Waqf wa Waislamu ni Haki ya Waislamu wa Pwani.
Вставка
- Опубліковано 15 вер 2024
- All my videos are meant to inform and educate the viewers in general on very relevant issues.
#life #history #kenya #makemefamous #culture #africa #global #duet #trending #trendingshorts #trendingnews #islam
Jazak Allah khair, your doing a great work.
Please how can someone get your contacts.
Maa Shaa Allah...ila sina uhakika going by zakayo's nature and by his history, na appetite yake kwa low lying fruits kama atasaidia, bila ya kusahau kauli yake eti Kenya ni nchi ya kikristo...ni maoni yangu.... Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu.
MashaAllah,kazi mzuri sana ambayo waifanya mkubwa wangu!haki za Wapwani zinaendelea kuibiwa kinyume cha haki za kibinadamu na usawa wamambo.Exposing issues like these is very important
Aslm alykum, si haki kabisa😮
Allah Akuhifadhi Sh Stambul, Usichoke kutuelimisha
Inna lillahi wa inna ilaihi rajioun..... kuna hesabu kesho kwa allah watajibu wakujibu na sisi tutakua na jukumu pia tukiyanyamazia haya.
INNA LILAAH; dhulma kubwa sana hiyo
Ni haki ya waislamu wajue his mali zote za wakfu zina enda wapi na nani wano kula hizi bila haki yoyote.
Although they plan Allah also plans. Wacha tuone mwisho utakuwaje. Maana imekuwa mambo ya mnyonge msonge