Naisikiliza kwaya hii kwa takribani miaka zaidi ya 20, nyimbo zao hazichuji, waliimba katika roho, nasikiliza karibu kila siku nyimbo hizi, kwaya za siku hizi zimebakia na midundo tu na vitu vinavyosisimua hisia wakati zimekosa uvuvio wa roho mtakatifu. Mungu awabariki sana
“Vumilieni simama imala . Yesu yukalibu kucukuwa watu wake “ Nawapenda saana watu wa Mungu ! I was not even born at that time but I am enjoying your songs! God bless you 💕
Kwaya ya Ulyankulu yaniiii ni miongoni mwa waimbaji ninao wakubali nyimbo zao zina ujumbe MUNGU AIBARIKI KAZI YA MIKONO YENU pamoja na UIMBAJI WENU🙏🙏🙏🙏
Nabarikiwa na uimbaji wao. Mungu awabariki walio hai, na wale waliotangulia mbele za haki, Mungu awakumbuke na asahau makosa yao. Hakika mmekuwa baraka kwa kizazi hiki. Naitwa Frank Mangowi. Dar es salaam.
Bwana Mungu awabariki sana. Jamani wangaliki wazima hawa waimbaji? Naweza pata anuani yayo je? Zile enzi ya 1992 kufikia hapa leo tungali na burudika nakufurahia iki kipeo cha njimbo
Tunaoendelea kupata ujumbe huu 2024 weka like kuonesha upendo ❤ wa kutosha kwa wahubiri hawa.
Gonga like kama unawapenda hawa waimbaji 2018
Nawapenda sana japo Mimi ni roman catoric tena sana mama yangu mtu wa Tabora naludia tena nawapenda sana,sana amina
Nahisi kutokwa machozi, Marehem mama yangu mzazi alizipenda sana nyimbo hizi. Barikiweni sana Wana Ulyankulu.
Marehemu mama yangu pia alikuwa akizipenda sana , RIP MAMA
Mama yangu pia alizipenda mno mno hizi nyimbo. Mwenyezi Mungu aendelee kumpumzisha kwa amani Mama. Amina
@@fridasiwingwa9080 HATA MAMA YANGU ALIKUA AKISIKILIZA NA KUTUSIKILIZISHA HZI NYIMBO
PIA AMEFARIKI
ALIACHA KITU KIKUBWA MOYONI MWANGU
Mungu mwem San, nlikuw nmezikariri hizi nyimbo mwanzo Hadi mwisho mungu mkuuuuu 2024.
2024🎉
Legendary choir who agree with me 2022
Nyimbo hizi zinatia faraja na kunkukmbusha mbali...mbarikiwe kila mmoja anaepitia hizi nyimbo...Amen
since 1992 I was still under age and now I m 37still enjoying
I know this feeling. Much love from Kenya🇰🇪🇰🇪
Never heard this yet am 3yrs older than you 😁😁😁
G.O.A.Ts 2024. Waliziimba nyimbo kwa roho na kweli .
Naisikiliza kwaya hii kwa takribani miaka zaidi ya 20, nyimbo zao hazichuji, waliimba katika roho, nasikiliza karibu kila siku nyimbo hizi, kwaya za siku hizi zimebakia na midundo tu na vitu vinavyosisimua hisia wakati zimekosa uvuvio wa roho mtakatifu. Mungu awabariki sana
vumilieni my song since 1996.Anakuja na kila jicho litamwona.Ombi letu tupata uzima wa milele.
❤❤ 2024. Mathayo 24
“Vumilieni simama imala . Yesu yukalibu kucukuwa watu wake “
Nawapenda saana watu wa Mungu !
I was not even born at that time but I am enjoying your songs!
God bless you 💕
kwa kweli Mnastahili tuzo ya Kwaya Bora ya Muda wote ''Hall of Fame''
Ni kweli usemavyo,,,hawa waimbaji sijui nisemeje lakini mungu awabariki popote walipo
Revisiting again in 2024🎉gonga like pliz
Nani anawaangalia hawa wapendwa 2020 gonga like kama tuko pamoja
Best choir ever.. I miss this.. when everything was simple and the songs were ministering..
Kazi nzuri sana. Wimbo huu ni chanzo cha imani yangu, hunileta karibu sana na Mungu. Barikiweni.
Hakika Mungu awabariki na vizazi vyenu mlijitoa kwa mioyo yenu yote kufanya kazi ya bwana mbarikiwe sana 2020 tuko pamoja
choir ya zamani sana, mungu aendelee kuwabaliki imana ibongerere imigisha myinshi
Waimbaji waliimba katika roho na kweli mmbarikiwe sana
My old time favorite choir
Kwa kweli hiyi choir nayipenda kwa sana....tangu mwaka wa 2000 mpaka hivi nafwata nyimbo zawo.Mungu awabariki sana.
Nyimbo zao ni habari njema tosha. MUNGU AWABARIKI HAWA BARABARA 13 SIKU ZOTE ZA MAISHA YAO.. Ameen
I was soo little this songs make me happy and cry 🙏🏼
Wimbo wangu bora sana unanijenga mpaka sasa ni mpya kila siku
My late dad's favourite choir of all time.
Naikubali sana hii kazi .nakumbuka mbali sana .
Enzi zile watu hawakua wanajipodoa ndo wamwimbie Mungu...wako sawa kabisa,kuanzia sauti,mavazi na wimbo...wanaimba kwa hakika.mbarikiwe sana...
Sahv vipodozi Vingi,,hawa walikuwa wanamuimbia mungu sahv wengi wanafanya biashara
Imagine these were refugees from Burundi who settled in Tanzania. Yet they forgot their difficulties and served God! Blessed lot
2020 still my favorite
Kwaya ya Ulyankulu yaniiii ni miongoni mwa waimbaji ninao wakubali nyimbo zao zina ujumbe MUNGU AIBARIKI KAZI YA MIKONO YENU pamoja na UIMBAJI WENU🙏🙏🙏🙏
Ujumbe mzuri sana. hongereni wana Barabara 13 Ulyankulu
Never fading, still sweet in the ears notwithstanding the years
Nyimbo ambazo zilitoka kwa biblia barikiweni sana
2020 like hapa kama umebarikiwa Kama mm
Merci
Sauti nzuri kabisa
Mungu awabariki kwa kazi na juudi mbarikiwe
Nabarikiwa na uimbaji wao. Mungu awabariki walio hai, na wale waliotangulia mbele za haki, Mungu awakumbuke na asahau makosa yao. Hakika mmekuwa baraka kwa kizazi hiki.
Naitwa Frank Mangowi.
Dar es salaam.
Amina mtumishi
Wengi wao wana umri wa miaka 68
Hao ndiyo Wapentekoste halisi
FACT msg, bless servants of God
Napenda nyimbo zenu mbarikiwe
Nawakubali sana mbarikiwe sana 2024
The year is 2002. I was just joining form 1 at Kanyawanga school. The song is so Nostalgic
Kazi yenu ni njema ktk Bwana. Mmekuwa Baraka kubwa kwa kizazi hiki.
Mbalikiwe na Bwana kwa uimbaji mzuri wa kumtukuza Bwana wetu Yesu Kristo. Natamani nikutane na ninyi mbinguni
Hii ni injili kamili kabisa...wanahubiri...Mungu awape mwisho mzuri wa wokovu....Ebr 12;14
Mum from Narok you made this the best wakati tulikuwa wadogo. I love this till today.
Kwaya za Zamani walikuwa wanavaa heshima lakini saizi mmh tumwachie Mungu tukisema tunaambiwa Mungu haangalii mavazi
Huwa nabarikiwa saaaana na hiii kwaya Mungu awabariki saaaaana
Barikiwa Sana na hizi nyimbo 2022-2023
Ooh bwana apewe sifa na utukufu milele na milele amni
This song makes me cry
Mungu azidi kuwa bariki sana
Hiv hawa watu wapo kweli?
Mungu awabariki wanakwaya wote maana mnibariki mimi
super Choir in TZ
yaliyo imbwa ndo tunayasikia yanatokea nihakika mwisho umekalbia niwajib wako ewe mkirstu
Za kale ni dhahabu still am young up to now bado na barikiwa na hizi nyimbo 2021 like here
Hakika MUNGU Awabariki sana waimbaji wimbo huu unanigusa sana moyoni mwangu mubarikiwe
Nawapenda sananyimbo zenu zinanibarik
2023 amen
Best kwaya from alpha to Omega
Naungana na wewe,sidhani kama ilishakuwepo Wala utakuwepo kwaya nyingine Bora kama hii
Pumzika kwa amani Mama yangu, yaani nimekumbuka mbali sana.
Nabarikiwa sana na nyimbo zenu
Wonderful choir. May God bless you. Looking forward to new songs
amina nawapenda , nyimbo zina ujumbe mbalikiwe.
Wow! Ujumbe Mzuri saana, Mungu azidi kuwabariki.
Walioyatabiri yafanyika Sasa: kusalitiana, taifa kupigana na nyingine, manabihi wa uongo, njaa, tetemeko etc.
Tuvumilieni Yesu yu'Karibu!
Nawapenda wote mko vizuri mungu awabariki sanaa
Napenda album yote.....
Nyimbo nzuri
Amen Amen Amen hallelujah
🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼
Amen Mungu awabarik sana sana
Nyimbo ina UPAKO leo na kesho.
wow this is very very old choir
Wananibariki sana hawa waimbaji kwa nyimbo zao kweli hazichuji hata
2019 Mei.... still enjoying
Mbalikiwe kwa uimbaji.nyimbo za faraja watumishi
Amina
2021 still listening
Muli ubiri ukweli wa maisha ya jayo, mu barikiwe saaaaaana
October 2021 naendelea kubarikiwa sana 🙏😇
Uimbaji situation hizi umekuwa Sanaa badala ya kuimba katika roho
Mungu awabariki
Ahsante sana kwaya barabara 13 Ulyankulu Tabora nyimbo zenu mpaka sasa 2022
Awa waliimba ktk roho nakweli ndiomaana muda wowote uweziwachoka kusikiliza nyimbo zako waliona mbali, hivi wanapatikana wapi wanatakiwa tuzo
Barikiwa sana2024
Mwl. wa kwaya Habona Edmudi
2022...baraka tele.
Zinanibariki ❤❤
Hakika MUNGU Awabariki sana waimbaji wimbo huu nifundisho kwawatu wote wenye mwili
Nabarikiwa kila nisilizapo
God bless.
Asante ulyankulu
Nabarikiwa Sana..
In the 90s we had it spotless
Vipawa hivi hakika vitatuzwa... Nakumbuka enzi zile ladha ile ile hata leo
Hii mipigo ya solo iko sawa kabisa
Amina Amina.
Hivi hawa watu kwa nini hawaendi kutembelea sehemu tofauti za dunia mmoja au kundi ,Kama Burundi chimbuko Lao na wakafanyiwe michango?,ingekua vizuri
Wapo vizuri hata sasa
Nyimbohiizi nazipendasaana
Bwana Mungu awabariki sana. Jamani wangaliki wazima hawa waimbaji? Naweza pata anuani yayo je? Zile enzi ya 1992 kufikia hapa leo tungali na burudika nakufurahia iki kipeo cha njimbo