Serikali ya Samia inafuatilia sana matumizi ya pesa... Kama wapigaji wapo, ni wachache... Na mradi wa daraja hili umeanza kwa miaka minne lakini mpaka sasa haujakamilika! Mama Samia hajatimiza hata mwaka mmoja tu akiwa madarakani! Je, wapigaji wameanza leo au walikuwepo hata Enzi za Magu?
Wapigaji walikuwepo hata Enzi zile. Watz tuwe Wazalendo... Tunajichelewesha wenyewe... Hii ni aibu... Nchi si ya Rais pekee yake... Kila mmoja awajibike katika kujenga Taifa letu...
Viongozi wanaangalia 2 wako kimya rais yupo na safari zake mradi akope pesa anawapa mafisadi rais hana muda wa kufuatilia shughuli za nchi yake yupo bize kufuatilia nchi za watu (R.I.P. MAGUFULI )
Contractor s wanaochelewesha ujenzi wawe wanatozwa fine kwa kuharibu Vyombo na muda wa wananchi Kwa sababu ya Uzembe wao. Hata kama ni TARURA walipe fidia kwa wananchi ndio watajua maana ya kumaliza projects Kwa wakati.
Hili daraja limeanza kwa miaka 4, lakini bado halijakamilika... Samia amekaa madarakani kwa miaka mingapi sasa? Mbona upigaji ulikuwepo hata Enzi za Magu?! Huu mradi ni thibitisho tosha kuonesha hili... Acheni kuilaumu Serikali ya Samia, Wapigaji imewakuta, lakini imefuatilia sana... Kila mtu awajibike, tunajenga Nchi yetu, tusijikwamishe sisi wenyewe...
mfuatiliaj wa haya madudu alikuw Magufuli huyu mama hajui chochote ila chaajabu ikfka 2025 utashangaa majinga yanampigia kura na anapta tena kwa kishindo cha ajabu
nadudu yapo ya kutosha na hayaishi haswa kina mama wenzangu wanaodanganyiwa vikanga vya njano na vitishert ndo wanaotidinganya mambo, kitu kingine haohao wanaojifanya ngazi ya juu ndo wapitishaji wa rais wamtakao sasa unafikili tutafanyaje? ila mie huwa nachukuwa cardi ya kura tu mengine wasiniulize
Wakati wa Mwendazake haya madudu hayakuwepo? Ujenzi wa daraja hili umeanza kwa miaka miine, na bado haujakamilika... Enzi za nani hizo ? Acheni unafiki...
Comments za kijinga kabisa... Rais anafanya kazi nzuri na kubwa... Ninyi endeleeni kujihujumu wenyewe na kuponda vya kwenu... Samia atakamilisha mihura yake miwili kwa heshima na maisha yake ya baadaye yatakuwa mazuri sana, yy na familia yake! Lakini ninyi na vizazi vyenu mtabaki kuozea kwenye umasikini huo mliojisababishia wenyewe... Shame on you!
Madaja gani. Sasahivi vifaa vya ujenzi vinauzwa na mafundi Hakuna mfuatiliaji. Anakuta cement na nondo zinauzwa mtaani Kama karanga na wananchi wajinga wana nunua kwa bei chee. Bila kujali wao ndio watakao athirika
Ww sio mfuatiliaji, pengine hauna bando la kutosha! Barabara ngapi zinazojengwa vijijini sasa? Madaraja mangapi yanayojengwa mikoani leo? Vituo vya afya vingapi vinavyojengwa Nchi nzima? Miradi ya maji mingapi inaosambaa Tanzania nzima? Madarasa mangapi yamekamilika siku za nyuma Nchini kote? Niishie hapo tu! Labda ww ni kipofu, maana huoni au hutaki kuona ?! Nchi yako imejengwa, ndugu ! Ungekuwa mzalendo, ungejivunia hilo!
Saiv Serikali pesa inatoa ila wizara zinapiga tu RIP Magufuli 😭
Serikali ya Samia inafuatilia sana matumizi ya pesa... Kama wapigaji wapo, ni wachache... Na mradi wa daraja hili umeanza kwa miaka minne lakini mpaka sasa haujakamilika! Mama Samia hajatimiza hata mwaka mmoja tu akiwa madarakani! Je, wapigaji wameanza leo au walikuwepo hata Enzi za Magu?
@@j.c.maxima816 hata akitimiza miaka kama hakna atakachofanya huyo Swala
Nikitoka huku Turkey nitaenda kutembelea kaburi na shuujaa Wetu Magufuli
Miaka 4 halijakamilika na yeye alikuwepo
@@itwaaky75 Ila alikamilisha mangap?
Wenye chuki wtakujibu kunya ila Magufuli alitenda memo mno mnyonge mnyongeni lkn haki tumpeniii
Wapigaji walikuwepo hata Enzi zile. Watz tuwe Wazalendo... Tunajichelewesha wenyewe... Hii ni aibu... Nchi si ya Rais pekee yake... Kila mmoja awajibike katika kujenga Taifa letu...
Viongozi wanaangalia 2 wako kimya rais yupo na safari zake mradi akope pesa anawapa mafisadi rais hana muda wa kufuatilia shughuli za nchi yake yupo bize kufuatilia nchi za watu (R.I.P. MAGUFULI )
Hizi hela zilisha tolewa enzi za magufuli. Ila walipo ona magufuli hayupo tena wakasema asante ibilisi
@@bjzee1981 🤣🤣 Eti Asante Ibilisi
Usimfanye Magufuli km Mungu mtu yy mwenyewe alikuwa mwizi
Mh namkumbuka Na mdogo wangu jaman trecta ilimuua Mungu ailaze roho yake mahar pema pepon
Hiyo chuma ya pili yenye tela ni Massey figuson mwingireza huyo chuma Cha pia hicho
Hiyoo chuma sehem ambayoo itakwama bas wew usitie mguu aisee
Hi watu wa Mungu. Naomba sana support this gospel artist Vaileth. Bonyeza link hii kusikiliza nyimbo yake
ua-cam.com/video/4NJlyOmIlk4/v-deo.html
Ili iweje sasa?
Contractor s wanaochelewesha ujenzi wawe wanatozwa fine kwa kuharibu Vyombo na muda wa wananchi Kwa sababu ya Uzembe wao. Hata kama ni TARURA walipe fidia kwa wananchi ndio watajua maana ya kumaliza projects Kwa wakati.
Huyu wa pili wa massay ferguson dahhh ni hatari!!! Ni ndogo lkn ina nguvu kubwa sana!!!
Tairi bado halijawa flat
Izoo chuma zinaa 4wheel Kali saanaa kama ya Tdi
Ndo show zetu izo uku mbaral mkoa wa Mbeya
Hahaha 😂 Samia Hana mpango na nchi yupo marekani,😂🤣
Hii Clip atumiwe Rais Samia aone jinsi watu wake walivyokuwa Wazembe kazini. Kama ni hela hakuna waseme lakini sio kusumbua watu kiasi hiki
Watu wanapambana sana, hali io mtihani hata kupiga kazi
Hili daraja limeanza kwa miaka 4, lakini bado halijakamilika... Samia amekaa madarakani kwa miaka mingapi sasa? Mbona upigaji ulikuwepo hata Enzi za Magu?! Huu mradi ni thibitisho tosha kuonesha hili... Acheni kuilaumu Serikali ya Samia, Wapigaji imewakuta, lakini imefuatilia sana... Kila mtu awajibike, tunajenga Nchi yetu, tusijikwamishe sisi wenyewe...
Kwaufupi Hayo Ýooote Tuyaonayo Niukosefu Subra Namaarifa Sahihi Yamatumizi Yavyombo
Me sirudi tena huko!! Au nimesikia vibaya jamani!
Northern, zone wapambanaji sana, watu wa shughuli kubwa.. wengine wanauza visiwa vyao.....
😭 Bei kwa mkulima ndogo Sana hata operating cost hairudi 😭
Napenda mambo ya kilimo, natamani siku 1 nije kumiliki bonge la shamba, pole dereva hadi uruma.
Naomba no yako hata mm napenda kilimo tunaweza kufanya jambo kwa pamoja
@@bznznbznjznz1147 nijurishe muda nikupe ukisha ipata nifute.
mfuatiliaj wa haya madudu alikuw Magufuli huyu mama hajui chochote ila chaajabu ikfka 2025 utashangaa majinga yanampigia kura na anapta tena kwa kishindo cha ajabu
nadudu yapo ya kutosha na hayaishi haswa kina mama wenzangu wanaodanganyiwa vikanga vya njano na vitishert ndo wanaotidinganya mambo, kitu kingine haohao wanaojifanya ngazi ya juu ndo wapitishaji wa rais wamtakao sasa unafikili tutafanyaje? ila mie huwa nachukuwa cardi ya kura tu mengine wasiniulize
Wakati wa Mwendazake haya madudu hayakuwepo? Ujenzi wa daraja hili umeanza kwa miaka miine, na bado haujakamilika... Enzi za nani hizo ? Acheni unafiki...
Mi sirudiii tena misri naenda caanan
Daaa, yataka Moyo🙆😢
Duuu Kaz kwelikweli
Sirudi tena misri naenda kanani😂😂🙌
Ni wapi hapo
Hilo tractor halina nguvu kbs nunueni Massey fugason mbona mwingine kapita kirahisi
Raisi kutwa kupaa uraya nchi inadoda magufuli tunamkumbuka kweli
Raisi Hana kosa Bali kosa ni la usalama was taifa ndy wanampangia safari
Comments za kijinga kabisa... Rais anafanya kazi nzuri na kubwa... Ninyi endeleeni kujihujumu wenyewe na kuponda vya kwenu... Samia atakamilisha mihura yake miwili kwa heshima na maisha yake ya baadaye yatakuwa mazuri sana, yy na familia yake! Lakini ninyi na vizazi vyenu mtabaki kuozea kwenye umasikini huo mliojisababishia wenyewe... Shame on you!
Chuma za pori kwa pori hizo baba😄
Nakweli mnateseka sana wakulima ata mimi nshateseka sana
Ngoja nirudi toka ufaransa kwanza😀😀😀
Daraja limeanza kujengwa miaka mi4 magufuli akiwepo 2018
Ila nilipambana sana,lilitaka kuniletea upuuzi
Mnyama Fiat umekatisha kama Aina Akili nzuri
Halafu hao wanaojenga barabara wamekaa tu hapo na magreda bila kusaidia!!!
Afunge chain
Akishindwa kutumia hata lock diff
Iyoo ya pili 4wheel hainaa sijui inapambanajee na visikii shambanii
Hatali
Kwani huyu ana endesha tractor minguu tupu bola viatu
Afunge chain akicheza litamponda
Mbona hakuna jipya
Mbunge wao sijui anaona kinachoendelea hapo!?
Yani uku mvua zikinyesha ataa usafir ni shida hatuna viongozi kabisa
Pia nunuenni tractor za 4willdrive ndio nzuri huko porini
Zinaitwaje
Madaja gani. Sasahivi vifaa vya ujenzi vinauzwa na mafundi Hakuna mfuatiliaji. Anakuta cement na nondo zinauzwa mtaani Kama karanga na wananchi wajinga wana nunua kwa bei chee. Bila kujali wao ndio watakao athirika
Anachotaka kufia nini jamani mbona hatari
Wanaume wa shughuli hao, ukiacha hapo kwa mkondo wa maji, huko mvua inanyesha... ofisi ya mtu hiyo
hizo tairi za nyuma zimeisha na ndio maana anaangaika hapo
Tyre chakavu ford iko poa
Zijue Siri za kwenye Ulinzi wa Marais wa Nchi.
ua-cam.com/video/vqPUUr5gWHA/v-deo.html
#UziSession #ExecutiveProtecton
Waandishi mjitafakari, mmeshindwa kuwapata watu wa serikali muwaulize kwa nini ujenzi upo slow?
Aise uyu mtangazaji wa arusha wa milard ayo hamnakitu apo hanaga habari zaidi za watu na matrekta kama ivo
Kwa serikali ya huyo sasa eh tutaona mengi
Amesema miaka mi4 haijakamilika, huyo magufuli si alikuwepo
@@itwaaky75 nchi hii cha msingi upate milo mitatu na mahali pa kuishi hayo mengine hayana ulazima😂😂
Ni mkoa gan iv uku?
Usitizame filamu iyi ukiwa na watoto wadogo 🤭ua-cam.com/video/KFawskkVrXM/v-deo.html
Weka nayakutolea
Aliingiaje?
Huyo anataka kupita
Ibeni hzo nondo.
Imelazimu kufungua disc zote kulipunguzia uzito
Hapo disc zimetolewa kwasababu tractor inaponyanuka mbele disc zinachimba kwa hiyo Ni vigumu kutoka
DU!WANAVIJIJI TUNATESEKA TUNALIPA KODI LAKINI HATUONI MATUNDA YA KODI ZETU TUNA SIKIA DAR ESALAMU KILA KITU SIJUI WOTE TUHAMIE MIJINI?!
Ww sio mfuatiliaji, pengine hauna bando la kutosha! Barabara ngapi zinazojengwa vijijini sasa? Madaraja mangapi yanayojengwa mikoani leo? Vituo vya afya vingapi vinavyojengwa Nchi nzima? Miradi ya maji mingapi inaosambaa Tanzania nzima? Madarasa mangapi yamekamilika siku za nyuma Nchini kote? Niishie hapo tu! Labda ww ni kipofu, maana huoni au hutaki kuona ?! Nchi yako imejengwa, ndugu ! Ungekuwa mzalendo, ungejivunia hilo!