TAZAMA TREKTA ILIVYOZAMA KWENYE MTO DEREVA AKAPAMBANA NAKUITOA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 85

  • @009biafra8
    @009biafra8 2 роки тому +11

    Saiv Serikali pesa inatoa ila wizara zinapiga tu RIP Magufuli 😭

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 2 роки тому

      Serikali ya Samia inafuatilia sana matumizi ya pesa... Kama wapigaji wapo, ni wachache... Na mradi wa daraja hili umeanza kwa miaka minne lakini mpaka sasa haujakamilika! Mama Samia hajatimiza hata mwaka mmoja tu akiwa madarakani! Je, wapigaji wameanza leo au walikuwepo hata Enzi za Magu?

    • @009biafra8
      @009biafra8 2 роки тому

      @@j.c.maxima816 hata akitimiza miaka kama hakna atakachofanya huyo Swala

  • @009biafra8
    @009biafra8 2 роки тому +10

    Nikitoka huku Turkey nitaenda kutembelea kaburi na shuujaa Wetu Magufuli

    • @itwaaky75
      @itwaaky75 2 роки тому

      Miaka 4 halijakamilika na yeye alikuwepo

    • @009biafra8
      @009biafra8 2 роки тому

      @@itwaaky75 Ila alikamilisha mangap?

    • @munaahmed8499
      @munaahmed8499 2 роки тому

      Wenye chuki wtakujibu kunya ila Magufuli alitenda memo mno mnyonge mnyongeni lkn haki tumpeniii

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 2 роки тому

      Wapigaji walikuwepo hata Enzi zile. Watz tuwe Wazalendo... Tunajichelewesha wenyewe... Hii ni aibu... Nchi si ya Rais pekee yake... Kila mmoja awajibike katika kujenga Taifa letu...

  • @elibarikimiage6204
    @elibarikimiage6204 2 роки тому +9

    Viongozi wanaangalia 2 wako kimya rais yupo na safari zake mradi akope pesa anawapa mafisadi rais hana muda wa kufuatilia shughuli za nchi yake yupo bize kufuatilia nchi za watu (R.I.P. MAGUFULI )

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 2 роки тому +3

      Hizi hela zilisha tolewa enzi za magufuli. Ila walipo ona magufuli hayupo tena wakasema asante ibilisi

    • @rajafatmahramadhan6940
      @rajafatmahramadhan6940 2 роки тому +3

      @@bjzee1981 🤣🤣 Eti Asante Ibilisi

    • @seifabdulwahid4579
      @seifabdulwahid4579 2 роки тому

      Usimfanye Magufuli km Mungu mtu yy mwenyewe alikuwa mwizi

  • @modestersalmon7764
    @modestersalmon7764 2 роки тому

    Mh namkumbuka Na mdogo wangu jaman trecta ilimuua Mungu ailaze roho yake mahar pema pepon

  • @mwinyikadhi2870
    @mwinyikadhi2870 2 роки тому +5

    Hiyo chuma ya pili yenye tela ni Massey figuson mwingireza huyo chuma Cha pia hicho

    • @ramsikhamis7083
      @ramsikhamis7083 2 роки тому

      Hiyoo chuma sehem ambayoo itakwama bas wew usitie mguu aisee

  • @Bayothomusic
    @Bayothomusic 2 роки тому +11

    Hi watu wa Mungu. Naomba sana support this gospel artist Vaileth. Bonyeza link hii kusikiliza nyimbo yake
    ua-cam.com/video/4NJlyOmIlk4/v-deo.html

  • @ameedamilja7992
    @ameedamilja7992 2 роки тому +9

    Contractor s wanaochelewesha ujenzi wawe wanatozwa fine kwa kuharibu Vyombo na muda wa wananchi Kwa sababu ya Uzembe wao. Hata kama ni TARURA walipe fidia kwa wananchi ndio watajua maana ya kumaliza projects Kwa wakati.

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 2 роки тому +4

    Huyu wa pili wa massay ferguson dahhh ni hatari!!! Ni ndogo lkn ina nguvu kubwa sana!!!

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 2 роки тому +2

    Ndo show zetu izo uku mbaral mkoa wa Mbeya

  • @ayoublupande3007
    @ayoublupande3007 2 роки тому +1

    Hahaha 😂 Samia Hana mpango na nchi yupo marekani,😂🤣

  • @ameedamilja7992
    @ameedamilja7992 2 роки тому +9

    Hii Clip atumiwe Rais Samia aone jinsi watu wake walivyokuwa Wazembe kazini. Kama ni hela hakuna waseme lakini sio kusumbua watu kiasi hiki

    • @TheNdaki
      @TheNdaki 2 роки тому

      Watu wanapambana sana, hali io mtihani hata kupiga kazi

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 2 роки тому

      Hili daraja limeanza kwa miaka 4, lakini bado halijakamilika... Samia amekaa madarakani kwa miaka mingapi sasa? Mbona upigaji ulikuwepo hata Enzi za Magu?! Huu mradi ni thibitisho tosha kuonesha hili... Acheni kuilaumu Serikali ya Samia, Wapigaji imewakuta, lakini imefuatilia sana... Kila mtu awajibike, tunajenga Nchi yetu, tusijikwamishe sisi wenyewe...

  • @nurdinmfamau3493
    @nurdinmfamau3493 2 роки тому +2

    Kwaufupi Hayo Ýooote Tuyaonayo Niukosefu Subra Namaarifa Sahihi Yamatumizi Yavyombo

  • @georgemhalla8853
    @georgemhalla8853 2 роки тому +3

    Me sirudi tena huko!! Au nimesikia vibaya jamani!

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 2 роки тому +4

    Northern, zone wapambanaji sana, watu wa shughuli kubwa.. wengine wanauza visiwa vyao.....

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 2 роки тому +1

    😭 Bei kwa mkulima ndogo Sana hata operating cost hairudi 😭

  • @aishaamwalimu2887
    @aishaamwalimu2887 2 роки тому

    Napenda mambo ya kilimo, natamani siku 1 nije kumiliki bonge la shamba, pole dereva hadi uruma.

    • @bznznbznjznz1147
      @bznznbznjznz1147 2 роки тому

      Naomba no yako hata mm napenda kilimo tunaweza kufanya jambo kwa pamoja

    • @aishaamwalimu2887
      @aishaamwalimu2887 2 роки тому

      @@bznznbznjznz1147 nijurishe muda nikupe ukisha ipata nifute.

  • @frans_dede
    @frans_dede 2 роки тому +1

    mfuatiliaj wa haya madudu alikuw Magufuli huyu mama hajui chochote ila chaajabu ikfka 2025 utashangaa majinga yanampigia kura na anapta tena kwa kishindo cha ajabu

    • @hamiduhamisi2371
      @hamiduhamisi2371 2 роки тому

      nadudu yapo ya kutosha na hayaishi haswa kina mama wenzangu wanaodanganyiwa vikanga vya njano na vitishert ndo wanaotidinganya mambo, kitu kingine haohao wanaojifanya ngazi ya juu ndo wapitishaji wa rais wamtakao sasa unafikili tutafanyaje? ila mie huwa nachukuwa cardi ya kura tu mengine wasiniulize

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 2 роки тому

      Wakati wa Mwendazake haya madudu hayakuwepo? Ujenzi wa daraja hili umeanza kwa miaka miine, na bado haujakamilika... Enzi za nani hizo ? Acheni unafiki...

  • @shellasalum1443
    @shellasalum1443 2 роки тому

    Mi sirudiii tena misri naenda caanan

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 2 роки тому

    Daaa, yataka Moyo🙆😢

  • @dicksonnghwenzi283
    @dicksonnghwenzi283 2 роки тому

    Duuu Kaz kwelikweli

  • @shedrackmwandry2309
    @shedrackmwandry2309 2 роки тому

    Sirudi tena misri naenda kanani😂😂🙌

  • @emmanuelmwaikimba8215
    @emmanuelmwaikimba8215 2 роки тому +1

    Ni wapi hapo

  • @josephandrew3444
    @josephandrew3444 2 роки тому

    Hilo tractor halina nguvu kbs nunueni Massey fugason mbona mwingine kapita kirahisi

  • @ludobudege1662
    @ludobudege1662 2 роки тому +1

    Raisi kutwa kupaa uraya nchi inadoda magufuli tunamkumbuka kweli

    • @abdulazizmwipi9295
      @abdulazizmwipi9295 2 роки тому

      Raisi Hana kosa Bali kosa ni la usalama was taifa ndy wanampangia safari

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 2 роки тому

      Comments za kijinga kabisa... Rais anafanya kazi nzuri na kubwa... Ninyi endeleeni kujihujumu wenyewe na kuponda vya kwenu... Samia atakamilisha mihura yake miwili kwa heshima na maisha yake ya baadaye yatakuwa mazuri sana, yy na familia yake! Lakini ninyi na vizazi vyenu mtabaki kuozea kwenye umasikini huo mliojisababishia wenyewe... Shame on you!

  • @mwinyikadhi2870
    @mwinyikadhi2870 2 роки тому +1

    Chuma za pori kwa pori hizo baba😄

  • @laurencemassawe9100
    @laurencemassawe9100 2 роки тому

    Nakweli mnateseka sana wakulima ata mimi nshateseka sana

  • @paskalinaawaki4398
    @paskalinaawaki4398 2 роки тому

    Ngoja nirudi toka ufaransa kwanza😀😀😀

    • @itwaaky75
      @itwaaky75 2 роки тому

      Daraja limeanza kujengwa miaka mi4 magufuli akiwepo 2018

  • @mussahancy6591
    @mussahancy6591 2 роки тому

    Ila nilipambana sana,lilitaka kuniletea upuuzi

  • @dicksonwanyama1689
    @dicksonwanyama1689 2 роки тому

    Mnyama Fiat umekatisha kama Aina Akili nzuri

  • @sikuchachekazikubwa5603
    @sikuchachekazikubwa5603 2 роки тому

    Halafu hao wanaojenga barabara wamekaa tu hapo na magreda bila kusaidia!!!

  • @heritier5119
    @heritier5119 5 місяців тому

    Afunge chain

  • @karimhamisi4627
    @karimhamisi4627 2 роки тому +1

    Akishindwa kutumia hata lock diff

    • @ramsikhamis7083
      @ramsikhamis7083 2 роки тому

      Iyoo ya pili 4wheel hainaa sijui inapambanajee na visikii shambanii

  • @kulwasamwel4037
    @kulwasamwel4037 2 роки тому

    Hatali

  • @enockbk
    @enockbk 2 роки тому

    Kwani huyu ana endesha tractor minguu tupu bola viatu

  • @heritier5119
    @heritier5119 5 місяців тому

    Afunge chain akicheza litamponda

  • @patrickbilago5513
    @patrickbilago5513 2 роки тому

    Mbona hakuna jipya

  • @nivardkomba216
    @nivardkomba216 2 роки тому

    Mbunge wao sijui anaona kinachoendelea hapo!?

  • @aishaabrahaman9957
    @aishaabrahaman9957 2 роки тому

    Yani uku mvua zikinyesha ataa usafir ni shida hatuna viongozi kabisa

  • @josephandrew3444
    @josephandrew3444 2 роки тому

    Pia nunuenni tractor za 4willdrive ndio nzuri huko porini

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 2 роки тому +1

    Madaja gani. Sasahivi vifaa vya ujenzi vinauzwa na mafundi Hakuna mfuatiliaji. Anakuta cement na nondo zinauzwa mtaani Kama karanga na wananchi wajinga wana nunua kwa bei chee. Bila kujali wao ndio watakao athirika

  • @ashurahaji9115
    @ashurahaji9115 2 роки тому +1

    Anachotaka kufia nini jamani mbona hatari

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 2 роки тому +1

      Wanaume wa shughuli hao, ukiacha hapo kwa mkondo wa maji, huko mvua inanyesha... ofisi ya mtu hiyo

  • @edgarnandonde48
    @edgarnandonde48 2 роки тому +1

    hizo tairi za nyuma zimeisha na ndio maana anaangaika hapo

  • @clementselestine5308
    @clementselestine5308 2 роки тому

    Tyre chakavu ford iko poa

  • @geniuspromax780
    @geniuspromax780 2 роки тому

    Zijue Siri za kwenye Ulinzi wa Marais wa Nchi.
    ua-cam.com/video/vqPUUr5gWHA/v-deo.html
    #UziSession #ExecutiveProtecton

  • @darasahuru6819
    @darasahuru6819 2 роки тому

    Waandishi mjitafakari, mmeshindwa kuwapata watu wa serikali muwaulize kwa nini ujenzi upo slow?

  • @ramadhanrajabu6772
    @ramadhanrajabu6772 2 роки тому +1

    Aise uyu mtangazaji wa arusha wa milard ayo hamnakitu apo hanaga habari zaidi za watu na matrekta kama ivo

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 2 роки тому

    Kwa serikali ya huyo sasa eh tutaona mengi

    • @itwaaky75
      @itwaaky75 2 роки тому

      Amesema miaka mi4 haijakamilika, huyo magufuli si alikuwepo

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 2 роки тому

      @@itwaaky75 nchi hii cha msingi upate milo mitatu na mahali pa kuishi hayo mengine hayana ulazima😂😂

  • @shedracksteven3183
    @shedracksteven3183 2 роки тому

    Ni mkoa gan iv uku?

  • @benjaminahadi5926
    @benjaminahadi5926 2 роки тому

    Usitizame filamu iyi ukiwa na watoto wadogo 🤭ua-cam.com/video/KFawskkVrXM/v-deo.html

  • @mrematvbabakoku8336
    @mrematvbabakoku8336 2 роки тому

    Weka nayakutolea

  • @leonardpaul600
    @leonardpaul600 2 роки тому +1

    Aliingiaje?

  • @joramkimario9321
    @joramkimario9321 2 роки тому

    Ibeni hzo nondo.

  • @greenfoodfashion262
    @greenfoodfashion262 2 роки тому

    Imelazimu kufungua disc zote kulipunguzia uzito

    • @karimhamisi4627
      @karimhamisi4627 2 роки тому

      Hapo disc zimetolewa kwasababu tractor inaponyanuka mbele disc zinachimba kwa hiyo Ni vigumu kutoka

  • @hichayasin7244
    @hichayasin7244 2 роки тому

    DU!WANAVIJIJI TUNATESEKA TUNALIPA KODI LAKINI HATUONI MATUNDA YA KODI ZETU TUNA SIKIA DAR ESALAMU KILA KITU SIJUI WOTE TUHAMIE MIJINI?!

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 2 роки тому

      Ww sio mfuatiliaji, pengine hauna bando la kutosha! Barabara ngapi zinazojengwa vijijini sasa? Madaraja mangapi yanayojengwa mikoani leo? Vituo vya afya vingapi vinavyojengwa Nchi nzima? Miradi ya maji mingapi inaosambaa Tanzania nzima? Madarasa mangapi yamekamilika siku za nyuma Nchini kote? Niishie hapo tu! Labda ww ni kipofu, maana huoni au hutaki kuona ?! Nchi yako imejengwa, ndugu ! Ungekuwa mzalendo, ungejivunia hilo!