Zaidi ya wakulima 300 nchini wanufaika na mkopo wa matrekta
Вставка
- Опубліковано 3 бер 2023
- Wakulima 330 kutoka maeneo mbalimbali nchini, wamepata mkopo wa trekta katika kipindi cha mwaka mmoja wa 2022 kupitia mpango wa matumizi bora ya zana za kilimo na fedha unaoendeshwa na Taasisi ya Fedha ya EFTA iliyo chini ya Benki Kuu ya Tanzania.
Vipi kwa wakaazi wa Zanzibar, wanaweza kufaidika na mkopo huo,
Masharti yake yakoje
Trekta hiyo ina thamani gani.
Je kuna kima chochote unachotakiwa kutanguliza kwani nami ni muhitaji wa mkopo huo
Naomba kuwasiliana
George Daisoni Kabuka
Naomba namba ya mawasiliano nipo Dodoma mjini kata ya Michese
Bei.tuambie
Mbona hakuna namba ya mawasiliano,. tutawasiliana vipi
Bei ya trekta ni shilingi ngapi
Utalatibu
Naomba namba
Wekani na namba ya mawasiliano
Nami nahitaji
Masharti ni yepi?
Talaatibu zake kupata trekita
Naomba mawasiliano
Mawasiliano napataje