Mapigano Ulyankulu Kwaya Safari Yao Waisrael Official Video

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 15 бер 2014
  • Safari Yao Waisrael By Mapigano Ulyankulu Kwaya

КОМЕНТАРІ • 97

  • @deboramsangi360
    @deboramsangi360 3 місяці тому +16

    2024 bado tunasikiliza tunapata nguvu mpya. Enzi hizo hakina mekap wala poda na walipendeza. Ndio ile hatukupambwa kama wao tukapendeza zaidi yao ya Ambwene

  • @ntimifrank2770
    @ntimifrank2770 5 років тому +23

    hawakuhiaji mavazi mavuri, wala kalikiti na nywele ndefu, hawakuhitaji mafuta ya kubadili ngozi, hawakuhitaji vito vya dhahabu maskion wala shingoni mwao, kila walipokua waliwakwenda na watoto wao, hawakuhitaji backup ili watoe sauti hawa wapendwa hakika walikua na MUNGU aliye HAI. Kizazi hiki hakijaonekana tena, I miss old Days

  • @peterchristian-rv6xo
    @peterchristian-rv6xo Місяць тому +1

    Hakika kazi ya mungu mliifanya vizuri na mliotangulia mbele za haki mungu awakumbuke

  • @evanceernest256
    @evanceernest256 3 місяці тому +6

    Glory be to God🙏 ...missed this songs... April 2024

  • @peterchristian-rv6xo
    @peterchristian-rv6xo Місяць тому +2

    Mungu awabariki sana kwa kazi nzuri na waliotangulia mbele za haki awarehemu hakika nyimbo zenu zinanibariki sana

  • @kingnikhmanay2707
    @kingnikhmanay2707 6 років тому +11

    Nitie nguvu Ee BWANA YESU ktk safar yangu nifike salama Jerusalem Mpya.amen

  • @donaldmmary4762
    @donaldmmary4762 6 років тому +13

    Hii kwaya ukiangalia unahisi upo mbinguni

  • @mwalimurono5595
    @mwalimurono5595 2 роки тому +8

    The song has stood the test of times, still blessing us

  • @leticiamakoye4871
    @leticiamakoye4871 Місяць тому

    Amina hakika rirudi ktk muonekano huu

  • @BlessBawitevanneau-nk4eh
    @BlessBawitevanneau-nk4eh Місяць тому

    Nabarikiwa sana kupitiya nyimbo hizo

  • @lucyjohn7904
    @lucyjohn7904 5 років тому +7

    Kweli Hawa waliimba Kwa kumaanisha,Roho aliimba ndani Yao,naomba nijifunze kwao

  • @derickjuma4251
    @derickjuma4251 2 місяці тому +1

    ❤❤❤ nyimbo za kusikiliza mda wot

  • @elizabethcharles6278
    @elizabethcharles6278 6 місяців тому +1

    Namshukuru sana baba yangu na kumkumbuka nikisikia nyimbo hizi tena zinagusa moyo wangu sana

  • @miriyamasanja73
    @miriyamasanja73 7 років тому +11

    kweli hawa walikua watu wa mungu mbarikiwe

    • @jestonjonas5591
      @jestonjonas5591 6 років тому +1

      waimbaj wa SK hiz wajifunze kwa hawa,siyo kujipodoa utadhan wanamwimbia mtu wa fulan Mungu haangalii sura anaangalia moyo tu

  • @kembero
    @kembero Рік тому +4

    Nilikuzwa na hizi nyimbo. Zinanikumbusha mengi sana. Miaka ya 2001-2002 nikiwa bado mchanga.

  • @adrophinamwanguse1510
    @adrophinamwanguse1510 Рік тому +1

    Nakumbuka MDA mrefu dada emu temba mungu akulaze Mahali pema malayakwanza kusikia nyimbo hizi tulikuwa wote tukielekea shinyanga

  • @rw161musamvu5
    @rw161musamvu5 2 місяці тому +1

    Nyimbo hizi ni zamwaka gani nauliza nawapenda saana

    • @DativaMbowe
      @DativaMbowe 2 місяці тому +1

      98

    • @rarirover44
      @rarirover44 2 місяці тому +1

      @@DativaMboweduh aiseee nawakumbuka kama vile leo aiseee wako moyoni walikuwa wabunifu mnooo! sijui wako wapi sasa hivi 😢

    • @DativaMbowe
      @DativaMbowe 2 місяці тому

      @@rarirover44 yaani inanigusa Sana kwaya hii

  • @loycekemuma2122
    @loycekemuma2122 4 місяці тому

    Iko sawa

  • @fredrickonyango5038
    @fredrickonyango5038 2 місяці тому

    True gospel songs that uplifts spiritual soul

  • @deomwanicheta553
    @deomwanicheta553 3 роки тому +3

    Nakumbuka mbali sana kwa kweli sitachoka kuaangalia nyimbo hizi

  • @gladnesisrael5515
    @gladnesisrael5515 Рік тому +1

    Nlianza kusikia hizi nyimbo tangu 1998 kipind hcho hakuna CD, ni kanda za tape, za radio cassette. Nyimbo nzuri sana

  • @bonahfidequeen10
    @bonahfidequeen10 2 роки тому +3

    I just came from my childhood memories. Deep nostalgia

  • @kipletingtanui217
    @kipletingtanui217 2 роки тому +3

    Thanks to our Dad he used to play this songs 2001, good songs with great messages. Congratulations Unyanguli Songs choir.

  • @eddonics7865
    @eddonics7865 6 років тому +3

    Tizama vile wamevaa, wanavyoimba hadi raha nilitamani sana niwe kipindi hicho

  • @emanueljohn5787
    @emanueljohn5787 6 років тому +2

    Hawa Wali kuwa ndo waimbaji wa mungu

  • @andrewshayo5612
    @andrewshayo5612 2 місяці тому

    Toka nikiwa mdogo sijui kuhesabu miaka had leo 2024

  • @thomasschone4134
    @thomasschone4134 3 роки тому +1

    Hawa ndio waliomuimbia mungu

  • @charlesmwalongo4568
    @charlesmwalongo4568 6 місяців тому

    Hapa ni kabla ya shetani hajaja duniani.

  • @neemajulius8017
    @neemajulius8017 Рік тому +1

    Dah nimekumbuka mbali sana Mungu awapumzshe kwa Aman wazazi wangu nashkur kwajili yenu mlinifny nizijue izi nyimbo ambazo sas ni Faraj kwangu🙏

  • @EmmanuelMikael-in1ej
    @EmmanuelMikael-in1ej Рік тому

    Hii kwaya inanikumbusha nipo mdogo sana mungu aliwatia nguvu sana kupitia nyimbo inukeni tena watu wa mungu

  • @yulithalugaba9552
    @yulithalugaba9552 4 роки тому +3

    Was very awesome choir, still awesome, will be awasome forever!!! You used to bless be those days when we're still using Radio Cassettes

  • @childofgodthroughjesuschri3326
    @childofgodthroughjesuschri3326 6 років тому +2

    Yaani hizo sauti jamani wamebarikiwa

  • @josephwabwire1276
    @josephwabwire1276 6 років тому +2

    Wamama wasiku hizi wangapi wnaeza jitolea kumuimbia mwenyezi mungu wakiwa wamewafunga watoto wao kwa shingo zao?Hanna mungu aonekanie familia za hawa waimbaji popote walipo.

  • @kibagengeonlineservices6038
    @kibagengeonlineservices6038 4 роки тому +5

    i really love this hearing these songs really brings out the happiness in me

  • @amanimwakilembe791
    @amanimwakilembe791 6 років тому +4

    Still my favorite gospel song in 2018.. Hongereni sana Kwaya ya Mapigano Ulyankulu, mwenyezi Mungu awabariki sana.

  • @rukiandunguru1462
    @rukiandunguru1462 8 місяців тому

    Usianguke ❤

  • @misheckchapewa5895
    @misheckchapewa5895 7 років тому +3

    Mungu awabariki kwa nyimbo zenu.

  • @fei3668
    @fei3668 6 років тому +1

    Daah nakumbuka mbal sana

  • @victormajenge1173
    @victormajenge1173 7 років тому +2

    Duuu Mungu aendelee kuwabariki sana mliopo bado muendelee na utumishi..

  • @lydiamasoya8344
    @lydiamasoya8344 3 роки тому +1

    Barikiweni sana na Mungu wetu niyi watu mnnanibariki saaaaaana Amina

  • @jamesjerome9476
    @jamesjerome9476 9 років тому +7

    You guys remind me 20yrs ago, u are awesome

  • @paschalmartin7714
    @paschalmartin7714 6 років тому +1

    Mbarikiwe sana kwa ujumbe wa neno la Mungu mnaoutoa kwa njia ya nyimbo mkiwa na watoto migongo kweli mlijitoa kwa roho na kweli

  • @davidimmael1300
    @davidimmael1300 2 роки тому +1

    Mlee mtoto katika njia impasayo naye hataicha hata atakapokuwa mzee.....kiukweli hizi nyimbo zilifanya nimjue Yesu kipind cha utotoni hadi sasa......

  • @samsonsanya8314
    @samsonsanya8314 2 роки тому +2

    Cina chakuwapa ila MUNGU awazidishie ck Akuishi maana huu niwito wakuimba

  • @mulangalirojosue405
    @mulangalirojosue405 Місяць тому

    Kila mwaka hua nasikiya hizi nyimbo

  • @EdwardMbaye
    @EdwardMbaye 2 місяці тому

    Wamenikumbusha mbali Sana tabora kipindi hicho wamekuja ng'ambo

  • @humphreyenden4627
    @humphreyenden4627 2 роки тому

    Daaaaaaaaa Namkumbaaa sana Mama Alinunuaaa kandaa ya hiiii kwaya bhasssss mwezi mzimaaaa n nyimbo hz tyuuuuu

  • @Mhandisi2008
    @Mhandisi2008 7 місяців тому

    Aisee nimekumbuka mbali sana, Kila jumapili mama alikuwa anapamba sebule yake Kwa vitambaa vya kufuma na nyuzi alafu anaweka hizi nyimbo kwenye radio ya cassette, hapo tumetoka kanisani baada ya kwenda Kwa kulazimishwa....😅😅😅😅

  • @renatasimon3311
    @renatasimon3311 6 років тому +1

    M'barikiwe wapendwa wa Mungu

  • @EmmanuelMikael-in1ej
    @EmmanuelMikael-in1ej 6 місяців тому

    Hizi kwaya zinznikumbusha nipo mdogo sana.

  • @user-od3ll1tc1w
    @user-od3ll1tc1w Рік тому

    👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍

  • @patrickogoti8636
    @patrickogoti8636 6 місяців тому

    Amen

  • @paschalmartin7714
    @paschalmartin7714 6 років тому +1

    Kweli mlikuwa waimbaji wazuri

  • @anithapaul3249
    @anithapaul3249 7 років тому +3

    mbalikiwe sana

  • @benedictlukas5387
    @benedictlukas5387 2 роки тому

    Nakumbuka mbali xana barkiwen watumish wa mungu

  • @samwelndabila6630
    @samwelndabila6630 6 років тому +2

    Daaa!!! Napenda sana

  • @ombenisomi2210
    @ombenisomi2210 8 років тому +6

    Hehehehe am so happy with these songs, daah full of anointing

  • @johnmukunzimoses7921
    @johnmukunzimoses7921 Рік тому

    Ninawapenda sana nyimbo hizo nirikuwa nikizisikiriza nikiwa mtoto

  • @untidiucymbwilo1754
    @untidiucymbwilo1754 6 років тому +1

    njema sana kitambo mno.

  • @clementbankuwiha8877
    @clementbankuwiha8877 6 років тому +1

    aise ,haijawahi kutokea kwaya kama hii mpka mwisho wa dunia

  • @venniechep7309
    @venniechep7309 6 років тому +3

    hearing these songs really brings out the happiness in me

  • @alexanderlwinga6029
    @alexanderlwinga6029 2 роки тому

    Nimefarijika saaana nawimbo huu wa zama hizo!!

  • @hellen9056
    @hellen9056 11 місяців тому

    Mungu awabariki sana mmehubili injili sana

  • @raymondmainamugure204
    @raymondmainamugure204 7 років тому +4

    Great Great singers indeed.

  • @silyvya2408
    @silyvya2408 2 роки тому

    Niliisikiliza mwaka 2003 Bado naipenda sana

  • @destinimani6745
    @destinimani6745 2 роки тому

    Kwa kweli hii choir ina mafundisho ya ya Mungu

  • @reaganzakaria3491
    @reaganzakaria3491 Рік тому

    Mungu awabariki watumishi wa Mungu

  • @mwanaishamghwai5181
    @mwanaishamghwai5181 Рік тому

    Eeeeh acha watekee

  • @esterlogose
    @esterlogose 2 місяці тому

    Nikiangalia huwa naishia kulia maana inanikumbusha marehemu tulipokuwa wadogo alikuwa anasikiliza akiwa nyumbani anafanya kazi zake, akiwa anapika au anafua alikuwa akisikiliza pia inanikumbusha familia yetu tulipokuwa tunaishi wote kabla yakusambaa, kwakweli naumia sana nasikia furaha na uzuni pia

  • @oscarlukabile6112
    @oscarlukabile6112 7 років тому +3

    I lyk diz songs

  • @jordanbenard4361
    @jordanbenard4361 9 місяців тому

    Respect. TZ gospel artists.❤

  • @leonardnicolaus2758
    @leonardnicolaus2758 2 роки тому

    Da! Hatari sana

  • @davidpeter9014
    @davidpeter9014 6 років тому +1

    looking you're way,,,, exactly

  • @bernardmaloko9558
    @bernardmaloko9558 Рік тому

    hili kanisa wanalosali hawa wanakwaya lipo wapi?

  • @Marlyak
    @Marlyak 8 місяців тому

    Can someone translate this song for me

  • @lucybilly6683
    @lucybilly6683 3 роки тому +1

    ❤❤

  • @fabianemmanuel6253
    @fabianemmanuel6253 7 років тому

    nzurii

  • @mbogela1
    @mbogela1 2 роки тому

    Hivi Ulyankulu Barabara ya 13 na Ulyankulu Mapigano zilikuwa Kwaya mbili za Makanisa mawili Tofauti au walitoka kaisa Moja? na Je ni Kweli kuwa hizi kwaya ziliundwa na wakimbizi?

    • @niragirajanvier6775
      @niragirajanvier6775 3 місяці тому

      Yes izi choir mbili zilihundua nawa kimbizi kutoka Burundi

  • @damarisikai-2397
    @damarisikai-2397 Рік тому

    Nice

  • @leaditina9643
    @leaditina9643 3 роки тому

    💖💖💖💖

  • @anithapaul3249
    @anithapaul3249 7 років тому +1

    😍😍😍😍

  • @neemasubeth1502
    @neemasubeth1502 7 років тому

    fil blecd

    • @titojonathani2700
      @titojonathani2700 6 років тому

      kati ya vitu ambavyo havina grantee ni nyimbo za inijli