IBRAAH arudi Bongo kutoka Marekani bila HARMONIZE, afunguka aliyoyashuhudia na sababu ya kurudi

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 сер 2024
  • #Ibraah #KondeGang

КОМЕНТАРІ • 178

  • @desirenizigiyimana5126
    @desirenizigiyimana5126 2 роки тому +29

    MIONGONI MWA WASANI WAKUBWA NA HUYO YUMO😎 BIG UP IBRAH

  • @abmropeamadeus7286
    @abmropeamadeus7286 2 роки тому +16

    Watangazaji sns mko vizuri katika kuliza maswali ya msingi, hiyo ni sawa MUNGU awajalie safari yenu iwe njema

  • @gdggghh2052
    @gdggghh2052 2 роки тому +5

    Nii mekuwaa nimee kuu miss ibraaa💞💞💗💗💗♥️♥️♥️♥️♥️

  • @jamilasalimvilog6752
    @jamilasalimvilog6752 2 роки тому +18

    Karibu nyumbani chinga 🔥🔥🔥❣

  • @chenge3223
    @chenge3223 2 роки тому +19

    Napenda interview za ibraah kwa sababu anajibu kistaraabu

  • @lindajoasine8806
    @lindajoasine8806 2 роки тому +2

    We love ibrah from USA 🇺🇸🙌🏻

    • @tp-kh8hl
      @tp-kh8hl 2 роки тому +1

      Linda nakupendaa jamani

  • @jamesvmusic2677
    @jamesvmusic2677 2 роки тому +14

    Karibu Chinga💪🏿💪🏿💪🏿

  • @dynuru7129
    @dynuru7129 2 роки тому +19

    Karibu sana nyumbani tulimis sana uwepo wenu watu wetu

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 2 роки тому +9

    Safi sana home sweet home Ibrah 🔥

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 2 роки тому +8

    Karibu home chinga boy ❤️

  • @zou7470
    @zou7470 2 роки тому +16

    Shingaa a.k.a nyati karibu dogo🔥🔥🔥❤

  • @tonylaizer3386
    @tonylaizer3386 2 роки тому

    welcome home again .Mr chinga miss you..my brother

  • @wyzeeboy6609
    @wyzeeboy6609 2 роки тому +2

    Big up

  • @calebjuma9018
    @calebjuma9018 2 роки тому +7

    Ibra amekomaa sana anajibu maswali ki utu uzima,

  • @baranmohamedmbashir5299
    @baranmohamedmbashir5299 2 роки тому +4

    Hogera sana sana ibraah

  • @raelnyawera825
    @raelnyawera825 2 роки тому +5

    Ibra wangu anaogea English 🙌🙌😂😂😂😂 marekani kutamu

  • @missmwayway4704
    @missmwayway4704 2 роки тому +2

    👏🏼👏🏼✍✔🔥🔥🔥Konde

  • @aphroovevo681
    @aphroovevo681 2 роки тому +12

    Konde Gang on top

  • @didae6309
    @didae6309 2 роки тому +1

    Ibraah nomaaaa

  • @alwattanchinga
    @alwattanchinga 2 роки тому

    Mwanangu ibrah chinga huko vizuri kakaa

  • @indiaboytz5731
    @indiaboytz5731 2 роки тому +2

    Karibu nyumbani

  • @yoyoqueen3250
    @yoyoqueen3250 2 роки тому

    Ibrah jameni karibu😘😘😘😘

  • @nahimanajo8993
    @nahimanajo8993 2 роки тому

    Karibu chinga 🐘🐘🐘 konde 💪🏿💪🏿

  • @hodhanlacky6394
    @hodhanlacky6394 2 роки тому +1

    Nice 👌 🥰🥰🥰

  • @salimali7930
    @salimali7930 2 роки тому +19

    Tuwe wazalendo wote wetu wa Nigeria kila siku twaowana Burna Boy na wizzy uku chuki na njaa kali...

    • @dr.swagztv3559
      @dr.swagztv3559 2 роки тому

      Umeongea point kubwa sana

    • @aminasittusaid3830
      @aminasittusaid3830 2 роки тому +3

      Tatizo ninaloliona ni mambo ya mateam na baadhi ya wasanii wakubwa hawapendi kuona chipukizi wakikua kimuziki wanataka kila siku wao tu ndo wawe juu. Wivu wa maendeleo ni mzuri sana lakini ukizidi hugeuka kuwa uadui.

    • @joramgobness5281
      @joramgobness5281 2 роки тому

      Hahaaaa

    • @angelohakizimana472
      @angelohakizimana472 2 роки тому

      Cuki isimame kabisa wapendane kwa saba upendo ndio watafika

  • @marcosjorge1724
    @marcosjorge1724 2 роки тому +2

    Chinga 🔥🔥❤️🇲🇿

  • @lydiakenya2814
    @lydiakenya2814 2 роки тому +1

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @Nhectos1
    @Nhectos1 2 роки тому

    Good

  • @adojay5714
    @adojay5714 2 роки тому

    marekani sio mchezo kama umeona ibraah kakonda kama mimi nipe like yangu

  • @nelsonmeleck5615
    @nelsonmeleck5615 2 роки тому +2

    🔥🔥

  • @josephkambale7476
    @josephkambale7476 2 роки тому +1

    Congo tupo

  • @gipsonstivin864
    @gipsonstivin864 Рік тому

    Ibraah

  • @tatutatu1570
    @tatutatu1570 2 роки тому +1

    🔥🔥🔥

  • @rsautoservice984
    @rsautoservice984 2 роки тому +1

    Kondebwaaaaay harmonize chinga......

  • @gladyscarlos958
    @gladyscarlos958 2 роки тому

    Smart boy

  • @Adeen.1
    @Adeen.1 2 роки тому +1

    Daaaaaahhh maisha bhana kosa vyote si akili au uelewa wa jambo au mambo

  • @jayelias1654
    @jayelias1654 2 роки тому

    Izo YES Sasa Mbona tutakoma YES

  • @fitwithgeetyga5219
    @fitwithgeetyga5219 2 роки тому +7

    Umetembea sehem nyingi wapi Ibra!!

    • @shufaahassan3122
      @shufaahassan3122 2 роки тому +1

      Achani wivu wa kijinga akima ametembea sehemu nying inamanisha huko America

    • @fitwithgeetyga5219
      @fitwithgeetyga5219 2 роки тому

      @@shufaahassan3122 sasa kwa hii week moja2 ndo aseme katembea sehem nyingi US?? Kwa hiyo week moja2 hawezi imaliza hata iyo LA yenyewe .

    • @kassimrajabu7805
      @kassimrajabu7805 2 роки тому

      😃😂😂😂😂😂😂

    • @lulually5209
      @lulually5209 2 роки тому +3

      Watu Wana wivu wote utimu unawasumbua

    • @edgarnandonde48
      @edgarnandonde48 2 роки тому

      😆😆😆😆hatari sana

  • @mariellerashidi4649
    @mariellerashidi4649 2 роки тому

    Umekonda Sana kuhogopa kingereza

  • @ahmadyzubery9126
    @ahmadyzubery9126 2 роки тому +2

    Home home ok

  • @abdalaauame3863
    @abdalaauame3863 2 роки тому +1

    Shinga mtoto wa mtwara kulleeeee karibu nhubani

  • @abdulabubacartuaibo6422
    @abdulabubacartuaibo6422 2 роки тому +4

    Tupoooo

  • @christianlugerero385
    @christianlugerero385 2 роки тому

    😍❤️❤️😘😍🇨🇩🤷‍♂️🙊

  • @stevenchenga1978
    @stevenchenga1978 2 роки тому +6

    Tulisikia USA kunyoa ni gharama xaxa nimeamini..😅watu wamerudi na masharubu yao

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 роки тому +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍

  • @daviddehero2684
    @daviddehero2684 2 роки тому

    Wabongo tuacheni unafki ndio mana atuendelei....mpo makini kuona madhaifu ya mwenzenu kuliko mazuri........

  • @emidisadikisaididenchi8210
    @emidisadikisaididenchi8210 2 роки тому +2

    Daaah kashidwa kunyoa nywele zake duuuh poleni sanaa

    • @zou7470
      @zou7470 2 роки тому +3

      Imeonaje nywele zake mtu mwenyewe kava kofia 😏😏😏

    • @mishwanwanmish8803
      @mishwanwanmish8803 2 роки тому

      Za juu za chini

    • @zou7470
      @zou7470 2 роки тому

      @@mishwanwanmish8803 🤣🤣🤣

    • @calvinshirima2654
      @calvinshirima2654 2 роки тому +1

      anakukoboa au

    • @dianajohn3493
      @dianajohn3493 2 роки тому

      Kamnyoe.. Labda Marekani hakuna saloon.

  • @chanzumakala388
    @chanzumakala388 2 роки тому +3

    Nimependa unajibu vixuri Sana maswali

  • @user-ij5ig4uu1y
    @user-ij5ig4uu1y 2 роки тому +6

    Harmonize atafute management mzuri

  • @omarykusah9719
    @omarykusah9719 2 роки тому +3

    Karb home ila mwan nahs mosos umekukataa pole Hal ya hew

  • @isackdalushi2255
    @isackdalushi2255 2 роки тому +2

    Duuu!!Kumbe ibra nae alikuwa na shoo marekan?

  • @jayelias1654
    @jayelias1654 2 роки тому +1

    YES YES YES YES YES YES YES 😂😂😂😂😂

  • @minabuelysee8
    @minabuelysee8 2 роки тому

    Vizuri

  • @OchoaHomeDecor_
    @OchoaHomeDecor_ 2 роки тому

    0:13 shoozangu nilizokaenda kufanya nshamaliza 😂😂😂

  • @jimboulaya
    @jimboulaya 2 роки тому +5

    Hawa wasanii wa Bongo ndio hapa wanaishia, sasa kama huyu nae eti ana mabaunsa wa kazi gani? maneno meengi na kujikweza tu bure kabisa!

    • @jentlikuse1196
      @jentlikuse1196 2 роки тому +1

      Nongwa lipiandalyooo alie jifuza kuinua chuma ulihitaji apatie wapi lizki ikiwa tearing ixa kuwa ajila kwake acha loho mbaya weweeeee

  • @mpendwalove4390
    @mpendwalove4390 2 роки тому +1

    Umh acha uongo ulikua umeenda kufanya show gani 😂 au ulikua backup….na umerudi coz show ya mtwara ya free entrance.

  • @yusufm1
    @yusufm1 2 роки тому

    Insstagram ni ile ile uwe marekani uwe wapi mdogo wangu mbona kama hujajua unajibu nini ukiulizwa nini🤣🤣🤣

  • @florestc3961
    @florestc3961 2 роки тому +2

    sometimes i feel like joke labda😬😂😂

  • @mpiluka4232
    @mpiluka4232 2 роки тому

    Umefanya show mbona hatujaona

  • @lucylucy3678
    @lucylucy3678 2 роки тому +1

    Nyumbn ni nyumbn tu chinga wetu amerud nkupnda huna maringo hata kidogo .

  • @bakaribakari2415
    @bakaribakari2415 2 роки тому +3

    Njaa ndo mnaludi kimya kimya

  • @husseingwanone7825
    @husseingwanone7825 2 роки тому

    KARIBU HOME

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco8350 2 роки тому +2

    Dogo kakaa marekan mwez tu kashindwa hata kunyoa manina

  • @krazywizzy4736
    @krazywizzy4736 2 роки тому

    Mmmmh waandishi wana moyo kweli ningekua mimi ningezila sio zarau izo kwa huyo bwana mdogo

  • @worldstartz
    @worldstartz 2 роки тому +6

    Huyu dogo akifanikiwa kazi ipo

    • @unclepwechnov1381
      @unclepwechnov1381 2 роки тому +2

      Sana, stupidly full of himself.

    • @jrm9448
      @jrm9448 2 роки тому

      @@unclepwechnov1381 my thoughts exactly. Yani ana kiburi na majinato ya dhahiri kama vile keshamiliza safari yote ya mafanikio.
      Endapo ataendelea kuwepo kisanaa (sidhani kama atakuwepo kwa muda mrefu) basi hakika atamgeuka hata Boss wake wa sasa. Vitu pekee vitakavyomuharibia ni kujiona mkubwa zaidi au keshamaliza safari yake.

    • @unclepwechnov1381
      @unclepwechnov1381 2 роки тому +1

      @@jrm9448
      The 'fame😁' makes him think that everything on this planet evolves around him.

    • @jrm9448
      @jrm9448 2 роки тому +2

      @@unclepwechnov1381 very true. Not realizing in the real essence the fame isn't his in the first place. The only reason he is known is Harmonize being in a feud with WCB, other than that he is just an ok singer who is not worth a comparison to any of the real singers around.
      But time is the best revealer, in a few years' time he will look back and see what he was really worth - nothing.

    • @elizabethwere9509
      @elizabethwere9509 2 роки тому +3

      Mbona mna wivu na ibraah,leave him alone

  • @bakaribakari2415
    @bakaribakari2415 2 роки тому +1

    Njaa ndo imemrudisha

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 2 роки тому

    Kijana kabadalika ngozi

  • @neymadunda2255
    @neymadunda2255 2 роки тому +2

    Mbona kimezeeka gafra

  • @chamtvonline9058
    @chamtvonline9058 2 роки тому +1

    Dogo kuja kwetu tu naku rudi mzee daaah 😂😂uku tuli Kuwa nawaona wa Kawaida tu 😂

  • @chaliwachuga519
    @chaliwachuga519 2 роки тому +4

    Mahojiano matam sana

  • @uwezo86
    @uwezo86 2 роки тому

    Vitu gani ?

  • @saidabdalla8996
    @saidabdalla8996 2 роки тому

    Dogo katulia kweli kujibu

  • @TeamKRX
    @TeamKRX 2 роки тому +2

    😳huyu bausa uko nyuma iyo mask Katoka nayo mareka au yeye hakwenda kaletewa zawadi tunahitaji 😀😀😀tz bwana asipocheka siku kupita 🤣🤣

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 2 роки тому +1

    Eti nimemaliza show zangu, mamaeee😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ommyw3063
    @ommyw3063 2 роки тому

    Poor dude

  • @aishasilaji5759
    @aishasilaji5759 2 роки тому

    Et ukiwa bonge unaamka mastory ya bongo Mimi Niko nje na bado mambo ya bongo yote kiganjani

  • @TeamKRX
    @TeamKRX 2 роки тому +1

    Sasa uyo bausa alovaa mask Katoka nayo marekan au 🤣🤣🤣kama kaleta tunahitaji tz bwana usipocjeka basi mgojwa daah hii kali

  • @AhmedMohammed-so1ht
    @AhmedMohammed-so1ht 2 роки тому

    NDITA BOY 😁😁

  • @jayelias1654
    @jayelias1654 2 роки тому

    ISOKE😂😂😂

  • @OchoaHomeDecor_
    @OchoaHomeDecor_ 2 роки тому

    Huyu mtangazaji anasema show ya WCB haina watu?
    Weka show hapa tuione 😂
    Unawajua WCB weweee....!!!!?

  • @mullahmasudy2622
    @mullahmasudy2622 2 роки тому

    EXPRESS???🙆 Sio Express 😃😃 Ni Experience 😂😂😂😂 Mmakonde bana🤣🤣🤣🤣

    • @JoumahB
      @JoumahB 2 роки тому

      Mwenzako katoka USA wewe bakilia ughettoni

    • @mullahmasudy2622
      @mullahmasudy2622 2 роки тому

      @@JoumahB We ndo Zero brain 🙆 kwani kutoka Marekani ndo Nini🤔 Nyie ndo mnashobokeaga Wazungu mwisho mnapata 🍆

    • @JoumahB
      @JoumahB 2 роки тому +2

      @@mullahmasudy2622 asante sisi tunawashobokea wewe wamshobokea nani? Tafuta hela kijana mwenzako katoka kutafuta hela

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 2 роки тому +1

    konde boy

  • @harunasuleiman6883
    @harunasuleiman6883 2 роки тому +2

    Hamn pesa ya kukaa marekan nyie boss wako unamtia mzg t apo anabeba polo la misumari t hamn kit 🤷

    • @dianajohn3493
      @dianajohn3493 2 роки тому +3

      Lakini mdomo ni wako hata ukitaka kutapika mavi kupitia mdomo. We tapika tu

    • @felisterjames9770
      @felisterjames9770 2 роки тому

      Ko mda wote alio kaka ulikua unamlisha ww

    • @harunasuleiman6883
      @harunasuleiman6883 2 роки тому

      Ama msinunee nyeee kwan inauma au

  • @benclaude9910
    @benclaude9910 2 роки тому +1

    Haku perform mim sikumuona mim huku🇺🇸

  • @emmanuelheshima4985
    @emmanuelheshima4985 2 роки тому +2

    Mwambieni atoshe hizo sharubu hazimpendezi hatakidogo

  • @strong8534
    @strong8534 2 роки тому

    Vitu vingi,....

  • @mariellerashidi4649
    @mariellerashidi4649 2 роки тому

    Mbona kama kagonda hivi jamani

  • @denissaidi7623
    @denissaidi7623 2 роки тому +1

    We hujapiga show marekan

  • @delekalxon7221
    @delekalxon7221 2 роки тому +2

    Mfanyakazi hewa😁

  • @kennedyessau5169
    @kennedyessau5169 2 роки тому

    Maskini akipata matako hulia mbwata

  • @mwikamwika4851
    @mwikamwika4851 2 роки тому

    Waandishi ndiyo shida. Mnashindanisha watu kijingajinga

  • @zabibuamissi1141
    @zabibuamissi1141 2 роки тому +1

    Uyu siku atakuwa na pesa utatamupona

  • @omaryregga5315
    @omaryregga5315 2 роки тому +2

    Bado sana

    • @dianajohn3493
      @dianajohn3493 2 роки тому +1

      Ni hatua, hata wengine walianza hivihivi.. Ndio maana waswahili walisema mwanzo mgumu.

    • @jammomasaai4764
      @jammomasaai4764 2 роки тому

      karibu nyupani kaka

  • @nazalenolupola1932
    @nazalenolupola1932 2 роки тому

    Bongo nyoso

  • @boniphacemsafiri
    @boniphacemsafiri 2 роки тому

    Hilo jamaaa linauliza upumbavu mnalipaje airtime mbwa huyo

  • @alibinali_
    @alibinali_ 2 роки тому +3

    Haibu walahi 😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣

    • @dianajohn3493
      @dianajohn3493 2 роки тому +6

      Wew mwenyew rudi shule ndio uje ukomenti kwa IBRA! Et haibu badala ya aibu. Loo!

    • @levinamaico6888
      @levinamaico6888 2 роки тому +1

      Pale unapokuwa unahalaka ya kutukana msanii lazima uchapie eti haibu khaaaaa

    • @gooddeeds162
      @gooddeeds162 2 роки тому +1

      @@levinamaico6888 na unapokuwa na haraka ya kumjibu mwingine ikiwa na wewe umeandika halaka badala ya haraka, Mwe! 😂😂😂😂
      Wabongo wengi sana tunatakiwa kurudi darasani kuanza upyaaaaa hasa kwenye uandishi yani ni Zero Zero Zero asilimia 95 ya sisi watanzania.
      FUNZO :Hakikisha umeandika kilicho sahihi kabla hujarukia kumkosoa mwingine na kumcheka kwasababu utaonekana mjinga zaidi.

    • @gooddeeds162
      @gooddeeds162 2 роки тому +1

      Next time andika
      Aibu na siyo haibu.

    • @levinamaico6888
      @levinamaico6888 2 роки тому +1

      @@gooddeeds162 asante kwa kunikosoa

  • @AhmedMohammed-so1ht
    @AhmedMohammed-so1ht 2 роки тому

    MKUNJA NDITA 🤣🤣

  • @emidisadikisaididenchi8210
    @emidisadikisaididenchi8210 2 роки тому +1

    Kapauka na ndevu zake