Kama nikweli alivyoongea bwana Henry mwakajumba kwamba washiriki wote kasoro Gabo hawajaashiriki kwenye tamthilia yoyote hii ni mara yao ya kwanza basi wanajitahidi sana Tena zaidi wote Kwa ujumla hata wale wazungu watoto pia.. full support from Mombasa Kenya 🇰🇪
Na yule luka kuna namna juakali wanapunguza daraja yake ila jamaa ni bonge la msanii na huyu mwalimu wa olivia anaendana na mimi mars alifaa awe maria wa jua kali anahaiba ya upole
Nafasi aliyokua nayo kanumba ilikua kubwa sana kwenye tasnia na nafasi aliyonayo gabo kwenye tasnia Toka kipindi anafahamika imezid kua kubwa kila kukicha
Mashallah Mwalimu mzuri sana kwa kweli, Mungu amuhifadhi. Na kwa kweli yuko vizur zaid ktk izo igizo >>> romantic acts/scenes. Anazitendea haki kwa kweli✍️
Wooow Teacher Na Mke Wa Luca Wazuri Wote Wanamacho Yakipekee Macho Yao Wote Yanauzuri Wa Aina Yake Hongera Kwa Kuwachagua Pia Kazi Safi Mno Mkumfanya Olivia Awe Mtoto Wa Gabo Mionekano Yao imefaana Sana Kuwa Baba Na Bintiye Good Work Team🔥🔥🔥🔥💪🏿💪🏿💪🏿 Mpo Vizuri Sana Huwa Sipost Wala Kulike Chochote Mtandaoni Ila Kwanamna Kazi Yenu Ilivyo Bora Mpaka Naikiuka Miiko Yangu Nashindwa Kujizuia Aisee Amazing MWENYEZI MUNGU awajaalie Subscribe Hao 100k muwahitajio Nazaidi
Tunasubiri kumjua mama Olivia sasa na kwann mwamba aliacha chuo nini kilitokea na kwann hataki kuskia habari za bibi yake Olivia mwalimu janet ashauteka moyo wa mwamba,Olivia mabarua yatamponza mambo ni mengi mda ni mchache😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mr arthur nakubali vile unajitambua na jinsi unatambua mwalimu janet pia mimi niko napitia hiy changamoto kama yako lakini kupitia iy tamsilia yenu nitajifunza mengi nawapenda sana
KAKA HENRY NAKUTAKIA HERI NA FANAKA KTK KAZI ZAKO MAANA SIJAWAH KUWA NA UFUATILIAJI WA TAMTHILIA ZA KIBONGO ILA HII IMENITULIZA TULIIII.,.........VERY EMOTIONAL
Jamani move tamu sana jamani tunaomba ATA vipande 2 Yani jumatano na ijumaha tunaomba mnatuacha kwenye utamu alafu inaisha mnafanya mpaka unajikuta unailudia tena
Kazi nzuri sana wana donta tv and donta family tunawapenda sana na mungu awazidiye nguvu zakutenda haraka hata episode mbili kwa wiki. Hii movie ina fundisho bora kwamalezi❤❤❤❤❤
Tokana na maombi ya wengi bei ya episodes zinazo endelea zimepunguzwa bei, ingia hapa www.pendwa.app
vip
Hatuji
Weka mzigo youtube hukuuuuuu😂😂😂
É complicado acessar no VIP. Vale apena postarem no canal do UA-cam.
Kama nikweli alivyoongea bwana Henry mwakajumba kwamba washiriki wote kasoro Gabo hawajaashiriki kwenye tamthilia yoyote hii ni mara yao ya kwanza basi wanajitahidi sana Tena zaidi wote Kwa ujumla hata wale wazungu watoto pia.. full support from Mombasa Kenya 🇰🇪
Tulioisubiri kwa hamu hii Ep ya 12 wote like hapaa.....♥️👉
Inakuja na yomoto sana, Subscribe usipitwe
Wewe ni Shahid, nimependa Sana kwa Alivo ongea
❤
Haya mnaosema Mwalimu Janeth siyo kufundisha tu hata Mahaba anayajua, gonga like hapa 😅👏🏼
Jamani MUNGU ameumba nyie huyu mwalimu ni mzuri sana ❤❤❤🎉🎉🎉
Amina❤️
Sanaaa😊
Sanaaa😊
tena ni mzuri sana
Yan baba olivia na mwalim mtatuuwa kwapresha jaman penzi lenu lakihindi❤
Tuliorudia rudia hii tamthilia tena kwenye vipande vipande vya toacher janet na baba olivia tujuane hapa kwa kuweka like
Ila mwalimu janeth abadilishepo nguo
😂😂😂😂
Nyìe watu ni wahuni mmenishinda tabia 😂😂
Mlichokuwa mnakitaka kimefanikiwa baba olivia ft madam Janet
Eee kasha piga
@@noahcomediantz6329 kabisa
Huyu ndo Kanumba Aliyebaki Kwenye Uigizaji wanamuita GABO
Nione like kama Mnaungana na mim🫡
Na yule luka kuna namna juakali wanapunguza daraja yake ila jamaa ni bonge la msanii na huyu mwalimu wa olivia anaendana na mimi mars alifaa awe maria wa jua kali anahaiba ya upole
Huwez kumfananisha gabo na kanumba kwasababu kanumba alikua kanumba na gabo atabaki kua gabo tu
Nafasi aliyokua nayo kanumba ilikua kubwa sana kwenye tasnia na nafasi aliyonayo gabo kwenye tasnia Toka kipindi anafahamika imezid kua kubwa kila kukicha
Tatizo hatumii mifumo yake the great
@@salmabasil385 ✅
Wangp tunataman kujuaa kilichotokea Kati ya baba Olivia na mama Olivia ilkuajeeeee... Gonga like twende sawa
Mimi hyu kwanza ata simfahamu hyo mama olivia
Ata mi natamani sana kujuwa ujuwe😂
Pamoja
Nataman kumjua mam olivia
Na naisi mama Olivia ni huyo Catarina.
She knows how to calm down when someone is angry i really love it
Mashallah Mwalimu mzuri sana kwa kweli, Mungu amuhifadhi.
Na kwa kweli yuko vizur zaid ktk izo igizo >>> romantic acts/scenes. Anazitendea haki kwa kweli✍️
❤️
Hatar sana, hatimaye jambo La Baba Olivia na Mwalimu limekamilika
Umefurahi sasa😂
ambao hatukosi tamthiliya sababu ya yule mwalimu mzurii tujuane😂😂😂, sema mwalimu ni kisu jamani
Jaman nawapenda sana,tusaidieni angalau kwa wk mnatuma mara mbili
Kama una Amini kuwa #GoD is #GOOD like 👍 god aku bless ewe unaye soma hii #COMMENT 🙏🙏
Baba olivia ijumaa hadi ijumaaa mbali angalau tupeni vipande viwili kwa week
Nenda kwenye website utapata zote www.pendwa.app
Acha wehu omba vitano yani 5
Nafurahishwa sana na Mama Tina, yaani familia yao inanikosha...nikitazama nayaona maisha ENZI za Uhai wa Wazazi wangu, Mungu awarehemu
Pole sana! RIP 🕯️💐
Hatimaye Gabo kakanyaga utelezi Leo.. director upewe maua yako 🫡🫡🫡
Nakumbe mama Olivia yupo jamn?wampeleke kwamama yake Gabo kunann nyuma ya pazia😂
🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂
"Sasa wewe ungekuwa na tabia nzuri kila mtoto angekuwa na baba yake?!" Hili ni tusi lililofumbwa🤭 asante Mungu kwa D mbili.
Utelezi gani apo elezea kidogo
Nimeipenda hii movie...jitahidi kwa wiki uwe unarusha mara mbili jamani
Best movie in Africa indeed🎉🎉🎉🎉😊
Sijui kama utaweza kuwa na kitu bora zaidi ya hii baba Olivia,Mungu ndiye anajua Lakini I enjoyed and enjoying baba Olivia
Bado tunabaki kwenyeombi moja tunaomba mtutolee episode mbri Kwa wiki Jamani tafadhari sana ety 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Naam hakika pia kila fans wa hii tamthilia hakikisha unatoa maoni yako pia like za kutosha co ombi ni amri
Umenena kabisa kiukwel maumivu ayo......
Vumilia Bado kidogo iishe😅
Nenda hapa kuangalia zote, www.pendwa.app ni njia ya ku support pia!
@henriymwakajumba ina maelezo mengi hadi hatufiki hasa sisi tunaotumia simu za android.mtihani sana
This movie l pray to be bless all those people who watch and walio tunga hongera sana❤❤😊
Asante sana ❤️🙏🏾
Wangapi wanaitagi kwa week tuone angalau episode 2 weka like Hapa tukisonga❤️❤️❤️❤️❤️
Hii movie nimeipenda sanaa gabo anajua
Wallah movie tamu zaid y asali n nmependa alivyo Olivia,,halafu jiran nae amezidi
Da nilitamani sana teacher kuwa na mahusiano na baba olivia
Unadhani yata dumu??
Hii movie jamani tunavyoisubilia tunavyoisaka utafikili shilika lamisada🙌🙌🙌😊
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 nimecheka
Wooow Teacher Na Mke Wa Luca Wazuri Wote Wanamacho Yakipekee Macho Yao Wote Yanauzuri Wa Aina Yake Hongera Kwa Kuwachagua
Pia Kazi Safi Mno Mkumfanya Olivia Awe Mtoto Wa Gabo Mionekano Yao imefaana Sana Kuwa Baba Na Bintiye Good Work Team🔥🔥🔥🔥💪🏿💪🏿💪🏿
Mpo Vizuri Sana Huwa Sipost Wala Kulike Chochote Mtandaoni Ila Kwanamna Kazi Yenu Ilivyo Bora Mpaka Naikiuka Miiko Yangu Nashindwa Kujizuia Aisee Amazing MWENYEZI MUNGU awajaalie Subscribe Hao 100k muwahitajio Nazaidi
Asante sana, shukran kwa kufuatilia kazi!🙏🏾
@@henrymwakajumba Tuko Pamoja Ndugu🙏🏼🙏🏼
Tunasubiri kumjua mama Olivia sasa na kwann mwamba aliacha chuo nini kilitokea na kwann hataki kuskia habari za bibi yake Olivia mwalimu janet ashauteka moyo wa mwamba,Olivia mabarua yatamponza mambo ni mengi mda ni mchache😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Haki tena 😂😂
😂😂😂😂😂😂
Pesa za boom hazikumtosha kulea mtoto wake 😂😂😂😂
Baba olivia leo akaiyonja lollipop yake mwalimu salala maajabu haya penzi limenoka mno🎉🎉🎉🎉❤
ijumaa hadi ijumaa daaah... sio kweli jamani läteni hata episod 2 to kwa kila wiki....
Sema athur ungekaza kidogo banaa mtot ahangaike kdg sa umepelekwa jikon kidogo tuu umelegezaa… sema umetisha sana brother😅
😂😂😂😂
Sihitaji like ya mtu hapa kwangu jeshi la mtu mmoja
😂 kinyume chake
😂😂
😅😅@@EstaPulo
😅😅@@angelsalome2207
@@EstaPuloyani maisha ya mtandao haya
Iyi movie nitamu sana sitamani iishe ata congratulation salim gabo unaga kazi mbovu❤❤
Asante sana.
Kwahyo Mzee baba ashakojolea pazur
Jamani hii movie kweli ni kali sana I like this na pongezi kwa baba olivia ❤❤
Asante sana!
Dah movie nzuri sana mpaka naona ijumaa mbali aiseee🎉🎉🎉🎉🎉💐💐💐💐💐🤝🤝🤝🤝🤝
Pole asee. Asante kwa kuangalia lakini!
jamani mtoe ata mbili kwa week jaman tunaisubiri kila ijumaa😊
Chanel ina kimbiza sanaaaaa 100k ipo kalibuuuuuuuuuuuu woyoooooooooo woyoooooooooooo🎉🎉🎉🎉
❤️ tuna omba watu wazidi kusubsribe! 🙏🏾
Dah tuwekeeni japo kwa wiki mara mbili. MNYAKYUSA TOKA ZANZIBAR
Mama tina love you
Madam na Olivia they doing good🙌👍
oya kama unaipenda hii muvi gonga like
Mr arthur nakubali vile unajitambua na jinsi unatambua mwalimu janet pia mimi niko napitia hiy changamoto kama yako lakini kupitia iy tamsilia yenu nitajifunza mengi nawapenda sana
Asante sana.
Enjoying from diaspora.. Much love.
Appreciated
Ni nzur sana hi movie baba olivia uko vizur na uyo madam ni mzur san jmn au mnasemaje kuanzia sula na penginepo
Nakubali sana master movie nzuri sana ❤❤❤❤❤😂😂😂🎉🎉😢😢😢😮😅😮😢😢😅😅😅😅😊😊
❤️ Asante sana.
Hahahahaha 😂😂😂 nimecheka ati kijana alikuwa hayupo na confident 🤣 ya kumwambia Olivia kuhusu Barua ❤😂
Mama Jemsi kitakuramba 🤣 punguza kwenda Kwa Baba Olivia
😂😂😂😂
Na Mimi leo nimewahi jamanii ngoja niombee Like Kama mnavyo omba wengine
Mama jemsi siutulie kwako mbona unaharibia watu maongezi yao😂😂😂❤❤🎉
😂😂😂😂
😂😂😂😂Yani hatuliii
@@brigitaghozi4495 🤣🤣🤣wala hata hajisikii vibaya😅
@@fatuma46ramadhan18 ehhh jaman mhhh majirani wambea 🤣🤣
Tuko bado tuna fatiliya 🇨🇩🇨🇩🇨🇩💥💥💥 namipenda wote 💥💥🇨🇩🇨🇩
I love baba Olivia , I love Henry mwakajumba family 📸❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Thank youu, ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🙏🏾
Nampenda san mwalimu hakika mwalimu we ni mzuri
KAKA HENRY NAKUTAKIA HERI NA FANAKA KTK KAZI ZAKO MAANA SIJAWAH KUWA NA UFUATILIAJI WA TAMTHILIA ZA KIBONGO ILA HII IMENITULIZA TULIIII.,.........VERY EMOTIONAL
Asante sana, je umesha subscribe?
Huyu jamaaa anafanya bongo movie izidi kupanda juu
Hakika tuna moyo wa uvumilivu😂😂😂 tunalala tunawaza ijumaa ya baba olivia
Mwalimu upewe maua yako🔥🥳🥳
Naipenda sna mungu awape hitaj la moyo
Leo nmechelewa kidoog lakn series inazidi kubamba kwel aanii af jamn pia msisahau like 👍🏿
Wale mashabiki wanaotokea Kenya Karibuni npo hapa kaka yenu tupo pamoja xnaaah 🤝 🇰🇪🇰🇪✈️
Tupo ndani kaka❤❤❤❤❤
Walete wote!💯
❤️
Nko kaka❤❤
Tuliokuwa tunaisubr kwa ham mwaga makopakopa ❤❤❤❤
❤️❤️❤️❤️
❤❤❤❤
Kutoka SGR kuonana na MP like zanguu jamani.
Dah pole olive😢😢 lkn honger sn mwanamke kujiamin atimai umechomok mikonon mwao 🎉 Gabo nae atimai leo kapat utam😅😅😅😅
😂😂😂😂😂😂😂 nmecheka ka fala
Congratulations to olivia.. i love her❤, congratulations to all participants of this movie i love all.
Wow iyi ya kibabe sn nimeipenda
Jamani move tamu sana jamani tunaomba ATA vipande 2 Yani jumatano na ijumaha tunaomba mnatuacha kwenye utamu alafu inaisha mnafanya mpaka unajikuta unailudia tena
Kazi Nzur sana gabo🎉🎉🎉🎉
🙏🏾
nime penda hingizo mwanzo mpaka hapa ep 12 kutoka marekani
KAZI NZURI SANA FROM 🇲🇿🇲🇿
Asante sana!
Movie ya Kiwango dah imetuliq kinoma sauti zinatoka vzuri zenye uhalisia nisizunguke sana me nimefurah finally madam Janet katoa mzgo 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Sasa ww ungekua na tabia nzuri Kila mtoto angekua na banaake😂 nimeipenda san hii❤❤
❤️❤️❤️❤️
😂😂😂
Kwann hamtoi ushauli mnaomba like jaman daaah mnanikela
Team strong pitieni hapa hatuachwi chuma😂😂😂😂😂😂😂
Tupo😂
Kma kawa😂😂😂😂
Gabo young the best actor
Mkumbuke na kujifunza pia
Nimependa sana hii tamthiliya coz nagain mambo mengi kupitia kwa baba Olivia na madam janet
Leo nimeiwai
Good series hii❤
Hahahaha 😂😂 leo Janet kaona mwezi 😊😊
My best series 2024❤
Uyo mwalimu ni mzuri atr ❤
Kumbe mama olivia yupo mi nilijua kaded
We subiri uone yajayo yana furahisha🔥🔥🔥
Tena sana masha,allah
Hahah😁😁 kwanii ukiwa mtu mzmaa kazi moja tuu kufuaa??, half tabia ya mam tinnah anayo jiran yangu sijapenda.
😂
Até que enfim, houve um poste de especial 😊😊
Hii movie ni kali kuliko zote jaman. Haswa mwalim ni mrembo balaa
😂❤️🙏🏾
Mrembo mbay
Nataman episode inatoka kila baada ya siku mbiri bonge la tamthiria wanao penda tamthiria ya baba Olivia like bapa👍
Baba Olivia leoo kalla mzingoo wa mwakimu jannet
Akuna mkate mgumu mbele ya chai 😂😂😂😂😂 pumbavu washazagamuana 😋
😂😂😂tayar
😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Mwalimu ❤❤❤❤❤❤❤❤
Mama James kwa umbea kama agent wa Mange Kimambi na ayo macho yake 😂😂😂
Kazi nzuri sana wana donta tv and donta family tunawapenda sana na mungu awazidiye nguvu zakutenda haraka hata episode mbili kwa wiki. Hii movie ina fundisho bora kwamalezi❤❤❤❤❤
Sahizi inapendwa zaidi❤
❤️❤️❤️
Nawapenda sana wahusika wa babaa Oliver ❤❤❤
❤️❤️❤️
Naona mwalimu Janet kachezea moto Leo wa baba Olivia 🎉😂
Hahaha ndio alikua anakitaka ukizingatia wote Wana upwiru
All casts are at 100% in the game. You guys know how to do it
Kazii iendelee🎉🎉🎉
Patamu asee hapo madam Janet and baba Olivia🔥🔥
Mbn wanatuonjesha me ningependa watoe hata ep2 kwa wiikii
Hii Episode sijamuona Baba Tina kabisa....