FRED VUNJABEI BAADA YA KUSHINDA TUZO/UCHAWI ANAOTUMIA KWENYE BIASHARA ZAKE/HAKUNA MCHAWI ANAYETESEKA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 14 гру 2020
  • Kumekuwa na tetesi nyingi kuwa mfanyabiashara mkubwa Fred Vunjabei anadaiwa Kutumia Uchawi kwenye biashara zake mpaka kupelekea kupewa jina La mkinga Mchawi amejibu suala hilo.
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 115

  • @davisnitu890
    @davisnitu890 3 роки тому +7

    Fred ni mtu makin na
    Anaongea logic, I'm appreciate u brother

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 3 роки тому +9

    I really admire this guy,🤝👌🏿❤🇹🇿🇨🇭

  • @ghostelmendez7206
    @ghostelmendez7206 3 роки тому +4

    Fredy tengeneza kitabu cha somo la biashara..... Maaana una ujuzi sana vunja bei these is genius Mr

  • @chrissinyinza1172
    @chrissinyinza1172 3 роки тому +15

    Uyu ginimbi wetu anabusara sana ongera sana fred👏

  • @pikolaizaog7303
    @pikolaizaog7303 3 роки тому +5

    Mm nampenda Sana vunjabai...more love 4rm kenya 🇰🇪

  • @boniphaceog1020
    @boniphaceog1020 2 роки тому +1

    I need Young people with the skills to work and manage them to come and help us and one day be interviewed like fred vunja bei with his team

  • @mbuyutztz6131
    @mbuyutztz6131 3 роки тому +9

    Vunjabei anabusara sana

  • @zuhairomar8038
    @zuhairomar8038 3 роки тому +1

    Uchawi ni kujituma nimekuelewa broo#Mr one! 👊👊

  • @spreadlove2119
    @spreadlove2119 3 роки тому +12

    We carrymastory muhoji na huyo bonge mwenye koti la blue basi na wee 😍

  • @ahz6907
    @ahz6907 3 роки тому +4

    Huwa nachukiaga hilo swali wanalomuulizaga fredy kuhusu uchawi. Ni ajabu sana. Hawa wanahabari wa tz. Nimependa fredy alivyojibu.

  • @geazisanga7400
    @geazisanga7400 3 роки тому +3

    tajiri kachukua tuzo nicwe chawa kweli........uchebe noma

  • @pendoelias4822
    @pendoelias4822 2 роки тому +1

    Huyu Kaka anajituma Sana na anajibu kiufasaha Sana hongera kwako Fred

  • @azenathnyaway2328
    @azenathnyaway2328 3 роки тому +3

    most upcoming vinesiti man wah yaan haka kazungu pia ni noma kukatamka

  • @abdially212
    @abdially212 3 роки тому +5

    Wabongo hamkawii kusema jamaa freemason

  • @faridaessa7844
    @faridaessa7844 3 роки тому +1

    Hongera kaka

  • @mwanajumasaid1983
    @mwanajumasaid1983 3 роки тому +2

    Jmn bonge shikamooo waaaah

  • @samsonisaack5145
    @samsonisaack5145 3 роки тому

    Nakukubali Sana Big Vunja bei

  • @elizanafasi6960
    @elizanafasi6960 3 роки тому

    Hongera sana

  • @faridaessa7844
    @faridaessa7844 3 роки тому +4

    Daah huyo kaka bonge

  • @sanimoclassic1917
    @sanimoclassic1917 3 роки тому

    Huwa namkubali sana huyu jamaa Fred Vunja bei

  • @josephndilwa3830
    @josephndilwa3830 3 роки тому +1

    huyu jmaa ametoka familia ya biashara, babake mpambanaji sana mzee sisi kwa sisi. wanaomjua basi huwez shangaa huyu kuwa na pesa

  • @bahatisanga7545
    @bahatisanga7545 2 роки тому

    Safi Sana bro

  • @zeddybass6672
    @zeddybass6672 3 роки тому +9

    Piga kelele kwa wakinga😂😂😂

    • @ghostelmendez7206
      @ghostelmendez7206 3 роки тому

      Weuweeeeeee tupo wakina sangaaaaaaa

    • @zeddybass6672
      @zeddybass6672 3 роки тому

      @@ghostelmendez7206 pamoja sana mambelo 🔥🔥🔥

  • @salmaahumansalmaathuman5190
    @salmaahumansalmaathuman5190 3 роки тому +5

    Duh hyo bonge km pipa la chibuku sjui hyo sut keshonewa buza🤣🤣🤣🤣

  • @juxjemc5768
    @juxjemc5768 3 роки тому +7

    Mm mtu kama ana pess halaf hana ndoa baas namuona haman kitu kwa sababu sasa hv matajir wakubwa hawaoi sijui tatzo lipo wap

    • @husnamfuko6136
      @husnamfuko6136 3 роки тому +1

      Hawatak kuwekewa wivu... Wa enjoy wanacho jisikia Akimtak mtu yoyote a nampata.. Ao nini

    • @juxjemc5768
      @juxjemc5768 3 роки тому

      @@husnamfuko6136 umalaya una mwish

  • @dshazarajabu9950
    @dshazarajabu9950 3 роки тому

    Nakuona bongeee

  • @yasristeven1135
    @yasristeven1135 3 роки тому +1

    Chawaaaz

  • @azibossladykenny2455
    @azibossladykenny2455 3 роки тому +3

    Jamanii yule big kule nyuma kwani vip nimemtizam tuu yey nimecheka mpaka basii, 😂😂🤣🤣🤣

  • @greatestdaniel7865
    @greatestdaniel7865 3 роки тому +2

    Hivi ndio vitu ninavyo penda kuviona hata mb hainiumi

  • @mafiosoismail7475
    @mafiosoismail7475 3 роки тому +1

    Fred akivua kofia anaonekana mkubwa kuliko hata bonge 😂😂😂😂

  • @pikolaizaog7303
    @pikolaizaog7303 3 роки тому +2

    Huyo mnono ungemwoji bwana mtangazaji 😀😀😀

  • @petermsulah6264
    @petermsulah6264 3 роки тому +5

    hahahaha bonge amevaa nn

  • @kevinmoses9170
    @kevinmoses9170 3 роки тому

    Uchebe my guy

  • @elizanafasi6960
    @elizanafasi6960 3 роки тому

    Boss

  • @jumabidery5051
    @jumabidery5051 3 роки тому +2

    Bonge kanipa raha saana jamani

  • @kgs95
    @kgs95 2 роки тому +1

    Fred vunja bei

  • @benjamininyambaso5041
    @benjamininyambaso5041 3 роки тому

    Mtangazaji amemsahauu bongee

  • @aliabeid8613
    @aliabeid8613 3 роки тому

    Vunjabei tunaomba na Zanzibar zifike huduma zako

  • @zakiamsafiri123zakiamsafir7
    @zakiamsafiri123zakiamsafir7 3 роки тому +1

    Bora mfanye ivyoivyo muwaoji kabla awajafa wakifa mtasema utajiri wa kafara

  • @masilingimbilinyi5589
    @masilingimbilinyi5589 3 роки тому +3

    Woyooooo

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 Рік тому

    Kabisa mchawi halafu maskini rooo

  • @nusalim3389
    @nusalim3389 3 роки тому

    Bonge ukiachia yupo nyuma Ila Cha ajabu anamsikiza fredy kwa mbele ,hapo talented Ni bonge hiyo tuzo ilifaa iwe yake tu

  • @zakiamsafiri123zakiamsafir7
    @zakiamsafiri123zakiamsafir7 3 роки тому +2

    Watu wanapambana kwa jasho

  • @dominickmkungile5287
    @dominickmkungile5287 2 роки тому

    Namkubali huyu jamaa.

  • @aishasaid6700
    @aishasaid6700 3 роки тому

    Napenda anavoongea

  • @dggxxxxfgff3876
    @dggxxxxfgff3876 3 роки тому

    Haiwezekani nife bila kua na pesa😀😀kila nikiona uyudada nacanganyikiwa

  • @kabangaonline4523
    @kabangaonline4523 3 роки тому

    Mtani wangu sura kama yangu ngoja NAMI ntafte pesa

  • @RobbyDejan1234
    @RobbyDejan1234 3 роки тому

    Umedeserve kuchukua hiyo kitu bro.

  • @francowilly5049
    @francowilly5049 2 роки тому

    ❤️

  • @deusnzeran4752
    @deusnzeran4752 3 роки тому

    Hii ni Safi watanzania kuwa mabilionea hata hayati alisema hilo

  • @maimunaulotu2075
    @maimunaulotu2075 3 роки тому

    Bonge analegeza mdomo jmn😅😅😅😅😅😅😅

  • @sikudhanimohammad7692
    @sikudhanimohammad7692 3 роки тому

    Anavyokunja sura sasa

  • @rahmahabibu4727
    @rahmahabibu4727 3 роки тому +3

    Ivi huyu bonge alikuwa hajui kma na yey anachukuliwa na camera au 😂😂😂😂😂
    Kaachia domo kma kapu 😂

  • @hassanchauluwa7308
    @hassanchauluwa7308 3 роки тому

    Uchebe msenge 😁😁😁tajiri kachukua tunzo

  • @godfreyleka5839
    @godfreyleka5839 3 роки тому

    Akili kubwa

  • @nusalim3389
    @nusalim3389 3 роки тому

    Kumuacha bonge kakaa nyuma mda wote na kumfuata uchebe Ni zarau !

  • @sabitinaeastafrica5822
    @sabitinaeastafrica5822 3 роки тому

    Mashallah ferd

  • @mu-crzymahez9229
    @mu-crzymahez9229 3 роки тому +2

    hahhahaha

  • @rukiayusuph4019
    @rukiayusuph4019 3 роки тому

    Too much money hoyeee

  • @mosimba467
    @mosimba467 3 роки тому

    Mbona kibakuli anafrahia sana

  • @calvinamon4125
    @calvinamon4125 3 роки тому +1

    Wakinga nawaona?

  • @mwanajumasaid1983
    @mwanajumasaid1983 3 роки тому +2

    Uchebe kapendeza jmn

  • @kmotivation1130
    @kmotivation1130 3 роки тому

    Bonge Lina hema hatar

  • @sirbinladen786
    @sirbinladen786 3 роки тому +1

    Abar zenu ndgu zangu naomba nikukarbishen katika masomo yetu yanayohusu tiba za maradhi mbali mbali kila Alhamisi bila malipo yoyote karbuun mjifunze ingia UA-cam andika sir Binladen 786 ili mjifunze

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 3 роки тому +2

    Freemason

    • @davidedward3089
      @davidedward3089 3 роки тому +2

      Hahahaha utakufa na wivu mbwa 😂😂😂

    • @magynzioka1122
      @magynzioka1122 3 роки тому

      Wewe pia si uingie uko umshide vuja bei

    • @sponsor7882
      @sponsor7882 3 роки тому

      @@magynzioka1122 naogopa Dhambi

  • @sirbinladen786
    @sirbinladen786 3 роки тому +1

    Mvuto wa kupendwa na watu
    ua-cam.com/video/rdBBJqLQ8GE/v-deo.html

  • @khadijabuberwa3362
    @khadijabuberwa3362 3 роки тому

    Ex

  • @sirbinladen786
    @sirbinladen786 3 роки тому +1

    Tiba ya nguvu za kiume
    ua-cam.com/video/WU0Jky9a4R8/v-deo.html

  • @highthemetv7857
    @highthemetv7857 3 роки тому

    ua-cam.com/video/X7ONvSSKZLs/v-deo.html
    👆👆👆👆👆👆👆
    Kama ni muoga usifungue hii video😨 Tazama jinsi Kafara inavyotolewa hadharani watu wanachinjwa mbele ya camera 😭😭

  • @sirbinladen786
    @sirbinladen786 3 роки тому +1

    Tiba ya kizazi na dawa ya chango kwa kina Mama
    ua-cam.com/video/EH5TpNPOJd0/v-deo.html

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 3 роки тому +5

    Uchebe acha shobo

    • @faridaahamed4090
      @faridaahamed4090 3 роки тому +3

      mbna mawivu saana vijanaa acheni ushamba nendeni nyie basii tatizo wa tatizo baadhi ya wabongo 2na roho za kichawiii

    • @faridaahamed4090
      @faridaahamed4090 3 роки тому +1

      mbn mnamkosoa kwani amekosea wp ?basii nenda ww kwa vunjabei mtabaki majungu yy mambo yanamuendea huo ni ushamba,tatizo huo ni ushamba wa life ndomaana mnaroho za kimaskini mpongeze alipofikia sio kupost ushamba

    • @faridaahamed4090
      @faridaahamed4090 3 роки тому +1

      @Florah Samuel roho imekuuma kumuona uchebe ypo navunjabei hyo niroho ya kimaskini acha ushamba

    • @faridaahamed4090
      @faridaahamed4090 3 роки тому +1

      @Florah Samuel sametime mkiona roho zinawauma kwaajili ya maisha yawa2 kunywa suma ya panya ,nashangaa roho zinawauma kumuona uchebe ypo navunja bei 🤣🤣🤣🤣

    • @neemakaluwa1841
      @neemakaluwa1841 3 роки тому +1

      @@faridaahamed4090 Me kiukwel sijaona ubaya aloongea Uchebe.

  • @wahidamusin613
    @wahidamusin613 3 роки тому

    Kitu ambacho nakishanga sana ni wanaumme kujipendekeza kwa mwanaumme mwenzao sana ndio maana mashonga wamekua wengi taifa hili wanaumme kutwa kuwanganda wanaumme wenzao

  • @sirbinladen786
    @sirbinladen786 3 роки тому +2

    Uchawi wa Biashara
    ua-cam.com/video/ASs3Ggsigjw/v-deo.html