi
Unamatatizo ww umeona mungu ulinganishe na mungu kweli wakupeleke mirembe2
Hayo ni majaribu sasa unamwingizaje Mungu kwenye kulike comments yako
Una tutega 😂
Akili huna wewe ndugu
Like ni yakukutoa maneno ayo kufananisha mungu na series
like hupati na series tunaangalia😏😏
Alhamdulillah! Wewe Uliebarikiwa Kuiona Siku Ya Leo Nakuomba Chukua Muda wako Kumshukuru Mungu, Kama Unaamini Mungu Amekufanya Kuwa Hapa Leo Gonga Like 🙏🙏🙏
Amiin allahuma amiin
Ameni ❤❤
Vai ame yakanyagaa😂😂
😊😊😊😊😊aawaá 😂😂Q😊😊😊❤
😊😊
Mbn kaleo nikama kafupi au kwa sababu nitamu sana ndio naona vifupi😂😂😂😂 maua kwenu wote mnaona fuatilia DUNIA🎉🎉❤❤❤❤❤
Tamu inanoga😂
Waongeze muda bana
Hpn siyo fupi sema kipande cha marty na manyanya ni kifupi 😂
AFISA MIKOPO NIMEKUKUBALI🙌🙌🙌🙌😚ntakuletea roli la mauwa
😂😂😂 ila sijui kwann uyo dada hataki kutoa hela
😂
😂😂😂😂
Hili igizo ni hatariii mafunzo kumbe ukiroga bila mafanikio uliyemuroga ndo anakuwa mchawi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Cathe jamaniii
Mulofa wa hatal
😂😂😂😂 kumbe ndoivo
😅😅😅😅
Ndio 😅😅😅
😂😂😂
Wote waliokuwa wanatamani manyanya awe hivi naombeni mgonge like hapa 🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂
mwanamke mmoja ukimpenda ukatulianae wananyanyasa sana
Mama nyanya yupo kazini
Michezooo 😂😂
😂😂😂
Cathy kweli wewe ndo mchawi unaita matt mchawi una roho mbaya team matt gonga like tukienda ,manyanya hongera sana kwa kazi nzuri
😢😢😢
Tupo
Cathy ni mshirikina hapo anamwita mat mchawi maana yeye na mganga wake wamefeli sasa ana hasira
@@rahimanuruislam-i1q safi kabisaa ama tuseme nn kwa kitalaamu😅😅🤣🤣
@@MarionSalama-b7w mbona machozi jamani 🤔
Sku zote mwanamke mpumbavu ndo anaefanya mwanaume wake abadilike nyumbani 😂🎉🎉 from Congo 🇨🇩🇨🇩✌️🔥👑
Nakuunga mkono 💪💪💪from kenya 🇰🇪
@johnmuema3335 yes 🤜🤛
Sema manyanya unajua hii tamthiliya umecheza kama pere huna baya kak🙌🙌🙌
Waoooo jmn wangapi dunia imetukuta hatujalala❤❤
Hahaha tupo weng atr
me nipo macho
Tup macho
❤❤❤
@@BarakatiSangoda ❤️
Manyanya unajua sn pmja na Tim yko Big up san wot ila matrida nips nampend sanaaaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mama vijacho wote mnao angalia dunia mungu awalinde na kuwafikisha salama katika safali yenu nawapenda nyote ❤❤
Amina
Amina
Amina
Amen🙏
Amen
Wanaomkubali manyanya kua muigizaji bora kuliko clam,kelvi na Rk, gongeni like hapa
No
Weee hapo umefeliii brooo hao uliowataja huyu mwamba anaigiza lakin huwez kuwa shindanisha na wale especially clam vevo
Big noo 😂😂
@@KhadijaMuhammedi-r5usasa clam ana kitu gn special?
@@KhadijaMuhammedi-r5u sasa wale si wanaigiza uchawi na manyoka yani maisha ambayo si halisi ,wanaigiza vitu vya kufikirika ila manyanya anazungumzia uhalisia wa maisha ya Mtanzania
Dunia ni movie hatar sana nawakaribisha wote wanaoamuni kuwa Hawa characters walioigiza hii movie ya Dunia Wana kipaji Cha kutosha na watafika mbali sana walike hapa🎉🎉🎉 ❤❤❤
Wakwanza Leo jmn kutoka tz tbr unyamwezin team manyanya&dunia like kwa wingi hap🎉🎉🎉🎉🎉
Jamani vai pole sn😂😂😂
@@kladahmad3333😂😂 me hata simpi pole vai wallah
@@TwallayhatOmary-k3s jmn me namuonea huruma sn😭😭😭
@@kladahmad3333kasababisha mwenyew haifai kupewa pole
Eeeeh wakikuroga wakakushindwa wnauita mchaw wakt ujui chochote respect familia
Kaka manyanya umeyatimba hila umejua kumshika akili vai like please ata kumi tu 🎉🎉🎉
waliofurahia vai kuvuna alichokipanda gonga like twende 😂😂😂
Tulioshindwa kulala tujuwane jaman nawapenda sn nyie wote ❤❤Math anataka ndoa jaman kachangamka 🎉🎉
Ndoa ni daraja la juu kabisa usikurupuke hii nimeipenda gonga spa ulieielewa ii
Dakika zajiooooooooni😍😍😍 chuma hii hapaa
😂😂
😂😂😂
Manyanya I love sana you content your content is much interesting thanks so much 🇰🇪
Sema Cathe anajua kuigiza bhn😂😂 na uhusika umemkubali😂😂
Yaan amejua kuigiza kiroho mbaya. Mbaya😂😂
Cath Yuko vzr sana kipande chake kajitahidi kuonesha uhalisia
Sanaaa
Kweli kabisa anaweza
Yaan hadi raha anajua mpk anajua tena
Wallah hii move jamn iwekwe sinema zetu watu wajifunze Yan inamafunzo mazur sana Yan ❤❤❤❤
😂😂😂😂na mm leo wa kwanza nipeni maua yngh..... VIVA DUNIA VIVA
😂😂 gusa achia Rudi nyumbani
Wanao amini manyanya hazingui twendeni hapa❤
Acheni upuzi manyanya kazingua tena sana
𝙠𝙬𝙖𝙣𝙣
@@GeraldElias-s7j hajazungua wala nini aliteseka sana kwa vai
@@ZakayoGachi vai anavuna alicho panda
Yaan uyu vai mwanzo alipendwa sana ila tu kaanza kiwaskiliza wale wamama kahaba na ndo kinamtesa ad saiv, na hii ndo ndoto ya wanawake wengi wapuuzi kutaka kuwamiliki wanaume, namwonea saa huruma vai mana vita ndo kwanza inaaanza@roxvico5002
Waaaoooo nilikuwa naisubili kwa hamu kubwa kabisa hongela sana Wachezaji wazuli wa Dunia❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ndondo kabu😂😂
Kuna siku mwanamkewangu ananipiga biti akafungasha kila kitu anasema anasepa asee nilifrai nikalala zangu kwenye kochi nismbugzi apenge nguo zake fresh asubui nikatoka sa 11 ili nikirud jion nikute funguo zangu mlangoni
Jioni narudi nilapitia kiepekuku nina raha na soda😅😅😅😅
Nikishangaa namkuta 😂😂😂 kapanga nguo zake kwenye kabati kapika chips zang tukala wote tena
😂😂😂😂
Nilikua nimeisubili kwahamu kuel ❤ Mimi apa kutoka Burundi 🇧🇮 tunakupenda sana manyanya ❤❤
Heee japo leo nimekuwa wa mwanzo mwanzo 😂😂. Nipeni basi japo kalike kamoja 🙏
wanawake kweri ni mtihani ......uyo vai sialikuwa anasema han wivu na manyanya saiv yak wap analia tuu
Hapo sasa analipia alichokipanda alijiona ceki 😂😂😂acha akome
Dah manyanya babaa unavyofafanua ndoa unanikoshaaa babaa asante sana nanaendelea kujijunza kupitia wewe Allah akuongoze
Kama mashabiki tuko pamoja nanyi tamthiliya ya dunia mwanzo mpaka mwisho....Anayeamini cathy atamchongea maty kwa kumleta mke wa manyanya katika fumanizi zito agonge like usiku huu.
Hata akimlet manyanya nowdays hajali
Hata mm nmewaza😂😂😂
hahaha jmn cathe anamwita mwenzie mchawi kisa hasira za mganga kushindwa kufanya kaz
Mwehu kweli huyu😂😂
Manyanya ni wamoto 🎉🎉🎉 unaweza kaka❤❤❤ from Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 Mueda
Hee makubwa uyoo Catherine jmn mwisho wa ubay ni aibu😂
Maina nakupa mauwa yako🎉🎉🎉 ila rich we mkaka nuksi ufai baada ya kuwainua watu unawakandamiza😢😢
Hiv ep ya 45 mban mi siioni
Mambo vp jamii
Yanihawa watu wamkopo wapuuzi kweri kukukopesha wana kubembeleza sikuyakudai utajuta ndanipenyewe mama hamna kituchathamani watakuja wabebe hadi pichuu😢😢
Yamekukuta nini😂
Kaka manyanya umeongea point kwa maty pokea maua yako❤❤❤❤😂😂😂🎉
Wakwanza Leo naomba laikizangu😂😂😂❤❤
Manyanya Leo umenifunza kitu,,kweli kabisa unaeza kuwa na mume but anamilikiwa na mtu mwingine,,,wangu anamilikiwa na mamake😂😂😂
Mama ake???
Nimecheka bure jamani😂😂😂
Yes wapo wanaocontro akili za watoto wao
😅😅
Khaa 😂😂😂
Ila awa watoa mikopo ni wahuni sana kudadeki zao 😂😂😂😂😂😂😂 ni matapeli kudadeki
Wanavotaka wateja wanakuwa wacheshii 😁😁ngoja ufeli sasa
Mm sipo ivyo mbona me naenda nao sawa tu apa morogoro😂😂😂@@CuteGee-ni7oz
Mmmm. Nilikuwa niisubir Kwa hamu San na hii n weekend let's go manyanya Teacher
Kwamwenye ekima iyi film iko n'a mana saaaaaaaaana na mafundisho muzuri Sana kwa mwenyi kuolewa
makofi Kwa manyanya 👏👏👏👏🏾👏🏾👏🏾
Mundi kubwaaaaaa,mundi muzunguuuuu,amani wa cindy😂❤huyu ndio anamake niwatch hii cinema
Paka la baa
Kwaiyo sipo pekeyangu apa
❤❤❤❤❤❤
🎉🎉🎉 wakwanza kabisaaaa❤ oya weee dunia ni fire🔥🔥
Uyo dada wa mikopo amezidisha sana kulinga khaaaaa
Nipewe mauwa Yangu 🎉 leo nimm tenaaa🤸🤸🤸🤸💃💃💃💃💃🇰🇪🇰🇪
Tupowengi duniya inamafuzosana. Waliyoiceza munguawalipe inatufunza
Wakwanza Leo kama unapenda couple ya manyanya na Matilda gong likes 5 Guys
I love you Matilda ❤❤ 🇧🇮🇧🇮🇦🇪🇦🇪
Sema mudy muzungu a.k.a paka la bar au Amani wa sindi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 oya weeeeeeh mudy nakukubali kinoma mzeee baba😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Sas vai apo Tumia uwa namke wak kumrejesha mumeo lkn si ivo kuwa mstarabu
Sas vai apo Tumia uwa namke wak kumrejesha mumeo lkn si ivo kuwa mstarabu
Matlida acha kumsalimia mchawi mwaya kawaida mchawi akikuloga akikukosa anakuhisi kuwa nawewe ni mchawi kama yeye😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Nakubali👍
Ukweli usiopingikaaaa shogaaa me wameniloga wamenishindwa wanakazi tu saiv ya kuniita mchawiii😂😂😂💔
yani ww ndio mm kabisa
@@jacqueenlucah1087 ulienda wap shoga mana sie wengne tunarogwa ad tunajuta kuzaliwa
Kweli Kabisa
Manyanya Manyanya Manyanya we ni kiboko ety quality ya ndondo cup na league ya Mabingwa aisee wanao mkubali jamaa tujuane tafadhali 🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂
Manyanya upo vizuri sana Kama unaamini gonga like hapa
Hii movie ibebe tuzo zote kuanzia
1 director
2 story
3 waigizaji
Duuuuh Mungu awa bariki san
Jaman naomba na mimi muni follow ni mwimbaji wa nyimbo za injili 🤗🤗🤗🙏🙏🙏🙏
Umesahau wafwatiliaji why😂😂😂
Aiseee manyanya mbna hili igzo linaniusu mm jaman 😢😢😢😢😢😢😢😢
😃😃😃😃😃
Badilika dada km kuna sehemu panagonga au boresha km kuna sehemu umepatia
Kivipi? Yaani wewe Ndio kina Matt?
E mungu tusaidie ss wana wako tuwe salama tuvuke yote magumu tukiwa salama❤❤
Wao nimewahi leo kutoka zanzbr hy nipeni haki yangu
Mimi mimiiiii nmetekwaaaaa,mimi mimii nmetekwa na duniaaaa😅
Leo ni wa kwanza from DRC 🇨🇩🇨🇩 naomba likes please 🙏 leo naomba nione upendo ya wa tanzania😢
Wa kwanza Léo nipe like zangu 🎉🎉🎉🎉
Hee kama vile nimemuona mpumbavu mwenzangu huku a.k.a mke wa kilamba ukwaju😅😅😅😅😅
Ukweli ni yye😂
😂😂😂
tulio cherewa kujuwa hii silizi tujuwane❤❤
Vai kimekulambaaa😂😂😂😂saiv gusa Achia twende Kwa matiii😜😜
Gusa ashia twende kwa matii😂😂😂😂😂😂ww
Mambo vp jamii
Ila Vai baada ya kutibu tatizo yeye ana zidi kuongeza tatizo na sio kujiuliza kuwa wapi alikisea kupelekea mpaka mumewe kawa hivyo ila daaaah😢😢😢😢😢
Sasa Vai mwenyewe awezi jiuliza juu ikiwa washauri wake ndio hao mshangazi wanapigania vibenteni😂😂 mshauri nikama dadake yule niambie kama atagundua yeye ndio mwenye makosa😂😂🔥
Nihatari yake kwa kweli....sana mtuma sasa akalale inje tena.
Ata kama akinyenyekea mume ashaonja Utamu wa nje unahisi atatulia?
Hapo kashayatimba hata afanyeje hawezi kurudi akirudi napo ni ushingo pande kashaonja nnje hata ikishindikana kwa Mat atafta mwingine
Kabisa ww umesema na sio wengine wanoomba omba like
Wakwanza naomben like zangu vipenziiii😂 much love duniaaa😂 hiyo lig unaiweza ya klab bingwa vai
Best series so far ...Real life happenings....from Kenya with love❤❤❤😊
Case mwisho na mwisho atajinyongaka kwa sababu ya wivu😂😂😂 nawapenda sana ♥️🎉🎉🎉
Namuona mudy atavowah kuchukua ela akidai kaagizwa na mkewe hawez fika anaumwa 😂😂😂😂😂 waaaaapi mudy muzungu 😂😂😂😂
😂😂😂yaogopesha😅
@@CarolMercy-p9qyaAn mm namnyonga walah😂😂
😂😂😂😂
@mamu_ogtz anaakili mbov 😂😂
Wauu wenzangu munalala umu nakushinda umu Jamani haya Watuu wa Burundi tujuwane
Tupo hapa😂😂😂😂🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Waaaaaahh!!!!!!!! Bila woga hii ni supu ya MOOOOOTO
[from mombasa kenya ]
Vijana wenzangu niwashauri kitu, nilianza kufuga kuku na mtaji wa laki sita, na mpaka sasa nashukuru mungu nimewala wote
😂😂😂😂
😂😂😂😂
Umetsha😅😅😅
😂😂😂
😅😅😅😅😅😅😅
Wanao amini manyanya hazingui twendeni hapa❤❤❤🎉
Napenda sana maneno ya Manyanya kwenye hii movie.Anawezakua mshauri bora international❤❤❤Awe mshauri international online...Ukweli ananisaidia mengi kwenye ndoa yangu.Ananigusa
Ata me pia ❤
Dunia ni filamu nzuri kabisa,jameni tusiishie tu kuihona lakini tujifunze mambo mingi kupitia ihi filamu ili tuwe n'a maisha mazuri😊😊😊
Waooo🤭na mm leo cjachelewa jmn team mati man manyanya like zenu👍🥰
vai kama Vai kapatikana hapo fresh kabisa mana hilo funzo kabisa
@@slokidog yaan hata siku moja mwanaume usimdharau mwanaume anaweza kupat mwanamke yeyote kwa wakat ila ni heshima tu mtu anakuwekea
Waliokuwa wakisubili kwa amu ichi kipande chá Léo tujuwane apo kwenye like 🇲🇿🇲🇿👏👏👏👏
Kaka manyanya hongera sana kazi nzuri ❤❤
Jaman leo nmekuwa wa kwanza npeni like hat 10
Ulikua na umri gani mpka kujua kua ukidouble tap coment inajilike😂
Wangap wanakubaliana namm kwamba Vai ameivunja ndoa yake mwenyewe tutamshaurije uyu mtu tujuwane Kwa like🥰🥰🥰
apambnne tu alijiamin sanaaa😂😂
@nyamiziramadhani4232 umeonaaaa eeee
Nae aanze kuchepuka uyo mume nae ataumia2 mtu ata kama alikua anamksea lakn sio ndy yeye acheat waz waz
Hata maamzi ya manyanya pia hayakua sahihi
Tumshaur ajishushe na awe mnyenyekevu kama mati
Mungu atujalie uzima sisi na washiriki wote wa dunia
Aaaaa we manyanya ni hatar aisee chukua maua yako🎉🎉🎉🎉🎉
Tuliona na waume tujifunze tusilazimishe kukunja samaki mkavu😂😂😂 alipokuwa mbichi tuliona atakuwa mjinga
Niwa ngapi wame subia iyi sehemu kwa amu, ila leo matuld jamani 😂😂😂😂😂😂
Naomba kupaona ndani kwake Cathy ....Huwenda uchawi siyo kwa ajiri ya Manyanya tu , hata kwa Matty kuwa pazuri inachangia
Jamani Dunia ni balaah. Weka like hapo tuwe family
Jaman wanawake wenzangu hii movie imetufunza kuishi na waume zetu 😂😂😂
Kwer kabs
Na wao waishi nasi vzuri
yaani nikisikia mimi ..mimi ....mimi... nimetekwa na mapenzi uwa nafurai sana❤❤❤❤
Tuko pamoja dear leo nimeshinda youtube nikisubiri nipe tamu tamu nikupende wewe tu😂😂
hahaa we huna akili
@@Mwaweza ebu rudi usikilize tena alfu anijibu 😂😂
@@Mwaweza😂😂😅
Wanaopenda mati jmn tujuane onesha upendo Kwa mati❤❤❤❤❤
Sisi apa tupo kitandani tunaangaliya dunia tunawapenda sana ❤❤❤❤😂
Mimi naona tuunde group la Whatsapp tue tuna share mambo mbali mbali kuhusu hii movie sometimes ata kukumbushana pale inapo kua imetoka
Ni wazo tu hili🙏
Kweli jmn fanyen hivo
@@VareliaSaid tu share hiyo link ili kuweza kufika moja kwa moja kwenye group la Whatsapp
Jamani vai umenikumbusha hii tabia yakutofungua mlango 😂😂😂😂ila mumewangu aliingia n juu aliparamia ukuta duuuuh ❤❤❤🎉🎉🎉🎉lkn sio tabia nzuri jamn tusiige😂😂😂😂
😂😂😂😂🎉 Unabahati hukupata kipigo ❤❤❤
😅😅
Kumbe nimeelewa mtu akiona amekushindwa anakuita mchawi alafu kingine nimejifunza sana kuusu ndoa ndoa unatakiwa kuituza kwanzia ukiwa uchumba adi mkioana utakiwi kubadilika nimependa nimejifunz sana ❤❤❤